Тёмный
No video :(

'MFALME WA MWISHO ZANZIBAR', ALIKATAZWA KUINGIA KENYA, ALIONGEA NA NYERERE AKAMUITA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 81 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 374   
@AM-xi4sy
@AM-xi4sy 3 года назад
Nyerere kapata amri kutoka England amrihusu akae Tanganyika ili aelekee England pamoja na raia wengine wa british waliokuwamo ndani ya meli hiyo
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 года назад
Faridi Humid hongera sana kwa hii historia
@dionsangoa1428
@dionsangoa1428 3 года назад
Ambae hajaelewa huyu mswahili anaongea nini kama mimi aje huku kwa Said saidy tupate urojo😹
@saidal-hind5338
@saidal-hind5338 3 года назад
Zanzibar imekuwa ya mwisho duniani maaana hao ccm wa zanzibar wanachekesha sana hawataki warabu lakini wanaowa warabu znz husseni mwinyi mke wake muarabu, Amani karume, Ali karume, balozi seif ali idi
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 года назад
Sasa hao wanawake wa kiarabu si wangekataa kuolewa na wamakonde hao?
@EK-kp2np
@EK-kp2np 3 года назад
@Said Al-hind: mke wa Hussein Mwinyi mwarabu🤔🤔??, ongea ulijualo😩
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 3 года назад
Acheni ujinga
@patrickmwaki6042
@patrickmwaki6042 3 года назад
Hawawataki kuwaongoza au kuwaowa na kuolewa nao🙄🙄🙄
@alimuhamed1830
@alimuhamed1830 3 года назад
Ujinganao unagalau utampaje muhogo mwenye sahani yapilau hao nivibaraka tu wawatanganyika
@abdulazizharthy5627
@abdulazizharthy5627 2 года назад
Alhamdulillah sultan Jamshid karudi kwenye asili yake arudi zanzibar afanyeje nchi imegeuka up side down imebakia magofu, chuki na ubaguzi wametahayari walio fanya khiyana na roho zao zilivyo mbaya
@alhabsi6430
@alhabsi6430 Год назад
Alhamdulilah karudi kwao na hana shida yuko juu na famili yake aje huko afate nini?
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 4 месяца назад
Acheni ujinga wazanzibar
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 года назад
Kiswahili chako kwa kweli ni burudani hongera sanaaa. Wengine waige na utulivu ulio nao kama mtafiti.
@rajabaliremtulla6369
@rajabaliremtulla6369 2 года назад
Thks Farid you are a good historian
@RioIpo
@RioIpo 3 года назад
D Swaga tukionana maskani lazima nikununulie Soda..umeiprove mshkaji wangu
@salehalzakwani3283
@salehalzakwani3283 3 года назад
Mashaallaah uko vizuri
@saidabdala4980
@saidabdala4980 3 года назад
Mfalme wetu. .karibu kwenu. Tunajuwa kila kitu.
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 года назад
Anayejua historia zaidi yake ajitokeze aandike ama ahojiwe ili ukweli upatikane. Kumshambulia na nikirudi na vijembe hakuikuzi historia.
@ramadhanmusa2878
@ramadhanmusa2878 3 года назад
Sema ukweli mulimgeukia sultan ndio ikabidi akimbilie uingereza..pia Oman walimzuia Jamshid kurudi sababu hakua na maskilizano mazuri na family yake ya Oman
@ahmedalmaawaly8017
@ahmedalmaawaly8017 4 месяца назад
Wacheni ujinga mnachukia warabu lakini Hadi Leo mnaombaomba kwao
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 года назад
Hiyo lanaa ya uvamizi NA mauaji ingekua jamshid yupo ingekua zanzibari tajiri duniani kama dobai wa oman wa najua kutengeneza NA inayostajabu waliuliwa NA baado wanaleta misada nyingi sana kwa wazanzibari NA kujenga msikiti NA shule NA hivi sasa wazanzibari wameja tele oman wanafanya kazi subuhana allah
@machetebogota4218
@machetebogota4218 Год назад
Unajua wanachipitia ndug zako lkn uko Oman hebu waulize wakupe majib vzur wallahi hawa watu walikuja Africa kuchuma Mali zetu japo atutaki kukubali maana
@abudimuddy517
@abudimuddy517 3 года назад
Millard hawa ma presenter wako ni kiboko yani mashallah....umemakinika sana kwa kuchagua vibaji bro 👍👍👍
@saidyussuf2291
@saidyussuf2291 Месяц назад
Mtoaji maelezo hodari , Mungu ambariki
@loner_wolf
@loner_wolf 3 года назад
Jamsheed kwa kiswahili tumeitohowa na kuwa ni mtu asiyejiweza kwa lolote anatafanyiwa kila kitu hata kula analishwa 😄😄😄😄😄
@nohatredbutlove5786
@nohatredbutlove5786 3 года назад
Sasa kila mtu akitaka kuoa mwarabu hawa dada zetu wa kiswahili waolewe na nani? Nyinyi mnajiona mnawaibisha waarabu kumbe mnajiaibisha. Kwani lazma nyote muoe waarabu? Kwani waarabu wana kipi ambacho waswahili hawana? Naona mnalalamiika kuwa waarabu hawataki kukuozesheni watoto wao. Waarabu ni binaadamu tu kama waswahili, kwa hivyo wengine oweni waswahili ili muwastiri dada zetu. Muache kujenga chuki za kijinga. Hapa cha muhimu CCM iondoke tu madarakani, hizi pumba nyengine hatuzitaki kuziskia.
