Тёмный

MZEE ABUNI UMEME WAKE “HAUKATIKI, SIJASOMA, NILITENGENEZA HELIKOPTA WAZUNGU WAKACHUKUA" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 169 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

7 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1 тыс.   
@wasmebahati1224
@wasmebahati1224 3 года назад
Mafundi wote 🤝.Twende pamoja , 🇹🇿 AFRICA UNITED TO THE WORLD
@sadickrichard7849
@sadickrichard7849 3 года назад
alomuona bwana injinia kafanana na senga gonga like
@hoseasteven6241
@hoseasteven6241 3 года назад
hhhhhhhhhaaaaahhhha umetisha bro niyeye kabisaa
@efkavi77
@efkavi77 3 года назад
ni ajabu sana kwamba katika video yote ndo umeona hilo bro
@zuhurazuh516
@zuhurazuh516 3 года назад
Yaan mm kila Nikimuangalia Nasema mbn Huyu Mzee na Mfananisha na Msaniii daah Kumbe ndio Sengaaa Uwiiii Nimeelewa
@patrickrobison7091
@patrickrobison7091 3 года назад
Huyu Jamaa kaka yake Senga nini?
@mtuisofa3259
@mtuisofa3259 3 года назад
Sanaaaa
@tronadc7
@tronadc7 3 года назад
Tanzania 🇹🇿 tunavipaji vingi tumpe support mzee wetu
@paskalmasake3342
@paskalmasake3342 3 года назад
Mjitahidi kubuni kabla hamjazeeka muwe hazina
@wicklif1
@wicklif1 Год назад
I lack words to tell this innovator. Keep it up, you will go far. Naomba number ya huyu Mzee
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 3 года назад
TRA msitumie task force kumnyanyasa mzee ,asikilizwe si kila kitu tuagize China mafundi wenye vipaji vya kuzaliwa navyo wapo Africa .Big up faza kwa kipaji chako.
@upendowakwelinaamani1060
@upendowakwelinaamani1060 3 года назад
Serikali yetu Tz tunaomba huyu baba kwa uwezo aliokua nao apewe nafasi ktk vyuo vya VETA ili hii elimu alio kua nayo akawafundishe wanafunzi kweli huyu baba ana madini hata km hakusoma elimu ya darasan lkn anauwezo wa hali ya juu tusiiache hii hazina ipotee bure tunaomba watoto wetu wakajifunze ufundi alionao kupitia yeyw huko veta na ukizingatia tuko katk kipindi cha serikali ya viwanda atatufaa sana.
@comicvisual8661
@comicvisual8661 3 года назад
Uko sahihi Kabisa mkuu
@georgematahimba5242
@georgematahimba5242 3 года назад
Tupe contact zako
@gracekapinga4356
@gracekapinga4356 3 года назад
Naomba no ya Mr Msuya nahitaji anitenhenezee huo umeme
@chiefmjukuutm6666
@chiefmjukuutm6666 2 года назад
Kabisa
@stephenking3602
@stephenking3602 Год назад
Wee ndg yangu, tatizo viongozi wetu bado wana mfumo wa magharibi, yaan kujipatia pesa kwa kutumia matatizo ya wanyonge, sasa wawafundishe tena!? Maana wanajua ujinga Ndio utakaowafanikisha wao yako wapi!!!!?
@tanzaniafxlab
@tanzaniafxlab 3 года назад
Asante Ayo TV kwa kuibua hiki kipaji, kwa kusema kweli kampuni ya Tesla ingeona hiyo teknolonolojia, huyo Bwana wangemnunua, Kwa sababu wazungu wanastruggle kupata umeme wa magari, lakin huyu jamaa amekuja na namna ya kuleta hiyo nishati bila external source Hii ni tunu, wahusika wajitahidi kuzingatia
@afreyghp34
@afreyghp34 3 года назад
Hongera Sana mzee upo vizuri Sana,. Siyokwamba wameshindwa kuku support, nkwamba wanaogopa kuuwa sokolao la umeme wa luku,. That why wanakaa kimya.
@nicodemmabala1904
@nicodemmabala1904 3 года назад
Huyu jamaa ni mbunifu sana na ana skills kubwa sana kwa kweli serikali imuwezeshe na ikiwezekana apewe mtaji wa kujenga chuo ili aanze kufundisha vijana hii taaluma ili tuwe na hazina kubwa ya vijana wenye utaalamu kama huu.
@kimwilliard8933
@kimwilliard8933 3 года назад
shida inakuja serikali imeisha spend trillions of money kwenye mega projects za umeme. sasa wakimsupport huyu inamaana hayo mabillion ni kama wametupa kwenye shimo. cha maana nibkumchukua huyu jamaa na kumfadhili awaonyeshe utaalamu wake waingie nae mkataba ambao jaamaa atafaidika kwa taaluma yake. then wapange mipango ya baadae jinsi gani watatumia huo utaalamu kuzalisha umeme in huge scale.
