Тёмный

SAKATA LA GHOROFA KARIAKOO LAFIKA MEZANI KWA RAIS/RAIS ATOA MAAGIZO KWA WAZIRI/ KAMISHNA AFUNGUKA 

JAMBO TV
Подписаться 936 тыс.
Просмотров 46 тыс.
50% 1

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RU-vid: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 214   
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 3 месяца назад
Asante sn Mama Samia, na Hongera sn Dada kwa kupambania haki yenu. Safi.❤
@MohamedSarahani-gk6jx
@MohamedSarahani-gk6jx 3 месяца назад
Asante Sanaa mweshimiwaa raisii naa waazirii waa ardhii mungu awapee maishaa marefuu
@samirasalim4203
@samirasalim4203 2 месяца назад
SubuhanaAllah, Allah atupe njoyo za kukinai. Maisha ya dunia tunapita tuu. Huyo aliyomiliki yupo wapi inalilah wainailah Rajiun. CC ní wapita hapa duniani.
@Farryunique
@Farryunique 2 месяца назад
Well done maa, Allah akupe uzima afya njema kusimamia haki yako. ❤❤
@1961nungwi
@1961nungwi 3 месяца назад
Kazi nzuri sana hongereni wote. Haki huinua taifa. Taifa hili litasimama.
@ashuraomar4935
@ashuraomar4935 3 месяца назад
ALHAMDULILLAH,MWENYEENZI MUNGU UAMUA HAKI HALALI ,WASIOWAJUA NDIO WATASEMA UJINGA WAO, WATUULIZE SISI TUMEKUWA NAO HAWA WASICHANA WOTE,NA MIMI NIKIWA BEST FRIEND WA FAIZA BAHSHWAN NA WOTE HAO NAWAJUQ VIZURI NA SANA NA MAMA NA BABA WOTE SINCE WHEN WE WAS TEENAGER.URAFIKI WETU ULIKUWA NI NDUGU KABISA MPAKA HII LEO KUANZIA SISI MPAKA WAZAZI WETU WAMEKUWQ KAMA NDUGU KWENYE HIZI FAMILY SABABU NI FAIZA NA MIMI.ARAFAT ANATUSIKITISHA SANA SISI DADA ZAKE, SABABU HAKUNA ASIOJUA KUWA HILI GHOROFA NI MALI YA DADA ZAKE,HALAFU ARAFAT NI MDOGO SANA KWA WOTE HAO WHY AMEKUWA TAPELI KIASI HICHI.YAANI ANAMPA SHIDA SANA MAMA. AMBAE AMESHAKUWA MTU MZIMA SQNA KWA SASA ,ARAFAT KWANINI HUWEZI KUHESJIMU MAMA NA DADA ZAKO HAKIKA ANATUSIKITISHA SANA SISI WOTE TULIKUWA NJE YA NCHI. HASA KUMTESA MAMA NA DADA ZAKO AMBAO NI BABA MMOJA MAMA MMOJA ,HUMUOGOPI MWENYEENZI MUNGU WEWE MBINA NI MDOGO SANA KWENYE HAYA MAMBO YA UTAPELI? YAAN TUSIKITIKA SANA TENA SANA SISI TULIO KUWA PAMOJA .WHY USIFATE MFANO WA AKINA BUI? JINSI GANI ANAVYOWAPENDA DADA ZAKE? MBINA MOHAMED NA SAEED HAWAINGILII MALI YA DADA ZAO ,WHY YOU ARAFAT.UNATIA AIBU SANA ESPECIALLY KWENYE FAMILY ILIYOKUWA NA UPENDO NAMANA HII UNATAKA KUMUUMIZA MAMA ARAFAT.NASEMA KWA UCHUNGU SANAA BAADA YA KUSIKIA HII STORY FROM LONDON WATU WANANILETEA VIDEO ZA SABAH NA MAMA WANALALAMIKA KUHUSU DHULUMA UNAYOWAFANYIA.EMBUBRUDI KWA MOLA WAKO MDOGO WANGU UNATUSIKITISHA SANA SISI AMBAO TUNAOKUJUA TOKEA UNAZALIWA TUNAKUONA WHY ARAFAT.UNATAKA KUMUUA MAMAKO HUNA IMANI NA MAMAAKO? MFIKIRIE JAMILA NI MLEMAVU UNAMDHLUMU WAKATI UNAJUA FIKA ANA WATOTO WANAMTEGEMEA.ARAFAT UNATUSIKITUSHA SANA. SABAH JONGERA SANA MDOGO WANGU UNESIMAMA KAMA WEWE NDIO MKUBWA KWA AJILI YA DADA ZAKO MWENYEENZI MUNGU AZIDI KUKUSIMAMIA INSHA ALLAH.