@salmasalim6055
@salmasalim6055 3 года назад
Wow 👍
@nohatredbutlove5786
@nohatredbutlove5786 3 года назад
@@salmasalim6055 👌👌
@bigjizee4130
@bigjizee4130 3 года назад
Mmmmmmh
@kesslycompanyltd
@kesslycompanyltd 3 года назад
Kabisa
@nightwishisthegreatestband6355
@nightwishisthegreatestband6355 3 года назад
Sasa ccm na muoa waaraba wapi na wapi?
@hgi6648
@hgi6648 2 года назад
The best interpretation of the politics of history of Zanzibar. It wasn't the Sultanate that was overthrown but rather the Govt of Ali Mohsin and others that was supposedly to protect it but abundantly failed to do so.
@sulimanmasoud9337
@sulimanmasoud9337 2 года назад
Corruption srkali ya Marhum Mhamed Shamte.
@mfyoko
@mfyoko 2 года назад
@@sulimanmasoud9337 hiyo corruption ilipata muda gani katika kipindi cha mwezi mmoja?
@zaharahasan1912
@zaharahasan1912 3 года назад
Nasikia waliompindua ni waingereza na baada ya kumpindua wakamchukua kwao
@salehkhamis3063
@salehkhamis3063 3 года назад
Mi mzanzibar. waarabu nawajua vzur2 nakaa nao jiran yani hawatak watu weusi waowe wana wao. mtashirikiana tu baadhi ya mambo ila mambo mengne wanatubagua
@ibnkhaldun1164
@ibnkhaldun1164 3 года назад
Uwongo pumbavu zako
@MrKhatibu
@MrKhatibu 3 года назад
Mbona pemba unapata mke wa kiarabu tena kwa mafungu ukitaka, ila Unguja ni kweli
@zozonaamani9719
@zozonaamani9719 3 года назад
Weusi niwazuri nawapenda.warabu lazima muowe? Achana.nao
@haydarabdallah4955
@haydarabdallah4955 2 года назад
SEMA kweli kuhusu mapinduzi Zanzibar hamna mapinduzi kunamauwaji mzeee SEMA kweli usifiche ccm
@fatmasaid5864
@fatmasaid5864 3 года назад
Jemshid hana haja ya kuja znz tena musiwe na wasi wasi
@rahmamusa9627
@rahmamusa9627 3 года назад
Mashallaha
@aminaabdallah7702
@aminaabdallah7702 3 года назад
Tumeshachoka nahao wanaojidayi niwafalme kwenye nchi zetu wafalme wako kwao Sisi tulikuwa nawafalme wetu niwafrika sio warabu kwabahati mbaa hao warabu waliwauwa ili wachukuwe mamlaka
@teamlovesquare3207
@teamlovesquare3207 3 года назад
Zanzibar ishawah kuongozwa na mfalme mwafrika hujui hata historia
@sulimanmasoud9337
@sulimanmasoud9337 2 года назад
Wacha uwogo kumbe huna nalolijua
@madetetv6576
@madetetv6576 2 года назад
@@teamlovesquare3207 unamfaham Mwinyi mkuu
@mohamedsheikh6618
@mohamedsheikh6618 Год назад
@@madetetv6576 mwinyi mkuu si mtu mwenye mishipa au?
@alhabsi6430
@alhabsi6430 Год назад
​@@teamlovesquare3207🤣🤣🤣🤣
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 4 месяца назад
Basi wazanzibar wanamuona jamaa shujaaa huyo😅😅😅
@Kapunyu
@Kapunyu 3 года назад
Ni ubora kuwe na channel makhsusi ya historia ya zanzibar na wafalme waliotawala zanzibar pamoja na utamaduni wa Mzanzibari na visiwa vyote.