@katyetyegosper218
@katyetyegosper218 3 года назад
Tesla alikua mvumbuzi walimzingua Mzee una kipaji sana Nahitaji Namba yako Nataka nahitaji Mtambo wa 2 million. Nilikua naangalia Uvumbuz wa prof mmoja kuhusu Magnetic river ambayo inafanya kitu kizunguke chenyewe na ni rahis kupata umeme lakini wewe mzee umetumia nguvu ya kukwepana Kwa sumaku ukavuna umeme You have done awesome work 👏👏👏
@dennismenace5174
@dennismenace5174 3 года назад
Ukipata nipe pia
@francismhoja8151
@francismhoja8151 2 года назад
Naomba namba yake huyo mzee
@andrewmabeba5826
@andrewmabeba5826 Год назад
Mzee namba ndio amesahau kutaja
@johnkona1581
@johnkona1581 3 года назад
Safii Sana ndugu naamini kwa serikali hii utaitangaza tz kimataifa hongera sana
@paulhhari8861
@paulhhari8861 3 года назад
Kwa serikali ipi? Wewe huoni wanajifanya hawamwoni maana wanajua wakimruhusu tu kutengeneza mitambo ya kuzalisha umeme Tanesco itakufa, maana watakosa mapato yatokanayo na LUKU🤣🤣🤣🤣
@stefanogizzler
@stefanogizzler 3 года назад
Free energy I think, si atuonyeshe vile ameweka hizo magnets, atupee contact!! Watching from the UK Midlands
@renaldbusanya361
@renaldbusanya361 Год назад
I can make this electricity, but give me financial strength so that I can do better, but he is not there
@yasinrasheed5743
@yasinrasheed5743 3 года назад
This man could solve energy crisis and make us supper power in Africa and world ,this is brilliant mind.
@JosephKapanga
@JosephKapanga 3 месяца назад
Hongera sana Mzee unastahili kupewatuzo Kwa ugunduzi huu.viongozi wa serikali wa tz acheni wivu mnatazama TU nakuondoka.Hafu hiyo elikopta usingepeleka uingereza wazungu ni wezi TU.
@jmytz983
@jmytz983 3 года назад
For sure he is blessed and is more talent.we just support him now is time to believe in our self African we can.
@AizackKalenge-ro5rc
@AizackKalenge-ro5rc 2 месяца назад
Hongera sana watangazaji binafsi Kwa kazi nzuri mnayo fanya ya kuibua vipaji vya maendeleo,Naomba namba ya huyo Mtu,Nae nimpongeze
@seventcentlothy105
@seventcentlothy105 3 года назад
Hongera sana mzee wangu natamani nifike kwako nami nijifunze kitu
@donga3094
@donga3094 3 года назад
African genius. Hongera kwake. Fanya hima atafutiwe ufadhili kwanza apate hati timilifu ili asaidike.
@japharynduko6139
@japharynduko6139 3 года назад
Yani kama ingewezekana mitaala ya elimu ikatolewa kwa mfumo wa self reliance yan elim ya kujitegemea maendeleo ya Tanzania yangekua kwa kasi sana izo ndio elimu tunazotakiwa tupewe darasan
@mussamati5216
@mussamati5216 3 года назад
Kweli ndugu ila wanatupa ujinga tunamaliza hatuna lolote
@msamgunda7684
@msamgunda7684 3 года назад
Ww unataka upewe elimu gan.masomo unavyosomeshwa ndio hayo hayo wanayoyasoma wao. Shida hufundishwi kujifunza na kutatua changamoto zinazoikabil jamii yako. Unafundishwa kufaulu mitian yako.
@christianemma9556
@christianemma9556 3 года назад
Hii Elimu inatolewa darasani , secondary Form 3
@efkavi77
@efkavi77 3 года назад
@@msamgunda7684 msikilize jamaa hapo, angesoma hadi chuo kikuu hangeweza kufanya hata nusu ya anayofanya. hapo anakuambia kasoma hadi sekondari kidogo tuu
@hassansalumu210
@hassansalumu210 3 года назад
@@msamgunda7684 ndio maana mdau kashauli mitaala ya elimu ibadilishwe kwa sababu uliyoitoa wewe
@ernestniyo8475
@ernestniyo8475 3 года назад
Mimi sio mtanzania ila huu jamaa namkubali sana kama fundi wa halii ya juu kabisa yani watanzania mumusapoti kwa hali zot atatufaa africa nzima big up mzee
@peterlyaruu7464
@peterlyaruu7464 3 года назад
Mzee yuko vizuri! Naomba namba yake tafadhali! Asante!
@shahayamrema481
@shahayamrema481 2 года назад
Ulipata no yake
@harmonize9766
@harmonize9766 3 года назад
Tafathali milard ayo naomba kuwasiliana na mzee huyu 🙏🙏nipo tayari kulipa gharama yoyote .......BRAVO FROM KENYA.....
