Тёмный
No video :(

AHMED ALLY" SIMBA TUNA FEISAL KAMA 70/CHAMA TUTAMPA THANK YOU/MANURA NI MCHEZAJI WETU 

Mpenja TV
Подписаться 531 тыс.
Просмотров 31 тыс.
50% 1

Leo July 16,2023 Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally ameeleza maandalizi yao kuelekea Msimu mpya wa Ligi kuu ya NBC PL.
Aidha Ahmed Ally amezungumzia Maandalizi ya Kuelekea Simba Day tarehe 03 Agosti 2024

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 84   
@FrankKashamakula-xb1pc
@FrankKashamakula-xb1pc Месяц назад
Samaji huwa hapendi kuzungumzia Yanga kabisa nani anagundua ilo
@danielchamoto9376
@danielchamoto9376 Месяц назад
Ana akili sana huyu jamaa😂😂
@athumanibakari8618
@athumanibakari8618 Месяц назад
Ndiyo Rahaa ya Kuwa na Msemaji Msomi
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 Месяц назад
@@athumanibakari8618yule ashura kutwa simba simba 🎉
@abdallahal-khaify
@abdallahal-khaify Месяц назад
Yule dogo wa nyuma mwiko kazi yake kuzungumzia habari za Simba badala ya kuzungumzia nyuma mwiko yao anaweweseka na Simba , juzi analeta habari za uongo kuwa eti "wamefungwa goli sita kisha hawasemi " .
@seikhan5115
@seikhan5115 Месяц назад
hii ni fact kwel hyu mwamba aongelei timu ya yanga yupo bize na simba tu 😅😅😅 UBAYA UBWELA
@zakwetuupdate3387
@zakwetuupdate3387 Месяц назад
MASHINE INATEMA madini🔥🔥🔥
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np Месяц назад
Chama anawaumiza Sanaa Simba hiiiii Kali sana
@user-vd3ce2zv5p
@user-vd3ce2zv5p Месяц назад
Mbona mnafosi tuumie kiukweli mimi sioni cha kumuumiza kwa uyo chama alikua anajiona star sana
@simonjoseph4337
@simonjoseph4337 Месяц назад
Panya nn ww
@bone102
@bone102 Месяц назад
Kama hujui chama kaondoka Simba mara ya pili nw sasa tuumie vip wakat tushazoea kuondoka kwake
@KajunaJovinary
@KajunaJovinary Месяц назад
​@@bone102na alivyorudi mkamshangilia sana maana ndo mlienda kushiriki shirikisho na mkatolewaaa😅😅😅😅😅
@SaidiMngoko
@SaidiMngoko Месяц назад
Chama aliwahi kuondoka,lakini simba ilibaki kwenye nafasi nzuri kuliko sasa wakati chama yupo simba!! Au mmesahau
@wencerich
@wencerich Месяц назад
Machine ya kuongea hana mda wa kuwaongelea Team nyingine Akili nyingi kwa kichwa 😂😂😂😂😂😂
@kolosii4351
@kolosii4351 Месяц назад
Hapa pa Chama mnajiabisha sana. Ni aibu kubwa. Ni kama mwanamke unamwacha halafu unajifungia chumbani kulia kisa mke yupo nyumba ya jirani.
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 Месяц назад
nani kalia kwa mo mambo mazuri ata chama ameanza kujuta 😂
@danielmasatu3285
@danielmasatu3285 Месяц назад
mifano gan iyo ushawai kulia nn jombaa
@scalionmulokozi9566
@scalionmulokozi9566 Месяц назад
Akapambanie kesi ya Hersi
@hgki313
@hgki313 Месяц назад
Kafie mbele
@JumaJux-fn3ff
@JumaJux-fn3ff Месяц назад
Mtalaka hatongozwi broo
@MajidMajid-ll8mf
@MajidMajid-ll8mf Месяц назад
Semaji bora ndani ya medani ya michezo nchini na dunia
@Salum-ij6mg
@Salum-ij6mg Месяц назад
Uyu ana cha kuoji
@josiacharles2778
@josiacharles2778 Месяц назад
Jamani chama anaezungumziwa na awa wandishi siyo chama uyu wa sasa nichama wa miaka 4 nyuma.