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 года назад
Hongera kwa kueleza ukweli juu ya Mwl Nyerere "mtu aliyejua siasa pdana". Kweli Mwl alikuwa mjuzi wa siasa sio siasa.
@judithjulius5378
@judithjulius5378 2 года назад
Year
@abubakarkassim4161
@abubakarkassim4161 5 месяцев назад
Jemshid sio mfalme wa mwisho zanzibar na wala hajapinduliwa zanzibar alitowa uhuru 1963 chini ya serikali ya uingerza mfalme aliyepinduliwa 1964 ni mohamed shamte huyu jamaa hailewi historia
@dengemuhidinimuhidini3230
@dengemuhidinimuhidini3230 Год назад
Muungu akuweke mahala pema ,all Zanzibarian we are together
@muhammadrashid9645
@muhammadrashid9645 3 года назад
Haiko sawa hii
@kuschprince3216
@kuschprince3216 3 года назад
"Wazanzibar na Wapemba" mkiwa mnataka Mfalme Jamshid" arudi kua mfalme wenu, mnahaki!! Anzeni kukusanya sahihi za kubadilisha mkataba ulioleta Tanganyika na inchi yenu pamoja.Sheria ziko wazi,kila jamii ina haki ya kujitawala kisisa. kiuchumi,kielmu na hata kitamaduni.Itawahitaji muende kwenye kura ya maoni,na mfafanue ni nani anatakikana kuruhusiwa kupiga kura hiyo,ni mpemba na Mzanzibar tuu au hata wa Tanzania bara??!! Kuhusu Marehemu "Sultan Qaboos"yeye alikua msomi mkubwa sana wa elmu ya kisasa kutoka uingereza na alipomaliza ,akampendua babake na kuitoa inchi hiyo katika hali ya umasikini na kuifanya inchi tajiri ambayo inaheshimika sana duniani.Watu waomani ni matajiri na hawajapoteza muelekeo kama majirani zao, wameleta maendeleo na utamaduni wao pamoja.
@MohamedMohamed-fg1kh
@MohamedMohamed-fg1kh 3 года назад
Hatutaki mfalme
@Kapunyu
@Kapunyu 3 года назад
Sio lazima muwe na mfalme bali mtakuwa na kiongozi wenu lakini mtaomba himaya kutoka Oman,na uingereza,zanzibar itanawiri sana itainuka kiuchumi,
@jimj8285
@jimj8285 2 года назад
@@MohamedMohamed-fg1kh mkundu wako nyau weyee!!
@danielkwilemba4715
@danielkwilemba4715 3 года назад
Naona Jamshet naona anafanana na Malim Self Khamad !!!
@ibrahimmussaali5179
@ibrahimmussaali5179 3 года назад
Huyu anaujua ukweli ila anaficha wacha history ya ccm izo
@kanaanrajab8990
@kanaanrajab8990 3 года назад
A,ALEIKUM KUMBE MNALIJUA HILO MAFAHARI WAWILI HAWAKAI ZIZI MOJA" SASA MUONGANO WA NINI
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Год назад
Huyo mfalme ni mzanzibari amezaliwa pemba NA mama yake mwafrika ni mwanchi NA wala hakurudi oman NA wazanzibari baadaye waliruhusu kurudi kama mwananchi NA wazanzibari wanampenda basi tamaa ya madaraka ya karume NA nyerere wsmesababisha kupoteza mamlaka ya zanzibari NA mauaji ya zaidi elfu kumi tano wakawazika pamoja katika mashimo makuubwa wtoto wadogo NA wazee NA wanawake NA wanaume wakawapanga fuleni NA wote walipigwa raisi bila huruma kwa jemedari okelo kutoka uganda
@simkotec3091
@simkotec3091 3 года назад
Jamani wazanzibar mmesahau biashara ya utumwa ilifanywa na Nani?, haohao Leo mnawatukuza kuwaita wafalme wenu,kwani sasahivi mnatumikishwa na Nani ? Warabu wa Oman hawawezi kuwatazama kwa hadhi moja na wao kwao nyie ni watumwa tu hata kama unarangi ya kiarabu.sasa kumbukeni kuwa nyinyi sasa ni watu huru hiyo inatosha kuwafanya mjiskie proud.
@allymassudi1580
@allymassudi1580 2 года назад
wajuwaje wy
@JabirJabir-c9o
@JabirJabir-c9o 20 дней назад
Sasa tuko ndani ya ukoloni wa watu weusi tena wapo jirani na znz.