@renaldbusanya361
@renaldbusanya361 Год назад
I can also make this electrical equipment but I can't afford to buy it let's get together let's do it in kenya maybe it can be beneficial for you Tanzania doesn't care about innovation
@renaldbusanya361
@renaldbusanya361 Год назад
Nitafutie mdhamini nije kwa huko kenya tuuvumbue Tz huku unapotezwa kama vile wanaona utatajirika kuwazidi wao
@UR.CRISTIANO.FANSBASE
@UR.CRISTIANO.FANSBASE 11 месяцев назад
​@@renaldbusanya361weka mawasiliano yako
@madundaconstruction2469
@madundaconstruction2469 2 месяца назад
Hongera sana Mhandisi, tunaomba mawasiliano Yako.
@masundelwa
@masundelwa 3 года назад
Mfumo wa ELIMU hizi za kikoloni ndio zinarudisha nyuma maendeleo ya taifa letu.... Gonga like twende Sawa.
@HamisiR
@HamisiR Месяц назад
We acha wivu wako kila kitu ni kipawa wewe kutoka kwa Mungu kama we unaona ni ukoloni pole sana
@simons9693
@simons9693 3 года назад
This are the ideas we are looking for in 21st centuary. I believe you can do great things. Kuddos Matayo
@Chapesamedia
@Chapesamedia 3 года назад
Dahhh sasa Tanzania ya viwanda sihawa watu wenye vipaji vyao wa kuajiriwa dahhh God bless you more.
@salimbilali5174
@salimbilali5174 3 года назад
Huyu mzee ako na kipaji sana laiti serikal ingefaham wangemuwezesha kuzidi kupanua icho kifani chake ili kifahamike hadi nchi zingine afrika tuko sawa bigup Kenya bigup tz
@newbornhaule1635
@newbornhaule1635 3 года назад
Sasa Huyu anatakiwa aitwe professor Sasa kwanini tusimtumie Huyu msomi
@starlightofficial5214
@starlightofficial5214 3 года назад
Yes Professor
@credosajila8008
@credosajila8008 3 года назад
Kweli kabisa ndugu
@dedanowino7852
@dedanowino7852 3 года назад
Ako juu ya ma engineer wote africa mashariki walio timu kwa taalaumu ya umeme.
@ahamadinachuli6273
@ahamadinachuli6273 3 года назад
Kweli kabisaa tunamaprofesa makaratasi hawana faida yoyote hawajaweza kubuni hata sindano
@ahamadinachuli6273
@ahamadinachuli6273 3 года назад
Wakoloni wangemkata mikono hawa wa sasa wanakukata mikono kwa kukupotezea
@mohamedsung4891
@mohamedsung4891 2 года назад
Safi sana mjomba Usiseme sjasoma kipaji ulicho nacho ni zaidi ya elimu Ulichokosa wewe ni cheti tu ila elimu unayo Watanzania tujifunze kupenda,kuthamini na kujali vya kwetu, huyu mjomba akipewa saport atafika mbali sana
@bwokemwa2299
@bwokemwa2299 3 года назад
O lord, protect this man. I'm coming to find you, I need this for me❤️.
@renaldbusanya361
@renaldbusanya361 Год назад
I can also make this electrical equipment but I can't afford to buy it
@mkonongo_og
@mkonongo_og 3 года назад
AyoTV....Pongezi kwa kazi mnayofanya.!! Nasoma chuo kikuu cha Dodoma(UDOM), Nachukua Fizikia(PHYSICS), naomba nipate mawasiliano ya Huyu mzee..!!!
@francismhoja8151
@francismhoja8151 2 года назад
Ukipata namba ya huyo mzee nitumie na mimi
@wilfredkuyonza675
@wilfredkuyonza675 3 года назад
Tunaomba mawasiliano yake tafadhali maana tunaishiaga kuona hv vipaji kwenye mitandao lakini namna ya kuwapata hawa watu ili tuwasapoti kwakutumia kazi zao inakua ngumu
@kitundaemmanuel6811
@kitundaemmanuel6811 3 года назад
Serikali yetu ikipitisha mfumo wa mtaala ya kujifunza kwa kufanya, watanzania tungeepuka kutegemea bidhaa na huduma nyingi kutoka nje. Hakika serikali inahitaji kodi kujenga uchumi wa nchi yetu lakini umeme usio wa kulipia ungesaidia sana kuendeleza uchumi wa viwanda na kupitia shughuli mbalibali za umeme kununua mara moja uchumi wa watanzania ungekuwa kwa kasi sana. Naipenda Tanzania, ahsante mwenyezi MUNGU kwa vipaji hivi.
@emmanuelbonifase1114
@emmanuelbonifase1114 3 года назад
Afrika fitina atupeani sapoti angekua mzungu apo angetangazwa sanaaa
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 3 года назад
Kwa wazungu huyu ni akina Bill Gates , akini kwetu hatumjali wala hapati msaada wowote ili kumuendeleza kwa manufaa makubwa ya taifa
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 3 года назад
Halafu tunalia ajira , ni watu kama hawa wazungu huwapa mitaji na sehemu za kufanya utafiti , matokeo kunzisha viwanda vya kutengeneza vitu kama hivi , na kuajiri maelfu ya watu . Huyu atakufa tutashindwa kumtumia kwa maslahi mapana ya taifa .
