TRA msitumie task force kumnyanyasa mzee ,asikilizwe si kila kitu tuagize China mafundi wenye vipaji vya kuzaliwa navyo wapo Africa .Big up faza kwa kipaji chako.
Serikali yetu Tz tunaomba huyu baba kwa uwezo aliokua nao apewe nafasi ktk vyuo vya VETA ili hii elimu alio kua nayo akawafundishe wanafunzi kweli huyu baba ana madini hata km hakusoma elimu ya darasan lkn anauwezo wa hali ya juu tusiiache hii hazina ipotee bure tunaomba watoto wetu wakajifunze ufundi alionao kupitia yeyw huko veta na ukizingatia tuko katk kipindi cha serikali ya viwanda atatufaa sana.
Wee ndg yangu, tatizo viongozi wetu bado wana mfumo wa magharibi, yaan kujipatia pesa kwa kutumia matatizo ya wanyonge, sasa wawafundishe tena!? Maana wanajua ujinga Ndio utakaowafanikisha wao yako wapi!!!!?
Asante Ayo TV kwa kuibua hiki kipaji, kwa kusema kweli kampuni ya Tesla ingeona hiyo teknolonolojia, huyo Bwana wangemnunua, Kwa sababu wazungu wanastruggle kupata umeme wa magari, lakin huyu jamaa amekuja na namna ya kuleta hiyo nishati bila external source Hii ni tunu, wahusika wajitahidi kuzingatia
Huyu jamaa ni mbunifu sana na ana skills kubwa sana kwa kweli serikali imuwezeshe na ikiwezekana apewe mtaji wa kujenga chuo ili aanze kufundisha vijana hii taaluma ili tuwe na hazina kubwa ya vijana wenye utaalamu kama huu.
shida inakuja serikali imeisha spend trillions of money kwenye mega projects za umeme. sasa wakimsupport huyu inamaana hayo mabillion ni kama wametupa kwenye shimo. cha maana nibkumchukua huyu jamaa na kumfadhili awaonyeshe utaalamu wake waingie nae mkataba ambao jaamaa atafaidika kwa taaluma yake. then wapange mipango ya baadae jinsi gani watatumia huo utaalamu kuzalisha umeme in huge scale.
Tesla alikua mvumbuzi walimzingua Mzee una kipaji sana Nahitaji Namba yako Nataka nahitaji Mtambo wa 2 million. Nilikua naangalia Uvumbuz wa prof mmoja kuhusu Magnetic river ambayo inafanya kitu kizunguke chenyewe na ni rahis kupata umeme lakini wewe mzee umetumia nguvu ya kukwepana Kwa sumaku ukavuna umeme You have done awesome work 👏👏👏
Kwa serikali ipi? Wewe huoni wanajifanya hawamwoni maana wanajua wakimruhusu tu kutengeneza mitambo ya kuzalisha umeme Tanesco itakufa, maana watakosa mapato yatokanayo na LUKU🤣🤣🤣🤣
Hongera sana Mzee unastahili kupewatuzo Kwa ugunduzi huu.viongozi wa serikali wa tz acheni wivu mnatazama TU nakuondoka.Hafu hiyo elikopta usingepeleka uingereza wazungu ni wezi TU.
Yani kama ingewezekana mitaala ya elimu ikatolewa kwa mfumo wa self reliance yan elim ya kujitegemea maendeleo ya Tanzania yangekua kwa kasi sana izo ndio elimu tunazotakiwa tupewe darasan
Ww unataka upewe elimu gan.masomo unavyosomeshwa ndio hayo hayo wanayoyasoma wao. Shida hufundishwi kujifunza na kutatua changamoto zinazoikabil jamii yako. Unafundishwa kufaulu mitian yako.
