Hakika hata mm nimefirahi uwepo wake ewe Mwenyezi Mungu mjalie mja wako huyu umpe afya njema na umlinde na watu wabaya kwani anachofanya ni kwa ajili ya waja wako ambao wanateseka kwa kupitia kwake Mungu utamjalia nguvu na ulinzi wako Amin
Waoooo kipenzicha wengi mbona umekonda na Wala sio uchangamfu wako makonda ebu nipgie niongee nawe mwanangu Bado sijaamini nakupenda kama sauti sio ya Sasa ukiona vipi achia wajanja waendelee na kujimlikiaha kwao siwaache mtoto wako na mkeo
Eee mwenyezi Mungu, naomba toba kwa ajili ya Taifa letu, Mwenyezi Mungu tusamehe kwa yale yote tuliyokukosea kwa kuwaza, kunena na kutenda. Zab. 51.AMEN.
❤❤tunaendeleaa kukuombea kaka mungu akufunikie kwa damu yake aduwii wasipate nafasi alichokianzisha mungu binadamu binadamu hawezi kukipangua pigaa kazi mungu Yuko pamojaa nawe ulichanguwaa fungu jema kumjuwaa yesu huo ndiyo ulinzi tosha mungu akutunze ni maombi yangu❤
Christian makonda shauku yetu ni kukuona na ukiendelea. na. ajira yako na nafasi hiyo uliyonayo,kiukweli mwenyezi mungu alisikia maomba ya watu wote waliokuwa na mapenzi mema ,masikio ya wengi hayakupenda kusikia jambo lolote baya utukufu shukrani zimrudie mwenyezi mungu aliye mwingi wa rehema amen ,mwanangu mungu akutunze na kubariki yote ufanyayo na uzao wa tumbo lako pia baraka juu yao wakawe vichwa nasiyo mikia
Naombeni nauli mis niko mwanza,atakaeguswa, nikaonane na mh. Ofsini kwake, ana / ana nampenda sana, sikukumpenda tu, namkubali, na si kumbali tu, nikamueleze dhamila yangu, kuhs ninavimuelewa❤
Asante MUNGU hakuna kama ww kwan watanzania wengi wapenda aman tulishikwa na butwaa Kwa ukimywa wa makonda .ila Kwa neema zako Leo furaha imerejea .mungu mlinde hili na longine amina
Mimi nimekosa cha kuandika daaah ila shukurani zikuludie wewe baba wa mbingun hakika jina lako ni la milele AMINA 🙏🙏🙏 piga kazi kaka angu MAKONDA yote kwa yote mwachie MUNGU ndo mweza wa kila kitu
Mungu ni mwema, ila makonda alikua na misukosuko, mbona Hana Raha afu amepungua Sana yaan amekonda, ila wa Tz tuko pamoja na wewe sio Wana Arushatu mzalendo wa Taifa lake mungu akulinde
Hakika MUNGU NI MKUU NA MWEZA YOTE! NA ANAMPENDA MAKONDA❤❤❤❤ JAMANI NI MDA WETU WA KUMSHUKURU MUNGU KWA KUTUSIKIA KILIO CHETU WAKATI TUMWOMBEA RC MAKONDA YUKA HAI NA TUNAMWONA KWA MACHO YETU. ASANTE MUNGU❤❤❤❤