Тёмный

MBELE YA WAZIRI MKUU AWAKAANGA VIBAYA POLISI /MAJALIWA ATOA NYO KALI KWA POLISI ''LIPENI MILIONI 7' 

JAMBO TV
Подписаться 906 тыс.
Просмотров 36 тыс.
50% 1

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RU-vid: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Опубликовано:

 

7 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 74   
@majaliwaharuna4064
@majaliwaharuna4064 21 день назад
Huyu ndio waziri mkuu!!!!! Ndio tumaini la wanyonge,faraja ya Kila mwenye huzuni,mtatuzi wa Kila aina ya mgogoro tunakuombea Kila lakheri mwenyezimungu akupe maisha yenye baraka siku Moja uingozoze nchi hii inshaallah
@nicksonlyimo1562
@nicksonlyimo1562 20 дней назад
Mh Majaliwa Mungu akubariki sana na akulinde ,kazi ya kutetea wanao onewa na kudhulumiwa na watu wasiojali na kuwa waadilifu , hii ni kazi ambayo hata Mungu anataka watumishi wote wafanye ili Haki iwe juu ya watu wote ,Mungu akulinde sana .
@user-zu8ou2oe4c
@user-zu8ou2oe4c 28 дней назад
Ingekuwa ni mm nina maamuzi waziri mkuu wa sasa angekuwa Raisi na mkuu wa mkoa wa arusha makonda angekuwa Waziri mkuu na waziri wa katiba na sheria angekuwa tundu Lisu na jaji mkuu angekuwa wakili mwabukusi au wakil kibatala
@chrismassawe2939
@chrismassawe2939 28 дней назад
Kabisa
@user-oj3fq4pi2u
@user-oj3fq4pi2u 27 дней назад
@@user-zu8ou2oe4c na hilo mbona ndio neno!!!!!
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 25 дней назад
Tambuwa anaewaongoza yaani Mkuu wa Nchi ndio anaewatuma wafanye kazi hiyo acheni roho mbaya na chuki baadhi yenu yaudini
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 25 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 24 дня назад
​@@abuumuhammad7133acha ubinafsi
@elimuvisioncenter
@elimuvisioncenter 18 дней назад
SAFI SANA MR. KASSIM MAJALIWA
@fridamarco2122
@fridamarco2122 25 дней назад
Tena wangemlipa na pesa ya ussumbufu.
@ernestaassenga9646
@ernestaassenga9646 21 день назад
Hongera Mh Majaliwa upo vizuri
@user-tr3bi1ry6t
@user-tr3bi1ry6t 24 дня назад
Mtu wa maana kabisa
@LusajoKabuka
@LusajoKabuka 28 дней назад
Tunaomba mungu utupe kama huyu awe kiongozi wetu anayeenda hata pembezoni kusikiliza shida tuhulumie mungu
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 23 дня назад
Majaliwa ni chuma ndo maana hata Magu alimteua leo tuna SGR na Madaraja na Bwawa❤❤❤❤
@user-rq4fq4pw4y
@user-rq4fq4pw4y 25 дней назад
Kassim majaliwa ni kiongozi bora sana
@chuzilapweza6517
@chuzilapweza6517 14 дней назад
my future president
@JEREMIAPHILIMON
@JEREMIAPHILIMON 2 дня назад
Uko vzr majaliwa
@HellenLemilya
@HellenLemilya 23 дня назад
Huyu mwamba hata nafasi ya uraisi anaweza
@richkaja3317
@richkaja3317 23 дня назад
Majaliwa ulikaa kimya sana lakini weye nchi yako unaijua vizuri sanaa kaa nao vizuri sanaa gombea uraisi tutakupa
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 21 день назад
Waziri mkuu..Kama kijana wake Makonda
@aminamollel6639
@aminamollel6639 27 дней назад
Najisiki Fahari sana viongozi wanapo simamia haki za wanyonge. Hongera sana Mhe Waziri Mkuu Majliwa.
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 23 дня назад
Kwanin huyo Mkurugenzi hakusimamia haki ya huyo Mzee Kwa Wakati? Mpaka Waziri Mkuu aje (milioni 7 kweli?).😢, viongozi Wengi hawajui hata wanapaswa kufanya nini
@HashimYahaya-hd3zm
@HashimYahaya-hd3zm 21 день назад
Raisi majariwa oyeeeee shida unapitaje apo mh
@caesar7745
@caesar7745 23 дня назад
Je wengine mbona hawalipwi. Miaka na miaka au kwa vile alifanya kazi almashauri
@cyprianboniphace-oz5lw
@cyprianboniphace-oz5lw 15 дней назад
Huyu ndie anafaa kuwa rais wa nchi hii.
@emmanuelkaminyoge4008
@emmanuelkaminyoge4008 23 дня назад
Majaliwa we we ndo rais ajae mama akwachie kijiti.
@ntegrity277
@ntegrity277 27 дней назад
TATIZO NI CCM HAPA NDO UNAONA MADHARA YA RUSHWA NA UONGOZO MBOVU, KWELI HADI AJE WAZIRI MKUU!
@HellenLemilya
@HellenLemilya 23 дня назад
Baada ya Samia tumpe raisi naikubali kazi ake
@piuspanga864
@piuspanga864 21 день назад
Safi sana waziri mkuu
@ntegrity277
@ntegrity277 27 дней назад
Waziri mkuu ungemuongeza fedha kidogo
@user-er5to1ko1y
@user-er5to1ko1y 15 дней назад
Mkuu wa wilaya kwa maelekezo yes
@barakaabel482
@barakaabel482 24 дня назад
Dah! Yaani kwakweli
@EliaHiluka
@EliaHiluka 22 дня назад
Hii ndiyo tanzania
@gladistaemanueliy6336
@gladistaemanueliy6336 23 дня назад
