Тёмный

ALI DANGOTE MUUAJI KATILI wa ARUSHA AUAWA KINYAMA -WANANCHI WAFURIKA MOCHWARI WAKITAKA KUHAKIKISHA 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 614 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 285   
@globaltv_online
@globaltv_online 11 месяцев назад
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@mosemwita4703
@mosemwita4703 10 месяцев назад
good info
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 11 месяцев назад
Mungu wangu yaaaan uwiii ukifa watu wanasema ALHMDULILLAH DAAAA MAISHA HAYA UNABEBA MIMBA MIEZ 9 UNALEA MTOTO ANAKUWA JAMBAX NA ROHO YA KIKATILI
@mohamedrajabu9055
@mohamedrajabu9055 6 месяцев назад
Jmn baada ya kufa watu wanahizunika lkn imekua tofauti watu wamefurahi nawengine wanatamani kufanya sherehe allah tujalie mwisho mwema
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt 11 месяцев назад
Munguwangu sijui mama yao anajisikiaje jamani 😭💔😭😭 yaani tunazaa kwauchungu watoto wetu wanatuumiza😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@bjzee1981
@bjzee1981 11 месяцев назад
We acha tu. Mateso yote ya ujUzito kutapika mda wote. Huli unacho kipenda.
@nasrafadhili7408
@nasrafadhili7408 11 месяцев назад
Familia yk imemtenga
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt 11 месяцев назад
@@nasrafadhili7408 mungu wangu yaani tuzaa kwa uchungu watoto Wana tulipa maumivu jamani 😭😭💔
@nyamizimpangule8640
@nyamizimpangule8640 11 месяцев назад
POLE MWANAMKE MWENZETU MOYO UNAUMA MNO TUMBO LINAKATA JAMANI POLENI KINAMAMA MATUMBO YETU YANABEBA 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🍔🍔🍔🍔🍔
@nasrafadhili7408
@nasrafadhili7408 11 месяцев назад
@@HadijaZabroni-pu1lt tuombee watoto
@JasminiKapele
@JasminiKapele 11 месяцев назад
Poleni sana ukiuwa kwa upanga utakufa kwa upanga
@irenemboya7899
@irenemboya7899 11 месяцев назад
Polisi kazi imewashinda😢. Hadi wananchi kuchukuwa mambo mkononi dohhhhh.
@queenmunny244
@queenmunny244 11 месяцев назад
Unajua jinsi gani kauwa watu ndug jinsi gani kawakosesha watu aman
@AnnhEmathias
@AnnhEmathias 11 месяцев назад
Mungu niepeshiie mbali na kizaz changu🤲🏾🙌🏾
@Mchaga_og117
@Mchaga_og117 6 месяцев назад
Nakubalii machalii zangu chuga_kishumundu
@yousifyousif-p7f
@yousifyousif-p7f 11 месяцев назад
Mtu amekua kama mdudu ukifa wt wanafurahi Mh mungu tupe mwisho mwema
@frankmtuwa4632
@frankmtuwa4632 11 месяцев назад
Unajua kaua wangapi wew
@aud548
@aud548 11 месяцев назад
​@@frankmtuwa4632Soma tena uelewe anachosema kaka...mko sawa ...mmekubaliana
@JasmyneOmmy-qi3fx
@JasmyneOmmy-qi3fx 11 месяцев назад
Wew ameuw wat weng alf nikijan mdg mwkn alikuw anamaliz shule kidat cha nne ila anamatukio makubw n yanatisha
@mgosimkome9242
@mgosimkome9242 11 месяцев назад
Mwisho mwema upi sio kila kitu Mungu atoe mwisho mwema wewe Unaona alioyafanya ni sawa matendo yako ndo yatafanya watu wakunenee mazuri
@alexvenas2699
@alexvenas2699 11 месяцев назад
Tatizo unakrupuka kuongea lakini haujaelewa huyo ndugu alimaanisha Nini kusema mwisho mwema.