@victormushi6641
@victormushi6641 3 года назад
NGOZI NYEUSI NA ROHO NI NYEUSI HIVYO HIVYO
@Kijana-wa-Tanzania
@Kijana-wa-Tanzania 3 года назад
Ni kweli lakini hilo linachangiwa na mengi sana ndugu. Huyu bwana binafsi namtafuta nikimpata ndani ya isiyozidi miaka miwili niulize hapa ama utasikia japo kwa ufupi kupitia vyombo vya habari.
@Kijana-wa-Tanzania
@Kijana-wa-Tanzania 3 года назад
@@victormushi6641 Tusijifikirie hivyo mkuu. Bado tunaweza licha ya kupotezewa mwelekeo na watu weupe waliokuja kama marafiki kwa mababu zetu kumbe ndio maadui wakubwa!
@twiser6029
@twiser6029 5 месяцев назад
Bravo...put this invention writing for the future use..
@nrwawanndeny7394
@nrwawanndeny7394 3 года назад
Jamani shule(elimu ya magharibi ndiyo inayotulemaza akili zetu)
@samuelkima2135
@samuelkima2135 3 года назад
Joo unitengenezee
@justinebahati4704
@justinebahati4704 3 года назад
kama huitumii vizuri utabaki kulaumu hivohivo lakini huyu mzee hajafanya kitu kipya na hata kwa hapa nchi COSTECH wanaweza kutusaidia tatizo hatuna data base ko mtu akifanya jambo anaweza kuhisi yeye ndo wakwanza asipopata mtu wa kumpa changamoto
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 3 года назад
@@justinebahati4704 Fanya yako moja tuone
@justinebahati4704
@justinebahati4704 3 года назад
@@onesmojustice2348 U kno wat sometimes proving yourself is an insult
@MosesNyota
@MosesNyota 3 года назад
Great talent... Love from Nairobi.
@samsonistephano3327
@samsonistephano3327 3 года назад
Mshikaji kichwa sana serikali imuunge mkono anaweza kuifanya tz kuwa ya mfano
@kajolo1288
@kajolo1288 3 года назад
Jamani😰 watu wanavipaji vyao, kwann bado tunateseka na umeme sasa. Robo ya gharama za mitaji mikubwa na ukazalisha umeme mkubwa zaidi. Clean energy tena na hakuna hata kelele
@sindayiheburacesar6733
@sindayiheburacesar6733 3 года назад
Please can we get the contact for this technician. If there is possibility please I need it. He deserves support.
@renaldbusanya361
@renaldbusanya361 Год назад
I can make this electricity, but give me financial strength so that I can do better, but he is not there
@ernestmbwana6282
@ernestmbwana6282 3 года назад
Mzee Msuya Hongera sana ambiere.. kwalugha yetu mzima evava Shida hapo mijitu ya Ewura,Tpdc na Tanesco inakuangalia huku ikisema whata fwqk hatutaiba hela tena .binafsi natarajia kununua kwako mtambo huo Wa 2million
@dralhajijbmatatala4580
@dralhajijbmatatala4580 2 года назад
ULipata Namba yake??? Namhitaji huyu mzee
@fredyfile623
@fredyfile623 3 года назад
Safiiiii sanaaa tatizo la nchi yetu watu waliona wakikuvumbua mifereji yao ya hela itakatika
@alexmatt9504
@alexmatt9504 2 года назад
Umesema kweli,ni ubinafsi na roho mbaya.Kuna wakati marehemu Magufuli aliligusia hili kwamba hapa Tanzania mtu akiwa inventor badala ya kumpa support wanampiga vita.
@jeanmariendikuriyo4174
@jeanmariendikuriyo4174 3 года назад
Hongera saaana mzee mngu akulinde
@nrwawanndeny7394
@nrwawanndeny7394 3 года назад
Huyu jamaa ni mkali kuliko hata Isack Newton.
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 3 года назад
Kabisa kabisa, ndugu yangu.
@Haleem_07
@Haleem_07 3 года назад
Yaan isack Newton, Galileo, pascal.. Wote wakasome kwa huyu jamaa...
@isaachassan43
@isaachassan43 3 года назад
Ni kweli
@gregorynjama6493
@gregorynjama6493 6 месяцев назад
Mimi nakukubali Bwana Rojars ila naomba namba yake ya simu
@hosenimwelekwa5367
@hosenimwelekwa5367 2 года назад
Duh!! We have talent in our country, government must support him
@paulalphonce5848
@paulalphonce5848 3 года назад
@Millardayo, naomba kuunganishwa na jamaa kwa ajili ya kununua mtambo kwa matumizi ya ofisi.
