All dangote pumzika kwa amani baba 🤲🤲🤲 hakika wewe nikamanda wamakamanda bele yako nyuma yetu watu waarusha pumbavu zanu mtoto mdogo kawafanya mchafue chupi zenu
Kweli kabisa ,inchini kwetu kijana moja aliwauwa wazazi wake wawili kakake binamu wake ,yote hayo aliyapsnga Kwa kuitazama filamu ya kiling the eve,na alitimiza hiyo shuguli Kwa utatatibu sana
Dangote hakuwa MTU mzuri lkn kifo chake askari anajivuruga....HIV Arusha gari wanazotumia polisi ni pickup zama hizi ? Kwamba kajirusha akafikia kichwa duh......
Watu wa Arusha ukiwaskia wanaongea viswahili vyao vile vya bangi unaweza ukadhani ni watu flani wana miguvu... sasa mji mzima walikuwa wanalala saa 11 jioni wanamuogopa Ally Dangote miaka 19. Jana kafa eti wanaume wanasherehekea mbele ya dada zao. Sasa akina dangote wakiwa 100 km huku Dar si mtakimbilia Monduli mkaishi jeshini? Sema askari aliyemtwanga risasi nina elfu 10 yake hapa.