SubuhanaAllah, Allah atupe njoyo za kukinai. Maisha ya dunia tunapita tuu. Huyo aliyomiliki yupo wapi inalilah wainailah Rajiun. CC ní wapita hapa duniani.
ALHAMDULILLAH,MWENYEENZI MUNGU UAMUA HAKI HALALI ,WASIOWAJUA NDIO WATASEMA UJINGA WAO, WATUULIZE SISI TUMEKUWA NAO HAWA WASICHANA WOTE,NA MIMI NIKIWA BEST FRIEND WA FAIZA BAHSHWAN NA WOTE HAO NAWAJUQ VIZURI NA SANA NA MAMA NA BABA WOTE SINCE WHEN WE WAS TEENAGER.URAFIKI WETU ULIKUWA NI NDUGU KABISA MPAKA HII LEO KUANZIA SISI MPAKA WAZAZI WETU WAMEKUWQ KAMA NDUGU KWENYE HIZI FAMILY SABABU NI FAIZA NA MIMI.ARAFAT ANATUSIKITISHA SANA SISI DADA ZAKE, SABABU HAKUNA ASIOJUA KUWA HILI GHOROFA NI MALI YA DADA ZAKE,HALAFU ARAFAT NI MDOGO SANA KWA WOTE HAO WHY AMEKUWA TAPELI KIASI HICHI.YAANI ANAMPA SHIDA SANA MAMA. AMBAE AMESHAKUWA MTU MZIMA SQNA KWA SASA ,ARAFAT KWANINI HUWEZI KUHESJIMU MAMA NA DADA ZAKO HAKIKA ANATUSIKITISHA SANA SISI WOTE TULIKUWA NJE YA NCHI. HASA KUMTESA MAMA NA DADA ZAKO AMBAO NI BABA MMOJA MAMA MMOJA ,HUMUOGOPI MWENYEENZI MUNGU WEWE MBINA NI MDOGO SANA KWENYE HAYA MAMBO YA UTAPELI? YAAN TUSIKITIKA SANA TENA SANA SISI TULIO KUWA PAMOJA .WHY USIFATE MFANO WA AKINA BUI? JINSI GANI ANAVYOWAPENDA DADA ZAKE? MBINA MOHAMED NA SAEED HAWAINGILII MALI YA DADA ZAO ,WHY YOU ARAFAT.UNATIA AIBU SANA ESPECIALLY KWENYE FAMILY ILIYOKUWA NA UPENDO NAMANA HII UNATAKA KUMUUMIZA MAMA ARAFAT.NASEMA KWA UCHUNGU SANAA BAADA YA KUSIKIA HII STORY FROM LONDON WATU WANANILETEA VIDEO ZA SABAH NA MAMA WANALALAMIKA KUHUSU DHULUMA UNAYOWAFANYIA.EMBUBRUDI KWA MOLA WAKO MDOGO WANGU UNATUSIKITISHA SANA SISI AMBAO TUNAOKUJUA TOKEA UNAZALIWA TUNAKUONA WHY ARAFAT.UNATAKA KUMUUA MAMAKO HUNA IMANI NA MAMAAKO? MFIKIRIE JAMILA NI MLEMAVU UNAMDHLUMU WAKATI UNAJUA FIKA ANA WATOTO WANAMTEGEMEA.ARAFAT UNATUSIKITUSHA SANA. SABAH JONGERA SANA MDOGO WANGU UNESIMAMA KAMA WEWE NDIO MKUBWA KWA AJILI YA DADA ZAKO MWENYEENZI MUNGU AZIDI KUKUSIMAMIA INSHA ALLAH.
Wow big up Sana her excellent Samia suluhu Hassan, na waziri WA ardhi , na hongera Sana Dada Kwa kupambania haki yenu, tunaomba HAO mapolice uchwara walivokuwa wakisimamia uhalifu washughulikiwe na KAZI Yao isitishwe.🙏🙏🙏🙏
@jambotv hongereni sana kwa kazi nzuri, mmefanya jukumu mama kama chombo cha habari, online media zingine igeni mfano huu na sio kuripoti ujinga ujinga tu
Hii ndio serikali ya mama Samia haki itendeke hati tu inaeleweka kwa Nini mizunguko iwe mingi kiasi hicho nahamini serikali ya mama yetu Samia Hassan suruhu ni sikivu l love you mama ❤❤❤❤
Arafat kweli Tapeli hata mama yake amemkataa kuwa Bi Nuru si mama yake. Huyo mkurugenzi afukuzwe atatoaje demolition order bila kuwapa notice wapangaji atleast miezi 6
Inshallah mungu atawasimamia wa dada Hakii ya mtu haipotei huwainachelewa tu ...Ameen. Ahsante sana jambo tv kwa kufikisha habari hii mahala husika kwa wakati Mali za watu zilikuwa zinapotea bila sababu maalum.