@@msamgunda7684 msikilize jamaa hapo, angesoma hadi chuo kikuu hangeweza kufanya hata nusu ya anayofanya. hapo anakuambia kasoma hadi sekondari kidogo tuu
Mimi sio mtanzania ila huu jamaa namkubali sana kama fundi wa halii ya juu kabisa yani watanzania mumusapoti kwa hali zot atatufaa africa nzima big up mzee
I can also make this electrical equipment but I can't afford to buy it let's get together let's do it in kenya maybe it can be beneficial for you Tanzania doesn't care about innovation
Huyu mzee ako na kipaji sana laiti serikal ingefaham wangemuwezesha kuzidi kupanua icho kifani chake ili kifahamike hadi nchi zingine afrika tuko sawa bigup Kenya bigup tz
Safi sana mjomba Usiseme sjasoma kipaji ulicho nacho ni zaidi ya elimu Ulichokosa wewe ni cheti tu ila elimu unayo Watanzania tujifunze kupenda,kuthamini na kujali vya kwetu, huyu mjomba akipewa saport atafika mbali sana
Tunaomba mawasiliano yake tafadhali maana tunaishiaga kuona hv vipaji kwenye mitandao lakini namna ya kuwapata hawa watu ili tuwasapoti kwakutumia kazi zao inakua ngumu
Serikali yetu ikipitisha mfumo wa mtaala ya kujifunza kwa kufanya, watanzania tungeepuka kutegemea bidhaa na huduma nyingi kutoka nje. Hakika serikali inahitaji kodi kujenga uchumi wa nchi yetu lakini umeme usio wa kulipia ungesaidia sana kuendeleza uchumi wa viwanda na kupitia shughuli mbalibali za umeme kununua mara moja uchumi wa watanzania ungekuwa kwa kasi sana. Naipenda Tanzania, ahsante mwenyezi MUNGU kwa vipaji hivi.
Halafu tunalia ajira , ni watu kama hawa wazungu huwapa mitaji na sehemu za kufanya utafiti , matokeo kunzisha viwanda vya kutengeneza vitu kama hivi , na kuajiri maelfu ya watu . Huyu atakufa tutashindwa kumtumia kwa maslahi mapana ya taifa .
Ni kweli lakini hilo linachangiwa na mengi sana ndugu. Huyu bwana binafsi namtafuta nikimpata ndani ya isiyozidi miaka miwili niulize hapa ama utasikia japo kwa ufupi kupitia vyombo vya habari.
@@victormushi6641 Tusijifikirie hivyo mkuu. Bado tunaweza licha ya kupotezewa mwelekeo na watu weupe waliokuja kama marafiki kwa mababu zetu kumbe ndio maadui wakubwa!
kama huitumii vizuri utabaki kulaumu hivohivo lakini huyu mzee hajafanya kitu kipya na hata kwa hapa nchi COSTECH wanaweza kutusaidia tatizo hatuna data base ko mtu akifanya jambo anaweza kuhisi yeye ndo wakwanza asipopata mtu wa kumpa changamoto
Jamani😰 watu wanavipaji vyao, kwann bado tunateseka na umeme sasa. Robo ya gharama za mitaji mikubwa na ukazalisha umeme mkubwa zaidi. Clean energy tena na hakuna hata kelele
Mzee Msuya Hongera sana ambiere.. kwalugha yetu mzima evava Shida hapo mijitu ya Ewura,Tpdc na Tanesco inakuangalia huku ikisema whata fwqk hatutaiba hela tena .binafsi natarajia kununua kwako mtambo huo Wa 2million
Umesema kweli,ni ubinafsi na roho mbaya.Kuna wakati marehemu Magufuli aliligusia hili kwamba hapa Tanzania mtu akiwa inventor badala ya kumpa support wanampiga vita.
Labda kama kuna kitu anaficha..... ila Hicho anachokieleza sio kweli. Hiyo sumaku ya kati haiwezi ku-move kama hizo sumaku za pembeni ni PERMANENT magnets.. ita move tu kama hizo magnets zitakuwa ELECTROMAGNETS na si vinginevyo
Hongera sana mtaalam una uwezo mkubwa sana nashauri aanza kubuni vitu ambavyo vitainua uchumi wako na kuongeza ajira kwa watu achana na hayo majenereta watakushtaki tu yakisababisha madhara ndo maana hata mwenyewe unatumia umeme wa tanesco badala ya huo wa kwako,mfano vifaa vya kilimo,ujenzi,ufundi,na teknorojia,ukiweka utaalamu huku utatoboa.