@Rehmathathman23
@Rehmathathman23 11 месяцев назад
Mmmh lkn Arusha ni tishio kwa matukio ya kutisha daah😭😭
@FatmaAhmad-s6f
@FatmaAhmad-s6f 10 месяцев назад
Mwenyez mungu tunaomb tunaomba tufanyie wepes watt zetu🙏🙏
@Mina.15
@Mina.15 11 месяцев назад
Boss kaka dangote
@PeterThomas-fk1du
@PeterThomas-fk1du 8 месяцев назад
Waaaaaaaas🎉❤❤❤❤❤
@GeraldErenest
@GeraldErenest 11 месяцев назад
Jaman poleni sana aiseeh?
@PhilemonGodphery-xp1dc
@PhilemonGodphery-xp1dc 9 месяцев назад
dahaaaa ni atar sanaa
@juliealigawesa5462
@juliealigawesa5462 11 месяцев назад
Iko powa sanaaa
@adriandanford208
@adriandanford208 11 месяцев назад
Arusha akina dangote awawez Isha si mda atakuja dangote mpya ,vijana wengi wanaongozwa Kwa hisia za bhang
@friminamahiga6981
@friminamahiga6981 11 месяцев назад
Duuuuuuuuh ama kweli huyo Dangote alikuwa tishio sanaaa.
@FatmaAhmad-s6f
@FatmaAhmad-s6f 10 месяцев назад
Da innalilah wainna lilah lajuun
@MonicaWandelage
@MonicaWandelage 11 месяцев назад
Kifo chamwenye zambia mungu hafurahii kabisa mungukahuzunika hapa
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 11 месяцев назад
Dangote amekufa ndio amekua staa dah...maisha mabaya vijana tufanyeni kaz tamaa mbaya
@FredyPaul-cu5pj
@FredyPaul-cu5pj 11 месяцев назад
Daah!!!
@SamiJonathanMadekizy
@SamiJonathanMadekizy 11 месяцев назад
Duuuh,,polen sanaaa😂
@SamAssamwel
@SamAssamwel 11 месяцев назад
Really atolewe njoo
@erastomapunda1444
@erastomapunda1444 11 месяцев назад
Mmm jamaa atakuwa alikuwa shetani kweli uyo
@anuaryyusuph9705
@anuaryyusuph9705 11 месяцев назад
All dangote pumzika kwa amani baba 🤲🤲🤲 hakika wewe nikamanda wamakamanda bele yako nyuma yetu watu waarusha pumbavu zanu mtoto mdogo kawafanya mchafue chupi zenu
@hidayahassan8014
@hidayahassan8014 11 месяцев назад
Mmmh povu kama lote
@Mpakauseme
@Mpakauseme 11 месяцев назад
Hauna akili mweu wewe
@saleheabdallah5461
@saleheabdallah5461 11 месяцев назад
Hujui unachoongea so kaa kimya
@Jasminikizito-zo9pv
@Jasminikizito-zo9pv 10 месяцев назад
Mamae zako shoga tu ww
@HappyCassettePlayer-tm8vg
@HappyCassettePlayer-tm8vg 9 месяцев назад
Nimependa comment yako umeongea poit sana
@josephatmathiasgalagalabuh786
@josephatmathiasgalagalabuh786 11 месяцев назад
Kwa hali ya Arusha naona kama vijana wa hapo mjini wengi hawapo sawa. Serikali ifanye kitu hasa mihadarati
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 11 месяцев назад
Nikweri bangi na pombe zinawachanganya
@YonaMbata-cz9mq
@YonaMbata-cz9mq 11 месяцев назад
Mungu ailaze loho ya huyo jamaa
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 11 месяцев назад
Km kweli! Hongerenu sana kuondoa hilo nduli,mngeliuwa kwa kulichoma moto.
@shadrackowuor-wx9ip
@shadrackowuor-wx9ip 10 месяцев назад
Ok😮
@AmiriNkungu-po7dy
@AmiriNkungu-po7dy 11 месяцев назад
Chuga nakubali Sana omoja ninguvu
@RajabuMalela-zx8km
@RajabuMalela-zx8km 11 месяцев назад
Daaaah kweli bongo nyoso
@saliminyusuph6122
@saliminyusuph6122 11 месяцев назад
Kuna huyo msemaji amekosea kutaja jina la huyo Polisi jamii. Inatakiwa ulinde jina la mtu kwenye mapambano na waalifu.