@kheirmbarouk8373
@kheirmbarouk8373 3 года назад
ilove zanzibar iko ck insha allah itajirudi zanzibar kwa uwezo wa allah
@RioIpo
@RioIpo 3 года назад
Alhamdulilah sasa ivi tunajitawala wenyewe Dkt Mwinyi oyeeee
@yasiralkindi5332
@yasiralkindi5332 3 года назад
Hoiiii bin taabaan na mwaka huu MAALIM SEIF TUNAMUAPISHA INSHALLAH
@namisgiggah1571
@namisgiggah1571 3 года назад
Unajitawala mwenyewe au beberu tanganyika ndio anekutawala! Zinduka pumbav wewe.
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 года назад
@@yasiralkindi5332 maaaaaaaaawe!!!
@RioIpo
@RioIpo 3 года назад
@@namisgiggah1571 udini, ukabila na matusi ndio sera yenu so hujanishtua bado!
@namisgiggah1571
@namisgiggah1571 3 года назад
@@RioIpo nawe uchama ndio utakaukuua na Hao Hao Chama chako tawala
@kauryatechnical993
@kauryatechnical993 Год назад
Acha kutumbia Mambo hovyo
@simkotec3091
@simkotec3091 3 года назад
Naangalia hii video baada ya magufuli kufa napata maswali mengi Sana🧐🤔
@zahorrashid5459
@zahorrashid5459 3 года назад
ccm wameimaliza znz .Tanganyika aliipindua znz bila kumwaga damu.
@ibrahimmussaali5179
@ibrahimmussaali5179 3 года назад
Wenye tunajua kila kitu
@ahmedalmaawaly8017
@ahmedalmaawaly8017 4 месяца назад
Miaka 60 hat maki hakunajini looh
@saidal-hind5338
@saidal-hind5338 3 года назад
Zanzibar inahitaji uwongozi mwengine
@RioIpo
@RioIpo 3 года назад
Naam Tunamtumainia Hussein Mwinyi...uyo batwaani wenu Sefu Sharifu wala hawi Rais
@yasiralkindi5332
@yasiralkindi5332 3 года назад
Cwa kabsa
@yasiralkindi5332
@yasiralkindi5332 3 года назад
@@RioIpo Huo ndo yale yale ya ccm kwahio tunautaka uongozi mwengine
@RioIpo
@RioIpo 3 года назад
@@yasiralkindi5332 kama humtaki Hussein Mwinyi na Seif nae asiwee
@yasiralkindi5332
@yasiralkindi5332 3 года назад
@@RioIpo Bc tumueke baba yako sorry lkn km nimekuudhi ila ni km ushauri tu
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 4 месяца назад
Watu kama wale hawauliwi eti wanamchango mkubwa kwa jamiii kisa waaaarab ila kinje alinyongwa na wazungu wazanzibar waarab mnawaona km ndio familia yamungu vile
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 года назад
Dunia inajigeuza na siasa hujigeuza. Hili ni neno kubwa sana.
@amanmohd9435
@amanmohd9435 3 года назад
Farid unamtaja Ali Muhsin Barwan unamuacha aliekua mkuu wa serikali ambae ni Waziri Mkuu Sheikh Mohammed Shamte ...
@andrewnyamwaro5174
@andrewnyamwaro5174 3 года назад
Sultan! No way. Tell it the birds.
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 3 месяца назад
Nlikua namuona u.k kabla hajarud mwaka juzi km hakuwahi vile ufalme yupo simple kuliko hana mengi
@mzuvendi
@mzuvendi 3 года назад
Samahani huyu jamaa 60% kaongea porojo..kwanza Nyerere hakumkaribisha Tanganyika..aliletwa na waingereza wakati huo Nyerere alikuwa hana lolote hata alipopinduliwa na jeshi akaenda mafichoni waingereza ndio walioleta jeshi na kumrejesha madarakani..pumba tupu! Bado akasome tena..
@qassim_zr
@qassim_zr 2 года назад
Hujui unasema nini ipo clip ya Jamshid mwenyewe akitoa shukrani kwa Nyerere kwa kumpa hifadhi
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 года назад
Sahihi nyerere alipinduliwa NA jeshi akawaita wangereza haraka sana NA wangereza wakaleta meli ya kivita NA ndege wakarudisha nyerere nyerere alikwa kibaraka wa wazungu wangereza historia hio watu wengi hawajui
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 года назад
Mtu kwao jamani mtu asiwe mkimbizi milele.
@greatiq7835
@greatiq7835 3 года назад
Eeh. Akome!
