Тёмный

🔴 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 25 тыс.
50% 1

🔴#Live: AL- HAJJ DR SULLE ANANIKA MENGI USIYOYAJUA - NDOA za MASTAA KUVUNJIKA na UTAJIRI WAKE...
Karibu kwenye Kipindi cha KATAMBUGA cha kila JUMATATU hadi IJUMAA kuanzia saa 6: 00 mpaka saa 8: 00 mchana upate kujua nini kinajiri kwenye mitaa yetu...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750 910) ( +255 657 693 210)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Развлечения

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 44   
@globaltv_online
@globaltv_online 3 месяца назад
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@Mohaa4309
@Mohaa4309 3 месяца назад
Huo mziki niwa nn na mko na Sheikh hapo????
@FatmaSalim-bd9ix
@FatmaSalim-bd9ix 15 дней назад
Mambo ya Familia kuelewana na kukwaruzana umeelezea vizuri Mashallah ila ya kuwa na wake wanne au zaidi ya mke mmoja kidogo umepitiliza ,kwani kuna hata wagonjwa wako na zaidi ya mke mmoja ,na kuna baadhi ya mwanamke kwa kweli anawakilisha uwezo na nguvu na utaratibu wa kimaisha zaidi ya wake wanne…yaani anajimini kisawasawa,na Allah awabariki wanawake wote wanaojua wadhifa wao Inshallah.
@littlelunie.7653
@littlelunie.7653 3 месяца назад
Katika wingi wa siku kuna wing wa maarifa Una hekima sana Shekhe Nmependa Hekima zako Dr Mungu akuongoze na akuzidishie maarifa na Hekima
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 3 месяца назад
Doctor akiendelea kunguruma kwenye media.akiutangaza ufalme WA MwenyeziMungu na dini yake.safi Sana.Allah akulipe heri duniani na akhera
@Mohaa4309
@Mohaa4309 3 месяца назад
Safi sana nn ,anayoongea ya Majini huyaskii?
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 3 месяца назад
​@@Mohaa4309ameulizwa kuhusu majini!ndo ameeleza majini niviumbe wasio onekana tunaamini yapo au?? ni nini tatizo tuhabarishe wewe unae fahamu zaidi kuhusu hao viumbe
@mohamedswalehe4777
@mohamedswalehe4777 3 месяца назад
Safi sana na kuna mapigo ya muziki?! Mmekuja kuwaje waislam mnapuuza vitu vidogo vidogo ila mnakua kama mnahalalisha mambo
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 3 месяца назад
@@mohamedswalehe4777 ktk mialiko studio wanawakosea wanatakiwa kujua mgeni wao ni mtu wa aina ipi! Lkn sheikh Sulle nadhani ameghafirika tu kuhusu huo muziki wa studio,angesha waambia waondoe mziki,Allah atusamehe sote kwa kughafilmrika kama binadamu hatukosi mapungufu
@IbrahimKussaga
@IbrahimKussaga 3 месяца назад
Anatangaza ufalme wa shetani
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj Месяц назад
Mashallah Kwa kuichambua 🎉🎉ww kiboko
@FatmaSalim-bd9ix
@FatmaSalim-bd9ix 15 дней назад
Yaani mambo ya kifamilia khususwan kisakolojia nimependa unavyowalewa wanawake na ndiyo maana Allah amekufanikisha kukaa na wake zako vizuri na Allah awajalie familia zote ziwe na amani na upendo na baraka,khaswa zenye changa MOTO…
@Mnyalu-q6q
@Mnyalu-q6q 12 дней назад
Dkt upon vzr sana
@AdowIbrahim-ck3vp
@AdowIbrahim-ck3vp 3 месяца назад
Masha Allah good
@MohmmedGandhi-zc9wo
@MohmmedGandhi-zc9wo 3 месяца назад
Sule unailimisha hio suratulfatihah wingi hawajui usemayo nimesoma kitu shukran
@hawasaid5286
@hawasaid5286 3 месяца назад
i ptay that one day you will meet the living God
@ramadhanihudhaifani4376
