Тёмный
IBRAHIM CLASS
IBRAHIM CLASS
IBRAHIM CLASS
Подписаться
Its me Ibrahim! Join me on this adventure! Hit that subscribe button now! 👊💥
Issa Mollel vs Ally Dongo k.o
5:07
6 месяцев назад
Vitu vidogo vidogo kimazoezi ndio vinakujenga
0:41
11 месяцев назад
Stretching the body
0:27
11 месяцев назад
Power training Ibrahim class
0:53
11 месяцев назад
Kaz kaz jinsi ya ipigaji wa jab jifunze
2:03
11 месяцев назад
Комментарии
@SomoeHamisi-s3z
@SomoeHamisi-s3z 6 дней назад
Nimeaza mda sana kufatilia kazi zako uko vzr nakuombea sana mungu ndo anajua
@SomoeHamisi-s3z
@SomoeHamisi-s3z 6 дней назад
Mwenyenzi mungu azidi kukufungulia nakubali kazi zako zidisha usikubali kukatisha malengo yako nakuelewa sana🙏🙏🙏🙏
@eladichristian7603
@eladichristian7603 12 дней назад
Good
@ibrahimomari2458
@ibrahimomari2458 16 дней назад
Inna lilah waina ilaihi rajiun Poleni sana ndugu....
@mawazochanya2081
@mawazochanya2081 17 дней назад
Ibrah anavutia sana uchezaji wake.Defence minded boy, swimming in the basic principle of "PROTECT YOURSELF AT ALL TIMES" while making swift movements to the sides, throwing jabs and shorts bursts of attacks.
@mohamedomari6129
@mohamedomari6129 17 дней назад
Mtihani sana.
@Ndu-wa.uroony2
@Ndu-wa.uroony2 18 дней назад
Ujinga mtupu
@mohamedomari6129
@mohamedomari6129 19 дней назад
Spidi ya kuongea ni ngumu lakini jitahidi ipungue
@user-fq6xx4ww4c
@user-fq6xx4ww4c 21 день назад
Ingkuwa mechi ushind ningmpa chino
@bujikukomanya6633
@bujikukomanya6633 22 дня назад
Boxing to the next level keep pushing guys
@khalfanisaidi8745
@khalfanisaidi8745 25 дней назад
😂😂
@Benilogatz
@Benilogatz 25 дней назад
Kaka saidi utamuuwa uyo
@PatrickVenance-kj2wj
@PatrickVenance-kj2wj 25 дней назад
Good sparing for all two champions Good movement,fast punches,relax, speed and confidence. Salute sana machampion📌📌📌🚀
@amitinmbamba4358
@amitinmbamba4358 25 дней назад
its the dimples for me ....King Class...Kwenye kuchepuka hapo vipi? Tukujengee sanamu lako TABATA haahaha
@ZuhuraWaminani-m2l
@ZuhuraWaminani-m2l 26 дней назад
Pole maisha ndio yalivyo
@Bakaribaruti
@Bakaribaruti 27 дней назад
Nina mashtaka na mpigaji hii kazi angepewa kiduku
@SalehManyanya
@SalehManyanya 28 дней назад
Chino Ana speed nzuri sana Yan Ringball
@YusuphLussewa
@YusuphLussewa 29 дней назад
Nan kafarik
@Tzn255
@Tzn255 29 дней назад
Chino … power + speed ✅✅✅. Hata usimamaji tu unaona kabisa mtu wa kazi
@fabianferick2259
@fabianferick2259 29 дней назад
Angekuwa Hana hiyo element sura ilikuwa imeshaharibika kabisa tatizo anapenda kujisifia sana kuliko kufanya kazi
@MengiMeng-fd7sq
@MengiMeng-fd7sq Месяц назад
Safi sana mdogo wangu ndio maana ulingoni wanakaha madondia vilaza
@landmadvdmbeyacity9561
@landmadvdmbeyacity9561 19 дней назад
Wekilaza nn
@landmadvdmbeyacity9561
@landmadvdmbeyacity9561 19 дней назад
Acha dhobi ww
@OmasitaMangi
@OmasitaMangi Месяц назад
kama jiwe
@Basagamp4
@Basagamp4 Месяц назад
Duuuuh
@muddyzanga7476
@muddyzanga7476 Месяц назад
Ibra ana skills sana i like that napiga target safi sana
@user-ms1xg1fp4v
@user-ms1xg1fp4v Месяц назад
Kazi zengine mtihani.ndio maana warembo wanaishia kwa wasanii wa miziki.Maana hela ya Bondia hailiki inapatikana kwa mtiti mkubwa.