@AnethMushi-c3e
@AnethMushi-c3e 2 месяца назад
Amina
@muhammednassor3569
@muhammednassor3569 2 месяца назад
Mama uko vizuri
@shadyalardhi7854
@shadyalardhi7854 3 месяца назад
Sabaha hongera mungu akulinde tunampongeza mheshimiwa mama samia na slaa
@MosesShileka
@MosesShileka 2 месяца назад
Oh N
@MosesShileka
@MosesShileka 2 месяца назад
Mjkom ol
@zitongwang6278
@zitongwang6278 2 месяца назад
Wow big up Sana her excellent Samia suluhu Hassan, na waziri WA ardhi , na hongera Sana Dada Kwa kupambania haki yenu, tunaomba HAO mapolice uchwara walivokuwa wakisimamia uhalifu washughulikiwe na KAZI Yao isitishwe.🙏🙏🙏🙏
@bongo39
@bongo39 3 месяца назад
Hongera sana sabah kwa kusimamia haki ya ndugu zako huyu arafat hongera mama samia slaa na bwana kyando mungu atawalinda
@jessekigona4102
@jessekigona4102 2 месяца назад
kazi nzuri jambo tv
@wahiwaziri7363
@wahiwaziri7363 2 месяца назад
@jambotv hongereni sana kwa kazi nzuri, mmefanya jukumu mama kama chombo cha habari, online media zingine igeni mfano huu na sio kuripoti ujinga ujinga tu
@tusekilemwakatobe7763
@tusekilemwakatobe7763 2 месяца назад
Hii ndio serikali ya mama Samia haki itendeke hati tu inaeleweka kwa Nini mizunguko iwe mingi kiasi hicho nahamini serikali ya mama yetu Samia Hassan suruhu ni sikivu l love you mama ❤❤❤❤
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 3 месяца назад
😂😂😂😂 kijana mjinga atajua hajui baadhi ya vingoz ni mishenzi wanakula rushwa leo imefka mwisho
@leokamil6284
@leokamil6284 2 месяца назад
Kila Mkoa zipo shida kama hizi
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 3 месяца назад
Ndugu hao baba na mama mmoja,pesa mbaya sana,huyo Arafat ametumbua pesa aliopewa na baba yake, akamatwe na kupelekwa mahakamani, tapeli huyo ndugu.
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 3 месяца назад
Arafat kweli Tapeli hata mama yake amemkataa kuwa Bi Nuru si mama yake. Huyo mkurugenzi afukuzwe atatoaje demolition order bila kuwapa notice wapangaji atleast miezi 6
@othmana2
@othmana2 3 месяца назад
Very sad
@shanibaniyas6308
@shanibaniyas6308 2 месяца назад
😢
@shanibaniyas6308
@shanibaniyas6308 2 месяца назад
​@@othmana2😢
@Omari-d2h
@Omari-d2h 2 месяца назад
Yaani mkurugenzi useless easy ananunuliwa brother
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 3 месяца назад
Mkurugenzi anashirikiana na Matapeli.Hana maadili.
@JohnP-gl1ie
@JohnP-gl1ie 2 месяца назад
FUTA kazi
@jamalahmed7057
@jamalahmed7057 2 месяца назад
Lakini mkurugezi hawamtaji kama amekiuka maadili alipaswa wamchukulie hatua
@monicasemsey1125
@monicasemsey1125 2 месяца назад
Safi sana hongera sana mama. Samia kwa kufanya haki kwa akina dada hao
@wardalardhy8669
@wardalardhy8669 3 месяца назад
Safi sana dada ! Halali yako !
@changanikisesa7021
@changanikisesa7021 2 месяца назад
Mashallah Alhamdulillah
@FatumaSaid-t4r
@FatumaSaid-t4r 3 месяца назад
Asante boss umemsaidia waziri.
@AnethMushi-c3e
@AnethMushi-c3e 2 месяца назад
Hao msimbaz hao Mungu anawaona!!
@christianjohnmwalugaja8090
@christianjohnmwalugaja8090 2 месяца назад
Hongera Kamishna wa Ardhi Msaidizi Shukrani Kyando.
