Sven alifika hakuna anayemjua na akaomdoka Simba akiwa kocha bora sana. Sometimes tunapaswa kusubiri wakati utaongea. Vicente Kompany alikuwa Burnley timu ikashuka daraja lakini bayern wakamuamini. So tusubiri tuone
Hao ndio viongozi wa simba ni wapigaji na waongo pia,wametuzima kelele kwa kusajili wachezaji wazuri xaxa wanaleta kocha ili mradi kocha,hujuma zinaanza mapema xana .Hivi najiuliza km wachezaji wazuri alafu wanafundishwa na kocha ili mradi kocha kweli hapo timu itafanya vizuri kweli? Hapo simba viongozi wasaliti wapo ,waongo ndo usiseme wapo kuihujumu simba tu.
Mnacho kitaka viongozi kuhusu kocha hivi tuwaulize mgunda anashida Gani nyie majitu mbona hamtuelewi Sasa tutafanya kama Kenya nyie kila kitu mnataka mgao