Тёмный

AMINI USIAMINI HILI NDIO ENEO LA BEI JUU ZAIDI KULALA TANZANIA, MILIONI 22 SIKU MOJA, UNAOGA NA PAPA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 266 тыс.
50% 1

Inawezekana usiamini kwamba kuna sehemu zinagharimu zaidi ya shilingi Milioni 22 za Kitanzania kulala kwa usiku mmoja tu! Amini au usiamini sehemu hizo zipo, tena hapa hapa nchini kwetu Tanzania.
Thanda, ni sehemu kwa ajili ya mapumziko iliyotengenezwa na mtu binafsi katika eneo la kisiwa cha Shungimbili kilichomo Wilaya ya Kisiwa cha Mafia. Kisiwa hiki kina ukubwa wa takribani hekari 20 ambamo ndani yake imejengwa nyumba moja. Nyumba hiyo ina vyumba vya kulala vitano na vibanda viwili pembezoni mwa ufukwe wa bahari ya Hindi kusini mwa Tanzania ambapo familia ya watu mpaka 10 inaweza kuishi.

Опубликовано:

 

11 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 331   
@malcolmmusa1618
@malcolmmusa1618 3 года назад
Thanda Hotel full respect, na sio wote wanaijua
@rahmahersi6584
@rahmahersi6584 Год назад
Millard.ayo Napenda unavyotanga Very clear swahili Pronunciation. Hongera sana Pasco...
@ommymehmed8880
@ommymehmed8880 3 года назад
Oya bandugu tufanyen mema na tumuombe Mungu tuipate Pepo yake .....ndio kwenye starehe ya kudumu
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 3 года назад
Naam
@samkitwima7933
@samkitwima7933 3 года назад
Unaijua pepo wewe? Wakati wenzio wanapambana na maisha na kukuibia rasrimali na kufaidi maisha kupitia utajiri wako, wewe unang'ang'ana na pepo! Kama dunia ndo pepo Mungu amekupatia? Unajuaje pepo iko wapi! Akili za ajabu hizi zitatuua ngozi nyeusi
@ommymehmed8880
@ommymehmed8880 3 года назад
@@samkitwima7933 ww mzima lakn ....ivi uliona hapa dunian kuna stareh endelev...haya kuwa tajir na iyo stareh unayitaka tuone utaishia wapi.....
@samkitwima7933
@samkitwima7933 3 года назад
@@ommymehmed8880 We unadhani Mungu alimuumba binadamu ateseke duniani kisa kuna pepo? Endelea kuibiwa afu ujidanganye eri Mungu anawapenda maskini. Kwanza watu kama nyie ndo mnatuharibia dunia kwa kujidanganya kuna mbingu wakati Mungu ametupa mbingu safi ya Afrika wajinga weupe kwa kushirikiana na vibaraka kama wewe mkiiangamiza.
@ommymehmed8880
@ommymehmed8880 3 года назад
@@samkitwima7933 ww ukapmwe mavi.. Naona hujielewi kijana au kidada hata hueleweki...hapa sijaongelea utajir wala umaskin tulionao ....ninachokiongelea hapa ni kwamba starehe zozote au shida zozote hapa dunian ni za kupita tu na sio za kudum....hivyo basi ni muhim kumuomba Muumba wetu atujaalie PePo yake ....
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 3 года назад
Habari njema,Ningependa kufahamu tumeingiza kiasi gani Cha kodi kupitia uwekezaji huu tangu kuanzishwa kwake.
@augustinokahinda3939
@augustinokahinda3939 Год назад
Mbona hyo cha mtoto Ulizia Singita Grumeti reserves ndani ya hifadhi ya Serengeti utaelea huko ni chamtoto aseeee
@okajara93
@okajara93 3 года назад
Binafsi nlitamani kuona mtanzania ndo anamiliki hii sehem😪
@sijakibwana6745
@sijakibwana6745 3 года назад
Ili nchi iwe na maendeleo wamiliki duniani kote wanatoka nje ya nchi ukienda Dubai wamiliki wamarekani ukienda marekani wamiliki waisrael ukienda Africa kusini wamiliki warusia ndio dunia ilivyo
@mwanaidialiame318
@mwanaidialiame318 4 месяца назад
Mm pia 😢
@hazasalimhazasalim2914
@hazasalimhazasalim2914 3 года назад
diva akilala kilimanjaro anatutangazia nchi zima😂😂😂
@salehkhamis3063
@salehkhamis3063 3 года назад
