Тёмный
No video :(

AFISA ARDHI ATIWA NGUVUNI JUU KWAJUU NA RC MAKONDA LIVE AKIPOKEA RUSHWA YA MILIONI 5 

KUSAGA TV
Подписаться 162 тыс.
Просмотров 16 тыс.
50% 1

Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
RU-vid : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 40   
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 3 месяца назад
Hakika ww ni jembe mh makonda udumu miaka mara dufu❤❤❤❤
@boazmaobe7245
@boazmaobe7245 2 месяца назад
Mungu akupe maisha marefu...huku kenya mbona hamna viongozi kama hawa??? Wezi tu
@samirsamson3996
@samirsamson3996 2 месяца назад
This Man is so brighter keep it up Hon Makonda piga supana kaka
@williamwanga2126
@williamwanga2126 Месяц назад
Unafanya kazi nzuri Arusha DC hakufai
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 3 месяца назад
T M U Mungu azidi kuwalinda....kaazi yeenu ni ngumu zaidi ya kawaida.
@user-uk1io7mk3n
@user-uk1io7mk3n 9 дней назад
Makonda baba yangu fanya kazi mungu yupo pamoja nawe baba
@liliankayoka5892
@liliankayoka5892 3 месяца назад
Safi sana mh mkonda uje na njombe mkuu
@scolasticakaduma5143
@scolasticakaduma5143 3 месяца назад
Makonda hoyeeeeeeeee
@OmaryChipeta-mh2wi
@OmaryChipeta-mh2wi 3 месяца назад
Wote 2pa ndan
@aganolamotoeliya2027
@aganolamotoeliya2027 2 месяца назад
Mkuu wa mkoa ni mmoja tu tazania Master Makonda.
@mountaincoffee7
@mountaincoffee7 3 месяца назад
😅😅😅😂😂😂 uyo dada kigugumizi dah noma sana
@TumainMwambombo
@TumainMwambombo 2 месяца назад
Safi sana makonda karibu songwe
@witnessmollel149
@witnessmollel149 3 месяца назад
Mungu amlinde jmn, anafanya kazi nzuri
@NginaBaruty
@NginaBaruty 10 дней назад
Tunakuombea Rais wetu wa baadae
@pascalmsechu6874
@pascalmsechu6874 2 месяца назад
Dada Mzito kwel
@aganolamotoeliya2027
@aganolamotoeliya2027 2 месяца назад
Wakipatikana kina makonda10 nchi inanyooka 😢😢😢
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 3 месяца назад
Sukuma ndani majambazi wote Ao😂😂😂
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 3 месяца назад
😂😂😂 sukuma ndani
@amanisereni1708
@amanisereni1708 2 месяца назад
Makondo wewe ni nyundo mungu akupe nguvu zaidi ya kuwapiga nyundo.
@user-qd2bz1ik8g
@user-qd2bz1ik8g 2 месяца назад
Nawingi lake mungu wangu dada anajuta kuwa kwenye kitengo hicho
@marianmartin7483
@marianmartin7483 2 месяца назад
Huyo dada anakiburi sana, anavoonekana. Mh piga spana tu.
@evaemil856
@evaemil856 24 дня назад
Madungulushi ni mengi Sana.
@romanamassawe814
@romanamassawe814 2 месяца назад
Sasa nakubali, na kweli vinakaa kama vinatafuta mchumba,
@zidatv1122
@zidatv1122 3 месяца назад
Ukienda ofisini wanakuangalia tu
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 месяца назад
Huyu hana akili yaani kabisa unaona kabisa mambo sio bado unathubutu kupokea hela? Kweli za mwizi 40
@mussahancy6591
@mussahancy6591 2 месяца назад
CHUMA KIKO ARUSHA
@NginaBaruty
@NginaBaruty 10 дней назад
Na Bado wanapokea mshahara
@jacksonsilaa415
@jacksonsilaa415 3 месяца назад
Mfumo mfumo mbaya hauwezi pata kitu chema
@gilliardgodfriend5745
@gilliardgodfriend5745 3 месяца назад
ASKARI AKIONGEA HATA NDEGE WALISEMA AMNGANI MWONGO MWOOONGO 😅😅😅 MNASHINDW kumpata😅😅😅
@user-cq2lt6ho5w
@user-cq2lt6ho5w 3 месяца назад
Million mia600 duh
@josephnemgosi8804
@josephnemgosi8804 3 месяца назад
Tatizo mfumo
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 3 месяца назад
Kaimu wa magufuli oyeeeeeee!!; chapa kazi.
@kwisa4899
@kwisa4899 3 месяца назад
Ccm hii nchi imewashinda
@hajihassan5433
@hajihassan5433 3 месяца назад
Ilikuwa CCM ifanyeje?
@kwisa4899
@kwisa4899 2 месяца назад
​@@hajihassan5433watengeneze mifumo ya kila mtu kushtakiwa chini ya katiba akiwemo Rais
@dismaslalubare4196
@dismaslalubare4196 3 месяца назад
Muheshimiwa makonda.. huyo ocd anakwambia mtuhumiwa amekaa siku kumi lock cup . Hakuogopi kweli kuna sheria ya kumuweka mahabusu mtu siku kumi ?
@victaboy7273
@victaboy7273 3 месяца назад
😂😂😂 wewe jamaa bhna unafatilia sana ishu za makonda
@AllyMaya-yj3xd
@AllyMaya-yj3xd 3 месяца назад
Yaan unawekwa ndani ili usiharibu uchunguzi
@hajihassan5433
@hajihassan5433 3 месяца назад
Ni kweli sheria ipo hivyo lakini unaweza kumuweka ndani mtu technically kwa zaidi ya mwaka yaani kila siku unamkamata upya na siku inaaza hapo. Hoja hapa ilikuwa useme RC hana mamlaka ya kuingilia wala kuwapa amri yoyote Polisi kwa sababu kila mteule wa Rais ana mamlaka kwenye eneo moja tu. RC anamuwakilisha Rais kwa upande wa Serikali tu. Rais ana mamlaka 3, mkuu wa Serikali, Mkuu wa nchi (hii haikasimiwi) na Mkuu wa Majeshi.
@khaliphaabubakar9466
@khaliphaabubakar9466 Месяц назад
@@hajihassan5433na RC ni mwakilishi wa raisi.Hizo lele mama ndio maana nchi inadorora.
Далее
MUWEKEZAJI MKUBWA AMVUNJA MBAVU RC MAKONDA, SEMA UNA..
18:49