Yammi afunguka status yake ya mahusiano katika kipindi cha Valentines Day, 'Sijawahi kufanya mapenzi' Tazama full interview hapa, Subscribe, Like, Comment & Share! #Sitetereki
Nilivyoona kichwa Cha habari tu Wala sijajisumbua kuangalia hayo mahojiano ila nimekuja kwenye comment section kushauri kitu ,, waandishi wa kibongo ubunifu ziro ,, lazima muandike kitu Cha hovyo ili kuvutia watazamaji kuangalia videos zenu ,, Kama yeye hajawahi kufanya mapenzi Mimi inanihusu Nini,, Kama yeye Ni msanii Mimi nataka kusikia kuhusu kazi zake sio maswala ya ngono ,, mnafeli Sana waandishi...
@@PrincessHellen-pg1oy hapana mamy ,, halafu Mimi cpo hivyo ,, nimeshauri tu, huyo ni msanii wa mziki so alitakiwa amuhoji kuhusu mziki wake ili mashabiki zake wamfahamu zaidi ,, lakini kichwa cha habari chenyewe kinasema msanii Fulani hajawahi kufanya mapenzi,,, Sasa inshu ya kufanya mapenzi mbona Kama iko personal Sana ,, so ni kwamba waandishi tu wanazingua kwa kuwauliza hao wasanii maswali ya hovyo yasiyoendana na kazi yao...ivo Yani..