Napaelewa sana hapo nishalala sana ila kwa sasa nipo U.A.E. kikazi. Wale maboss ambao wamelala hapo naomba like zenu tujuane
@marthahozza2964
@marthahozza2964 3 года назад
😂😂 story haichekeshi kwa wenye hela ila wengine inachekesha 😂😂😂
@khalifasultan2677
@khalifasultan2677 3 года назад
😄😄
@catherinemuhagama7338
@catherinemuhagama7338 3 года назад
😂😂😂acha tu
@cipladapretty8617
@cipladapretty8617 3 года назад
😂😂😂😂😂
@olarivedu5588
@olarivedu5588 3 года назад
Yaniiii ii ni kweli kabisa
@theopportunitygiver
@theopportunitygiver 3 года назад
Asante Millard Ayo maana sijatoka bure kwani nimejifunza dolphine kwa kiswahili anaitwa pomboo😹.
@debrahcharz4306
@debrahcharz4306 3 года назад
Mhhhh hela ya shamba na nyumba na gari juu
@filbertnashon7160
@filbertnashon7160 3 года назад
😂😂😂😂😂😂😂weeee debrah
@buye5436
@buye5436 3 года назад
Nilikuwepo hapo jana, nimefaidi sana papa.
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 года назад
😂😂😂😃 kwa video au live??😉😉
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 года назад
@@ilovejesus9303 🤣🤣🤣
@sospetermathias4253
@sospetermathias4253 3 года назад
Wewe jamaa
@elizabethnguye5713
@elizabethnguye5713 3 года назад
Aaaaàa
@khadijeegundumu4651
@khadijeegundumu4651 Год назад
😂😂🤣🤣
@issaalfani1030
@issaalfani1030 3 года назад
Aaaaaah aisee Dunia isivyoisha kutushangaza wakati nawaza mpaka sasa Duniani nimeishi siku 10,800 na katika siku zote hizo sijawahi kushika milion100 zakwangu kwa mara moja leo mtu anatumia milion 20 kwasiku 🤲🤲🤲🤲🤲
@veronicacharles9993
@veronicacharles9993 3 года назад
Ndo unamiaka mingapi kwa hizo siku
@derrickking3582
@derrickking3582 3 года назад
@@veronicacharles9993 29 hiyo
@careenallyally3668
@careenallyally3668 2 года назад
Acha tu
@christophermtega-cu9hx
@christophermtega-cu9hx Год назад
Tushukuru kutuelimisha
@madinakheri487
@madinakheri487 3 года назад
Natamani insha'Allah ntafanikiwa Allah kareem
@bizzoforreal8502
@bizzoforreal8502 3 года назад
Inshallah kwa sote
@hajikilopher7357
@hajikilopher7357 Год назад
Proud to be Mafian man
@madownloadionlinetv759
@madownloadionlinetv759 9 месяцев назад
niaje ndugu yangu
@AIInsights23
@AIInsights23 Год назад
nauza eneo karibu na hapo
@khamisdaima1455
@khamisdaima1455 3 года назад
Niliitafuta sana sehemu ya kupumzika na yenye utulivu kama hii kwa mada wa wiki 1 tu asante sana wacha niboking sasa.
@eddy4998
@eddy4998 3 года назад
Hapo huwezi mzee hajamalizia milard hiko kisiwa unaweka booking kuanzia watu watatu kwa maana million 60 today
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 года назад
🤣🤣🤣
@vibetz9991
@vibetz9991 3 года назад
Millard kwann Mnatutia stress za maisha?
@aishachambo3293
@aishachambo3293 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@gracejasson8690
@gracejasson8690 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@eddy4998
@eddy4998 3 года назад
Sio hapo thanda tuu mafia nzima nikisiwa kinachokuja kwa kasi ki utalii na nikisiwa kikubwa cha utalii
@eddy4998
@eddy4998 3 года назад
Wanangu wa Mafia piga kelele
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 года назад
😂😂😂✋🤚🤣🤣🤣
@Fofo-511F
@Fofo-511F Год назад
Mungu atujalie jenat faridos
@mosesbusanya3528
@mosesbusanya3528 3 года назад
Tujuane tulikuja kuangalia baada ya kuona heading ya kuoga na papa ili tuelewe ni papa gani😂😂😂
@crabmotility4207
@crabmotility4207 3 года назад
Papa la gigy money
@anitamwehonge8287
@anitamwehonge8287 3 года назад
😂😂😂😂😂
@barakachawe6241
@barakachawe6241 3 года назад
Dah ulichowaza ss 😂😂😂😂
@marymushi7473
@marymushi7473 3 года назад
