Kabila langu mimi sijuwi tulipataga elimu yawapi uwasielewi kabisaa hivi unatetea udongo paka lini na mkijiunga na serikali mtakufa nini na nyie mtahenda kufanya nini paka mjifanye kutokujiunga yani kabila langu ndohuwa siwaelewi kabisa hivi nyie huyo kanambe ndo amuwezi kunyatia nyinyi kwanza mkamuhuwa ili muone mnchi itahenda wapi yani ni Mungutu kweli helimu ningumu sana kuelewa
Congo yetuni ya kuachiya Mungu tu, ila ningeli watakiya serikali ya kimajimaji Mungu awalinde popote walipo na ingine kwa nini maji maji ijuwe kama ni Rwanda njo inasumbuwa inchi yetu kwa nini nao wasipiganishe Rwanda ili nao wakose amani?
kama hamutaki kujihunga na serikali mdaa ndohuhu wa sisi kama wabembe tuna jina letu kalembelembe amatogo tuna shindwa wapi historia yetu inajiweka wazi congo bila fizi nibure sasa tutahamuka mpakalini tunaweza kujenga fizi yetu wenyewe tusimtengeme mtu aje atusaidie kuleta amani
Wa mayi mayi mna maneno mengi tu myaka mingapi m23 mbona mna shindwa ku mtoa makanika mbona unashindwa aca wanya rwanda wakuwe inci mnakalia maneno mengi tu
Mungu ata saidiya Amani ita rudi , Wazungu ndo chanzo cha vita apa congo Kagame ana tumikishwa tu Ila marekani na inchi za ulaya ndo zina leta vita Mimi kama mbembe nina jua historia ya chanzo cha vita apo Congo
Ndugu sisi wa Congo mungu atu rehemu n'a atuteteye sababu inchi moja ishambuliwe n'a inchi tatu nishida mabalozi wa Tanzania mabalozi wa Nairobi mabalozi wa Rwanda n'a kazalika mungu tu piganie baba
Una ongeya bure saana kwanza Yakotumba alipewa pesa kusudi asaliti inchi nanjo maana mu naanza kupigana na Biloze bishambuke tokeni porini hamuko nyani
Mtu yeyote akiwa na nyumba ya makao ku mji wa kigeni hata weza kuongoza kongo kwagisi mkongomani ana taka tutakuwa tu watumwa nyinyi wakongomani wakamilifu benye silaha mushukuwe uongozi ya congo,upumbafu itoke.