Huyu Mzee yuko kama mimi kabisa kwa uvumbuzi huu ila mimi nataka nivumbue pikipiki ya umeme ambayo haiishi charge nafikiri nitawasaidia boda boda sana katika kuingiza kipato zaidi ya kile cha pikipiki za mafuta #Hongera mzee msuya 🙏🙏
Tutumiye namba sisitukokijijini mashambani tunasumbuka na tatizo la umeme natunaweza kugalamiya garama zote za vifaa vyaufundi pamoja na malipoyote ya ufundi kamaalivyotaja apo tafazali tunaomba mtutumiye nambazake iliatusaidie asante sana
Hawa vindoki nchi nyingine wanakumbatiwa kama kifaranga.Kama itakuwa ni kweli baada ya kuhakikiwa basi huyu tunaiomba Serekali imtazame kwa jicho la kipekee sana.Tuache mazoea ya kujidharau kuwa watu weusi hatuwezi.Mtambo kwa sasa unaonekana umefunikwa hatujaona ndani bado. Huyu mbunifu si wa kumpuuza hata kidogo.Wagunduzi wa umeme/nishati kwa vyanzo mbalimbali hapa duniani hawajafikia bado hatua hii.Elimu na maarifa hayapatikani darasani tu na elimu za makaratasi wakati kiuhalisia unakuta wengine hawashabihiani hata kidogo na kile kinachoonekana kwenye vyeti japo sidharau elimu naomba nisinukuliwe vibaya.Kuna baadhi ya watu duniani huzaliwa na vipaji na uwezo wa ziada kuliko wengine na hiyo ni tunu waliyopewa na Mungu muweza wa yote.Hakika huu ugunduzi ukifanikiwa utakuwa ni rafiki kwa mazingira sana na nafuu sana.Endelea kutupa yanayojiri Ayo Tv.
Oyaaa boss mie nakushauli nenda machimbon kwenye migod ya zahabu wachimbaji wadogo ukafunge huo mambo wako harfu unawasambazia umeme utapiga pesa sana mzeee
Watu weusi, mungu alitupendelea sana, kuanzia, rangi nyeusi Ina melanin ya kutosha, pia maadili mema, na upeo wa pekee, na rasilimali tele. #OnyoKwaWaleWanaojichubuaNaKuukanaUafrikaTunaVitengovyaKuuzaMkaaNaOilchafuIlikuwalazimishaAsili😂😂😁
Huyu mzee ni shida, 5000W inatosha sana kwa matumizi ya nyumbani ila bado cjaelewa anatumia motor inayota izo 233V au anatumia motor ya low voltage eg. 12V halafu ana invert to 233V? All in all akinitafuta mm huo umeme tungeufanya uwe level nyingine kabisa
Mimi pia huu umeme naweza utengeneza tena na nilishajaribu kutengeneza mpango wa kubuni pikipiki ya umeme ambao haushi na kwa hali ilivyo sasa ya mafuta bei juu ni pesa ya nje nje boda boda wengi wangepeta huu mpango wangu lakin vifaa sasa navyovihitaji 😔😔 ndo gharama ningepata mdhamini mbona ni moto💥💥
Huyu jamaa hypomania (overtaking, flight of ideas which is organized), hiyo state ya hypomania ndo chimbuko la ubunifu na genius. Ukiwasoma wakina Newton, Albert Einstein walikua na hiyo hypomania state... From Psychology Doctor. Serikali iweke wizara ambayo itakua ina support watu kama hawa wabunifu waje wafanye mageuzi ya technology Tanzania
Ndugu huyu Amebarikiwa, Mungu mulinde sanaa na pia fungua milango aweze kuwa mchango mkubwa kwa watanzania wote,, kwa raia wenye uchumi mdogo tayari watakuwa wamesaidiwa na hata uchumi wao utaongezeka na nchi itazidi kujitangaza si kwa utalii tu bali na kwa ubunifu huu Alindwe na Maombi yake yote yasikilizwe na sikuminywa tukuweee
Huyu mzee awezeshwe afungue kiwanda kwaajili ya uzalishaji na mafunzo... nafikiria tu kama mashine zitafungwa mitambo ya umeme kama hiii... basi biashara ya mafuta itakufa!
