Wazungu siyo wabahili. Hawajalelewa kusaidia mtu ambae ana nguvu zake na mikono na miguu yote miwili. Maana huyo hafai kupewa anafaa kujitafutia. Hapo ndipo tunapishania. Siyo ubahili huo au ubinafsi huo. Bongo tunalelea watu wavivu kupitiliza
Yaaan kupitia huyu dd nmepata tumaini na takiwa kuwa mvumilivu naamini nitapata aliye seriously na mwenye mapenzi pia mwenye hofu na mungu nakupnd dada ❤
Mimi wangu ndo amekuja ameona interview ananiuliza apo wanasemaje🤣🤣baada ya kukutania kwenye dating site miaka 3 kwa mawasiliano ndo amekuja anaondoka mwezi wa kwanza nimefurah sana...pia amesema anawapenda🤗🤗🤗
Ka uselfish ka wazungu ndio kanako saidia wenzetu kuto kuwa tegemezi Africa tunakufa masikini au unaishiwa kabisa sababu ya kutegemea na kutegemewa napenda life style Yao Ila kwa Nyumbani Africa hakuna namna utatoa tu ili upate Amani pia maana tofauti na hapo maisha yako yanageuka ahadi ya deni wakati ulitakiwa kutoa kwa moyo au kusuport ulichonacho mweee😊
@@godliverdennis8723 Kweli kabisa mwanangu, ni vizuri sana kuwajua watu culture yao. Wenzetu hawana tabia ya kusaidia extended family kama sisi jinsi tulivyo. Pia wako makini sana kwenye matumizi ya pesa. (Budget) hata serikali zao ziko makini sana.
@@kissamwamunyange1018 ingia afro weka pics ambazo zinakuweka na muonekano wa asili zaidi,andika profile yako vizuri uelezee haswa lengo la kuingia kwenye mtandao huo
@@godliverdennis8723 sio issue ya kanisani,hapa ni public Kila mtu anaangalia, wote wanahojiwa hapa Wanavaa watakavuo lkn sio kuonyesha maungo Yao,for what? Tena wazuri ,warembo hasa,ila wamevaa nadhifu!