Kutana na Zuberi Abdallah ambaye ni mbunifu mkazi wa mkoa wa Kigoma mwenye umri wa miaka 23 na kwasasa anaendelea kutengeneza pikipiki ambayo itakuwa na uwezo wa kubeba kilo 30 na kuendeshwa kwa kutumia umeme wa betri.
Wabongo bwana sasa dogo kafanya jambo lake mnaanza kumponda hiki ni kipaji,,, mnachochonga nin? kisa kasema kavumvua pikipiki, basi tufanye hii sio pikipiki dogo Zuberi waambie umezindua kitu kinachoitwa pakapaka si wanataka ubunifu waambie na jina ndo hilo umebuni wanaoponda wanakaa kwa shemej zao walio wengi.
wewe ulitaka niunde iwe inaenda kunyume nyume heti ndio unajua nimebadilisha mfumo mbona kuna king lioni .pia kuna SAN LG lakinisiviwandatofauti kinachoangaliwa niubora wakitu watanzania Mimi niwezekusema tuwe nakauli nzuri
Ata simu ndege meli azitengenezw nchi moja lakni ubunifu ule ule kama ndege utaaona inaanza kutembea mpaka inaruka au uliona ndege ya abiria ya Marekani iko tofaut na ya china zaidi ya kutofautisha bendera
@@zuberimbunifu1998 Hongeka Sana Zuberi Allah akufanyie wepesi kikubwa usikate tamaa na wanao comment vibaya achana nao wasikuumize kichwa tuachie sisi hao wana visokorokwinyo.
Kwa nini asipewe mtaji , afungue kiwanda chake , atengeneze nyingi Za biashara na kutoa ajira , lakini najua hatuthamini viliyo vyetu. Tunasubiri wazungu wataalamu
Wewe umeweza kuviunganisha?ndo maana sisi wabongo hatuendelei hata kumtia moyo mnaona shida,tuna shida sana.Kijana hongera hata wavumbuzi wengiii walianza hivi ivi,kazana utafanya mengii makubwa
@@childrengospelmissiontanza1474 Wewe unajua maana ya kuvumbua? Pikpiki ilibuniwa na wazungu karne ya 16, maana yangu ni kuwa, hakuna jipya alilofanya,,
@@josephkisaro1377 Joseph nduguyangu upovizuri nawewe inaonesha unaakili nyingi sana nachokushauli usiwe una ponda ila jaribu kunielekeza nitumie nini nanini ili nasisi Tanzania tuwe navitu tofauti nawao sawa
Hakuna jipya chini ya jua , Hata wazungu wameiga mahali. HAKUNA JIPYA CHINI YA JUA , ZUBERI MDOGO WANGU WEWE NI MTU BORA NA NI MVUMBUZI MKUBWA KATIKA NCHI YETU. NAJUA MACHUNGU YA TABU HIO YA KUANZA BILA KITU, NEVER MIND, KEEP MOVING,