apo nimekuelewa sana mzee mohamed wallah mm nilikua najiuliza imekuaje marehem babu yangu mzee wa kinubi alitoka sudan akadifikia K.koo Gerezani lindi st pale na alishawah kuniadisia walikuja km askar wa mkoloni wakajagakubadilika wakaunda chama cha Taa na rafiki yake mkubwa ni mzee ally kweli historia wameigeuza wazee we2 waasisii hawatajwi anatajwa mmoja tu aliyokaribishwa na wazee we2 kutokea uko kwa wazanaki so sad 😭😭😭😭😭