@martinredisony4694
@martinredisony4694 2 года назад
Vp umepata mawacliano ya huyu mzee nahitaji mtambo
@nansal55
@nansal55 2 года назад
Labda kama kuna kitu anaficha..... ila Hicho anachokieleza sio kweli. Hiyo sumaku ya kati haiwezi ku-move kama hizo sumaku za pembeni ni PERMANENT magnets.. ita move tu kama hizo magnets zitakuwa ELECTROMAGNETS na si vinginevyo
@israelmkaka2807
@israelmkaka2807 3 месяца назад
Kasome Vizuri Physics
@nativeinfotv9620
@nativeinfotv9620 3 года назад
Nimependa sana
@nasibusaid4161
@nasibusaid4161 7 месяцев назад
Hongera sana mtaalam una uwezo mkubwa sana nashauri aanza kubuni vitu ambavyo vitainua uchumi wako na kuongeza ajira kwa watu achana na hayo majenereta watakushtaki tu yakisababisha madhara ndo maana hata mwenyewe unatumia umeme wa tanesco badala ya huo wa kwako,mfano vifaa vya kilimo,ujenzi,ufundi,na teknorojia,ukiweka utaalamu huku utatoboa.
@fredchaki6712
@fredchaki6712 3 года назад
Namba ya engineer tunaomba muhimu
@renaldbusanya361
@renaldbusanya361 Год назад
Huyu Mzee yuko kama mimi kabisa kwa uvumbuzi huu ila mimi nataka nivumbue pikipiki ya umeme ambayo haiishi charge nafikiri nitawasaidia boda boda sana katika kuingiza kipato zaidi ya kile cha pikipiki za mafuta #Hongera mzee msuya 🙏🙏
@innocentmafuwe4686
@innocentmafuwe4686 3 года назад
Mzee chunga hhi tanzania bhna ina mambo mengi ao viongozi co kwamba hawajui umuhim wa huu mtambo ila ni kwamba wanalimda maslai ya tanesco
@awesafari
@awesafari 5 месяцев назад
Na appreciate sana kazi ya huyo mzee naomba namba yake nataka hyo system pia please
@KINYASI
@KINYASI 2 года назад
Daa, watu wetu wanaangamia na marifa. Tanzania tunakua tegemezi na huku wataalamu wa asili na ni kipawa. Jamani huyu mtu yuko wapi ???
@paulaluba8372
@paulaluba8372 3 года назад
Tutumiye namba sisitukokijijini mashambani tunasumbuka na tatizo la umeme natunaweza kugalamiya garama zote za vifaa vyaufundi pamoja na malipoyote ya ufundi kamaalivyotaja apo tafazali tunaomba mtutumiye nambazake iliatusaidie asante sana
@godloveelikana4241
@godloveelikana4241 3 года назад
Hawa vindoki nchi nyingine wanakumbatiwa kama kifaranga.Kama itakuwa ni kweli baada ya kuhakikiwa basi huyu tunaiomba Serekali imtazame kwa jicho la kipekee sana.Tuache mazoea ya kujidharau kuwa watu weusi hatuwezi.Mtambo kwa sasa unaonekana umefunikwa hatujaona ndani bado. Huyu mbunifu si wa kumpuuza hata kidogo.Wagunduzi wa umeme/nishati kwa vyanzo mbalimbali hapa duniani hawajafikia bado hatua hii.Elimu na maarifa hayapatikani darasani tu na elimu za makaratasi wakati kiuhalisia unakuta wengine hawashabihiani hata kidogo na kile kinachoonekana kwenye vyeti japo sidharau elimu naomba nisinukuliwe vibaya.Kuna baadhi ya watu duniani huzaliwa na vipaji na uwezo wa ziada kuliko wengine na hiyo ni tunu waliyopewa na Mungu muweza wa yote.Hakika huu ugunduzi ukifanikiwa utakuwa ni rafiki kwa mazingira sana na nafuu sana.Endelea kutupa yanayojiri Ayo Tv.
@ommietrendz7175
@ommietrendz7175 3 года назад
Mwisho wa siku wampe kesi ya uhujumu uchumi maana hii serikali 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@andreamndeme1539
@andreamndeme1539 3 года назад
Mbona kuna adinani lisu aliyempgia kelele kipindi alipowekwa gerezani alishawahi tengeneza helcopta
@simonmwandu2214
@simonmwandu2214 3 года назад
Oyaaa boss mie nakushauli nenda machimbon kwenye migod ya zahabu wachimbaji wadogo ukafunge huo mambo wako harfu unawasambazia umeme utapiga pesa sana mzeee
@MichaelCNtaho
@MichaelCNtaho 3 года назад
Ni wazo zuri ila nahisi tanesco hawata muacha salama...
@billocesamwel2637
@billocesamwel2637 3 года назад
Watu weusi, mungu alitupendelea sana, kuanzia, rangi nyeusi Ina melanin ya kutosha, pia maadili mema, na upeo wa pekee, na rasilimali tele. #OnyoKwaWaleWanaojichubuaNaKuukanaUafrikaTunaVitengovyaKuuzaMkaaNaOilchafuIlikuwalazimishaAsili😂😂😁
@johnyty498
@johnyty498 3 года назад
Huyu mzee ni shida, 5000W inatosha sana kwa matumizi ya nyumbani ila bado cjaelewa anatumia motor inayota izo 233V au anatumia motor ya low voltage eg. 12V halafu ana invert to 233V? All in all akinitafuta mm huo umeme tungeufanya uwe level nyingine kabisa
@alexanderkapinga700
@alexanderkapinga700 3 года назад
Sasa we kwanini usimtafute sasa unasema angekutafuta unalengo au unatuzingua tu kwa maneno matupu?
