Please subscribe now on Our RU-vid channel To be the first to hear about the latest news and updates on Time. #middlesimba #WeAreEverywhere #diamondplatnumz #khamis
This boy has music in him...he learnt music and he goes by its law..his originality suprises me...since its a competition...acha iendelee bt tushapata mshindi ata akiangushwa still he will be the man of the match...from 254 nafuatilia.👏👏
Mim kwa kweli middle tukiacha uongo uyo dogo wa Dodoma 3 anaimba sana na ni mzuri kulko hata wote sema dogo itakuwa afanyi ibada na huyu dogo hamisi ni mtu wa ibada na mwenye hofu ya mungu na ndio maana kapata kibali sana machoni pa watu wote na kama haitoshi ni mstarabu sana sema nn mungu atamsaidia sana dogo cause hata kabla ya keshakuwa staa na kukubalika na watu mm binafsi na enjoy show.
254 khamis ana vutia watu kwa kuwa anaimba na negative voice ambayo sana kutumika wa nyimbo za huzuni.na instrumental Minor cords . Ndio mana wengi wanamuona wa kipekee . Ila master J . Ni mkweli .
Kuna tofauti kubwa baina ya Khamis na washiriki wengine na hapa tunapaswa kuangalia changamoto gani mshiriki anapitia ktk kufanikisha ndoto zake na ndo hapo utajua ukubwa wa kipaji chake,kwamfano mtu mwenye mazingira magumu hua ana tafrani za aina nyingi kichwani mwake,hivyo kuweza kuonesha mapenzi yake na kipaji chake kwa juhudi na maarifa na akaweza kueleweka sio kitu rahisi
Umeona ubaya utofauti na muonekano ndio tunakiangalia zaidi hatungalii uhalisia wa mtu na kipaji khamisi mkubali mkatae kipaji anacho cha kukaa na mtu akamuelewa
Ukweli tuongee jamani kamis mbona sijaona mwanadani wake kwanza khamis anaimba kiutulivu ata nyimbo alizo chagua kuimba pia kiutulivu na hisia zake utulivu zaidi umakini anacho kifanya pia yupi parfct sana zaidi kiuhalisia mm kwa uoni wangu jmn
Hapo , tofauti ya hamis na hao wengine no kwamba hamisi anagusa kila Sina ya mzik, kuanzia bongo freva mpaka bolingo , anaimba kitanzania anajal asil yake anatumia hisia kulingana na Sina ya mziki anao perform kwawakat husika hivyo anasababisha mtyu kuendana na hisia zake
Festo kwani ww sio mswahili na hilo ndio alijivunia pia kuto iwacha nchi yake kwa lugha yake na yupo makini nayo anaimba kwa weledi kabisa ktamka matamshi ss ww ulitaka aimbe kihindio nyie ndio msio jilewa mko nchi gani
Ila pia festo unaoneshea mbona km una ubinafs na lugha yako na pia unaubinafsi yaonesha na jirani yako km hukuanza kumpenda jirani yako unadhani usiku wa manane chumvi utamuomba nani jifunte kupitia mengi moja wapo mdomo kauli chunga na mtazamo pia waza kabla kuongea
Tatizo lazima tuelewe lugha yetu ndo tuende kwa mwenzetu na ukiangalia sasa hivi wasanii na watanzania wengi tunaisambaza lugha yetu kwanza hamisi yupo sahihi na anaimba na hisia
Khamis kwanza nyimbo anazochagua zinagusa sana jamii zinasadifu yaliyomo kweny jamii kingine anaimba kwa hisia na kama mnavyojua nyimbo za zaman zilikuwa zinaujumbe sana tofaut na za kisasa...yupo unique
Huyu alieimba nyimbo ya papa wemba kakosea kabisaa, anaimba mstati wa kwanza anarukia wa tatu Mara mstari wa verse ya pili Mara kibwagizo. Haimbi kwa mtiritiko kwa hiyo ngoma km tunavyoijua wenye kabila letu.
khamisi ananyota inayong'araa so kwamba anajua kuimbaa ila khamis ninyota na ukiona mpaka wasanii wakubwa kama harmoniz na dimond wanamkubali wameona nyota yahuyu khamis
Wengine wanaimba kw kuact. Lkn dogo Hamis.. he was sing by real filling. Na ana confidence km zote.. I like to say that. Hamis noma sana. Ata kma atoshinda . Atabaki Kua hodar.. (Hamis) . Real artist..
Jamani hii BSS ya mwaka huu wapiga gita ndo wanapendwa.... Middle simba mwambie master j mwakan ni zamu yetu wapiga marimba,vinubi na kinanda.... Maana hawa wapiga gita washaniroga
Huyo dogo anajua, pia nyota yake inang'aa, halafu yupo tofauti Sana na wenzake kimuonekano(unique), halafu dogo amekaa kihuruma huruma hivi, ukichanganya sababu zote hizo ndio utajua kwanin dogo na sio wengineo, dogo yupo real sana, hana makuu.
Hamna Bhana Wote Hawa Wanaweza Sanaa! Mi nafikili Coz Anahitajika mshindi bhas atapatkana mmoja, Lakini Ingekuwa ndo wengi, bhas Mi wote Nawapa Tik Za #NIKE Wako Vzuriii Sanaaaa Hivo tuu #MawazoHuru
Uteuzi w vibande vya nyimbo anatumia khamic ni vizuri vinaskilizika vinagusa moyo...kisha style y upo wke na anaimba kihisia zaidi kisha hanakishindo kwenye gitaa ametulia..namkubali sana