@shmohd11
@shmohd11 3 месяца назад
Safi sana, Kazi Iendelee Mhe. Slaa
@mpefu_4936
@mpefu_4936 3 месяца назад
Pole wadogo zangu huyo mdogo wenu jambazi
@khaliduhadi2336
@khaliduhadi2336 3 месяца назад
Huyo Arafat Kwa maelezo hayo ni tapeli mwizi anatakiwa ashitakiwa na kwenda jela miaka thalatha na arudishe kodi zote alizochukuwa
@kavyashortsleon
@kavyashortsleon 2 месяца назад
Huyo mkurugenzi achukuliwe hatua anaichafua serikali za mama yetu Samia
@RAMADHANCHANDE-cg9sy
@RAMADHANCHANDE-cg9sy 3 месяца назад
Huwa nachukiwa sana kuona mwanaume mwenzangu kugombania urithi
@husseinali-fc2xl
@husseinali-fc2xl 3 месяца назад
Hongera jambo T.V.
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 3 месяца назад
Huyo mkurujenzi afukuzwe kaz anakula rushwa kuwanyanyasa watu na haki zao
@kavyashortsleon
@kavyashortsleon 2 месяца назад
Kama kweli ndiyo hivi afutwe kazi kabisa siyo kuhamishwa
@Omari-d2h
@Omari-d2h 2 месяца назад
Wako Sana watu WA hivyoo Nina kaka yangu msomali nae matatizo sana
@Omari-d2h
@Omari-d2h 2 месяца назад
​@@kavyashortsleonafukuzwe
@abcstudiostanzania
@abcstudiostanzania 2 месяца назад
Kaka Kyando. Asante sana
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 3 месяца назад
Yaani kuwa na ndugu wengine ni mtihani kwa kweli Arafat umekuwa mwiba kwa dada zako
@MwajumaSaidi-e1x
@MwajumaSaidi-e1x 2 месяца назад
Inshallah mungu atawasimamia wa dada Hakii ya mtu haipotei huwainachelewa tu ...Ameen. Ahsante sana jambo tv kwa kufikisha habari hii mahala husika kwa wakati Mali za watu zilikuwa zinapotea bila sababu maalum.
@alihussein4303
@alihussein4303 2 месяца назад
Poleni Sisters, Big up yourself Stand up for ur right. Well done Jambo Tv
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq 2 месяца назад
Mzee kafanya vizuri sana kuwa risisha mabinti zake mapema❤❤❤
@jomba6514
@jomba6514 2 месяца назад
Asanteni sana serikali yetu kwa kutenda haki
@bakariomari24omar21
@bakariomari24omar21 2 месяца назад
Hongera serikali kwa kupigania Haki
@TwalibKambangwa
@TwalibKambangwa 3 месяца назад
Dadanakupamauwayako.🎉
@knight6757
@knight6757 3 месяца назад
Pesa zimetembea !!
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 3 месяца назад
Safi sana serikali kuwasaidia hawa wakina dada. Arafat weka ndani kabla hajawaumiza dada zake.
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 3 месяца назад
Mkurugenzi alitaka kununua yeye kimeo fukuza KAZI huyo
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 2 месяца назад
Hueleweki
@YusuphMwangobola
@YusuphMwangobola 2 месяца назад
Kabisa
@2003hintay
@2003hintay 3 месяца назад
Marhum namfaham maskini inasikitisha sana kusikia haya
@caesar7745
@caesar7745 2 месяца назад
Nyie viongozi mnafanya kazi nzuri sana lakini tatizo moja tu. Watendaji wenu wananuka rushwa. Sasa kama mama kamtafuta mkurugenzi na yeye ndiyo kasababisha haya madudu na bado na kazi😅😅😅😅. Ifike pahala Rais awe anafukuza hawa watu. Siyo kuwahamisha. Sasa hata polisi nao rushwa tu. Mnampelekea defenda na hati mnaziona. Tena mwammnke. Pole mama
@themaestro-24
@themaestro-24 2 месяца назад
NILIONA NDUGU ZA MUME WANGU WAKIWEKA VIKAO VYA SIRI KUMDHULUMU NDUGU YAO ASIPATE KITU.MJITU MIZIMA KULISHWA NA WAZAZI AIBU
