Tatizo la Yanga ni kutaka kucheza na akili za viongozi wa Simba. Walifanikiwa kiasi msimu uliopita kwa sasa wanajua wamerudi watu wenye akili nyingi hivyo wanajaribu wanashindwa
Sasa Simba karudi nani mwenye akili nyingi? Na nani katoka mwenye akili kidogo? Yanga GSM hajaenda kutafuta Wachezaji mwenyewe, Lakini Simba MO yeye mwenyewe kaenda sokoni, Je tuseme hawaaminiani?