@@alfanm.8221 ndiyo manake... atengeneze iwe kama backup.... hata hivi ilivyo, serikali ikimpa kibali awe anaengeneza kwa oda; najuwa watu watahitaji kwaajili ya backup kwenye nyumba zao pale tanesco inapokata!
The First Law of Thermodynamics (Conservation) states that energy is always conserved, it cannot be created or destroyed. In essence, energy can be converted from one form into another.
Ina maana hiyo umeme haiwezi dumu zaidi ya maisha ya smaku. Kila wakati umeme ikiwaka smaku inapoteza mvuto. Kwa hiyo ukihepa kulipa stima bado Utanunua smaku ya kiasi cha ghalama ya stima ambaya angelipia.
Hakuna kitu kama hicho jamaaa ni mdadisi mzuri ila kitaalamu hiyo mashine itarun kwa muda fulani then itazima so ni mwendo wa kuwasha .uwezi create energy hata siku moja ila unaweza change one form of energy to another
@@ramexkhamis7682 huwezi create energy also kama anatumia dynamo kama sijamsikia vizuri means ni papertual mashine ukiweka factor kama frictional force means efficiency itakuwa inashuka kadri muda unavyozidi kwenda Also.huoni kama haingii akilini kwamba ana mtambo wa kufua free anergy lakini anakwambia anautumia pale umeme unapokatika why utumie umeme wa kulipia na unaweza fua wa bure,sikatishi tamaa hata mm enzi nipo diploma last year nilipropose project ya mechanism kama hiyo madoctor walikataa nilikuwa mbishi pia ila wakanielewesha na mm nilipofuatilia kwa karibu kwa kusoma nikaona ningefeli .niliishia kufanya nyingine ya kutengeneza umeme kwa kutumia radio wave ambayo mwisho wa siku ilinifanya nijutie coz nayo nilikurupuka kufuata utundu ila chuo unatakiwa uwe na explanation ya theory uliyotumia kwa maelezo na mahesabu
@@nikky4757 Nimekuelewa mzee iyo kweli ni perpetual machine. Na perpetual machine ni really theoretical tu kama walivyoeleza kwenye kitabu cha "Physics for entertainment" by Y.E Perelman 1913, na apo itakua inawaka kwa mda na kuzima haiwezi kuwaka milele. Maana ikiwaka milele itakua imeviolet law of thermodynamics
Jamani, wazungu wanahangaika kuhifadhi umeme kwenye betry, huyu jamaa kaizidi hata kampuni ya Tesla, selikali ione namna ya kuunda kikosi kazi cha kushirikiana na huyo Bwana kuja na product zitakazoleta independence Tanzania Na kuserve hata majirani wengine Pia huyo jamaa asiseme namna hiyo engine inavyofanya kazi maana wajanja wengi, ili teknolojia yake iendelezwe
Alindwa haswa huyu jamaa na TANESCO waangalie wapi pa kupatia Kodi from this technology maana Tena UTUMIZI WA KUFUA UMEME KWA MAJI NDO MWISHO HUU TUKIWA SERIOUS. HAPA UCHUMI UTAKUWA HADI RAISI MAGUFULI ATASHANGAA IMAGINE TRENI YA UMEME HUU, VIWANDA, MATUMIZI MAJUMBANI. TENA HAUIISHI.
A senior official from the ministry of energy visited him and witnessed his capabilities and everything stopped there. This why Africa take off to industrialization stagnates. No willingness and deliberate efforts to tap and nurture our talents that die out before our very eyes as we scamper for and glorifies cheap Chinese products.
Wati kama ndio wanao watumia wenzetu wazungu, kupewa mitaji , na sehemu kubwa kufanya ufafiti wao na kuanzisha vitu kama simu ya mkononi , washing machine etc . Matokeo huanzisha maelfu ya ajira