Huyu dogo serikali ingempa scholarship nje ya nchi kama China, Japan au Korea akoseme practical skills mambo ya lugha atajifunza taratibu huko huko nje ila anahitaji elimu ya vitendo zaidi kuliko darasani
mimi nimesoma pcm kibaha , na nimefika marekani, very rarely kuwaona vijana kama hawa, anakosa logic thinking in self explanation, also there is wrong aproach ya uongozi na kijana pia, ilibidi akasome akiendeleza kituo chake, wampatie frequency zake, wamnunulie vifaa vyake ili aendelee, sio kutaka tuu sifa, then nashindwa kuelewa kwanini hawajataka kumpatia logical approach and progressive approach ya huyu kijana
Apo kachagua sehemu sahihi coz mwanzo walikosea kumsomesha auto electric naamini kwa sasa ujuzi ataupata vema electronic is the best subject GOD bless this guy kaka millard nimesoma basic electronic lakini kwa uyu jamaa🙏🙏🙏🙏🙏 oligin tallented from Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Africa yetu siku zote hubaki nyuma kwa ajili Ya fitna na wivu... Huyu kijana Ana kipaji Mungu kamjaalia ila ADUI Ya mwafrika ni mwafrika... Mpeni support huyu mtoto wacheni drama...
Nchi ya Mavi kunuka Tanzania uwezo mdogo wa kufikiri. Hao waliosoma wamegundua nini ....Huyu kijana sio wa kukaa kwenye benchi la shule miaka mitatu na kupata elimu ya kukariri formal education, ilitakiwa kutathimini nini anataka maarifa gani anataka ili kuongeza ubunifu wake. Na upuuzi wa Mavi kunuka wa hao watu Waziri aliowatuma eti aziendeleze hiyo radio , pili kwanza Waziri ilitakiwa aje mwenyewe kumuona huyo kijana na hata Rais mambo haya ya muhimu hawatangazi ila utumbo wanaongea. Nchi ya Mavi kunuka Tanzania 🇹🇿 ya watu million 60 hamna hata innovation centers moja sasa nchi itaendeleaje bila vipaji vya technology na wabunifu kuendelezwa
Huyo dogo dream zake zishakufa tyri, expectations kills people yaani anawaamini TCRA bila hata kushughulisha akili yake kipaji alichonacho hawezi kukikuza shule tena 3 years kukalili vitu visivyo na umuhimu
Kwa wataalam wa mambo ya radio, sio ajabu Sana. Hiyo ilikua ni simple transmitter ambayo radio technician anaweza ku assemble. Lakini kupeperusha radio frequency Ina sheria zake ambazo huwezi zijua kama hujasoma. Na Kuna madhara kama wewe unapeperusha kihorera, hujui frequency za raia, za police, za kijeshi. Huyo anatakiwa afundishwe basic electronics ili awe na uwezo wa ku repair na kuinstall communication equipment. Mnachosema amebuni si cha ajabu wengi wamefanya kabla. Inabidi aelewe kuengeneza machine ambazo zinavigezo.
Naongezea tena ,changamoto kubwa lina ikumba nchi za kiafrika ni kwamba watu wenye akili hawataki kujihusisha na siasa...hivyo wamepewa mamlaka watu wasio na akili wawaongoze watu wenye akili na wasio na akili..matatokeo yake ndio hii
Kuna tatizo kubwa naliona hapa, Baada ya kumsomesha what next? What does it add on Innovation? We need strategical and not talent killing. Kuna mambo ambayo kama taifa tumekwamisha. Kuna jambo la ziada la kufanya .....
Hapo nakataa kusoma lazima yaan,lazima usome usiposoma utakutana na changamoto nyingi sana mpaka utataman uende shule walau uongeze maarifa fulan kwanza Kama wewe ni mbunifu ukienda shule hata ukali na uwezo unatanuka.
Hiyo miaka mitatu ana soma si ana poteza muda mjue kama mtu ana kipaji suala ni kumpa mtaji ili afungue kampuni yake afanye biashara sio kwenda shule ana poteza mda na ubunifu wake
Kipaji HALISI ni kama kifaranga ndani ya yai, ukikisaidia Sana UNAKIUA , ILA KIPE MUDA wa Kutosha wa majaribio, na pesa kidooogo baasi. *Kipaji ALISI Hakiongozwi , Kimezaliwa HIVYO KUJIONGOZA UKIKIONGOZA UNAKIPOTEZA, "KIPE MUDA" *KIPAJI KINAHITAJI HARD WORK NA MUDA, NA KUTOKATA TAMAA. *KIPAJI HAKIFUNDISHWI, UTAKIHARIBU, KINAJIFUNZA KINACHOTAKA CHENYEWE. *NJIA KUU YA KIPAJI KUJIFUNZA NI THOUGH PAIN OR MISTAKES. *AKIENDA SHULE AAMINI ALICHO NACHO KUWA NDIO BORA,
Ninachojua kurusha matangazo kwa njia ya radio au television inahitaji kibali kwa ajili ya uwajibikaji, maudhui nk Kwahiyo wameona wakimwambia dogo kurasimisha kituo itakuwa mtihani kwenye gharama
@@nereaigogo4442 Tunafahamu hayo yote, suala kubwa hapo ambalo nadhani ni la umuhimu mkubwa ni Kwa namna gani kama nchi tuna wapromote wabunifu wa ndani, Kwa hiyo Kwa maoni yangu si busara kumpunguza kama walivyofanya,,,,maana tumeanzisha vyuo vya VETA ili kupromote ubunifu, sasa ikiwa wabunifu tunawazima basi hakuna umuhimu wa kuanzishwa kwake!!
