Ngumi sio uadui, moja kati ya Sparring zangu bora ni hii hapa na Ndugu yangu Said Chino💥👊 Nimejifunza vingi naamini na yeye pia hajatoka patupu, Boxing Life🥊 #2024Tumejipanga
Now this is real boxing,Very professional(Classic)Kwa maoni yangu chino is good but ibra is way better maana kapiga combinations za hatari and he has quick recovery reflexes,Chino kachezea lakini wakipanga pambano ibra akikosea kidogo tu anakalishwa...Good show for all and keep training hard guys👊🏿BTW,IBRA learn southpaw as well you will untouchable
IBRA mm nakukubali saana. Ila chino Toka ulivyopigananae nae nilimkubali had asaiv namkubali saaana. Nae anajua kupigana vizur2 japo kuwa hapigani mara kwamara. Class hujawai niangusha ila ninasikunyingi sijakuona ulingon. Ebu tafuta pambano jaman. Na kama upo ulingon na lazma Nije kukushangilia. Pamojasaaana class
Nitakubali kuwa Bwanga bado anaweza kucheza Na wewe vizuri Sana Bro huna skills kabisa miguu yako inaonyesha huna foot work nzuri Punch landing lako ni very lite bro unayo makosa yote Yaani hats mm najiuliza huwa unashindaje bro Ila Kweli Imani Za kishirikina sio poa Ila sijamaanisha kuwa ni wewe Ila swali huwa unashindaje Kwa upiganaji Huo Ila tutakuja Bongo ili tukuonyeshe makosa yako Muulize master kinyogoli Anamjua mganda marehemu Ila nipo mdogo wake atakwambia nakuja kwako class
Skiliza class unapigana Ila form ya ngumi huyo Dogo Yuko vizuri Au labda ni uzee au ujaribu kubaduli mwalimu Mara nyingi utashinda Kwa point Tu ngumi zako ni makofi Ila kuukweli Dogo Yuko vizuri kuliko wewe
@@kervinijosephu3164 Sasa wewe unaemtetea huyo class ndo walewale wajinga hawafundishiki kabisa Na kama ndo hizo ngumi class haendi kokote Ila kibongo jumlisha uchawi ataendelea kungara Ila Hana uwezo kabisa We Fara hujui naongea Nini tuliza mshono