@farajaMezza-qn4be
@farajaMezza-qn4be 2 месяца назад
Mungu anisamehe lain naona pia kama mheshimiwa ameonja kitu kidogo
@samsonsamsonbayyo
@samsonsamsonbayyo 2 месяца назад
😂😂😂😂😂
@mindicarrashid3131
@mindicarrashid3131 2 месяца назад
Mama samia❤❤❤❤❤❤❤❤
@sofiakhan9706
@sofiakhan9706 2 месяца назад
Tunamshukuru Dr slaa na kamishna na rais samiha kwa kuwa wasikivu
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 3 месяца назад
Who is SAGARA. Fukuza arafata na sagara weka ndani. Acheni hao madada wapate haki yao, Naamini Wazir Silaa na mh Mama yangu Rais Samia , mtapata haki yenu
@yudanziku6030
@yudanziku6030 3 месяца назад
Uko sahihi sana afisa
@dayuunassirnassir5854
@dayuunassirnassir5854 2 месяца назад
Hongera dadangu kwa kupambania haki yako
@hamisidale2704
@hamisidale2704 2 месяца назад
Watu wachache wenye ngozi mchanganyiko wanakuwa na kiburi cha kutoheshim mamlaka,huyo alieomba kibali cha kuvunja usiku wa manane lazima achukuliwe hatua! Na ili apunguziwe adhabu amtaje aliemtumia kuchomoa karatasi katika hilo faili ili na yeye awajibishwe! Mh Jerry silaa kazi Anza na Arafati"Akwambie kamuonga nani kuchomoa karatasi hakuna kulindana
@Nedjadist
@Nedjadist 3 месяца назад
Hii nchi haitaendelea. Uongozi dhaifu unaodhoofisha institutions kwa maslahi yao, ili wawe na madaraka zaidi; matokeo ni vijikesi vidogo vidogo hivi lazima viamuliwe na Mkuu wa Mkoa, Waziri na hata rais!
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 2 месяца назад
Ndio Serekali ya Mama Samia inayetatua matatizo ya watu hivyo nyie mtateseka sana na anayoyayafanya Mh.Rais Samia
@deven.oauditx7547
@deven.oauditx7547 2 месяца назад
Ndiyo tatizo la kupewa kazi kwa kuangalia kadi ya chama tawala.
@ajoseph31
@ajoseph31 2 месяца назад
Ingekua uyu dada ajitambui, bila shaka wangerushwa hi mali
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 2 месяца назад
😂😂😂 TZ 🇹🇿 ofisi zote utapeli mtihani,
@joysekiza3944
@joysekiza3944 3 месяца назад
Mungu wangu miaka kumi mungu atawapa hathabu ya mioyo yenu
@HashimYahaya-hd3zm
@HashimYahaya-hd3zm 2 месяца назад
Hongera sana dada yangu mungu yu pamoja nawe arafat taperi kuna watu wapo nyuma yapazia
@Omari-d2h
@Omari-d2h 2 месяца назад
Mkurugenzi bongo hatari
@rahimhassan6722
@rahimhassan6722 2 месяца назад
Good work 👏
@hamisidale2704
@hamisidale2704 2 месяца назад
Aliechomoa karatasi kwenye faili ni nani lazima mtu awajibishwe! Hiyo itakomesha watendaji wasio na maadili ya kazi zao" Jerry Silaa Mheshimiwa anzia na kwenye faili nani kazichomoa karatasi kwenye hilo faili"
@mwanahawanyambi9440
@mwanahawanyambi9440 2 месяца назад
Allah akulinde Rais Samia na watendaji wako haki zitendeke kote. ulinzi uimarike kwa Sabah kwa kupambania haki yake na nduguze Arafat Umtake Radhi mama yako .
@NoorLheyNoorLhey
@NoorLheyNoorLhey 2 месяца назад
safisana kaka Alhamdulilah mungumkubwa hakiyamtu gaypotey
@Farryunique
@Farryunique 2 месяца назад
Well done Sabah 😊❤❤❤
@sleyumrashid7794
@sleyumrashid7794 3 месяца назад
Mkurugenzi mtu Wa Dili hafai kukaa ofisini
@rosehaule6765
@rosehaule6765 2 месяца назад
😂😂ntu wa dill mkurugenzi
@salehemsumi615
@salehemsumi615 2 месяца назад
​@@rosehaule6765Ntu wa dili Nkurugenzi,kataa!
