Huyu ndio waziri mkuu!!!!! Ndio tumaini la wanyonge,faraja ya Kila mwenye huzuni,mtatuzi wa Kila aina ya mgogoro tunakuombea Kila lakheri mwenyezimungu akupe maisha yenye baraka siku Moja uingozoze nchi hii inshaallah
Mh Majaliwa Mungu akubariki sana na akulinde ,kazi ya kutetea wanao onewa na kudhulumiwa na watu wasiojali na kuwa waadilifu , hii ni kazi ambayo hata Mungu anataka watumishi wote wafanye ili Haki iwe juu ya watu wote ,Mungu akulinde sana .
Ingekuwa ni mm nina maamuzi waziri mkuu wa sasa angekuwa Raisi na mkuu wa mkoa wa arusha makonda angekuwa Waziri mkuu na waziri wa katiba na sheria angekuwa tundu Lisu na jaji mkuu angekuwa wakili mwabukusi au wakil kibatala
Kwanin huyo Mkurugenzi hakusimamia haki ya huyo Mzee Kwa Wakati? Mpaka Waziri Mkuu aje (milioni 7 kweli?).😢, viongozi Wengi hawajui hata wanapaswa kufanya nini
Sasa kama mambo madogo hayo had wazir mkuu aingilie kati sasa mm najiuliza ni wangap wenye matatixo kama hayo ambao hawawez kumuona wazir mkuu na hawajapata suluhisho? Daa ccm bwana hiki chama changu sa zingne
Serikali bwana,,, hiyo mifuko serikali imeikomba haina hata akiba ,wasitafu wetu wataangaika mno..labda serikali ilipe deni lake kwa hiyo mifuko then watu na wasitaafu wapete hauweni
Wastaafu wanahidiwa uwongo tarehe za kulipwa mafao ,wanakopa mabenki wakijua serikali inaenda na mda matokeo wanauziwa na benki hadi vibanda vyao vya kuishi na mwisho kufapresha