@kalvocaliz
@kalvocaliz 11 месяцев назад
Kweli mungu anafanya majabu ya kusa🙏🙏Qr recovery
@juliusmagunila6308
@juliusmagunila6308 11 месяцев назад
Dangote on trend 📉
@Putaneunice-js9rz
@Putaneunice-js9rz 10 месяцев назад
OhmyGoDsorry
@RamadhanMichael-o5b
@RamadhanMichael-o5b 9 месяцев назад
Uyu
@NasraRamadhani-kt2uq
@NasraRamadhani-kt2uq 11 месяцев назад
Inasikitisha sana
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 11 месяцев назад
BANGI!?... nyimbo na filamu nyingi zinasifia uhuni na matendo ya kikatili bilakujua athali katika jamii ni kubwa....
@RaylahShabani
@RaylahShabani 10 месяцев назад
Polen san aisee
@sabrinasabrina8395
@sabrinasabrina8395 11 месяцев назад
Subhanallah
@julitaakinyi-nz9de
@julitaakinyi-nz9de 10 месяцев назад
Mimi ni Ali Dagote.Sijafa
@LenardNyiga-ye4tt
@LenardNyiga-ye4tt 10 месяцев назад
Lend
@paulabelleghe451
@paulabelleghe451 11 месяцев назад
Hiyo ndo Chugastuuuun
@BrianaJahnice-jf4bj
@BrianaJahnice-jf4bj 11 месяцев назад
Nomaaaa apumzike kwa aman
@chrithicksambo2287
@chrithicksambo2287 11 месяцев назад
Amani Gani huyo aende kuzimu ty
@EverinaMichaely
@EverinaMichaely 10 месяцев назад
everina fabiani michaely
@WakiliAhmed-f2k
@WakiliAhmed-f2k 11 месяцев назад
Dah siyo poaa🥺
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 11 месяцев назад
Ati mtuletee tumwone mazishi ni yetu maisha yalikuwa yake 😂😂😅
@winiemajengo1679
@winiemajengo1679 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂 nacheka kama maziri
@geraldadolf4928
@geraldadolf4928 11 месяцев назад
Hao watu wa chuga ni makatili acha jamii za kifugaji ndio asili ya mkoa huo wakatili wa waziwazi
@obedimaliaki5714
@obedimaliaki5714 11 месяцев назад
Mmh! Ni hatar
@FarajaRichard-fe4lr
@FarajaRichard-fe4lr 11 месяцев назад
Dangoteeeeee!!
@JacksonJohn.
@JacksonJohn. 11 месяцев назад
Malezii. Yenu wazazi. Endeleen kuangalizia malezii mnajikuta Arusha n marekan. Bangi n ruksa
@JacquesKahunga-sm1vb
@JacquesKahunga-sm1vb 11 месяцев назад
Ohh ni makubwa
@WilbrodClaud
@WilbrodClaud 11 месяцев назад
Hatary
@allymagwira4847
@allymagwira4847 11 месяцев назад
Du.kumbuka.wakuukumu.ni.mungu.sio.mwanadam
@FavianaDaimon
@FavianaDaimon 11 месяцев назад
Ndy ukiua Kwa upanga utakufa Kwa upanga...