@renaldbusanya361
@renaldbusanya361 Год назад
Mimi pia huu umeme naweza utengeneza tena na nilishajaribu kutengeneza mpango wa kubuni pikipiki ya umeme ambao haushi na kwa hali ilivyo sasa ya mafuta bei juu ni pesa ya nje nje boda boda wengi wangepeta huu mpango wangu lakin vifaa sasa navyovihitaji 😔😔 ndo gharama ningepata mdhamini mbona ni moto💥💥
@zizuzidu9803
@zizuzidu9803 Год назад
Huyu jamaa hypomania (overtaking, flight of ideas which is organized), hiyo state ya hypomania ndo chimbuko la ubunifu na genius. Ukiwasoma wakina Newton, Albert Einstein walikua na hiyo hypomania state... From Psychology Doctor. Serikali iweke wizara ambayo itakua ina support watu kama hawa wabunifu waje wafanye mageuzi ya technology Tanzania
@mannabu9333
@mannabu9333 3 года назад
Ungetenza mwing tu uwaazie watu maaana Tanesco wanazingua sana kukata kata umeme kila siku bila sababu
@kibeginiblue7188
@kibeginiblue7188 3 года назад
Scientist ♥️♥️♥️🙏🙏🙏 Serikali aichelewi kupiga marufuku
@ivaniavianarodrigo7201
@ivaniavianarodrigo7201 3 года назад
taifa la tz limijaaliwa, vitu vingi ila viongozi ndo tatizo
@simonlurai7033
@simonlurai7033 3 года назад
haswa vingozi wakiwawezesha tutaiyona Tanzania mpya
@54plus41
@54plus41 2 года назад
To Ayo tv, Tafadhali nipee namba ama email ya msuya.naona nikwa mda lakini ningetaka kununua mtambo.
@machinefannatic99
@machinefannatic99 3 года назад
Namba yake iko wapi?
@malha999
@malha999 6 месяцев назад
Umezipata?
@machinefannatic99
@machinefannatic99 6 месяцев назад
@@malha999 hatoi number
@greggmarshall4869
@greggmarshall4869 2 года назад
Ndugu huyu Amebarikiwa, Mungu mulinde sanaa na pia fungua milango aweze kuwa mchango mkubwa kwa watanzania wote,, kwa raia wenye uchumi mdogo tayari watakuwa wamesaidiwa na hata uchumi wao utaongezeka na nchi itazidi kujitangaza si kwa utalii tu bali na kwa ubunifu huu Alindwe na Maombi yake yote yasikilizwe na sikuminywa tukuweee
@mrmago4870
@mrmago4870 3 года назад
Huyu mzee awezeshwe afungue kiwanda kwaajili ya uzalishaji na mafunzo... nafikiria tu kama mashine zitafungwa mitambo ya umeme kama hiii... basi biashara ya mafuta itakufa!
@alfanm.8221
@alfanm.8221 3 года назад
Pengine atengeneze iwe kama generator lkini kiwanda hapo nayo utakuwa umejidanganya maana serikali itokubali ama kuumpa kibali.
@mrmago4870
@mrmago4870 3 года назад
@@alfanm.8221 ndiyo manake... atengeneze iwe kama backup.... hata hivi ilivyo, serikali ikimpa kibali awe anaengeneza kwa oda; najuwa watu watahitaji kwaajili ya backup kwenye nyumba zao pale tanesco inapokata!
@dralhajijbmatatala4580
@dralhajijbmatatala4580 2 года назад
Kweli Kabisa. NTAPARAJE NO YAKE?
@umarbakar1694
@umarbakar1694 3 года назад
My profesa.
@jahhloveyou4462
@jahhloveyou4462 3 года назад
Wanapanga kukuibia baba ,kama unarafiki wapya wanakununulia vitu hao waangalie sana.... Da kaka contact ni vizuri ingewekwa
@danielavelin2161
@danielavelin2161 3 года назад
Huyu mzee ni shida asee bravoo
@mcgoodluckeventz2175
@mcgoodluckeventz2175 3 года назад
Naiomba namba yake
@reganshao
@reganshao 3 года назад
Yan watu wana vitu vingi lakin ndo hivyo wenye vipaji wengi mafukara kwasababu wenye elimu wamekalia viti vya wenye vipaji ... Hongera sana mkuu
@vedastokeya3344
@vedastokeya3344 3 года назад
Huyu ndie anatakiwa kuitwa profesa haswaa tz huyu tayari bilionea ni mda tu
@thomasmbilinyi6376
@thomasmbilinyi6376 2 месяца назад
Naomba sana nataka nimpe kazi
@kaimbe
@kaimbe 3 года назад
The First Law of Thermodynamics (Conservation) states that energy is always conserved, it cannot be created or destroyed. In essence, energy can be converted from one form into another.
