Тёмный

AHMED ALLY AONGEA KWA UCHUNGU CHAMA SIO MCHEZAJI WETU TENA SIWEZI KUMUONGELEA FEI NDIO MBADALA 

BONGO TRENDY TV
Подписаться 236 тыс.
Просмотров 79 тыс.
50% 1

Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
Na kulike facebook page Bongo trendy online

Развлечения

Опубликовано:

 

30 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 142   
@abelimaganga417
@abelimaganga417 3 дня назад
Huyu jamaa yuko smart Sana siyo wale oya oya ndiyo maana halisi ya semaji la CAF nakubali semaji one love❤❤❤❤
@cosmasmwaitete5004
@cosmasmwaitete5004 3 дня назад
Yuko smart anaacha kuhojiwa anaulizia kula hahahaaaa
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 3 дня назад
@@cosmasmwaitete5004 kajambe 😂
@CeciliaTimotheo
@CeciliaTimotheo 3 дня назад
Simba nguvu moja, hata mm namkubali sana Ahmed Ally🦁💪🙏
@isakajunior7139
@isakajunior7139 3 дня назад
Unajua maana ya smart? Huyu si ndo alimpromote Feisali kwenye page yake? Akamhoji mayele mchezaji wa timu nyingne? Huyo ni smart ktk level ya umbumbu kwasabbu huwa anakurupuka sana ktk vitu vingi sana
@EvaNtalwila
@EvaNtalwila 2 дня назад
Semaji la chama langu, upo vizuri sanaaaa❤❤❤
@milikimbembela8670
@milikimbembela8670 3 дня назад
Unaongea kisomi sana bro nakubali✅✅✅
@laurentjoseph2381
@laurentjoseph2381 3 дня назад
Watakuja wengene tu na mtamsahau chama, Simba nguvu moja
@yajuxFinaliste
@yajuxFinaliste 3 дня назад
Mbona sauti Dongo .nipe like zangu kwaza ,🇨🇩🇨🇩
@RamsonAloyce
@RamsonAloyce 3 дня назад
J.mtale yupo msiwaze semaji liko sahihi.
@allykagawa
@allykagawa 2 дня назад
Ila huyu jamaaa 🙌🙌
@oceanmarkcompanylimited4863
@oceanmarkcompanylimited4863 3 дня назад
Umechemka sana. Kuondoka kwa Chama unakufananisha na kufa kwa Mtume Muhammad. Acha ujinga huo.
@saidsalum6101
@saidsalum6101 3 дня назад
Wewe ndiyo mjinga wamwisho kwani chama nawachezaji wengine wanautofauti gani alikuwepo mwamba okwi na alikuwepo mbwana samata na kaipa pesa nyingi sana simba kauzwa mala mbili nzima nasimba ikafaidika kuuzwa kwake
@user-bc2wd1sq3k
@user-bc2wd1sq3k 3 дня назад
Hujamuelewa alivyo ongea na alicho kimaanisha ahmedi,msikilize vizuri.