@KhubeybJandaal-uz4oo
@KhubeybJandaal-uz4oo 11 месяцев назад
Jamaa komando uyo
@NicksonBrayani
@NicksonBrayani 11 месяцев назад
Ana kwel wazaz thombee watoto jaman 8:26
@SihabaAbdallah-li6dx
@SihabaAbdallah-li6dx 8 месяцев назад
Da binaadam unakufa watu wnakufurahia kwa Maas yk
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 11 месяцев назад
Mhm
@queenmunny244
@queenmunny244 11 месяцев назад
Asee alikosesha sana aman kwakwel tunawatoto wanaenda shule kuna wazazi wetu wanakwenda kazi lakin walikosa aman
@saidsalum423
@saidsalum423 11 месяцев назад
Kwa maana mnadhibitisha huyu Ally alikuwa mtu hatari sana kutokea hapa duniani miaka yote vyombo vya dora vilishindwa kumkamata huyo dogo
@Dreidamaa
@Dreidamaa 11 месяцев назад
Pole sana
@Mpakauseme
@Mpakauseme 11 месяцев назад
Huo mkoa majank wanaishi maisha yausela wakizamani sana bado washambawashamba fulank hivi wanaiga American movies zakitambo na rafudhi yao yakishamba
@BenjaSimon-pg3pi
@BenjaSimon-pg3pi 11 месяцев назад
Kisima 2022
@kazikazini1042
@kazikazini1042 11 месяцев назад
Bonge kamchoresha askari jamii
@georgenyoni9879
@georgenyoni9879 11 месяцев назад
Kwa hiyo Jela ni kurekebisha tabia. au kuharibu tabia umejifunza Nini
@MaryTesha-ke6hp
@MaryTesha-ke6hp 11 месяцев назад
Navuta picha kwenye hayo mazishi venye wananchi wataharibu mazishi yake kaka jambazi
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 11 месяцев назад
Mungu amsamehe makosa yake🙏🙏😭😭
@emmanuelfari8924
@emmanuelfari8924 11 месяцев назад
Hii haimsaidii inategemea na mwisho wa mtu!
@FredyPaul-cu5pj
@FredyPaul-cu5pj 11 месяцев назад
Kwa kweli
@lusiulemboaminakubwaa
@lusiulemboaminakubwaa 11 месяцев назад
Poleni jmn mungu yupo pamoja na nyie
@ammysaido4655
@ammysaido4655 11 месяцев назад
Bangi mbaya jameni😢
@AlfaCharles-e8h
@AlfaCharles-e8h 11 месяцев назад
Yan bado siamin, kajamaa kadog ila kaliisimamisha arusha nzimaa
@elizabethswai7777
@elizabethswai7777 11 месяцев назад
Eti ni ukoo wa mama dangote,,,ndg yake na diamond 😂😂😂
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@uchebetz7284
@uchebetz7284 11 месяцев назад
Alidange wee ni shuaaa
@BernadAloyce
@BernadAloyce 11 месяцев назад
Duuuh 😮😮
@JamesNicholausy-p1l
@JamesNicholausy-p1l 11 месяцев назад
😢
@NancyShabani-b1y
@NancyShabani-b1y 11 месяцев назад
jamani dunia kwasasa tunaelekea wapi
@jeremiaRobert-le4ek
@jeremiaRobert-le4ek 11 месяцев назад
Muuwaji au wawa
@HafidhAli-lc8vc
@HafidhAli-lc8vc 11 месяцев назад
Dangote
@TatuTatu-f1v
@TatuTatu-f1v 11 месяцев назад
Mwezangu mitihaniiiiiiiiii😂😂😂 tu😅😅😅😅😅😅yarabbi
@ingozescopion
@ingozescopion 11 месяцев назад
R.I.P Ally Dangote sa hivi kaloleni tutapita usiku kwa Amanii
@isaiahmelau
@isaiahmelau 11 месяцев назад
jlgcvgi
@eliasjackson9548
@eliasjackson9548 11 месяцев назад
Kuna vifo vingine ni furaha kwa watu aisee
@naturelle1097
@naturelle1097 11 месяцев назад
Ndo shida ya kuangalia horror movies
@user-cg3vf2bl6b
@user-cg3vf2bl6b 11 месяцев назад
Kweli kabisa ,inchini kwetu kijana moja aliwauwa wazazi wake wawili kakake binamu wake ,yote hayo aliyapsnga Kwa kuitazama filamu ya kiling the eve,na alitimiza hiyo shuguli Kwa utatatibu sana
@RoseMtupa
@RoseMtupa 11 месяцев назад
Supu ya Ally Dangote wangepelekewa Utopolo pale Jangwani wanywe mimi nitanunua chapati
@peragiaisdol3804
@peragiaisdol3804 11 месяцев назад
Kama senge 😢
@subirajohn728
@subirajohn728 11 месяцев назад
Waapelekewe 5G👋 pale Msimbazi ili wajifariji
@EmmanuelMtwale-nu3eo
@EmmanuelMtwale-nu3eo 11 месяцев назад
Tununulie chapati5......