@simbawakwale2347
@simbawakwale2347 3 года назад
tafsiri kwa kiswahili hahahah
@geraldboto2645
@geraldboto2645 3 года назад
Ina maana hiyo umeme haiwezi dumu zaidi ya maisha ya smaku. Kila wakati umeme ikiwaka smaku inapoteza mvuto. Kwa hiyo ukihepa kulipa stima bado Utanunua smaku ya kiasi cha ghalama ya stima ambaya angelipia.
@mercynnko4835
@mercynnko4835 3 года назад
@@geraldboto2645 Jamaa uko vizuri sana, kwako Physics iko sawasawa kabisa. Ninakuelewa sana. Big big up!
@Ndu-wa.uroony2
@Ndu-wa.uroony2 3 года назад
@@geraldboto2645 acha upumbavu
@geraldboto2645
@geraldboto2645 3 года назад
@@Ndu-wa.uroony2 nimeacha
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 3 года назад
Ukuu wa Mwafrika utadumu enzi hata enzi haijalishi mbinu za mabeberu chini ya baadhi ya vibaraka wazawa kuuangamiza.🗻🇹🇿
@olaycereuben419
@olaycereuben419 3 года назад
So amegundua free energy machine
@nikky4757
@nikky4757 3 года назад
Hakuna kitu kama hicho jamaaa ni mdadisi mzuri ila kitaalamu hiyo mashine itarun kwa muda fulani then itazima so ni mwendo wa kuwasha .uwezi create energy hata siku moja ila unaweza change one form of energy to another
@ramexkhamis7682
@ramexkhamis7682 3 года назад
@@nikky4757 naomba unipe fact kama itazma na itazma kwann
@nikky4757
@nikky4757 3 года назад
@@ramexkhamis7682 huwezi create energy also kama anatumia dynamo kama sijamsikia vizuri means ni papertual mashine ukiweka factor kama frictional force means efficiency itakuwa inashuka kadri muda unavyozidi kwenda Also.huoni kama haingii akilini kwamba ana mtambo wa kufua free anergy lakini anakwambia anautumia pale umeme unapokatika why utumie umeme wa kulipia na unaweza fua wa bure,sikatishi tamaa hata mm enzi nipo diploma last year nilipropose project ya mechanism kama hiyo madoctor walikataa nilikuwa mbishi pia ila wakanielewesha na mm nilipofuatilia kwa karibu kwa kusoma nikaona ningefeli .niliishia kufanya nyingine ya kutengeneza umeme kwa kutumia radio wave ambayo mwisho wa siku ilinifanya nijutie coz nayo nilikurupuka kufuata utundu ila chuo unatakiwa uwe na explanation ya theory uliyotumia kwa maelezo na mahesabu
@ramexkhamis7682
@ramexkhamis7682 3 года назад
@@nikky4757 Nimekuelewa mzee iyo kweli ni perpetual machine. Na perpetual machine ni really theoretical tu kama walivyoeleza kwenye kitabu cha "Physics for entertainment" by Y.E Perelman 1913, na apo itakua inawaka kwa mda na kuzima haiwezi kuwaka milele. Maana ikiwaka milele itakua imeviolet law of thermodynamics
@johnbartazary9597
@johnbartazary9597 Год назад
Hongera Mzee kwa ubunifu huo lakini ingekuwa vema kama tungeiona hiyo mashine kwa ndani
@chifupromise9575
@chifupromise9575 3 года назад
lazima wakuzime wanaogopa utauwa biashara zao. lakin usikate tamaa ipo siku watakubali tu
@emmanuelabel8166
@emmanuelabel8166 6 месяцев назад
Kazi nzuri sana kaka. AYO tunaomba namba ya mzee
@mishaelmusiba305
@mishaelmusiba305 3 года назад
Hawa ni watu wamuhimu saaaana, Tanzania tuwatumie ili tuwe huru kiteknolojia.
@mutegimati7256
@mutegimati7256 3 года назад
Kazi nzuri kabisa,wekeni namba ya simu ya mzee
@tanzaniafxlab
@tanzaniafxlab 3 года назад
Jamani, wazungu wanahangaika kuhifadhi umeme kwenye betry, huyu jamaa kaizidi hata kampuni ya Tesla, selikali ione namna ya kuunda kikosi kazi cha kushirikiana na huyo Bwana kuja na product zitakazoleta independence Tanzania Na kuserve hata majirani wengine Pia huyo jamaa asiseme namna hiyo engine inavyofanya kazi maana wajanja wengi, ili teknolojia yake iendelezwe
@IbrahimMohamed-yy2il
@IbrahimMohamed-yy2il 3 года назад
Alindwa haswa huyu jamaa na TANESCO waangalie wapi pa kupatia Kodi from this technology maana Tena UTUMIZI WA KUFUA UMEME KWA MAJI NDO MWISHO HUU TUKIWA SERIOUS. HAPA UCHUMI UTAKUWA HADI RAISI MAGUFULI ATASHANGAA IMAGINE TRENI YA UMEME HUU, VIWANDA, MATUMIZI MAJUMBANI. TENA HAUIISHI.
