Zanzibar imekuwa ya mwisho duniani maaana hao ccm wa zanzibar wanachekesha sana hawataki warabu lakini wanaowa warabu znz husseni mwinyi mke wake muarabu, Amani karume, Ali karume, balozi seif ali idi
Alhamdulillah sultan Jamshid karudi kwenye asili yake arudi zanzibar afanyeje nchi imegeuka up side down imebakia magofu, chuki na ubaguzi wametahayari walio fanya khiyana na roho zao zilivyo mbaya
Sema ukweli mulimgeukia sultan ndio ikabidi akimbilie uingereza..pia Oman walimzuia Jamshid kurudi sababu hakua na maskilizano mazuri na family yake ya Oman
Hiyo lanaa ya uvamizi NA mauaji ingekua jamshid yupo ingekua zanzibari tajiri duniani kama dobai wa oman wa najua kutengeneza NA inayostajabu waliuliwa NA baado wanaleta misada nyingi sana kwa wazanzibari NA kujenga msikiti NA shule NA hivi sasa wazanzibari wameja tele oman wanafanya kazi subuhana allah
Unajua wanachipitia ndug zako lkn uko Oman hebu waulize wakupe majib vzur wallahi hawa watu walikuja Africa kuchuma Mali zetu japo atutaki kukubali maana
Sasa kila mtu akitaka kuoa mwarabu hawa dada zetu wa kiswahili waolewe na nani? Nyinyi mnajiona mnawaibisha waarabu kumbe mnajiaibisha. Kwani lazma nyote muoe waarabu? Kwani waarabu wana kipi ambacho waswahili hawana? Naona mnalalamiika kuwa waarabu hawataki kukuozesheni watoto wao. Waarabu ni binaadamu tu kama waswahili, kwa hivyo wengine oweni waswahili ili muwastiri dada zetu. Muache kujenga chuki za kijinga. Hapa cha muhimu CCM iondoke tu madarakani, hizi pumba nyengine hatuzitaki kuziskia.
The best interpretation of the politics of history of Zanzibar. It wasn't the Sultanate that was overthrown but rather the Govt of Ali Mohsin and others that was supposedly to protect it but abundantly failed to do so.
Mi mzanzibar. waarabu nawajua vzur2 nakaa nao jiran yani hawatak watu weusi waowe wana wao. mtashirikiana tu baadhi ya mambo ila mambo mengne wanatubagua
Jemshid sio mfalme wa mwisho zanzibar na wala hajapinduliwa zanzibar alitowa uhuru 1963 chini ya serikali ya uingerza mfalme aliyepinduliwa 1964 ni mohamed shamte huyu jamaa hailewi historia
"Wazanzibar na Wapemba" mkiwa mnataka Mfalme Jamshid" arudi kua mfalme wenu, mnahaki!! Anzeni kukusanya sahihi za kubadilisha mkataba ulioleta Tanganyika na inchi yenu pamoja.Sheria ziko wazi,kila jamii ina haki ya kujitawala kisisa. kiuchumi,kielmu na hata kitamaduni.Itawahitaji muende kwenye kura ya maoni,na mfafanue ni nani anatakikana kuruhusiwa kupiga kura hiyo,ni mpemba na Mzanzibar tuu au hata wa Tanzania bara??!! Kuhusu Marehemu "Sultan Qaboos"yeye alikua msomi mkubwa sana wa elmu ya kisasa kutoka uingereza na alipomaliza ,akampendua babake na kuitoa inchi hiyo katika hali ya umasikini na kuifanya inchi tajiri ambayo inaheshimika sana duniani.Watu waomani ni matajiri na hawajapoteza muelekeo kama majirani zao, wameleta maendeleo na utamaduni wao pamoja.
Huyo mfalme ni mzanzibari amezaliwa pemba NA mama yake mwafrika ni mwanchi NA wala hakurudi oman NA wazanzibari baadaye waliruhusu kurudi kama mwananchi NA wazanzibari wanampenda basi tamaa ya madaraka ya karume NA nyerere wsmesababisha kupoteza mamlaka ya zanzibari NA mauaji ya zaidi elfu kumi tano wakawazika pamoja katika mashimo makuubwa wtoto wadogo NA wazee NA wanawake NA wanaume wakawapanga fuleni NA wote walipigwa raisi bila huruma kwa jemedari okelo kutoka uganda
Jamani wazanzibar mmesahau biashara ya utumwa ilifanywa na Nani?, haohao Leo mnawatukuza kuwaita wafalme wenu,kwani sasahivi mnatumikishwa na Nani ? Warabu wa Oman hawawezi kuwatazama kwa hadhi moja na wao kwao nyie ni watumwa tu hata kama unarangi ya kiarabu.sasa kumbukeni kuwa nyinyi sasa ni watu huru hiyo inatosha kuwafanya mjiskie proud.
Watu kama wale hawauliwi eti wanamchango mkubwa kwa jamiii kisa waaaarab ila kinje alinyongwa na wazungu wazanzibar waarab mnawaona km ndio familia yamungu vile
Samahani huyu jamaa 60% kaongea porojo..kwanza Nyerere hakumkaribisha Tanganyika..aliletwa na waingereza wakati huo Nyerere alikuwa hana lolote hata alipopinduliwa na jeshi akaenda mafichoni waingereza ndio walioleta jeshi na kumrejesha madarakani..pumba tupu! Bado akasome tena..