@arafahhh5574
@arafahhh5574 2 месяца назад
Kikubwa mkifanikisha tu mliuze ili muepukane na hilo tapering likaka lenu
@KhadijaSalum-nf5mf
@KhadijaSalum-nf5mf 2 месяца назад
Alhamdullillah
@abcstudiostanzania
@abcstudiostanzania 2 месяца назад
Balton umenenepa sana Kaka. Fanya matizi Mashavu yataziba Macho
@charlessentiyongo8484
@charlessentiyongo8484 2 месяца назад
Safi sana kiongozi, watendee haki, hao wadada, hata huku Mbeya wapo wanaodhurumu haki za watu ,hasa ardhi na makazi, ingekuwa vizuri mje hata huku.
@tusekilemwakatobe7763
@tusekilemwakatobe7763 2 месяца назад
huyo arafaty ni tapeli kweli pesa mwana haramu😭😭😭😭
@jamalahmed7057
@jamalahmed7057 2 месяца назад
Bado kuna tatizo kwenye system serekalini mpaka Rais au waziri waingilie kati ndio jambo lipate ufumbuzi police wanahusika wazi kwenye kuchukua rushwa na manispaa lakini wao wapo salama ila arafati pekee yake ndio anayetajwa hapa
@AnethMushi-c3e
@AnethMushi-c3e 2 месяца назад
Kweli mtoaji na mpokeaji wote hatiani
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 3 месяца назад
Arafati ulivyodhulumu inatosha tubu mungu atakusamehe jua kabisa haki ya mtu haipotei
@TwalibKambangwa
@TwalibKambangwa 3 месяца назад
Tunamjua.arafat.nitaperi.sana
@MaabeshFungurume
@MaabeshFungurume 3 месяца назад
bro huyo Arafat ni bonge bonyeye au huyo mwingine ana upara
@aqthamsalim6775
@aqthamsalim6775 2 месяца назад
Allah awasimamie juu ya hilo
@wardalardhy8669
@wardalardhy8669 3 месяца назад
Na sisi huko kigamboni tungwi , mali ya marehemu baba yangu imetekwa na Fahad mwenye company ya RIO na mdogo wangu Mohamed akabampikwa kesi ya jinai , tumefika sector zote za serikali tunazungushwa tuu .
@1961nungwi
@1961nungwi 3 месяца назад
@@wardalardhy8669 nendeni kwa Waziri Silaa. Imekwisha hiyo!
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 2 месяца назад
It's vyombo vya habari ongea Na Jambo TV watakusaidia
@sheilalolila2233
@sheilalolila2233 2 месяца назад
Jamani nenda Millard watakusadia pole
@MwanahamisHussein-dp2if
@MwanahamisHussein-dp2if 2 месяца назад
Allah awafanyie wepesi
@wardalardhy8669
@wardalardhy8669 2 месяца назад
@@MwanahamisHussein-dp2if Ameen
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq 2 месяца назад
Huyo kaka yao ni mnyama asana anawadhulumu dada zake. Tunaiyomba serikali imchukulie hatua kali sana. Huyo ni hatari sana tapering mkubwa huyo mshenzi. 😢😢😢
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 2 месяца назад
Kwanza jengo limeishaoza tafuteni mbia achukue jengo
@wahidaaidha544
@wahidaaidha544 3 месяца назад
Namna hiyo
@bongo39
@bongo39 3 месяца назад
Huyo arafat atafutwe na achukuliwe hatua za kisheria ni mwizi ni tapeli msanii mshenzi mkubwa
@MohamedIbrahim-bn1gz
@MohamedIbrahim-bn1gz 3 месяца назад
Kwani msanii
@AllyMaya-yj3xd
@AllyMaya-yj3xd 3 месяца назад
Msenge sana huyo dogo
@graceadam8390
@graceadam8390 2 месяца назад
​@@AllyMaya-yj3xd Pp P P Pp P Pp P I P P P P
@allykimbulaga8885
@allykimbulaga8885 2 месяца назад
Hivi inakuaje kumfikia RAIS iwe rahisi KULIKO mkurugenzi aliyeteuliwa na RAIS amsaidie? Hii Nchi tunaipeleka wapi? Muheshimiwa RAIS ANA KAZI KUBWA KULIKO INAVYOONEKANA
@allykimbulaga8885
@allykimbulaga8885 2 месяца назад
Wateule wakishateuliwa wanachokijua KUWA wamepewa nafasi ya ULAJI sio kumsaidia Rais kutatua kero za wananchi
@saidmakombeni5155
@saidmakombeni5155 3 месяца назад
Katajwa Mkurugenzi pia polisi msimbazi mbona hawawajibishwi?