Naomba wazari wa wa sheria asimamie huyu kijana hiyo elimu ya bure watanzania wanaweza msainisha mikataba ambayo itaua kipawa cha huyu kijana wakampa mikataba ya ajabu na yeye akasaini sababu hana namna viongozi mlindeni huyu kijana
Ndio Maana Elon Mask aliamua kujenga Chuo chake afundishe mwenyewe watoto wake maanaa Ameona Hii Elimu yetu yakuukaa kwenye Viti ukariri upewe mtihani Ufaulu alfu unatoka hujui kitu aliona Ni Ushenzi tuu
I am so disappointed , Yani watu wako wana soma miaka Wana maliza hawaja weza kufaya chochote hata kubuni mbolea , mtu kama huyu alitakiwa kuwekwa kama Nyara ya serikali , hii ni hazina ila sioni initiatives za kumsaidia hii kitu. ila tukipongeze hata hicho chuo kilicho jitolea
Yaani ww kijana si ulishaenda ulifaidika nini Nibora ata wangekupa pesa tu utafute mtu wa kukufundisha English lakini mambo ya kwenda Dar kazi kweli kweli kweli
Ngoja ukaanze kufundishwa hesabu za kutafuta X na Y ndo utajua cha mserereko kinaponza ila ukifeli usidhan serekali itakubeba tu niko hapa nakuombea ukangare urudi na ujuzi zai🙏🏽
After 3 years in Dar es Salaam all the creativity will be filled with Luxurious life, he will get a job and that will be the end of the masterpiece invention. SAD
Which Invention. A Radio transmitter was invented in 1890 by German called "Macconi". I personally isn't my first time seeing children playing with electronic component to make simple radio, I have seen this as far back as 30 years ago. Those electronic components used to make that simple transmitter can only be learnt at school with right measuring and testing equipment. He has a passion yes, but to help him further is to train him. Also making an equipment which transmit radio frequency is guided by the law that's why he was told to Stop by relevant communication authority. Frequencies are managed and regulated, and allocated for various purposes. They are frequencies for domestic radio broadcasting, military, police, aviation, maritime, and many other applications. These can only be leant at school.
@@suntzu8959 Lets not argue on the ''invention'' since it has several meaning; i am not against formal education that he will receive at the college; however the education system will help him to understand the functions of transmitter, capacitors etc but not creativity. I agree with you on the laws and broadcasting regulations guidance.
Wasingemvunjia Maan hapo wangemsaidia tu kupanua kituo chake Maan Elim alozaliwa nayo ilikua inamtosha na ingepanuka kupitia huo huo ubunifu, asipoangalia vizur atakiua hicho kipaji chake kabisa, Allah akusimamie
MillardAyo tafadhali tutafutieni "Frank Wire" mbunifu wa kitambo kidogo. Alikuwa na mambo mengi zaidi tunaomba tujue yuko wapi na amefikia wapi kwenye ubunifu wake.
Sometime publicity huwaga inaponza na kuua vipaji vya watu......watu weng wa hapa tz walijitokeza kwa idea mara zote serikali ndo inawashusha...sidhani kama huyu dogo angekua ameonekana au kujulikana nafikiri watu wa eneo lake hapo wangeendelea kuburudiaka na idea yake ya kuanzisha redio
Ulitakiwa useme muheshimiwa au Waziri Nape, kwa Watanzania tuna kitu kinaitwa kuheshimiana cc kwa cc, kwa wakubwa na wenye mamlaka. Hongera sana Zuberi, Mungu azidi kukutangulia...ndoto yako ni nini? Waambie ndoto yako.
Bro Bora nenda veta, au tafuta vifaaa endelea kufanya maharifa yako , na chukua vitabu vyako soma mwenyewe, elimu zetu hizi za kibongo mhhh hakuna kitu ni utopolo tu..,
Zuberi. Hiii Elimu uliyo nayo. Haukuisomea. Ni Elimu uliyo zaliwa nayo. Kuwa makini Sana. .unaweza ukapewa nafasi ya kusomea hiyo Elimu lakini usipewe nafasi ya kupata mafanikio kupitia hiyo Elimu. Chamsingi mtangulizeni MUNGU. Maaana wasomi niwengi sikuizi ila hawana ajira
Kijana Mavi kunuka Tanzania watapoteza kipaji chako mswahili yeye anawaza kutombana tu na majungu na kuzaliana kama panya na starehe. Kijana tafuta connection ya wazungu au nchi za Ulaya na Marekani watakupa sponsorship na wazungu wanathamini sana kama uko smart, wenzako tuko na uwezo mkubwa IQ tumeona Mavi kunuka Tanzania inatupotezea muda tuko Ughaibuni na ngozi nyeupe inatuthamini sana na tunalipwa vizuri tu
Huna lolote, mstaarabu hutoa ushauri na suluhisho la matatizo pasipo kutumia lugha ya matusi. Ungekua na IQ kubwa usingeikataa nchi yako na kuamua kuishi kwa wakoloni. Huko uliko umebuni nini? Kazi tu kutukana mtandaoni! Stupid nonesense
@@Burner_Acc ni wazungu mbwa wewe hapo hadi chupi uliyovaa wamegundua wazungu , hiyo simu kitochi chako wao ndio wamegundua . Waarabu hawana akili za wazungu , nguo ulizovaa kuficha matako yako makubwa na mkundu wamegundua wazungu mbwa wewe halafu unaropoka kama umekaria uboo fala wewe . Haya kama chako kama wewe umeleta faida gani humu duniani ??