Mungu Baba na azidi kukuongoza na kukushindia na Damu ya Yesu Kristo ikutangulie siku zoote za Maisha yako hongera saana unastahili kupongezwa kazi yako ni nzuri.
Mwanangu na kiongozi wangu Poul Makonda Mungu wangu akulinde na kukutetea katika majukumu uliyopewa na Mungu mimi nakufuatilia mahali pote ulipo wahi kufanya kazi wewe si mnafiki ndio maana maadui zako wanainuka wengi lkn ninacho kupenda zaidi Unamwogopa Mungu dumu hivyo ktk utumishi wako na utashinda zaidi na zaidi wewe ni mlima Sayuni Neema ya Mungu iwe nawe daima Ameeeni
Kiukwer nakupenda kila siku mheshimiwa makonda nitakupenda daima na nakuamini na mama namkubali kwa maono yake kukufanya kiongozi wewe ni tresha ya taifa Niko nawe daima.
Naona ushujaa wa mangu ndani ya makonda olewake yoyote afabye baya lolote kwamakonda tata loga ukomzima wahuyo atakaefanya baya lolote kwahuyu mwamba Yani ndani ya makonda yupo rais wa bukinafaso Kuna moyo wa gadafi mungu akulinde akuepushe na malazi yaina yoyote
Makonda upo vzr japo wachache hawaoni ufanyacho wee mtangukuze Mungu mbele atakuelekeza njia ya kupita zaid ya hiyo uipitayo,UNA HOFU YA MUNGU,utalipw na aliekupa kipsji Cha uongozi,Inshaalah
Wajane na wanyonge wa Arusha tuko nyuma yako kwa maombi mhshmw Makonda... Zab.35 ikwafunike wote mnaotutetea wanyonge, ktk jina la Yesu Kristo. Nasi tunaofuatilia haki zetu tusichoke kuomba ulinzi wa Mungu.