@mussakarata6650
@mussakarata6650 3 дня назад
Mbn kaongea vizur kabsaaa na katoa mfano usio na haja ya swali Wala comment
@buruhanusongoro7535
@buruhanusongoro7535 3 дня назад
Hapo alichokosea ni kuwa alitakiwa kusema "aliyekuwa akimuabudu Muhammad (s.a.w), Muhammad amekufa na aliyekuwa akimuabudu Allah(s.w), Allah yupo na hafi milele kwa maana anayepaswa kuabudiwa kwa haki ni Allah pekee. Na msemo huu ulitolewa na Swahaba Abubakar(a.s) baada ya Mtume kufa na baadhi ya maswahaba wakitaka kukataa taarifa hiyo ya kifo. Hivyo mfano wa Chama hauingii hapo hata kidogo, chama ni mdogo mno na hajulikani na wengi pia hajafa
@ZachariaMalugu
@ZachariaMalugu 2 дня назад
Ww kumbe ni chizi chama ni nani ww au chama na Simba Nan mkubwa usiishi kwa kukalili muache akatfte masilahi yake hata kama ungekuwa ww
@ZAMZUNZAMIRU
@ZAMZUNZAMIRU 3 дня назад
Mi ni simba forever mie sio mshabiki wa chama mi ni shabiki wa simba
@LindaMbilinyi
@LindaMbilinyi 2 дня назад
Kbsaaa
@skullboy_karimh
@skullboy_karimh 3 дня назад
Kwenye jina langu ongeza chama jr hapn mbelen🎉🎉🎉 I love you yanga 💚💛💚💛💚
@florianhaule4757
@florianhaule4757 3 дня назад
Nakukubali Sana mashine yetu ya kuongea
@protaspessa8615
@protaspessa8615 3 дня назад
Bora ameondoka kelele zipungue ndan ya simba Simba kubwa kuliko mchezaj yeyote
@user-ou9tk1rp1p
@user-ou9tk1rp1p 2 дня назад
Ongera sana semaji lakafu ❤❤❤❤❤🎉🎉
@BabamankerPresenter
@BabamankerPresenter День назад
Nakukubali semaji la caf
@bonifacemgaya3448
@bonifacemgaya3448 3 дня назад
Acha aende kazingua sna, utaniambia mziki tulionao Simba usajili huu utafurahi mwenyewe, Kila dirisha ana oandisha dau, sasa uko alipo enda uta niambia!! Nipo palee nakaa
@JoslinMwakasonda
@JoslinMwakasonda 2 дня назад
Ata kuandika aujui..ndo maana aueleweki
@bonifacemgaya3448
@bonifacemgaya3448 День назад
@@JoslinMwakasonda Bora wewe unae jua mungu amekubariki,
@RenatusFumbuka-gw4jo
@RenatusFumbuka-gw4jo 3 дня назад
Ronaldo kaondoka Madrid na bado wanatamba TU sembuse chama
@skullboy_karimh
@skullboy_karimh 3 дня назад
Hili nalo limekuuma axee. 😂😂😂😂
@KakeSimba
@KakeSimba 2 дня назад
Sembuse chama Hilo neno
@mabruckmohamed2699
@mabruckmohamed2699 2 дня назад
Aondoketuu
@NasraSeleman-nr8el
@NasraSeleman-nr8el День назад
Hahaha huna ishu
@renatusmwanakatwe-gl9xb
@renatusmwanakatwe-gl9xb 3 дня назад
watu wa mtaani kwangu nimewaambi yanga kumsajili chama ni mwanzo wa kuharibika kwa yanga ni mtazamo tu maana sajili yake ni ya kisiasa hivi.
@stellaassaa7141
@stellaassaa7141 3 дня назад
unaweza kuwa na akili sana wewe na mtazamo wa mbali sana
@HancDeking
@HancDeking 2 дня назад
Aende Simba ni kubwa kuliko yeye so Always simba❤
@saidalhinai1131
@saidalhinai1131 3 дня назад
Miaka 3 chama yuko simba hakufa chochote ila migongano na coacher au wachezaji bora ameenda ndo maana alitaka mkataba wa miaka 2 maana umri umeenda ale mshahara wa bure pesa aliyotaka yy tunaleta wachezaji 2 na vijana bado maana tumeondoa kirusi ktk simba utaona simba bila yy ni bora
@AmaniKasekwa-uw8hp
@AmaniKasekwa-uw8hp 2 дня назад
Semaji uko vizuri ila tuna omba viongozi wawa sajili fesali na fisitoni mayele fuledi Hana uwezo wa kuchezea simba naye aende au mukopeshe kwa mkopo