@loner_wolf
@loner_wolf 11 месяцев назад
Dangote hakuwa MTU mzuri lkn kifo chake askari anajivuruga....HIV Arusha gari wanazotumia polisi ni pickup zama hizi ? Kwamba kajirusha akafikia kichwa duh......
@IsayaValiakeli
@IsayaValiakeli 11 месяцев назад
Tecno spark 2
@SigmondMichael-zo6sv
@SigmondMichael-zo6sv 11 месяцев назад
Mmmh
@almarwazyahaythamy4905
@almarwazyahaythamy4905 11 месяцев назад
Watu wa Arusha ukiwaskia wanaongea viswahili vyao vile vya bangi unaweza ukadhani ni watu flani wana miguvu... sasa mji mzima walikuwa wanalala saa 11 jioni wanamuogopa Ally Dangote miaka 19. Jana kafa eti wanaume wanasherehekea mbele ya dada zao. Sasa akina dangote wakiwa 100 km huku Dar si mtakimbilia Monduli mkaishi jeshini? Sema askari aliyemtwanga risasi nina elfu 10 yake hapa.
@callicevallice7383
@callicevallice7383 11 месяцев назад
Aisee tumewadharau sana😂😂😂
@EmmyMtila
@EmmyMtila 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂 Watu walimchoka sana nenda mwana kwenda
@AgnesKibuga-d3j
@AgnesKibuga-d3j 10 месяцев назад
Jmn arusha inatishia aman
@ahmedysaidy9874
@ahmedysaidy9874 11 месяцев назад
Ali dangote yupo uku melelani ajauwawa bado
@chuchufplatnumz4888
@chuchufplatnumz4888 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂
@NajiwaIbrahim-jh6pq
@NajiwaIbrahim-jh6pq 10 месяцев назад
Arush mnaitaji maomb maan mhmh
@WillisonCharles-z8h
@WillisonCharles-z8h 10 месяцев назад
Ukwl nimefurah😂😂😂
@MichaelMathew-j3f
@MichaelMathew-j3f 10 месяцев назад
Vp huko wapendwa?
@shamzone388
@shamzone388 11 месяцев назад
Dangote ni ukoo wa mama dangote au❓❓❓
@elizabethswai7777
@elizabethswai7777 11 месяцев назад
😂😂😂😂
@sophsoph4740
@sophsoph4740 11 месяцев назад
😂😂😂
@biberpriyer330
@biberpriyer330 11 месяцев назад
Yaan huko sijui anaenda kuchomeka na moto gani woiii kufaga tu
@ramadhanimsemo4426
@ramadhanimsemo4426 11 месяцев назад
Duu Ama kweli huyo dangote Alikuwa hatari sana jamani
@mbwilojenipha8741
@mbwilojenipha8741 11 месяцев назад
Dah
@WhiteMnakumbwa
@WhiteMnakumbwa 11 месяцев назад
Video
@MariamSudi-z1z
@MariamSudi-z1z 11 месяцев назад
Aisee kwa sasa 2takua na amani
@NeemaLwoga-s4c
@NeemaLwoga-s4c 10 месяцев назад
😂😂😂aende tu mwanakwenda ila w2 wa Arusha ni wakatili mmmh!
@AthmanSafari-yx6co
@AthmanSafari-yx6co 11 месяцев назад
Hizi ni bangi na makundi ambayo athari kwa kijana kisekolojia
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 11 месяцев назад
Kweli watu wanamevurugwa na yy angeondoka na kiungo cha dangote supu hiyo wapeni wanamizengo wagawane viungo😂😂😂
Далее
Китайка и Пчелке Холодно😂😆
00:21
ŠKODA не перестает удивлять
00:48
Просмотров 444 тыс.
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Просмотров 7 млн
Ong Bak | Fight Club Scene
15:05
Просмотров 76 млн