@almatani9998
@almatani9998 3 года назад
Zanzibar was like best city in the world, but Africans didnt want to be best people un best land so they killed the people who developed east africa and became poor again 😔 we need omanis again in Zanzibar
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 года назад
"Watu wa siasa wanayo maneno mengi" bora umewaambia ukweli
@kanaanrajab8990
@kanaanrajab8990 3 года назад
JAMSHEED HAJA KIMBIA ILA AMEONDOKA MWENYEWE ACHAKIPOTEZA WATU SISI HI WARABU TULIO BAKI ZANZIBAR FROM BAHLAI WEWE KUTOKA KIJIJI GANI CHA OMAN
@kanaanrajab8990
@kanaanrajab8990 3 года назад
ZANZIBAR SIO VISIWA NI NCHI KAMILI
@emmadora7848
@emmadora7848 3 года назад
Kwenye ramani ya dunia hakuna nchi ya Zanzibar
@kanaanrajab8990
@kanaanrajab8990 3 года назад
RAMANI NI "IMMAGINARY LINE "NI MISTARI YA KUBUNI SO KILA MTU ANAWEZA KUCHORA WAKE THEN RAMANI ZILIZO PITA ZIKIICHANGANIJA POLAND&GERMAN,ENGLAND&DENMARK,HONGKONG ,CHINA SO LAKINI ALAAN NI TOFAUTI
@saidjuma9782
@saidjuma9782 3 года назад
Wazanzibari sie hatuna shobo za Kijinga
@khalidibrahim4579
@khalidibrahim4579 Месяц назад
Farid unakosea ukisema si mzanzibari upande wa bibi yake mzababa tokeasayyid Said from 1870 na wazanzibari wengi asili zao bara India Comoro India sirazIran waasli wa hadimu wa tumbatu
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 Год назад
Bora tungechanganya na wa UK.kuliko mabulushi
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 3 года назад
Ile film tulio ona Google ni kweli elfu ishirini walikufa watoto wadogo NA wazee NA wanawake wanatolewa masiku ya manane NA kuuwa NA kuzikwa pamoja
@kamanyolabilajasho3833
@kamanyolabilajasho3833 2 года назад
Haki ya mungu Millardayo mmekosa mwana historia ila huyu? Mbona anabolonga? Bado mna kazi ya ziada!
@dj1447
@dj1447 Год назад
Samahani shekh wewe historia huijui au wewe ni mwoga
@Jal210
@Jal210 3 года назад
CCM hajaimaliza znz acheni umbeya
@nanjiTv
@nanjiTv 3 года назад
Huyu mtu ni mwanahistoria kweli. Mfasaha katik kuzungumza
@salisali3738
@salisali3738 3 года назад
نايس
@amanmohd9435
@amanmohd9435 3 года назад
Farid umenichekesha ..leo nitakutafuta
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 года назад
Ni kweli fazach bora serkali ya znz ingemjengea rasmi na kumleta jemshid ingekua sana kiutalii lakini mhhhh sijui kwanini wamemuacha
@RioIpo
@RioIpo 3 года назад
Na aende uko ... Mapinduzi daima
@ayoubmwalim1535
@ayoubmwalim1535 3 года назад
Mwache afe ukouko huku c kwao kaja kimatembez tu
@alimakame9215
@alimakame9215 3 года назад
Wanaitikadi et watakujawarabu
@alhabsi6430
@alhabsi6430 2 года назад
@@ayoubmwalim1535 hana haja na huko kashastarehe huku oman akutakia nini huko tena
@alhabsi6430
@alhabsi6430 2 года назад
@@ayoubmwalim1535 hana haja na huko kastarehe huku oman kitu gani kimlete huko
@christophermahawi4920
@christophermahawi4920 3 года назад
Kweli utumwa kuna watu bado wanaupenda, waliuza watu weusi kama tungule sokoni lakini mnaendelea uwasifu na kuwapenda.
@mossassaid2683
@mossassaid2683 3 года назад
Akili zako ngapi wewe
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 3 года назад
Wewe mpumbavu kweli
@christophermahawi4920
@christophermahawi4920 3 года назад
N R Ahsante sana.
@christophermahawi4920
@christophermahawi4920 3 года назад
Mossas Said Ahsante na kunitukana.