@AmiriHamisi-s5z
@AmiriHamisi-s5z 3 дня назад
😂😂😂😂 zima mzk semaji linaongea
@charlestesha4202
@charlestesha4202 2 дня назад
Simba ndio imemtengeneza chama maana chama ametambulishwa na Simba naamini tutapata mfalme mwingine km chama wangap wamepita na bado Simba ipo imara Simba nguvu moja
@gnasnassary9475
@gnasnassary9475 19 часов назад
Ase katika hatua Simba tuliyopiga ni hii ya kumnasa Ahmed Ally aka kispika 😅😅😅ana piga shuti la kuwanyamazisha midomo wapinzani lenye spidi ya treni sgr😂😂😂
@user-kw6kl6fz4d
@user-kw6kl6fz4d 3 дня назад
Simba nguv 1 Simba nikubwa kuliko chama acha aende zake mbn Simba ijayo inafurahisha
@EddyMundo-j5x
@EddyMundo-j5x 2 дня назад
Siku zote hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho tupo kwa ajili ya kutengeneza timu na si kumnufaisha mtu
@DeodathChinyamba
@DeodathChinyamba 3 дня назад
Timu isiishi kwa kumtegemea mtu. Simba itakuwa bora tu hata bila chama
@kulwahemedi1110
@kulwahemedi1110 2 дня назад
Dah uyu hanamfano hapa bongo apewe maua yake
@lusajomwakajoka4955
@lusajomwakajoka4955 3 дня назад
Mimi nilisema simba ilitufke sehem nzur lazima cham aondoke amezeeka mguu mbovu kama majinjah aseeee anakimbia kama kilema na wakati n mzima
@NerriaGeorge
@NerriaGeorge 3 дня назад
For real it's more pain Chama to go to Nyuma mwiko 😢😢but any way let us to forgot him
@KhamisHaroub-uj5ci
@KhamisHaroub-uj5ci 3 дня назад
To forget not to forgot
@user-hn4kf2mn9q
@user-hn4kf2mn9q 3 дня назад
😂😂😂kaaaaa emmanuelmayunga 1518 nimecheka mbaka basi chama anakomwe kama kipaa kwakweli mwamba tunampenda tusijidanganye inatuumasema kujibalaguza
@erickmsigomba5340
@erickmsigomba5340 3 дня назад
Aende tu akahongwe vizuri
@user-bc2wd1sq3k
@user-bc2wd1sq3k 3 дня назад
Hakika mwaka huu ligi ni ngum,simba fanyeni usajili kweli maana bila upendeleo yanga iko vizuri,kwa safu yao,ukiangalia Aziz k,pakome,chama,gwede,mzize,max,chama,hakika inatisha,sasa pamoja na kuleta dam changa lakini kama tutataka turudi kwenye ufalume wetu lazima kutafuta wachezaji wenye uzoefu na wenye uwezo wa hali ya juu,kwa hyo nilazima ufanyike usajili wa gharama.
@aishakamota6012
@aishakamota6012 3 дня назад
Wapo zaidi ya Chama Chama aliikuta Simba na ametoka atakuja mwingine atatoka mwingine tena atatoka kikubwa umakini kwenye usajiri ili kumsahau aliyepita unahitajika hatutaki kubahatisha usajiri huu
@tobadinamhegele8055
@tobadinamhegele8055 3 дня назад
Inauma lakini mtasahau kama Sisi tulivyoumia kuhusu mayele, lakini ilifika mda tulikubali na kuelewa kua timu Ni kubwa kuliko mchezaji ..mjipe mda mtasahau tu
@KakeSimba
@KakeSimba 2 дня назад
Nikweli mtani Hilo neno
@user-xs3ko8pg2g
@user-xs3ko8pg2g 3 дня назад
Mwacheni chama aende , kule yanga watu wanafuata pesa za tozo, zinazotolewa na waziri wa mshiko
@user-il6rm7cj1g
@user-il6rm7cj1g 3 дня назад
Semaji❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@DevidMarhias
@DevidMarhias 3 дня назад
Inabidi tumuache tu kwani hata yeye alikuwa na kero zake nyingi sana
@AllyAllyShukuru-of3dt
@AllyAllyShukuru-of3dt 3 дня назад
true speak
@FadhirHemedy
@FadhirHemedy 3 дня назад
Wale ambao walitoa ahadi tunaomba itekelezwe jamaniiiiiii!!