@umarbakar1694
@umarbakar1694 3 года назад
Hongera sana mzee. Nakukubali. Naomba niwe mwanafunzi wako. Nipo Mbeya mbarali.
@NameName-o7z
@NameName-o7z 8 месяцев назад
Nahitaji unitengeneeze mtambowa milioni3naombanambayako tuyajenge
@matwenyalila277
@matwenyalila277 3 года назад
Naomba no ninunue mtambo Ayo
@NameName-o7z
@NameName-o7z 8 месяцев назад
BABA TOA NAMBAWADAUTUPOOOOOOO
@yusufkihiyo5232
@yusufkihiyo5232 2 месяца назад
Big up bro!. Tunampataje huyo brother ? Tuwasiliane.
@leonardleonard6164
@leonardleonard6164 3 года назад
Mawasiliano yake kama inawezekana,yote kwa yote hongera sana ndugu
@jonickmbwilo3404
@jonickmbwilo3404 Год назад
Hongera sana mzee, naomba mawasiliano yake nimpe pongezi zaidi
@constantinemanyanda6667
@constantinemanyanda6667 3 года назад
Mungu ambarik na kipaji chake
@zachariamduma3411
@zachariamduma3411 3 года назад
Wazungu wanakua matajiri kwasababu ya technology,lkn sis tntaka madini na yanaisha
@johnrongu1983
@johnrongu1983 3 года назад
Heko kwa huyu mzee much love from #kenya
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 3 года назад
Mzee una kitu kizuri sana kichwan kwako 😂😂😂😂😂😂😂 bonge la idea nakusapot
@rashidmwamba5553
@rashidmwamba5553 2 года назад
hongera sann kaka naomba namba zako nahitaji mtambo kama huo unaotowa kva 200 naomba sann mawasiliano yako
@georgeikinya2779
@georgeikinya2779 3 года назад
A senior official from the ministry of energy visited him and witnessed his capabilities and everything stopped there. This why Africa take off to industrialization stagnates. No willingness and deliberate efforts to tap and nurture our talents that die out before our very eyes as we scamper for and glorifies cheap Chinese products.
@mmangajuma5642
@mmangajuma5642 3 года назад
jaman mpeni ajira baba kazi nzuri
@someaafrika.3379
@someaafrika.3379 3 года назад
1:56 alipotamka tu "Jua kali Nairobi" aise mzee huyu ni zaidi ya msomi.
@jacksonmodaha1590
@jacksonmodaha1590 3 года назад
Naomba tupeni namba ya Mawasiliano ya huyo mzee Wa Umeme
@derrikdesertman4564
@derrikdesertman4564 3 года назад
Ooiii hapo Jua kali kuna nini mpaka uone ni msomi?
@claudekeverenge4404
@claudekeverenge4404 3 года назад
Jua kali Kenya Wana wa akituma kinyama daily kusaka unga kutumia vifaa kadhaa kama vyuma bovu. Kaza njoo nipo Nairobi
@saida.muhsin2187
@saida.muhsin2187 3 года назад
Kawazidi mpaka wachina maana wao mpaka leo hata baiskeli wanaleta za kuchaji hii ya sumaku ni mpya bigup sana kaka
@emmanueltesha6737
@emmanueltesha6737 3 года назад
Naiyomba serikali,,isaport,,aweze kuwa na kiwanda cha kutengeneza mashine hzo zakutosha,,watu Kama hawa ni azina ya nchi
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 3 года назад
Wati kama ndio wanao watumia wenzetu wazungu, kupewa mitaji , na sehemu kubwa kufanya ufafiti wao na kuanzisha vitu kama simu ya mkononi , washing machine etc . Matokeo huanzisha maelfu ya ajira
@philipsijenyi8841
@philipsijenyi8841 3 года назад
Plz I ineed mawasiliano ya huyu jamaa
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 3 года назад
@@philipsijenyi8841 sikiliza uzuri katika hiyo video nafiri kuna sehemu anasema vp unaweza wasilina nao
@hoseammbaga1357
@hoseammbaga1357 3 года назад
Namshauri akamwone Rais amwoneshe kazi zake.
@kenethraphael3604
@kenethraphael3604 3 года назад
Hakika
@Kingo1410
@Kingo1410 3 года назад
Huyu ni mkali sanaaa..yupo sawa...sana kumuendeleza nivgumu coz atapunguza biashara za nishati..sola generator na kadhalika nataka namba zake wadau..
Далее
БЫСТРАЯ сборка ПК - от А до Я!
00:22
HII NDIYO HELIKOPTA ILIYOUNDWA ZANZIBAR
10:50
Просмотров 822 тыс.
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Просмотров 6 млн
Huyu ndiye kijana anayetumiataka kutengeneza redio
2:09
БЫСТРАЯ сборка ПК - от А до Я!
00:22