Ingekuwa ni simple hivyo kujiwekea kipengele utakavyo bila kuongozwa na kanuni Figo asingehamia Madrid toka Barcelona. Wanasheria wanasema "quantum merita".hupangi fidia bila framework
Hii inaonyesha inajidhiilisha kbs yale maneno aliosema DUBE yakweli mtupu kuwa viongozi wa AZAM wana usimba na Yanga mchezaji kama FEI unawauzia Simba unampango mkakati na timu yako mfike mbali kweli?
HAPA NDO UTAMJUA HERSI NA MANAGEMENT YAKE WAKO VP KM WANAWEZA KUPEANA KISHBIKI KWA KUWA BOSS WAO NI SIMBA PURE ALETE HIYO B MOJA MAMAE NAVTUTAPAMBANA NAO MPAKA WAKOME.
Kwani ktk miaka hiyo mitatu mkataba uliokuwa wa yanga na Feisal utakuwa haujaisha? Kipengere hicho si cha kiuanamichezo na FIFA hawatakubaliana na hilo. Simba watafanya biashara na Azam tu na mambo yaishe. Hilo deni la utopolo kama lina ukweli watalipana FIFA baada ya kuchambua sheria za mpira duniani.
Haya mlisema Simba anafungwa ninyi watangazaji wajinga sana tu akili zenu hazifanyi kazi mm nampongeza ambangine peke yake ndo Hana Kaz mbovu walio bakia wote ninyi wasenge tu