Eee baba 😊 nakuomba msaada wako kwa maana mimi nakuamini umuombee kijana wangu aache lombe amekuwa nikulewa tu tangu amemaliza chuo sijui karogwa mimi sipati jibu nisaidie nidaidie mimi nimezidiwa baba amen amen
Bwana yesu asifiwe baba,mungu azidi kukupa nguvu uishi miaka mingi utusaidie.naomba unitabirie baba juu ya familia yangu.kupitia madhabahu yako ninaomba mungu amsaidie mume wangu apate kazi tanroad.
Bwana yesu asifiwe Mungu wa pastor Dominick kiboko ya wachawi naomba anionekanie nimechoka mateso naumwa miguu na mikono inapata ganzi Sina kibali kazini na kwenye jamii inayonizunguka .watu wananiita mchawi,wananichukia bila sababu ,pesa hazishikiki bwana yesu nisaidie Kuna filimbi masikioni ninapolala kitandani
HENDRY MMARY... nabii kiboko ya wachawi naomba nisaidie nipate kazi ya kujiunga na ajira ya upolisi inayo Anza mwaka huuu.. ninaomba na Mimi niwe miongoni mwa wanaochaguliwa naomba kibali baba🙏🙏🙏🙏🙏
Amina baba Mimi nipo mbali nipo Zanzibar ila huwa nakuja kwa mwezi mara moja ktk Ibada zako na ninaamini mungu wa kiboko ipo siku na Mimi ataniona nipo kwenye mfungo wa ramadhani ukisha TU nakuja
Familia yangu inateseka baba nafataliaga sana kipindi chako kwenye radio baba nikipiga simu redioni sipati nafasi yakuongea nawewe nabii niombee mungu wa kiboko ya wachawi anikomboe mtumishi naitwa ezekieli nipo msitu wa tembo manyara nabii
Shaloom prophet Mimi nipo Arusha najiunganisha na maombi ya Leo nipone kansa ya shingon na uvimbe shingon nipone na watoto wangu wafunguliwe kielim na kikazi na biashara na ndoa zao
Bwana Yesu Asifiwe Mtumishi wa Mungu,Baba Naomba ata Mimi huku nilipo Bukoba Upako unifikie NIFUNGULIWE Kwa Jina la Yesu Kristo wa Nazareth aliye hai Amina 🙏🙏
Eee mungu kupitia ibada ya Nabii kiboko ya wachawi nimimi nataka yeyote aliye guse mwili wangu na aliye nitupia pepo ya kupasuliwa watoto nikiwa mimba Nina pasuliwa watoto wangu nataka Leo hii adui yangu mchawi wangu yeyote aliye guse kizazi changu nataka waonekane mwezi huu kwa Jina la yesu
Muombee kijana wangu halali usiku na mchana wana taka kumshikisha wazimu ako na kesi kazini wanataka kumharibia kazi kijana wangu anaitwa walter maro tunatoka kenya
Naandika usiku huu najua nawindwa Sana niombee mtu atakaekuja vibaya au kuharibu kuvuga chochote kwenye maisha yangu yote yamrudie yeye na kila anachokifany asifanikiwe
Mimi naitwa Michael Mjema . Binti yangu anateswa mama mchawi jirani . Binti yangu halali usiku kwa hubebwa🎉na kubebeshwa mizigo na kulishwa mavitu ya ajabu . Anamwona laivu Kila ana pomchukua usiku. Mtume Dominick , naomba huyu mama ashughulikiwe kikamilifu bila kupepesa macho! 'Kwa jina la Yesu apigwe!' Sadaka ni muhimu.
Asante nabii naitwa upendo uswege nifunguliwe kiuchumi na watt wang wafunguliwe magonjwa ya Ajabu Ajabu hasa mwanguu mkubwa shukran Aponywe mapepo yanayo msumbua yanaongea Asisome na macho hakienda shuleni yanamtesa Akird nyumbani mzima baba wapigwe madui wanao fatilia familia yangu kwajina la yesu
Bwana yesu asifiwe najiungamnisha na ibada hii naombabmungu anitendee nnachangamoto kwenye mahusiano yangu nakataa roho ya vita namagomvi na mfarakano nahitaji amani
Postor Mimi na Familie yangu 🇩🇪 twachukuliwa nywele yAni usiku Twanyogwaa na wachawii wazungu Pia na ndugu yangu alinipokonya nyumba iko Kesi kotini 🇩🇪