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l Месяц назад
Simba nguvu moja 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@bensonokwaro9225
@bensonokwaro9225 Месяц назад
na kama "ubaya ubwela' itakuwa kweli mbona 2ta enjoy kuckiliza tambo zako ahmed
@bensonokwaro9225
@bensonokwaro9225 Месяц назад
semaji hvi unatoaga wapi maneno ww❤
@IddyMzuri
@IddyMzuri Месяц назад
JAMAA ANAJUA AISEE, HUYU NI SEMAJI LA FAMILY
@KajunaJovinary
@KajunaJovinary Месяц назад
Anajua au ni comedian?? Yani ww humjui Kazi?? Ndo anamsifia utafikiri ni Puyo
@user-ff1it9og8y
@user-ff1it9og8y Месяц назад
Semaji la cuf,Shirikisho na Simba sports ❤❤❤ ubaya ubwela Yanga maji yamemwagikaaa Eng ????
@serekachacha-zg2vp
@serekachacha-zg2vp 23 дня назад
Jamani jeni yu wapi
@HalifaMohamedMohamed-pr5eh
@HalifaMohamedMohamed-pr5eh Месяц назад
Everything is possible on the earth surface when you will depend on GOD 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@THADEOCHUNDU-eu3ez
@THADEOCHUNDU-eu3ez Месяц назад
Sema Chama anakuumiza wewe sio simba.
@user-hd5rn8fh5b
@user-hd5rn8fh5b Месяц назад
Mashiiiiine ya kuongea😂😂😂😂 ,❤❤🦁🦁🦁💪
@mrishotv5553
@mrishotv5553 Месяц назад
Kweli ss hii pw
@halidmauga96
@halidmauga96 Месяц назад
Hakuna mahojiano ya kusikiliza,
@gaspergasper5163
@gaspergasper5163 Месяц назад
Eti Shakira shakiraa😂😂🙌🏽
@ibrahimally8073
@ibrahimally8073 Месяц назад
Haka kajamaa hakajui kuhoji.. jenny yupo wapi sijui.. hiki kinjemba kinaboa kinavyo hoji..
@niyogushimaOscar-bh6mj
@niyogushimaOscar-bh6mj Месяц назад
Hivi huyu jama ako anauliza ao ako anamwambia habari ya yanga na Azam?mpenja huu ulimtowa wapi kweri umetuangusha
@emmanuelzwallo3933
@emmanuelzwallo3933 Месяц назад
Kwa WACHEZAJI HAO NDO UNASEMA UNAKUSANYA MATAJI?NGOJA NICHEKE SASA
@briansenga584
@briansenga584 Месяц назад
Zungumzia Simba dogo narudia kamuangalie Jane
@briansenga584
@briansenga584 Месяц назад
Yeah ndiyo maana nimesema huyo dogo azingua
@janethelly4986
@janethelly4986 Месяц назад
Ww ndio umepoa na unaboaa😂,semaji ajawahi kupoa ata dk mojaa😂😂mpenja plz turudishie jane uyu cjui mmemtoa wap😅
@DullahJazza
@DullahJazza Месяц назад
Semaji umenifulaisha nasa
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb Месяц назад
Kwani ww umekujaa kuuliza mambo ya Simba au umetumwa nayanga
@jofreymwampamba1236
@jofreymwampamba1236 Месяц назад
Tumeenjoy intewvier
@SanziNzige
@SanziNzige Месяц назад
Utopolo hawana msemaji waangalie hapa wanaokota okota na hawana hata semina ya kuwafunza wasemaji wao wanaokota na kuacha msaji awe mropokaji tu.kaambieni hako kashoga kenu kaende shule au kamtafte huyu bwana ahamed ali kajifuze.huyu bwana mpaka hata siyo mwanasimba unapata hamu tu ya kumsikiza siyo hako kajinga kenu mnakaachia kuropoka tu
@seciliamchalo5627
@seciliamchalo5627 Месяц назад
Mmh
@ImuKibene
@ImuKibene Месяц назад
Sijawai kuuona mwandishi wa hovyo kama uyu Yan hovyo kabsaa
@ChembeaKhalfani
@ChembeaKhalfani Месяц назад
