Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV Na kulike facebook page Bongo trendy online
Unajua maana ya smart? Huyu si ndo alimpromote Feisali kwenye page yake? Akamhoji mayele mchezaji wa timu nyingne? Huyo ni smart ktk level ya umbumbu kwasabbu huwa anakurupuka sana ktk vitu vingi sana
Wewe ndiyo mjinga wamwisho kwani chama nawachezaji wengine wanautofauti gani alikuwepo mwamba okwi na alikuwepo mbwana samata na kaipa pesa nyingi sana simba kauzwa mala mbili nzima nasimba ikafaidika kuuzwa kwake
Hapo alichokosea ni kuwa alitakiwa kusema "aliyekuwa akimuabudu Muhammad (s.a.w), Muhammad amekufa na aliyekuwa akimuabudu Allah(s.w), Allah yupo na hafi milele kwa maana anayepaswa kuabudiwa kwa haki ni Allah pekee. Na msemo huu ulitolewa na Swahaba Abubakar(a.s) baada ya Mtume kufa na baadhi ya maswahaba wakitaka kukataa taarifa hiyo ya kifo. Hivyo mfano wa Chama hauingii hapo hata kidogo, chama ni mdogo mno na hajulikani na wengi pia hajafa
Acha aende kazingua sna, utaniambia mziki tulionao Simba usajili huu utafurahi mwenyewe, Kila dirisha ana oandisha dau, sasa uko alipo enda uta niambia!! Nipo palee nakaa
Miaka 3 chama yuko simba hakufa chochote ila migongano na coacher au wachezaji bora ameenda ndo maana alitaka mkataba wa miaka 2 maana umri umeenda ale mshahara wa bure pesa aliyotaka yy tunaleta wachezaji 2 na vijana bado maana tumeondoa kirusi ktk simba utaona simba bila yy ni bora
Simba ndio imemtengeneza chama maana chama ametambulishwa na Simba naamini tutapata mfalme mwingine km chama wangap wamepita na bado Simba ipo imara Simba nguvu moja
Ase katika hatua Simba tuliyopiga ni hii ya kumnasa Ahmed Ally aka kispika 😅😅😅ana piga shuti la kuwanyamazisha midomo wapinzani lenye spidi ya treni sgr😂😂😂
Hakika mwaka huu ligi ni ngum,simba fanyeni usajili kweli maana bila upendeleo yanga iko vizuri,kwa safu yao,ukiangalia Aziz k,pakome,chama,gwede,mzize,max,chama,hakika inatisha,sasa pamoja na kuleta dam changa lakini kama tutataka turudi kwenye ufalume wetu lazima kutafuta wachezaji wenye uzoefu na wenye uwezo wa hali ya juu,kwa hyo nilazima ufanyike usajili wa gharama.
Wapo zaidi ya Chama Chama aliikuta Simba na ametoka atakuja mwingine atatoka mwingine tena atatoka kikubwa umakini kwenye usajiri ili kumsahau aliyepita unahitajika hatutaki kubahatisha usajiri huu
Inauma lakini mtasahau kama Sisi tulivyoumia kuhusu mayele, lakini ilifika mda tulikubali na kuelewa kua timu Ni kubwa kuliko mchezaji ..mjipe mda mtasahau tu
Watu wanajifariji tuunila ukweli umesema na akitupiga TU hata goli Moja ndo tutakapoumia yaani wewe acha tuu. Sisi tuwabebea kichwa wao morson lakini wao wamepiga pakubwa
Chama ndio kaamua kuondoka simba kuanzia viongoz, mashabiki na simba woote; hawakutaka kabisa chama aondoke kafuata mpunga mnene lkn wasijipe moyo wameumia sanaaaaa
bila kuficha nimeumia sana na nadhani wapenzi wangu wameumia kama mm, lakini mwache aende japo tulimpenda sana, viongozi wanapaswa kulaumiwa kushindwa kumbakiza chama. yawezekana chama alichoka na kero za uongozi labda. lakini angalizo kwa chama wachezaji waliokuwa vipenzi vya timu hz 2 ukuhamia upande wa 2 mafanikio huwa kidogo. but tumtakie kila la heri huko mbele ya safari.YAKIMSHINDA TUMWAMBIE ARUDI SIMBA NI KWAKE
ILA NYIE MNASHANGAZA SANA KWANI CHAMA NIWAKWANZA KUHAMA TIMU?WAMEHAMA AKINA MESSI NA RONALDO NA MBAPPE HAO NI BAADHI TUU CHA AJABU NNN? WACHA WAPOTEZE MUDA WAO. HAWANA KAZI HAO. SASA ANGEKUWA MBAPPE BASI WAN NI MBAPPE INGEKUWAJE? C WANGETEMBEA NCHI NZIMA TUJIFUNZE KWA WENZETU HAWANA KELELE