@KarimMatua-u1d
@KarimMatua-u1d 3 дня назад
Iila harmonize
@neemadaniel3173
@neemadaniel3173 3 дня назад
Kila la kheriii kwake
@pelagiamachalo3350
@pelagiamachalo3350 3 дня назад
Simba nguvu moja
@EmmanueljalamoEmmanuel
@EmmanueljalamoEmmanuel 9 часов назад
Kwel
@simonIbrahim-hc8vm
@simonIbrahim-hc8vm 3 дня назад
Unahojiwa unawaza kula Daah hili kenge kweli li Amed ally
@FadhirHemedy
@FadhirHemedy 3 дня назад
Wale walio haidi ahadi basi watekeleze ahadi zao chonde chonde
@SwafaaSaid-s5y
@SwafaaSaid-s5y 2 дня назад
Wapo wapi kinaokwi kagere sembuse huyo chama aende tyuu
@locksterabdon
@locksterabdon 3 дня назад
kabisa
@CatherineJohn-co7lw
@CatherineJohn-co7lw 3 дня назад
Huyo nae ana usimarti gani sasa au hunataka kitulazimisha tucheke😮😮😮
@KisadoMasta
@KisadoMasta День назад
Hakuna kitu kibaya Kama kujikaza kwenye maumivu makolo kulia ni dawa sio majungu Kama mlimucha talabu za nini mwaka lobo
@zainiamohd6234
@zainiamohd6234 3 дня назад
Good
@IddMMhina
@IddMMhina 3 дня назад
Chama anaumuhimu wake Simba tumepoteza mtu sana..hata tusemeje lkn tumechemka.
@makejamaduhu7618
@makejamaduhu7618 3 дня назад
Watu wanajifariji tuunila ukweli umesema na akitupiga TU hata goli Moja ndo tutakapoumia yaani wewe acha tuu. Sisi tuwabebea kichwa wao morson lakini wao wamepiga pakubwa
@andekisyenasibu312
@andekisyenasibu312 3 дня назад
Chama ameisaidia nn ssc tangia arudi kutoka Rs Bekane? Mfate
@abiaslaurian9331
@abiaslaurian9331 3 дня назад
Football ni biashara hizi mambo ni kawaida tu hakuna pengo wala mwanya
@somonmumba9577
@somonmumba9577 3 дня назад
Maisha yanawezekana bila chama ndugu wacha kuishi kwa kukariri
@shaabanmaziku9045
@shaabanmaziku9045 3 дня назад
Sema umepoteza sio tumepoteza.. kama vopi hameni nae
@andekisyenasibu312
@andekisyenasibu312 3 дня назад
We the Simba sc
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v 3 дня назад
Daa CHAMA NI KAMA MTUME MOHAMAD
@user-ei3lk8pu7o
@user-ei3lk8pu7o 3 дня назад
Mbape yupo free..
@johnurassa3209
@johnurassa3209 3 дня назад
Acha siasa mpira ni sayansi vunja mikataba mliowaleta kwa pacent zenu hatumtaki Jobe ,onana,abubakarsir,,Fred,kanute,
@user-ld6fy2fi5s
@user-ld6fy2fi5s 3 дня назад
Yani mnamwachia chama kwenda kwa yanga mmenifanya nikumbuke zile gori 5 kila mda
@user-ny1wh3ue8n
@user-ny1wh3ue8n 3 дня назад
Kaka wewe ndio fulaa yetukwasasa unatu weza😂😂zimamziki
@AllyMasangaluka-bm5ib
@AllyMasangaluka-bm5ib 3 дня назад
Timu kubwa sikuzote lkitaka mchezaji sehemu yyte anachukiliwa tu unasemaje??