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 2 месяца назад
😂😂😂wanakula kwa urefu wanoamba zao
@aminaosman3315
@aminaosman3315 3 месяца назад
,zulma aliyofanyiwa mjane na yatima wake mama samia msaidie apate haki zake mafaili yapo kila wizara husika lipo lakini wanalifumbia macho mama wa wanyonge msaidie mjane
@twahambowe440
@twahambowe440 2 месяца назад
Vyombo vya usalama viwajibike kwa kumtafuta, maana huku ni kujipatia mali kinyume na sheria (utapeli)
@AshuraChamwana
@AshuraChamwana 2 месяца назад
Huyo Arafati kahongamalizake anatakakuchukua malizadadazake
@teamallyracing1780
@teamallyracing1780 2 месяца назад
Daaah mpaka raisi aingilie kati hi nchi ya ajabu kabisa
@themaestro-24
@themaestro-24 2 месяца назад
MAMA SAMIA NAKUPA HONGERA SANA MAMA KWA KUSAIDIA AWA MABINTI
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 2 месяца назад
Huo msaada uliotoka kwa rais ni wajibu wake.
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 2 месяца назад
Hata cjui watu wanashida gani sasa kuuza jengo kila mtu apate chake mmiliki alishakufa tatizo watu wanapenda vitu .
@AmedeusMbanda-gh4rj
@AmedeusMbanda-gh4rj 2 месяца назад
Aliwahikuimba msaniwetu 20pasent,malizahurisi zisifanya tuuwane jamani🙆,
@iddykhamis4558
@iddykhamis4558 2 месяца назад
Pamoja na muheshimiwa kuingilia kati hili swala Kuna watu hapo chini wanatakiwa kuwajibishwa kwanini mpaka Rais aingilie kati wakati Jambo lipo wazi zulma ya wazi kabisa yaani muhalifu alikuwa anasikilizwa kuliko wenye Mali Kuna watu wakuwajibishwa kabisaaaa
@NoorLheyNoorLhey
@NoorLheyNoorLhey 2 месяца назад
polisini mbwakaziyawo rushwa wanamuharibiya mama washezi marawanatekawatu bakuwabambikiya kesi
@ZalkhaRawahi
@ZalkhaRawahi 2 месяца назад
Mama Samia angalia hili kwa jicho la taifa ikiwa Arafat kataka kuwadhulumu ndugu zake lkn kuna viongozi wa serekali wanaonesha wazi kuwa wanalidhumu taifa Arafat ataadhibiwa kiupande wke lkn na hw viongozi wawajibishe kwahisani yko mama
@trecygohy7847
@trecygohy7847 2 месяца назад
Huyu mama yuko vizuri. Mume wake, mama yake na baba yake alipo wanajivunia kupata kichwa kwenye family yao
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 3 месяца назад
Arafat mnmwogopa nini na huyo mkurujenzi wasiwekwe ndani.
@bakariomari24omar21
@bakariomari24omar21 2 месяца назад
Arafat anafaa ashitakiwe kwa utapeli lughushi na kudanganya serikali
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 2 месяца назад
Kwani Harafaty kwanini hajakamatwa mpaka sasa yeye nani bado Naona mapungufu hapa ishu kama hizi mpaka ziende Kwa Rais kama asipoona????
@dignakanje4508
@dignakanje4508 2 месяца назад
Yaani yanaumiza yanaumiza hya mambo yafamiliya sana .Anatokea mtoto mmoja tu anahodhi mali zte kma zakwake,unahangaika mhkmn mpka unakataa tamaaa,Baadhi yaayendaji wamahkm sio waaminifu hawana huruma nafamiliya zawatu,wanatoa hki upande mmoja,hta upeleke ushaidi hawakuelewi.Watapindisha pindisha mpka kesi inakuwa ngumu
@themaestro-24
@themaestro-24 2 месяца назад
MKURUGENZI OUT..............YAANI MAMA SAMIA USIMUACHE
@Lundege_Hips
@Lundege_Hips 2 месяца назад
Nimemuelewa sana huyu mkuu
@KasalamaAlly
@KasalamaAlly 2 месяца назад
Hali nchi hii inatisha jambo dogo mpaka mkuu wa nchi aingilie,waandishi hongereni huyu Arafat,mkurugenzi kamata weka ndani,hao wengine Takukuru waingie kazini
@demicratia4071
@demicratia4071 2 месяца назад
Uzeeeniii PENYE UDHIA TIA RUPIA
@simonkaaya1220
@simonkaaya1220 2 месяца назад
Haki Haki Haki Haki
Далее