Jamaa wa ovy ujui hat kuhoj
@kennyjohn-ov7sn
@kennyjohn-ov7sn Месяц назад
Shakila shakila
@MuammaryAbdalla
@MuammaryAbdalla Месяц назад
Munakumbuka la chama2 la fei hamlikumbuki nyuma mwiko
@emmanuelsiyengo7401
@emmanuelsiyengo7401 Месяц назад
Hiyo imeenda semaji
@allynicco4607
@allynicco4607 Месяц назад
hvi huyu mtangazaji anataaluma kweli? hana hata ubunifu
@briansenga584
@briansenga584 Месяц назад
Wewe muandishi kasikilize interview za Jane ujifunze namna ya kumuuliza maswali semaji unazingua Sana unakaa na wachezaji kila SAA WA wapinzani wewe jiangalie alfu jitathimini
@julianajeremiah4353
@julianajeremiah4353 Месяц назад
Mi pia ntakuja Simba Day Kukuona unajua kuongea hauna jazba una akili sana
@HukerRama
@HukerRama Месяц назад
Ahmed ni hatar😅😅😅😅😅😅😅
@MsafwaTv
@MsafwaTv Месяц назад
Jobe ni shujaa wetuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@EsterMbilo
@EsterMbilo Месяц назад
U nawaingiza mashabiki chaka
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np Месяц назад
Hiiii mashiiiiiiiiine ya kuongea
@JeremiahKiberenge
@JeremiahKiberenge Месяц назад
Huyu jamaa hata hajui kufanya interview kabisa yaani anahoji vitu vya hovyo kweli.
@abdallahal-khaify
@abdallahal-khaify Месяц назад
Shida mnarogwa na kisha mnakwama .
@user-pj4mx2ro4h
@user-pj4mx2ro4h Месяц назад
Dawa imeingia kuna mtu anatakiwa kutoka nyuma mwiko kumbe ni janja janja
@SaidiMngoko
@SaidiMngoko Месяц назад
Mmesahau nafasi ya simba wakati chama uko nje?
@EsterMbilo
@EsterMbilo Месяц назад
Presha zitawaua ngoja inyeshe
@MsafwaTv
@MsafwaTv Месяц назад
Ubaya ubwela
@Snydacut
@Snydacut Месяц назад
Ww ndio mashine ya kuogea. world wide
@castromhilu6491
@castromhilu6491 Месяц назад
Mwandishi ubongo wake mgumu kuelewa
@user-cc4jk1ll5v
@user-cc4jk1ll5v Месяц назад
Huyo alikuwa jeuri atakula jeuri yake
@Mwinyi-xo7jt
@Mwinyi-xo7jt Месяц назад
Twataka Jane ndio amuhoji semaji
@jairosmnahi1218
@jairosmnahi1218 Месяц назад
Kaondoka hpo mpenja tv sijajua khamia wap ila aliagwa tyr
@JustineSanga-r9e
@JustineSanga-r9e Месяц назад
Makoloooooo mpaka msemeeee.
@Gisakijamaduda
@Gisakijamaduda Месяц назад
Hujui makolo maana yake kwa kizaramo ni wajomba wako😅😅😅😅😅 hahahahaha
@AmonBenjamin-z1o
@AmonBenjamin-z1o Месяц назад
Samaji nimoja tuu😅😅
@AmonBenjamin-z1o
@AmonBenjamin-z1o Месяц назад
Semaji bhna😂😂😂😂
@alistidesclemence3992
@alistidesclemence3992 Месяц назад
Mpenja atafte mtu mwingine tu....jamaa hajui kohoji huyu!!
@simonjoseph4337
@simonjoseph4337 Месяц назад
Njoo hoji ww
@mushtaqakram9843
@mushtaqakram9843 Месяц назад
Mwambieni semaji aingie na Simba mnyama mwenyewe wa zoo wako ambao wamezoea watu
@user-iz3hs8jl5p
@user-iz3hs8jl5p Месяц назад
ha ha ha ha ha ha nyie nyie itamgarimu uyu m2 nyie aya
@DanielMarco-js1kz
@DanielMarco-js1kz Месяц назад
Mpenja hapa hauna mtu!
@husseynomar9523
@husseynomar9523 Месяц назад
😅😅😂😂😂
@user-iz3hs8jl5p
@user-iz3hs8jl5p Месяц назад
u.nakutana nani wee wee aya kulia kuko palepale
Далее