@adilhabib8988
@adilhabib8988 2 дня назад
Kaondoka medi kageree
@abubakarishariff8489
@abubakarishariff8489 3 дня назад
Kama jobe yupo Simba Amna kitu kwasasa wala sipati tabu yakushaingilia timu yetu ya wababaishaji
@KakeSimba
@KakeSimba 2 дня назад
Simba nguvu 1 chama ndonani
@SalminiMussa
@SalminiMussa 3 дня назад
Hakika simba kubwa kuliko chama
@AminaMohamedmgomba
@AminaMohamedmgomba 3 дня назад
Mwache aende si kaamua mwenyewe habembeleze yeye nani ? Lakini atajuta
@elimbotoraphael3940
@elimbotoraphael3940 3 дня назад
Ishu ipo wazi..chama kwenda Yanga ndiyo inayosumbua.not otherwise
@MohamedMustafa-id5gr
@MohamedMustafa-id5gr 3 дня назад
Pa omar jobe bado yupo sana simba 😂😂😂 dah' simba yangu
@alphoncealmack9240
@alphoncealmack9240 3 дня назад
Chama ndio kaamua kuondoka simba kuanzia viongoz, mashabiki na simba woote; hawakutaka kabisa chama aondoke kafuata mpunga mnene lkn wasijipe moyo wameumia sanaaaaa
@adilhabib8988
@adilhabib8988 2 дня назад
Mm nataka simba wahame wote wote wote libaki neno simba tu basi mm nabaki na simba
@DeodathChinyamba
@DeodathChinyamba 3 дня назад
Nina imani na Simba yangu na sikuwa na imani kwa chama peke yake
@alikokayange1089
@alikokayange1089 3 дня назад
Ni kweli Kama anayempenda chama kuliko Simba ssc,amfuate Aliko hamia.
@MashakaMaduhu
@MashakaMaduhu 3 дня назад
Hamna. Noma. Shehe❤😂😢😮😂❤
@drallan6879
@drallan6879 3 дня назад
we have failed greatly Ahmed;no chama the gap is obvious;bad enough :wale uliwaita Madeni Fc wametupiga mchana peupe
@BarakaBernado
@BarakaBernado 3 дня назад
Ww mshamba wa mpira
@EstherMagan-v1i
@EstherMagan-v1i 3 дня назад
Tulimpenda lakini kaamua kuondoka imetosha tutafute mubadala wa kutuvusha
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 3 дня назад
Simba nguvu mojaaa, Chama namba zinamhukumu kadrop aende tuuu, kwanza anakomwe kubwa kama kibaraza kilichopauliwa jana
@vedastusmlavumba1158
@vedastusmlavumba1158 3 дня назад
Eti Joshua, mnajifariji tu
@vedastusmlavumba1158
@vedastusmlavumba1158 3 дня назад
Mpumbavu wewe
@AbrahmanSaid-v1k
@AbrahmanSaid-v1k 3 дня назад
Jmn Nasibuuuuuu😂😂😂
@wambulamatale-ch5wj
@wambulamatale-ch5wj 3 дня назад
Kiukwel mm binafsi chama kaniuma kwenda yanga Bora angeenda Azam au biashala au nje ya nchi kulko yanga dah yaan naskitika kama vile kaaga dunia😂😂😂😂😢😅
@ezzepuritykamwene2121
@ezzepuritykamwene2121 3 дня назад
Chama ni binadam km wengine ,, hta asingetoka ipo siku angestaaf,,
@user-ni5nh5fx3m
@user-ni5nh5fx3m День назад
Eilm ipo semaji ujawai kukosea
@stellaassaa7141
@stellaassaa7141 3 дня назад
bila kuficha nimeumia sana na nadhani wapenzi wangu wameumia kama mm, lakini mwache aende japo tulimpenda sana, viongozi wanapaswa kulaumiwa kushindwa kumbakiza chama. yawezekana chama alichoka na kero za uongozi labda. lakini angalizo kwa chama wachezaji waliokuwa vipenzi vya timu hz 2 ukuhamia upande wa 2 mafanikio huwa kidogo. but tumtakie kila la heri huko mbele ya safari.YAKIMSHINDA TUMWAMBIE ARUDI SIMBA NI KWAKE