@maulidmnukwa3171
@maulidmnukwa3171 3 года назад
hata wazungu waliuza waafrika magharibi katika trans atlantic trade , issue kubwa hapo ni historia and not otherwise
@MohdAli-cx7bc
@MohdAli-cx7bc 3 года назад
Wametunakamisha ccm wallahi
@teamlovesquare3207
@teamlovesquare3207 3 года назад
Bora utwala wa kiarbu urudi kuliko kuwa na hawa matanganyika mavhogo
@ahmedalsalmi6327
@ahmedalsalmi6327 3 года назад
Mkundu www waje wakutawale ww na familia yako
@zuwenasaid9707
@zuwenasaid9707 3 года назад
Aliangushwa kwa ujinga wake huyo mjinga mwache akafie huko watu wapate pesa kupitia kaburi lake.
@SalimAlly
@SalimAlly 3 года назад
Mwache aende zake uko akapotee hatutaki shobo zake sie
@user-yy6vy4xu2s
@user-yy6vy4xu2s 5 месяцев назад
Mfalme mpya wa omani anatokana na Turk albusaid na jamshed anatokana na nasabu ya turk abusaid.
@suadbarwani4117
@suadbarwani4117 3 года назад
Jina lolòte ni jina madam wazee wamelipenda
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 года назад
Firaun na Ibilisi wametajwa katika maandiko......mtu mzuri na wabaya lazima wachangamane. Siasa sio kazi ndogo. Zanzibar wanajua hadhi yao hawababaishwi na wageni. Aliangushwa na fitina za organisation walikuwa hawajafahamika.
@salummzee9739
@salummzee9739 2 года назад
Walio tutesa hao ss wapi Afroshiraz tukaungana sasa huru
@zuwenasaid9707
@zuwenasaid9707 3 года назад
Nyinyi waomani mfungeni kamba huyo asije akatutawala huku Zanzibar hatukubali tutakuja huko huko Omani kuwamaliza maana mapinduzi hayajawapata vizuri tutatembeza mapanga huko huko tuwakatekate vipande sijui kwa nini tuliwabakisha kwa hiyo muwe makini tuko tayari na chochote tutawamaliza Tanzania mliyoiwacha sio ya leo mtajuta zuiyeni mtu wenu huyo ohoooo
@teamlovesquare3207
@teamlovesquare3207 3 года назад
Bora uo usultan urudi lkn kuliko kuishi na tangayika wanaotufisi na kutuangushia zanzibar yetu
@walidkhalfan7437
@walidkhalfan7437 3 года назад
JinA lako haliendani na matamshi yako.. mwanandani inakusubiri kaburini
@crayonmaze9970
@crayonmaze9970 3 года назад
Zuwena said una jina la kiarabu, 😉😉😉 tena hayo majina asli yake ni Oman
@rwandaoman1781
@rwandaoman1781 3 года назад
Dawa yenu ccm itawatawala mpaka mwisho midomo tu zanzibar yetu mkoa wa tanzania hamna lenu
@abdilkadirali457
@abdilkadirali457 3 года назад
Mpumbavu umkate nani mapanga ndio maana tulikupiga mtungo malaya wa michenzani unaejiuza wewe na mama yako kuma wee
@muhanaali2013
@muhanaali2013 3 года назад
MANENO YAKE YANAGONGANA ITAKUAJE SAID KHALIFA AMERITH UFALME KUTOKANA NA MKE WAKE APOPO BABUZAKE KHALIFA WALIKUA WAFALME KUTOKANA NA MANENO YAKE MWENYEWE KASEMA SAID BIN SULTAN ALIRITHISHA WATOTO WAKE MOJA OMAN MOJA ZANZIBAR KWAHIO URITHI UMEANZIA JU
@muhanaali2013
@muhanaali2013 3 года назад
KUTOKANA NA MANENO YAKE INAONEKANA KWELI ZANZIBAR HOI MASOMO HOI TATIZO SHULE
@fatmaalhabs6939
@fatmaalhabs6939 3 года назад
Oman haija yumba muogo wewe omani kila kitu vile vile
@alhabsi6430
@alhabsi6430 Год назад
Kabisa 👍
@abdulghaniy1926
@abdulghaniy1926 3 года назад
anadanganya tu huyu
@salimjkj
@salimjkj 3 года назад
Amazing history although controversial but still history. But what is odd is the topic " hakurusiwa kuingia Kenya "..... doh, yaani mpaka Kenya ingizwe......subliminal subjugation........Media can be a problem
@mjm135
@mjm135 3 года назад
Kenyatta alikuwa hataki shida, sababu Mombasa tayari ilikuwa si sehemu ya Kenya na Kenyatta alikuwa ashakiuka masharti mengi kwenye ule mkataba alikuwa nao na Jamshaid
@salimjkj
@salimjkj 3 года назад
@@mjm135 that maybe correct as not really documented ( a nice area to research) but my question was on heading, Kenya has currently being the "topic " "talk of town especially in TZ" while it only had one sentence in the whole story.... main, I believe, should have been TZ to bring back their history......
