Kipindi cha 'Leo Tena' kimeweza kumkutanisha Mama na Binti yake baada ya kutomuona kwa zaidi ya miaka 35, tangu alivyochukuliwa na Baba yake mjini Kondoa- Dodoma.
Hongera sana kwa kazi nzuri mimi ninaomba usaidizi watanzania niko na kijana wa huko TZ ako na miaka 20 hajaenda kwao. Wazazi sijui wanasemaje tumsaidie cz anatesela sana
Hongera clouds tv hivi ndo vitu vya kuangazia kusaidia jamii hata wakati wa shida sio kama tv zingine zenye umbea tu na udaku pongezi clouds tv from doha qatar
Nimelia sana daah R.I.P my Mama umeniaccha nikiwa na miaka3 paka sasa na 26 mdogo wangu ulimuacha ana nyonya 😭😭😭😭stili we love yo mama mungu akupunguzie adhabu za kaburi 😭😭😭
Alhamdullilah mama kampata mwanae na mtoto kakutana na mama na ndugu zakealhamdullilah nimefurahi pia nimelia kwa furaha maskini,Allah Kareem.Hongereni clouds fm/leo tena
😢😢😢nimeumiaa niliwai kutoroka nyumbani miaka 2 ck mama alinionaa alinifanya km hivi jamani akuna km mama nimeliaa kwa furaha nilivyowaona hawa wamefurahi daah hongera team ya leo tena
Selin Charles mmi naitwa Nechivera Thomasi na mtoto wangu Ana itwa farida Arikuwa Ana soma Kondoa Kwa mjomba wake Sasa Aliondoka huu mwaka toka nanenane handi Leo sijui mwanangu yuko wapi mmi niko tabora namba zangu ni hizi je nawapatanje 0712 697270
Hongereni kwa kazi nzuri mnayoifanya. Samahani naombeni msaada na mimi na familia yetu tumepotezana na Kaka yetu anaitwa Deogratias Alphonce Mrema. Tunaombeni msaada wa upatikanaji wake.
kwanza nawapongeza CLOUDSMEDIA THE PEOPLE STATION hakika mungu ni mwema na analopanga mungu lazima litimie, kupoteana na mwanao au mama yako miaka 35 sio kitu cha kawaida,nimeshindwa kujizuia machozi yamenitoka wakati naangari show ya leo tena,Nawatakia maisha marefu mama na mwanae.
Hata mm jaman kuna mama angu mdogo aliondoka nyumbani mda sana naona hata miaka 45 inafika kaelekea mwanza hadi leo harudigi kijijini jamani tufanyaje ili arudi nyumbani hadi babu kafariki mwaka 2017 lakin yy hakuja kwenye mazishi ya baba yake sasa hatujui kama ni mzima au alishafariki maana hata mawasiliano hatuna nae duuuuh ni shida jamani hongera sana mama kukutana na mwanao na mm naamini ipo siku nitakutana na mama angu mdogo mungu yupo pamoja nasi
Allah azidishe kher na nuru ya kaburi lako izidi kuwaka malaika wema wawe wazungumzaji na wewe mama yng sikujui kwa maan uliniacha nikiwa mdg nakuona kwa picha ila nakuombea dua mno mama yng ila maisha bila mama acheni tu
Hongera sana cloud kwa msaada huo kuwakutanisha ndg hao. Naomba pia mm mnisaidie kumpata baba angu tuliyepotezana naye toka 1993 mwezi 11 huko Simiyu Bariadi Dutwa! Anaitwa Sospeter Ndongo Butanga
Jamani hata mm pia kuna mama angu mdodo aliondoka nyumbani miaka 45 inafika hakumbuka kijijni kabisa wala harudi nyumbani aleelekea mwanza ila yy mama angu mdogo ni mtu wa kondoa hadi babu kafariki mwaka 2017 hakuja kuzika kwenye mazishi ya baba yake yani kaondoka mda sana nyumban kibaya zaidi hata mawasiliano yake hatuna hatujui kama ni mzima au aneshafariki hilo sisi hatujui kabisa sjui tufanyaje ili tumpete huyu mama yangu mdogo angalo aje amuone hata bibi tu babu yy kashatangulia mbele za haki ila bibi yupo ni mama angu mdogo kabisa kutoka mama yangu ndo akafanta yy huyu aliepotea huko mwanza
kwanini afrika kuna uzembe wa kupoteana angali wote wako nchi hiyo hiyo. kwanini serikali isiweke sheria ya watoto na wazazi. nchi za wenzetu bila ya barua ya baba na mama mtoto hawezi kwenda shule wala kusafiri mahali popote. miaka 40 yote hiyo vp hadi inatokea hivo? utafikiri serikali za afrika hazina viongozi.
Jamani sio kwa kulia huku jamani Mwana yutamu uchungu wa Mwana aujuae ni mzazi.subuhana Allah miaka 30 na zaidi haswa mungu n mkubwa jamani.pole kwa yote mliopitia
Daaah yani nimeliwa mwanzo mwsho naimage ndo ningekuwa mie nakuwa bila mama jaman kama mama zetu wapo hai tushukuru mungu en tuwaheshimu sanaa HAKUNA KAMA MAMA yan nimejifunza kitu kikubwa sna leo
Hakuna Kama mama nikitafakari waliyoyapitia wadogo zangu hii dunia hakuna Kama mama hiki kipindi Cha leo tena kinaniliza Sana..rip mom tunakupenda tutakuona mbinguni mama yetu
Mimi nili ibiwa mtoto na mtu alikuwa nime wangu aka mpeleka Sudan sija mu ona mtoto wangu tangu iko na myaka mi 3 ivi iko 16 yrs old sina ata mausi yano ya sim lakini siku mungu ata ni saidiya kumpata mtoto wangu 🙏🏽🙏🏽