Huu Mradi wa kujenga Karakana pelekeni nje ya Maji Karakana sio ya kujenga Hapa mijini na Eneo la Soko la Wafanyabiashara wadoga na kama wataondolewa Hapa ni kuuwa mitaji Yao na kuandaa wafungwa Kwani kuna walio na mikopo hawataweza kuilipa hiyo mikopo Kwani hawatakuwa na kipato tuiombe Serikali isiondowe kituo cha Stendi hatutakuwa na wateja na Soko linawekwaje Nyuma ya Karakana?
Mfumo wa uchumi,ulivulugwa na mabepari wa kimataifa. Changamoto waemekosekana watoto wa Africa kupambana na mfumo huo ya uchumi, panua Wigo. Kenya KANU ilikufa, waliofuata vipi? Zambia, Zimbabwe, south A, Mistri, Sudan , Nijer, Mali, Kongo, Burkina Faso, huko kote Hakuna CCM wala CHADEMA. Tupanue wiko wa kufikiri Jamani.