Boniphace alipewa picha na baba yake ya kuweza kumtambua Mama yake ikiwa ni miaka 28 toka waachane na baba yake. Amesema baba yake alipoteza mawasiliano na mama yake miaka na nyuma.
JAPO watazamaji tunalia Sana kwa ajili ya wenzetu ,,,,,,Hiki kipindi hataiweje tunakiombea kiendelee KUDUMU ,,,,na aliyebuni Hiki kipindi mungu amjalie busara zaidi,,,, na maisha marefu zaidi na aendelee kuigusa jamii km hivi,,
Asante Sana clouds tv hakika Leo Tena kipindi Bora , hongera kwa boni ni rafiki yangu tulikuwa wote bukoba katika harakati za kutafuta maisha hakika Mungu Ni mwema🔥🔥🔥❤️❤️❤️🙏🙏🙏
Kama ulishawai ku follow in love school ndio hii pole sana mama bone kipenzi chako cha kishule shule amefariki muombee dua mwenyezi mungu amsamehe makosa yake huko alipo Amiin...DC salute clouds 🔥🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
Kwa jina naitwa Amina ahaman ,kweli hii Historia imeniza maana imenigusa Hata Mimi nimo miaka mingi nilikua sijuani na ndugu zangu lakini namshukulu mungu kaka yangu alivyokua ametufafuta anetuona alhamdullih
Masha Allah Masha Allah ! Wallah dada zg na kakazangu Allah Atawalipa DARAJA la juuu wallah ! Masha Allah nimefurahia sana kipindi chenu ! Hili nijambo lakufurahisha sana wallah ! NANI KAMA MAMA ? ALLAH AWAPE UMRI DD NA KK ZANGU AMIN AMIN
Jamani huyu baba Boniface Mungu amlaze mahali pema peponi Glous FM Mungu awabariki sana. Wazazi kama baba Boniface mkiwapata tena hai shirikianeni na serekali yetu tukufu kuwaadabisha. Mtoto amafichwa na akakosa haki zake za msingi. Ndugu zake wanang"aa yeye anahuzuni
Bony ulimpenda sana baba yako,,usmwache baba yako kumkumbuka japo yupo mbere ya haki,, maana hicho kisa cha mama yako akiwezi kuvumilika😇wamama jamaniiii mhh
Naomba sana mwenyez Mungu asiniweke mbali na watt wangu hak ntalia sana 😭 mtt unapotezana nae miaka hata nimiachana n mwanaume simpi mwanangu" nakufa nae
Sasa msiende kutambika kwenye makaburi ila nendeni kwa mungu alie hai a liyewakutanisha mkamshukuru nae atawafanyia wepesi wa maisha na kushikamana kama familia.mbarikiwe sana.
Hongera mama happy usimtowe mwanao kutesa kwa zamu sasa zamu yako wewe wao waweze wana nini wewe ushindwe una nini boni usirudi tena bukoba mama ndie huyo
Jamani haya maumivu nikajua niyangu tu mm mwenyew nilitelekezwanikiwa kwabibi nikiwana umri wa miez tisa mpk leo nawatt wawili simjui mama 😭😭😭😭😭nimelia sana jamni dunia hiiiiii mmmmmmm mungu atusaidie
Hongera mwanamke mwezetu kwakuunganishwa na mtoto wake boni baba ako ulikuwa uwaweke kikao kwenye uko uwambie kwamba baba ako akupeleke kwa mama ako kama wengepuuza ungeenda kwa mwenyeki kama hajakubali ungeenda kumshitaki baba ako baba kama huyu engenipata mimi engeijuwa siku alotahiriwa baba ake maana tungetoka na kisakina cha polisi na mmbwa wa polisi engenipeleka mpaka kilimanjaro