@mjm135
@mjm135 3 года назад
@@salimjkj nimekulia Mombasa and this story of the agreement between Kenyatta and Jamshaid keeps popping up whenever the people of coast feel marginalized, in fact in 2012 a movement known as "Pwani si Kenya" started and they wanted to breakaway and form their own country, which of course the Kenyan government didn't allow and came down hard on them. I've never bothered on that part of history how the Kenyan coastal strip was part of Zanzibar until I came across this, great history but controversial. Am Kenyan by the way
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 года назад
@@mjm135 lakini pwani ni Kenya...ila viongozi ndo bure...
@ramseyhusseinkhamis8258
@ramseyhusseinkhamis8258 3 года назад
Kilwa haikua chini ya utawala wa Zanzibar ila Zanzibar ilikua chino ya utawala wa kilwa rekebisha kauli yako na fundisha watu ukweli
@rrrhhhsssal1617
@rrrhhhsssal1617 2 года назад
Sio sahihi pia Zanzibar ilikua na utawala wake Na kilwa ilikua na utawala wake
@smarty1064
@smarty1064 2 года назад
@@rrrhhhsssal1617 Uko sahihi kbs
@amanmohd9435
@amanmohd9435 3 года назад
Serikali iliyopinduliwa ni ya ZNP+ZPPP COALITION.
@saudalkhanjry9559
@saudalkhanjry9559 3 года назад
Hata Baba yake qaboos kazikwa uwengereza Vipi amuache Jamshid arudi Oman huyu nimfalme mpaya ndio kamrudisha
@sportnews2640
@sportnews2640 3 года назад
Ujinga mtupu bado mnapenda utumwa na kutawaliwa
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 года назад
A waarbu ni watu wawema sana sasa ukoloni wa mtu mweusi
@hanschuma5439
@hanschuma5439 3 года назад
Ww mpumbav nn sisi wote niwatanzania Acha Habari zaki baguz mm nimzanzibar em Acha upuuz wako
@sulimanmasoud9337
@sulimanmasoud9337 2 года назад
Correction sarkali ya Mhamed Shamte na Wa Zanzibari 7
@rehemashabhay2205
@rehemashabhay2205 3 года назад
Zanzibar ni ya waswahili.sio nchi ya waarabu.waarabu walikuja zanzibar kwa ajili ya biashara.
@imash04tv20
@imash04tv20 3 года назад
Bila ya hao warabu zanzibar palikua na nn kama sio ufukara tu acheni ubaguzi wala hamuwezi kuendesha nchi
@sirajimakame1972
@sirajimakame1972 3 года назад
@@imash04tv20 nawenyewe kilawaleta nn
@imash04tv20
@imash04tv20 3 года назад
@@sirajimakame1972 dah kweli mpaka zanzibar ubaguzi upo ndugu yangu ww ni muislamu hata mtume alihama sehemu kuhamia sehem nyengine na maswahaba mengine kaituma nchi tofauti kutawala huko hio nikuchukua ibra na hata hao warabu walikuja wakatawala na nchi iliendelea hio ingekua unaijua historia ya uislamu hata usingesema kiliwaleta nn hapo maana warabu mchango wao una asilimia 90 ni wao jina lako zuri siraji lakn hujafaham ndugu yangu wacha unsuria siasa ni mambo machafu tusichukiane
@imash04tv20
@imash04tv20 3 года назад
Mchngo wao ni asilimia 90 ya kunenea kwa uislamu hapo
@mzuvendi
@mzuvendi 3 года назад
@@imash04tv20 usimuelezee mla nguruwe..
@mengikiguruwe6750
@mengikiguruwe6750 3 года назад
Yaani jamaa ajiumauma kweli ili ahalalishe tu huyo mwarabu awe mzanzibari; ki-ufupi Oman ni nchi nyingine na iliitawala zanzibar na kuuzaa na masulia (vijakazi wao) na hivyo kuwepo hao wanaojifanya wazanzibar waarabu; ulisikia wapi ufalme unachaguliwa na wananchi ila ni kurithishana tu hivyo huyu Farid Himid ni kijukuu cha masulia wa waarabu!
@mombasa7
@mombasa7 2 года назад
Suria, suria watch lugha za kibara! Tanzania nimasikini kwa sababu uogozi mbaya!
@sulimanmasoud9337
@sulimanmasoud9337 2 года назад
Wewe unaipeda kujifanya majaji kumbe hana ulijualo. Kamauna unaijua historia nenda kwenye habari utuilimishe .ji stir usionekane bwege.
