@@makokakinyaha3567 Hivi unafanikiwa vp mkiwa mzazi ana manung'uniko we kakuweka tumboni miezi 9 unamuacha si wasalamu ht kalamu jaman kaniacha darasa la 3 mpaka sasa wazazi wake mmoja kafa hajui
Kwa experience yangu na haya mambo and um not trying to be negative ni kwamba vitu viwili vinaweza kuwa vimemtokea inawekana kawa mvuta madawa or ameshafariki i don’t see any reason yakutokuweza kutafuta mawasiliano na ndugu zake other than that..hopefully um wrong so his mother can find a peace she deserve
WAKO WENGI WAMESHAJIINGIZA KWENYE MADAWA YA KULEVYA, BASI HATA NYUMBANI HAWAKUMBUKI. NA SIYO HUKO SAUTH TUU, HATA ULAYA WAKO WENGI HAWANA KAZI BALI WAMELOEA KWENYE UNGA.
Gea pls jaribu kukumbuka na wanaotafuta baba zao, wapo wa mama wamekimbia na watoto, na wapo wtt waliotelekezwa na Baba zao. So wtt wanaitajii kuwaona Baba zao pia.