Subhaanallah! Ahmed uislam hauabudiwi isipokuwa anaeabudiwa ni Allah hapo ndipo Abubakar Allah amwie radhi alisema kama mnamuabudu Muhammad Basi Muhammad Swallallahu alayhi wasallam amefatiki na kama mnamuabudu Allah basi Allah yupo.
Mimi ni mshabiki wa Simba ila nimefurahi Chama kuondoka Simba,ni kweli ni mzuri ila kwa Simba ya sasa hivi inahitaji wachezaji wepesi sana.Tumekosa ubingwa mara 3 tukiwanaye na tulipata ubingwa karibia mara 4 tukiwanaye.Kwahiyo kwa sasa akatoe radha upande wa pili.Simba bingwa mwaka huu.❤️❤️❤️❤️
Nakuunga mkono bado mabeki 4 na 5 wenye Kasi waongeze na viungo Namba 6 8. Namba 10 lakini pia mabeki wa pembembeni waongezwe ili ikitokea Kuna majeruhi Bado tunakua na hakiba ya wachezaji
Na ndungu zake jamaa Hawa hapa wasani kumbe ona mana KUNA MDA UNAWEZA KUTENGENEZA MAHISIANO YAKO KUPITIA HII MOVIE ONE NA TWO YAKE NIWEWE KUTAZAMA HAPA NA UTANISHUKU UKINIELEWA NI KAZI YENYE KUJENGA SIO COMEDY TAZAMA ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-b1fjhNEBjP8.html&si=ZE9tNM5ZZFQ8CAwj
Jamani tusijitoe akili mwamba wa lusaka ni hatari hapa kazi tunayo. Na ww mbwa msemaji lopolopo wewe siulisema Chama hawezi kucheza nyuma mwiko. Kbumb ww
Soka la bongo linaenda kuwa kubwa sana mbeleni. Mimi ni Yanga ila Simba sio wa kubezwa wanafanya sajili nzuri kimya kimya naamini kuna kazi ngumu sana msimu ujao. Kuwa na mastaa wengi kuna hasara sana hasa timu ikikosa morale ya kutosha. Lazma yanga ijipange kuwahudumia hao mastaa kwakuwa naamini maslahi ndo kitu muhimu kwao ili wasikose morale lasivyo itatugarimu
Samahani msemaji sahihi ni " wale waliokuwa wana muabudu Mohamad basi Mohamad amekufa na wale waliokuwa wakimuabudu Allah basi Allah yupo hai milele " na si kuuabudu Uislamu
Kiufupi nimeipenda hii ya kuachana na Chama ambaye ametumikia kwa misimu ya kutosha. Hii itaipa nafasi Simba kusajili wachezaji wengine wenye umri Mdogo ambao wataitumikia kwa hamu ya mafanikio. Ninauhakika Simba itakuwa nzuri sana maana watakuwa wakipambana sana wakiwa wageni kuliko wanaojifanya ni wenyeji.
Hujamfahamu yy amenuu kauli ya swahaba wa mtume baada ya mtume kufaeiki walikuwa wametaharuki akasima akasema hayo maneno kwasabu walokuwepo wanafiki akisema kama anaabudiwa mtume
Wenda wewe mwenyewe unatokana na hao wanyama make ushabik huo ni wa kishamba huwezi ita watu kuwa n mbwa bro. Jipime na kauli yako . Tambua timu hizi zitabaki miaka na miaka ila sisi matusi haya hayatusaidii baada ya hatma yetu hapa duniani.