Nyie viongozi mnafanya kazi nzuri sana lakini tatizo moja tu. Watendaji wenu wananuka rushwa. Sasa kama mama kamtafuta mkurugenzi na yeye ndiyo kasababisha haya madudu na bado na kazi😅😅😅😅. Ifike pahala Rais awe anafukuza hawa watu. Siyo kuwahamisha. Sasa hata polisi nao rushwa tu. Mnampelekea defenda na hati mnaziona. Tena mwammnke. Pole mama
Who is SAGARA. Fukuza arafata na sagara weka ndani. Acheni hao madada wapate haki yao, Naamini Wazir Silaa na mh Mama yangu Rais Samia , mtapata haki yenu
Watu wachache wenye ngozi mchanganyiko wanakuwa na kiburi cha kutoheshim mamlaka,huyo alieomba kibali cha kuvunja usiku wa manane lazima achukuliwe hatua! Na ili apunguziwe adhabu amtaje aliemtumia kuchomoa karatasi katika hilo faili ili na yeye awajibishwe! Mh Jerry silaa kazi Anza na Arafati"Akwambie kamuonga nani kuchomoa karatasi hakuna kulindana
Hii nchi haitaendelea. Uongozi dhaifu unaodhoofisha institutions kwa maslahi yao, ili wawe na madaraka zaidi; matokeo ni vijikesi vidogo vidogo hivi lazima viamuliwe na Mkuu wa Mkoa, Waziri na hata rais!
Aliechomoa karatasi kwenye faili ni nani lazima mtu awajibishwe! Hiyo itakomesha watendaji wasio na maadili ya kazi zao" Jerry Silaa Mheshimiwa anzia na kwenye faili nani kazichomoa karatasi kwenye hilo faili"
Allah akulinde Rais Samia na watendaji wako haki zitendeke kote. ulinzi uimarike kwa Sabah kwa kupambania haki yake na nduguze Arafat Umtake Radhi mama yako .
Bado kuna tatizo kwenye system serekalini mpaka Rais au waziri waingilie kati ndio jambo lipate ufumbuzi police wanahusika wazi kwenye kuchukua rushwa na manispaa lakini wao wapo salama ila arafati pekee yake ndio anayetajwa hapa
Na sisi huko kigamboni tungwi , mali ya marehemu baba yangu imetekwa na Fahad mwenye company ya RIO na mdogo wangu Mohamed akabampikwa kesi ya jinai , tumefika sector zote za serikali tunazungushwa tuu .
Huyo kaka yao ni mnyama asana anawadhulumu dada zake. Tunaiyomba serikali imchukulie hatua kali sana. Huyo ni hatari sana tapering mkubwa huyo mshenzi. 😢😢😢
Hivi inakuaje kumfikia RAIS iwe rahisi KULIKO mkurugenzi aliyeteuliwa na RAIS amsaidie? Hii Nchi tunaipeleka wapi? Muheshimiwa RAIS ANA KAZI KUBWA KULIKO INAVYOONEKANA
,zulma aliyofanyiwa mjane na yatima wake mama samia msaidie apate haki zake mafaili yapo kila wizara husika lipo lakini wanalifumbia macho mama wa wanyonge msaidie mjane
Pamoja na muheshimiwa kuingilia kati hili swala Kuna watu hapo chini wanatakiwa kuwajibishwa kwanini mpaka Rais aingilie kati wakati Jambo lipo wazi zulma ya wazi kabisa yaani muhalifu alikuwa anasikilizwa kuliko wenye Mali Kuna watu wakuwajibishwa kabisaaaa
Mama Samia angalia hili kwa jicho la taifa ikiwa Arafat kataka kuwadhulumu ndugu zake lkn kuna viongozi wa serekali wanaonesha wazi kuwa wanalidhumu taifa Arafat ataadhibiwa kiupande wke lkn na hw viongozi wawajibishe kwahisani yko mama
Yaani yanaumiza yanaumiza hya mambo yafamiliya sana .Anatokea mtoto mmoja tu anahodhi mali zte kma zakwake,unahangaika mhkmn mpka unakataa tamaaa,Baadhi yaayendaji wamahkm sio waaminifu hawana huruma nafamiliya zawatu,wanatoa hki upande mmoja,hta upeleke ushaidi hawakuelewi.Watapindisha pindisha mpka kesi inakuwa ngumu
Hali nchi hii inatisha jambo dogo mpaka mkuu wa nchi aingilie,waandishi hongereni huyu Arafat,mkurugenzi kamata weka ndani,hao wengine Takukuru waingie kazini