Majaliwa mungu akilinde babangu tunakupenda sana baba
@monicachacha455
@monicachacha455 19 дней назад
❤❤❤❤❤
@jeremiahblazio4781
@jeremiahblazio4781 28 дней назад
Huyu ndo rais sasa waziri mkuu makonda supika wa bunge ruhaga mpina
@franknnko4744
@franknnko4744 27 дней назад
Naiwe ivyo
@abelelisha9523
@abelelisha9523 17 дней назад
Hiyo nchi itanyooka hadi wakome
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 23 дня назад
Ulipwe na distabus allowance na faida juu maana angefanya biashara zingekywa mtaji mkubwa sasa.
@user-er5to1ko1y
@user-er5to1ko1y 15 дней назад
Uko wazir
@azmankiddo8872
@azmankiddo8872 28 дней назад
Hivi how dumb watanzania are we? Tumelogwa na nani? Yaani mambo kama haya mpaka aje waziri mkuu kuyatatua?🤦🏾‍♂️
@mackchacha4114
@mackchacha4114 14 дней назад
Miongoni mwa miamba iliyobaki kwenye system ni majaliwa
@user-yx4xe4hq3l
@user-yx4xe4hq3l 23 дня назад
Tanzania ya leo
@HellenLemilya
@HellenLemilya 23 дня назад
Huyu mwamba hata nafasi anaweza
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 23 дня назад
Mama kashasema wazi hataki mabango.Mbona hawa wasaidizi wake wanadili na mabango.Haoni kama wanamkosea.
@samolamsille3928
@samolamsille3928 23 дня назад
Mambo ni moto Tanzania inaanza kuchangamka Kwa viongozi
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 14 дней назад
Samia hatosh kile kiti naona hii nchi tumpe majaliwa
@valenakomba9218
@valenakomba9218 25 дней назад
HAWA WAKUU WAKIPEWA NAFASI WANAKUWA HAWANA ADABU WALA HURUMAA. NA MUNGU AWALAAANI KWA KWELI.
@user-oj3fq4pi2u
@user-oj3fq4pi2u 27 дней назад
Good Mzee Majaliwa, Bravoo...unatukumbusha Enzi Zenu za Mzee Baba Magu...
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 25 дней назад
Maana mtu asipolipwa stahiki zake Kwa muda muafaka thamani yake inakuwa ishapotea
@jumabonge8577
@jumabonge8577 23 дня назад
waache watuzulumu tu ao
@andrewmaiga4331
@andrewmaiga4331 25 дней назад
Hongera sana Waziri mkuu wetu, Samia oyeee
@PapyNgosha-hk2vq
@PapyNgosha-hk2vq 21 день назад
Kula Chuma icho
@MRASISKA
@MRASISKA 15 дней назад
Mwaka wa kampeni piga kazi mkuu japo ni miaka kadhaa ulikuwa kimya tuliimis slogani ya JPM
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 25 дней назад
Rais ajae majaliwa mungu akubariki unahuruma na haki za wetu
@hemedwalid6570
@hemedwalid6570 21 день назад
Bahat mbaya sana ukishakua waziri mkuu huwezi kua rais tena
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 19 дней назад
Uchuguzi unakaribia
@africanreaction8501
@africanreaction8501 28 дней назад
Asa ukoachana na makonda uyu ndo funga kazi sasa akii hoji huyu ina uzito haswaa respct
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 23 дня назад
Yani milion 7 una shindwa kulipa mtu
@djfiremoto3429
@djfiremoto3429 13 дней назад
MUNGU BABA 2035 MAJALIWA AWE RAIS🙏
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 20 дней назад
Udhalimu makubwa walipe na fidia uovu tu
@user-zu8ou2oe4c
@user-zu8ou2oe4c 28 дней назад
Sasa kama mambo madogo hayo had wazir mkuu aingilie kati sasa mm najiuliza ni wangap wenye matatixo kama hayo ambao hawawez kumuona wazir mkuu na hawajapata suluhisho? Daa ccm bwana hiki chama changu sa zingne
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 28 дней назад
Kazi kwa mazoea. Wanamtakia nini huyo mzee jamani??
@lidwinaebrahim385
@lidwinaebrahim385 20 дней назад
@@adelinelyaruu3036
@deniskaguo4698
@deniskaguo4698 21 день назад
Chuma cha pua
@FredymaswiMwita-oj6gv
@FredymaswiMwita-oj6gv 24 дня назад
Serikali bwana,,, hiyo mifuko serikali imeikomba haina hata akiba ,wasitafu wetu wataangaika mno..labda serikali ilipe deni lake kwa hiyo mifuko then watu na wasitaafu wapete hauweni
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 20 дней назад
Ccm mnatengeneza matatizo halafu mnayatatua kuwapumbaza wananchi
@EmmaPonera
@EmmaPonera 14 дней назад
Wanaotengeneza matatiz ni watendaj wa chin Sasa ulitaka aache
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 23 дня назад
Hawa viongozi wa chini wananyanyasa sana wananchi.
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 25 дней назад
Wastaafu wanahidiwa uwongo tarehe za kulipwa mafao ,wanakopa mabenki wakijua serikali inaenda na mda matokeo wanauziwa na benki hadi vibanda vyao vya kuishi na mwisho kufapresha
Далее
Китайка Шрек всех Сожрал😂😆
00:20
Китайка Шрек всех Сожрал😂😆
00:20