LikeMedia Hii ni chanel inayotoa thamani ya michezo na matukio Katika maeneo yote ya jamii Hii ni RU-vid Channel ambayo inajikita kwenye Matukio,Simulizi za Michezo mbalimbali na updates.
Wewe unayemhoji Lugano angalia kauli zako. Unaposema ati Simba imeona ifanyehivyo kwasababu ya kunyimwa Lawi huo ni upumbavu uliokithiri. Kila kitu kinajitegemea. Simba wameshaachia wachezaji wengi wazuri kuliko Chama kwenda yanga bila figisu. Kwa Chama kuna kanuni zimevunjwa. Na alipokwenda Uarabuni kwa MO alisaini pia mkataba.
Huyu jamaa ni boya hajui Sheria haihisi Chama kasainiwa tarehe 1/7/2024 akiwa mchezaji huru Sasa yanga iandike barua yanini 😂😂😂😂😂😂 Kweli ukiwa na ukolo lazima uwe kama Hawa watu Na nikushauri TU watu wa hii redio E Fm sio wakukupa taarifa sahihi utapotea ndugu yangu 😂😂😂 hawajui namna ya ufanyaji KAZI ya uandishi
Yanga wanamakosa wanazarau team zingine utamsainishaje mchezaji kati bado mali ya Simba ndo wao chama walimpa kiburi hata zile goli 5 Yanga walimtumia chama na baadhi ya wachezaji wajivunje sasa kiburi kimejulikana Simba kaza huyo mpaka arudi kwao Zambia❤❤❤ shida wanavunja sheria kisa wana Rais Hers uzuri na Wazee ya Yanga wamemgomea hawamtaki anawaonea🎉
Kama ni maamuzi mazuri mbona mmeshikilia leseni yake? Toeni sasa kwani mnadai nini? Inawezekana hata mshahara wake wa mwisho2 hamjampa majinga sana nyie
South Africa sio sehem salama kwa Wageni kutoka Africa ijapokua wote ni wa Africa weusi. Wa south tuli ishi nao vizuri sana Morogoro viongoz wao waliishi vzr sana Matundasi.
Sasa Kama Simba wameshindwa na nyie kost ni mchezaji wenu mchezesheni Basi mbona mnabembeleza Simba mkae mezani? Kama nyinyi ni wanaume mchezesheni muine kenge nyie
Wewe mzee ungeweza kumsaidia hadi leo wewe umemwacha njiapanda. Na familia yake vp? MZEE MSAIDIE HUYO MCHEZAJI AKIUMIA CY KUMTELEKEZA. HAPO HAMJAMTENDEA HAKI. SASA ATAKULA BIMA? MCHEZAJI AMEUMIA NYIE MNAMTELEKEZA. MCHEZAJI AKIUMIA NYIE MNAMTELEKEZA. WEWE MZEE JIBU KWANZA HILI LA MCHEZAJI WA POLISI ALIYEUMIA. CY TATIZO LA LAWI.
Siyo Utapeli tu ‼️ Ni bundi anaingia katika maendeleo ya Soka na hakustahili huyu jamaa kujitokeza kwenye nyonbo vya habari..... Ni jambo ambalo angelimaza kiutawala tu bila kuonyesha mashavu yake.. Na hicho kibari inamaana kinalipiwa Mila mala⁉️ Sijaelewa hapooooo