Sahihi nyerere alipinduliwa NA jeshi akawaita wangereza haraka sana NA wangereza wakaleta meli ya kivita NA ndege wakarudisha nyerere nyerere alikwa kibaraka wa wazungu wangereza historia hio watu wengi hawajui
Zanzibar was like best city in the world, but Africans didnt want to be best people un best land so they killed the people who developed east africa and became poor again 😔 we need omanis again in Zanzibar
RAMANI NI "IMMAGINARY LINE "NI MISTARI YA KUBUNI SO KILA MTU ANAWEZA KUCHORA WAKE THEN RAMANI ZILIZO PITA ZIKIICHANGANIJA POLAND&GERMAN,ENGLAND&DENMARK,HONGKONG ,CHINA SO LAKINI ALAAN NI TOFAUTI
Farid unakosea ukisema si mzanzibari upande wa bibi yake mzababa tokeasayyid Said from 1870 na wazanzibari wengi asili zao bara India Comoro India sirazIran waasli wa hadimu wa tumbatu
Firaun na Ibilisi wametajwa katika maandiko......mtu mzuri na wabaya lazima wachangamane. Siasa sio kazi ndogo. Zanzibar wanajua hadhi yao hawababaishwi na wageni. Aliangushwa na fitina za organisation walikuwa hawajafahamika.
Nyinyi waomani mfungeni kamba huyo asije akatutawala huku Zanzibar hatukubali tutakuja huko huko Omani kuwamaliza maana mapinduzi hayajawapata vizuri tutatembeza mapanga huko huko tuwakatekate vipande sijui kwa nini tuliwabakisha kwa hiyo muwe makini tuko tayari na chochote tutawamaliza Tanzania mliyoiwacha sio ya leo mtajuta zuiyeni mtu wenu huyo ohoooo
MANENO YAKE YANAGONGANA ITAKUAJE SAID KHALIFA AMERITH UFALME KUTOKANA NA MKE WAKE APOPO BABUZAKE KHALIFA WALIKUA WAFALME KUTOKANA NA MANENO YAKE MWENYEWE KASEMA SAID BIN SULTAN ALIRITHISHA WATOTO WAKE MOJA OMAN MOJA ZANZIBAR KWAHIO URITHI UMEANZIA JU
Amazing history although controversial but still history. But what is odd is the topic " hakurusiwa kuingia Kenya "..... doh, yaani mpaka Kenya ingizwe......subliminal subjugation........Media can be a problem
Kenyatta alikuwa hataki shida, sababu Mombasa tayari ilikuwa si sehemu ya Kenya na Kenyatta alikuwa ashakiuka masharti mengi kwenye ule mkataba alikuwa nao na Jamshaid
@@mjm135 that maybe correct as not really documented ( a nice area to research) but my question was on heading, Kenya has currently being the "topic " "talk of town especially in TZ" while it only had one sentence in the whole story.... main, I believe, should have been TZ to bring back their history......
@@salimjkj nimekulia Mombasa and this story of the agreement between Kenyatta and Jamshaid keeps popping up whenever the people of coast feel marginalized, in fact in 2012 a movement known as "Pwani si Kenya" started and they wanted to breakaway and form their own country, which of course the Kenyan government didn't allow and came down hard on them. I've never bothered on that part of history how the Kenyan coastal strip was part of Zanzibar until I came across this, great history but controversial. Am Kenyan by the way
@@sirajimakame1972 dah kweli mpaka zanzibar ubaguzi upo ndugu yangu ww ni muislamu hata mtume alihama sehemu kuhamia sehem nyengine na maswahaba mengine kaituma nchi tofauti kutawala huko hio nikuchukua ibra na hata hao warabu walikuja wakatawala na nchi iliendelea hio ingekua unaijua historia ya uislamu hata usingesema kiliwaleta nn hapo maana warabu mchango wao una asilimia 90 ni wao jina lako zuri siraji lakn hujafaham ndugu yangu wacha unsuria siasa ni mambo machafu tusichukiane
Yaani jamaa ajiumauma kweli ili ahalalishe tu huyo mwarabu awe mzanzibari; ki-ufupi Oman ni nchi nyingine na iliitawala zanzibar na kuuzaa na masulia (vijakazi wao) na hivyo kuwepo hao wanaojifanya wazanzibar waarabu; ulisikia wapi ufalme unachaguliwa na wananchi ila ni kurithishana tu hivyo huyu Farid Himid ni kijukuu cha masulia wa waarabu!
Warabu wana nn laiti munge wajuwa hawa watu msinge wasifiya hawana lolote wenyewe wanawapenda waafarika waafarika tuko juu msisheshe ichi yetu kwanza ss ni wazuri sifa zote tunazo kiuno tunacho alafu warabu wenyewe wanatupenda hasa hawa wakiume wange weka sheriya yakuoa na kama ichi zingine warabu wangeowa ngozi nyeus wote wangeachika hawajiwezi
Mara nyingi mzazibari hatakataii warabu ila mijitu ya unguja ilio toka bara na wabara ndio wapingaji kumbe aduii yetu niwatu wabara ndio walio leta ukame
Jamani eee msizunguke sana jamani adui wetu mkubwa jamani alikua fisadi nyerere laanatullah yule ndo alokua na choyo jamani et Leo awa ccm wasojielewa wanamuenzi yule mbwa nyerere kafa zanzibar kaicha kama alivyo ikuta inshaaalla ALLAH ampe adhabu ya kaburini na amuingize jahanamu mbwa yule