Kipindi cha kwanza kusikika cha CROWN SPORTS 92.1 CROWN FM. Msemaji wa Klabu ya Yanga SC Ally Kamwe atakua Live akitujuza kuhusu usajili, mipango, kambi ya Yanga SC na kuhusu mashindano ya Kagame Cup yajayo. #CROWNSPORTS #CROWNDIGITAL
kipindi kimenivutia sana kukisikiliza online,ila ningeshauri tujitaidi sana kuacha kuwa wasemaji wa clubs ila mjikite zaid kwenye uchambuzi wa kitaalam sio ushabiki,hansraffael naamin utarithisha hiyo attitude wenzio ww ni mchambuzi bora kwangu miongoni mwa ninao wajua,achen tabia ya zile kituo tuluchokiama