@jaymwinyi6957
@jaymwinyi6957 16 дней назад
😂😂
@FrankBororo-dk1fv
@FrankBororo-dk1fv Месяц назад
Pole sana,Ibra. Pamoja na hayo yote,huyo anabaki kua mzazi wako tu mpaka kesho kwa Mungu. Heshima baba na mama yako upate baraka tena na siku nyingi za kuishi duniani. Neno la Mungu linasema hivyo. Mungu hajasema akiwa mlevi,jambazi,muhuni,mwenye roho mbaya au aliefanya kama hayo,basi usimheshimu. Kinyume na baraka ni LAANA,Ibra. Tafuta baraka zake utafika mbali zaidi ya hapo. Hayo alioyafanya muachie yeye na Mungu wake.
@luqumanayubu5773
@luqumanayubu5773 Месяц назад
Wapi hapa
@MohamedAbdiyer-yh6be
@MohamedAbdiyer-yh6be Месяц назад
Hakuna champion mwenye akili nyingi ulingoni kumshinda ibrahim classic...
@kibwanambelwa8352
@kibwanambelwa8352 Месяц назад
Safi sana chinno anachakujifunza kutoka kwa Ibra class hasa matumizi ya akili na relaxation techniques and targets....best sparring for all
@SeifHassan-y5y
@SeifHassan-y5y Месяц назад
Nakubal champion
@hamisikirimbaki1195
@hamisikirimbaki1195 Месяц назад
Kazi kazi
@AishaMtangi
@AishaMtangi Месяц назад
Duu inaumiza sana😢
@PaulCharles-ox9pg
@PaulCharles-ox9pg Месяц назад
Noma sana champion wote ndo hvyo maisha yetu
@Betty-x9z
@Betty-x9z Месяц назад
Lakini hata yeye zilikua ni akili za kitoto coz alikua mdg Sana kipindi hicho
@ibrahimuclass_
@ibrahimuclass_ Месяц назад
Ni kweli😅
@Betty-x9z
@Betty-x9z Месяц назад
Nakumbuka alikupaga suruali yake Uvae ili uje Dar😂😂😂
@CynthiaWillium-cy5eh
@CynthiaWillium-cy5eh Месяц назад
Pole champion
@Bondia_mrembo
@Bondia_mrembo Месяц назад
😂😂😂 pole ila hao dada zako sio poa
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e Месяц назад
Mungu akulinde kaka
@AyubuMuhanga
@AyubuMuhanga Месяц назад
Daaah kweli,, asa kwani wew msoja au,, mbona ukomandoo tupu nauona hapo 😂😂😂
@JosephSwaswa-iy8wt
@JosephSwaswa-iy8wt Месяц назад
Awa ndio boxer tunao wahitaji ibra ni next level atafutiwe mapambano ya nje challenge mpya mpya
@manpluscompany8922
@manpluscompany8922 Месяц назад
NIMEKUELEWA MDOGO WANGU HATARI
@LuseAnderson
@LuseAnderson Месяц назад
Nakubali jeb inaongea classsss mawe
@warrapgtimamuskillz6872
@warrapgtimamuskillz6872 Месяц назад
Haipingwi kama ShoSho
@shahashaban3196
@shahashaban3196 Месяц назад
Kiukweli Mabondia wengi wa bongo hawajui ngumi kama hawa mmmmmhh bado sana
@barakajpilly6900
@barakajpilly6900 Месяц назад
sparing tamu, huwa nazipata kwa ibra classic akiwa na ramadhan migwede,saidi chino,apa huwa napata radha ya boxing
@alimasoudali9860
@alimasoudali9860 Месяц назад
Pole sana mwamba ndio Dunia ila ni bora kusameh mm ni shabiki Yako ni Pemba nakufatilia kinyama ndugu
@user-ew3eo7tk3l
@user-ew3eo7tk3l Месяц назад
ibrah love
@josephgatunzi1670
@josephgatunzi1670 Месяц назад
Good job brother
@ibrahimuclass_
@ibrahimuclass_ Месяц назад
Shukran Bro!
@AzizalucasMbiduka
@AzizalucasMbiduka Месяц назад
Pole Ila samehe
@ibrahimuclass_
@ibrahimuclass_ Месяц назад
Shukran kaka!
@Benilogatz
@Benilogatz Месяц назад
Kiwasilia ibra umwezi chino ila media zinakupepa sana ww bondia wa moo
@azizayub4444
@azizayub4444 Месяц назад
Aliyevaa head gear anajua kwanini alivaa
@azizayub4444
@azizayub4444 Месяц назад
Media hazipigani ulingoni
@pettymsungu6420
@pettymsungu6420 Месяц назад
Nimegundua hakuna unacho kijua kuhusu ngumi