@mirajidrissa9139
@mirajidrissa9139 3 дня назад
Ameingia kwenye kumi na nane ya watu😂😂😂😂
@roberttagaya9098
@roberttagaya9098 3 дня назад
Ila Ahmedally bana. Eti mashine ya kuongea😂😂
@KaifaAlly-f4q
@KaifaAlly-f4q 3 дня назад
Msimu ujao Simba itashika nafasi ya tano
@user-zx5hi2jq6o
@user-zx5hi2jq6o 2 дня назад
Asei amedi aliy unajuwa kuongea we kwali mashine
@TheobardMtakyara
@TheobardMtakyara 3 дня назад
Semaji uko sahihi kwani wao mayere je
@user-tm1bq9wk9k
@user-tm1bq9wk9k 2 дня назад
Kwele ndokwanzaleo umeongea p
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 3 дня назад
ILA NYIE MNASHANGAZA SANA KWANI CHAMA NIWAKWANZA KUHAMA TIMU?WAMEHAMA AKINA MESSI NA RONALDO NA MBAPPE HAO NI BAADHI TUU CHA AJABU NNN? WACHA WAPOTEZE MUDA WAO. HAWANA KAZI HAO. SASA ANGEKUWA MBAPPE BASI WAN NI MBAPPE INGEKUWAJE? C WANGETEMBEA NCHI NZIMA TUJIFUNZE KWA WENZETU HAWANA KELELE
@Kim19onlinetv
@Kim19onlinetv 3 дня назад
Sasa kakosea nin kwa kunukuu kauli ya saydina Abuu bakar sema yey kakosea sentence isimayo aliye kua anamubudu Allah Allah yu hai
@AbdullahChuma
@AbdullahChuma 3 дня назад
Mue mnaelewa ni mfano katoa wa kidini kujenga hoja yake
@hasanimohamedi279
@hasanimohamedi279 3 дня назад
maskin umekuw mpoleee😂😂
@MudhwaraMaundu
@MudhwaraMaundu 3 дня назад
Ndomanano ya ball
@MagaliAmani
@MagaliAmani 3 дня назад
Chama siokitu acha aondoke
@charlesmarera3497
@charlesmarera3497 3 дня назад
Kwangu sina shida kabisa aende tu alikuwepo umefika muda wake sasa.
@ibrahmenard
@ibrahmenard 3 дня назад
nasibuu vipiii punguza mziki bhanaa😂😂😂😂
@eleuteriusmmuru8624
@eleuteriusmmuru8624 3 дня назад
Semaji kafurah chama kwenda yanga😂😂😊
@AbdullahChuma
@AbdullahChuma 3 дня назад
Kuweni makini yule mungine ni oya oya
@RamadaniThabiti
@RamadaniThabiti 3 дня назад
Muache aende kama ameamua kwenda .
@user-yt1lz6hz5p
@user-yt1lz6hz5p 3 дня назад
Msemaji mwenye akili timamu
@user-qb3nr6gl1z
@user-qb3nr6gl1z 3 дня назад
Semaji Leo umeongea vzr San kwasababu yey ni Nani kwenye simba tuaze maisha mpy
@DidahsMisana
@DidahsMisana 3 дня назад
Yyy
@user-qb3nr6gl1z
@user-qb3nr6gl1z 3 дня назад
@@DidahsMisana wangemuacha saidoo wamutoe Chama mim nimeumia na said huyo Cham aende 2 teen namtakia safari njeem
@HERMANNKWATILEHERMANNKWATILE
@HERMANNKWATILEHERMANNKWATILE 3 дня назад
Jamani leten pepeo mnipepee mi nakufa
@tobadinamhegele8055
@tobadinamhegele8055 3 дня назад
Wapi nikufate
@richardmwaibula1582
@richardmwaibula1582 2 дня назад
SIZITAKI MBIVU HIZI.
@amanifadhi
@amanifadhi 3 дня назад
Huyujama anaakilikubwa
Далее
Телега - hahalivars
0:55
Просмотров 1,8 млн