@binseifalsuleimaniy503
@binseifalsuleimaniy503 Год назад
Huna ulijualo kigurue weye
@seanmurray6516
@seanmurray6516 2 года назад
Shame on you vipi wewe unadai Jamshid siyo Mzanzibari kwanini usijiseme wewe mwenyewe sio Mzanzibari. Au na wewe chuki unazo za wa Arabu kama baraka
@zuwenasaid9707
@zuwenasaid9707 3 года назад
Waambie hao wana maradhi ya choyo waeleze wasiojijua kazi chuki tuu
@salehkhamis3063
@salehkhamis3063 3 года назад
Hao warabu wa Zanzibar wabaguzi kishenz na ukitaka kujua Hilo kama ww mtu mweusi nenda kapose mwarabu unaangaliwa juu na chini
@maryammohd5994
@maryammohd5994 3 года назад
Ukiwa na ma billion TU mbona unapewa
@didakassim8666
@didakassim8666 3 года назад
Saleh nawala siwaarabu pekeyao nasie wapemba upoubaguzi huo ukijulikana mmbara tu hwakutaki kujitia uwarabu huo ubaguz tunao asaaaaa
@ahmedalsalmi6327
@ahmedalsalmi6327 3 года назад
@@didakassim8666 saaaaaanaaaaa ty ilo kweli wapemba lipo
@didakassim8666
@didakassim8666 3 года назад
@@ahmedalsalmi6327 umeonaee laukweli lisemwe kaka tukisema tugeke tijiangalie natujirekebishe
@pundetv6144
@pundetv6144 3 года назад
Kunajambo
@aishajuma7739
@aishajuma7739 3 года назад
Warabu wana nn laiti munge wajuwa hawa watu msinge wasifiya hawana lolote wenyewe wanawapenda waafarika waafarika tuko juu msisheshe ichi yetu kwanza ss ni wazuri sifa zote tunazo kiuno tunacho alafu warabu wenyewe wanatupenda hasa hawa wakiume wange weka sheriya yakuoa na kama ichi zingine warabu wangeowa ngozi nyeus wote wangeachika hawajiwezi
@alhabsi6430
@alhabsi6430 Год назад
Nani aliyekwambia🤣🤣🤣
@khamissalum9285
@khamissalum9285 Год назад
Mara nyingi mzazibari hatakataii warabu ila mijitu ya unguja ilio toka bara na wabara ndio wapingaji kumbe aduii yetu niwatu wabara ndio walio leta ukame
@muhsinnainoabdullah1539
@muhsinnainoabdullah1539 3 года назад
Jamani eee msizunguke sana jamani adui wetu mkubwa jamani alikua fisadi nyerere laanatullah yule ndo alokua na choyo jamani et Leo awa ccm wasojielewa wanamuenzi yule mbwa nyerere kafa zanzibar kaicha kama alivyo ikuta inshaaalla ALLAH ampe adhabu ya kaburini na amuingize jahanamu mbwa yule
@Jal210
@Jal210 3 года назад
Leo ndiyo unamlaani nyerere wewe siyo vizuri hivyo Zanzibar imefaidika na muungano
@teamlovesquare3207
@teamlovesquare3207 3 года назад
@@Jal210 zanzibar imefaidika na muungano tusingetak uvunjike maaana hata uengerza inatka kujitoa brexit kwa sbb haifaidiki na ndio kama sis tunavotak
@Jal210
@Jal210 3 года назад
Wewe haifani namna hiyo kutukana
@Cheffhood
@Cheffhood 3 года назад
wa2 hamji funzi pumbaaaff
@shaaabdull144
@shaaabdull144 3 года назад
Jamshid
@ayoubmwalim1535
@ayoubmwalim1535 3 года назад
Mwache afekwao hukukaja matembezi tu
@mossassaid2683
@mossassaid2683 3 года назад
Wewe ume zaliwa wapi mama ako na baba ako jee
@hamadatahir9307
@hamadatahir9307 3 года назад
Dua zangu nazifanya kupitia vitabu na dawa kulingana na matatizo yako.
Далее
Коротко о моей жизни:
01:00
Просмотров 312 тыс.
8. Kuundwa Afro Shirazi Party, Zanzibar
14:24
Просмотров 21 тыс.
JE! ULIDANGANYWA HISTORIA YA ZANZIBAR- MANGAPWANI?
19:50
KUSIMAMA NA KUDONDOKA KWA DOLA YA ZANZIBAR #3
19:08
Просмотров 31 тыс.
11.  Mauwaji ya June 1961, Zanzibar
9:43
Просмотров 51 тыс.