@ramadhanihudhaifani4376 3 месяца назад
Your living god supports gaysim! Stupid.😡
@Shariffshariff-q7j
@Shariffshariff-q7j 3 месяца назад
Mnatiya music wakati mnaongeleya maneno ya Allah,,ujinga huo pia ni usheytwani...
@Midayakubet
@Midayakubet 3 месяца назад
Jamani ndugu hapo studio naomba namba za sule kwajiri ya ushauli
@hajiyusuf3837
@hajiyusuf3837 3 месяца назад
Kwa hiyo quran ndivyo inavyoeleza kuhusu ndoa ama maarifa yako tu!fata maelekezo ya mkuu darajaS.A.Wassalam.
@ameeranassor1619
@ameeranassor1619 3 месяца назад
UO MUZIKI WA NINI KWENYE BACKFROUND ?WACHENI USHAMBA
@VeronikaJoho
@VeronikaJoho 3 месяца назад
Niko na mk wangu nimekupat dokta Sule akubarik mung
@hawasaid5286
@hawasaid5286 3 месяца назад
tunaishi siku za mwisho.....
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 3 месяца назад
SULE AMECHEMSHA AFADHALI ANGEKUWA MCHUNGAJI TU AONGEE MIUJIZA 😢😢😢😢😢
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 3 месяца назад
Mhh🤔🤔
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 2 месяца назад
Chuki zitakuuwa kaka Omari 😂😂😂
@littlelunie.7653
@littlelunie.7653 3 месяца назад
Maneno ya hekima sana Dr hayo maneno
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 3 месяца назад
Tunakuaminia baba
@IsmailYussuf-km5nl
@IsmailYussuf-km5nl Месяц назад
Dr.Sule.Kweli Umepotea.Umewapoteza wengi.
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 3 месяца назад
Dk Una baya
@hawasaid5286
@hawasaid5286 3 месяца назад
tunakoenda ni kubaya zaudi
@abdillahchikota4303
@abdillahchikota4303 3 месяца назад
Sasa Mbona kunabiti y’a singeli upunbavu huu
@karimdaud3993
@karimdaud3993 Месяц назад
Kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa .hakuna barka ndio moja ya sababu .DR SULE PIGA VITA KUONJANA.
@linkreuben3108
@linkreuben3108 3 месяца назад
Huyu anatumika kwenye propaganda. Hatari sana!
@FatmaSalim-bd9ix
@FatmaSalim-bd9ix 15 дней назад
Mtume ametakaswa na madhambi yote ibada yake haina uhusiano na kusamehewa dhambi kwani mudhnib ndiye anayesamehewa Mtume saw hana anachokifanya wala kusema kwa matakwa yake ila ni kile alichoamrishwa na MOla wake.
@jumahenriquesgeraldo9837
@jumahenriquesgeraldo9837 3 месяца назад
Sule ni mkweli, Mimi ni shaidi, wanaadamu kuwa hawawezi kuyakubali ila ni kweli.
@IssaBacar-i2i
@IssaBacar-i2i 3 месяца назад
Dr naomba Allah anijalie akili yako niirithi.
@MalewaKapala-qi8ij
@MalewaKapala-qi8ij 3 месяца назад
Dr sijawahi kuchoka kumsikiliza, huyu jamaa ana akili Sana. Iko siku ntajitahidi nikutane maybe live, yapo maswali yangu nataka nimuulize
@alimau7939
@alimau7939 3 месяца назад
Huyo ni selemani anaimbwa na wasanii
@rajaboally8687
@rajaboally8687 3 месяца назад
Docta muongo
@ZuhuraChuma-si4wv
@ZuhuraChuma-si4wv 3 месяца назад
Uyu mtu anajua anakipaji
@khadijaa815
@khadijaa815 3 месяца назад
Hayo masuali ya kijinga wanaume pia wanauliza km mpo nyote chumbani kukagongwa mume anauliza nani uyo wakati nyote mpo ndani
@feiswalislam8465
@feiswalislam8465 3 месяца назад
Mbona bro watusi sipowa
Далее
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
V16 из БЕНЗОПИЛ - ПЕРВЫЙ ЗАПУСК
13:57
28 сентября 2024 г.
0:52
Просмотров 2,3 млн
Скажи «Папа»
0:37
Просмотров 3,3 млн
28 сентября 2024 г.
0:52
Просмотров 2,3 млн
Худший командир на свете!😂
0:24