😲😂😂😂😂😂😝
@hamidaala2832
@hamidaala2832 3 года назад
@@anitamwehonge8287 INNALILAH
@monicampokwa3776
@monicampokwa3776 3 года назад
Mimi ndyo nimekaa chumban hku nasoma comments hpa.In kweli nafaidi hapa
@saidmosh2550
@saidmosh2550 3 года назад
Hahahaahahha
@macamezunguzungu5697
@macamezunguzungu5697 3 года назад
Duh hiyo pesa kwangu ni mtaji,💪🙏
@mikelinagomezi1766
@mikelinagomezi1766 3 года назад
Daaaaaaa Mimi na toka na enda kutafuta Niki pata ndarudi, asante
@smartnyengo725
@smartnyengo725 3 года назад
Its my dream to get a job to that gud environment and interacting with different people
@gadyetheboss8738
@gadyetheboss8738 3 года назад
Ndoto yangu na Mim siku moja nije kulala ktk hiko kisiwa nione uzur wake
@mussafeisal7565
@mussafeisal7565 3 года назад
Hyo zaman Milado nenda sasa hv utashangaa
@magiehermess9949
@magiehermess9949 3 года назад
Kwani ukilala hapo unaiona mbingu direct? Napenda vitu vizuri Ila si huu ujinga wa kuharibu pesa hivi
@aviationwonders7575
@aviationwonders7575 3 года назад
Hawa ni raia wa Tanzania? Mbona Sheria ya nchi hairuhusu raia WA kigeni kununua aridhi
@krizofrancisco1287
@krizofrancisco1287 2 года назад
Watu waliofeli maisha wenzie wakifanikiwa wao hujifanya wanamjua sana mungu
@barakachaula7050
@barakachaula7050 3 года назад
MB zangu mwenyew zinanipa Stress, Millardayo utantoa roho ety, Wakati Me naitafuta hiyo M5 tu Kuna Mtu anaikul kwa Siku daah😂😂😂😂😂
@sabrikimani3613
@sabrikimani3613 3 года назад
Hahahahahah
@surusuru1994
@surusuru1994 Год назад
😂😂
@aristidmnganya5824
@aristidmnganya5824 3 года назад
It's good kaka lakina sio sehemu ghali kuliko nyingine Tanzania jaribu kutafuta lodge inaitwa four seasons safari lodge Serengeti kwa usiku mmoja ni almost $12,000 ambazo ni sawa na karibia mil27 za kitanzania
@danielsostenes1640
@danielsostenes1640 Год назад
acha io sehem ambayo ndo mwisho n gurumeti fund ad dolla 27000
@islandgirl4578
@islandgirl4578 3 года назад
Future husband where you baba please bring me there🔮😭😭
@Musacholo-el3kc
@Musacholo-el3kc Год назад
Daah so pow
@adamhashim3352
@adamhashim3352 3 года назад
Hii cha mtoto peponi ndo baba lao😁😁
@fatemaligalawa1918
@fatemaligalawa1918 3 года назад
Hii ndioaloyosemaga mzee baba Magu
@olarivedu5588
@olarivedu5588 3 года назад
Thanda Island-najua baba ii-
@khadijanjama8721
@khadijanjama8721 3 года назад
Maa shaa Allah
@RIGHTWAYRLC
@RIGHTWAYRLC 2 года назад
Wakati watanzania wanatozwa makodi ya juu na faini kali wa Sweden wana tengeneza 20+ ml kwa siku. Uzalendo mwisho UCHU-ME daima.
@saidsalum9587
@saidsalum9587 3 года назад
Hivi amntarifu chumba kilicho chini ya maji bei gan
@erickjoseph9140
@erickjoseph9140 3 года назад
Duuh! haki ya mungu
@chichimloli5926
@chichimloli5926 3 года назад
Km mzungu anakuwa mwenye kisiwa ndani ya nchi yetu kuna nn tena apo bado kutununua sisi tu
@fjojoly
@fjojoly 3 года назад
yaani
@fatmaharuon1313
@fatmaharuon1313 2 года назад
Mwanzo kilikuwa Cha wavuvi wanapiga Kambi hpo
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 6 месяцев назад
Mbona marehemu Mkappa anaeneo lake Africa ya kusini
@christophermartin4572
@christophermartin4572 3 года назад
dah hii nikali zaidi mzee baba
@ngwilastar4905
@ngwilastar4905 2 года назад
I lik this hotel
@yordanyona1234
@yordanyona1234 3 года назад
Shikamoo Pesa
@sabrikimani3613
@sabrikimani3613 3 года назад
Hahaha
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
Alafu hizo kodi sjui zinaenda wapi?nawaza sana kwakweli
@adamdemarch5565
@adamdemarch5565 3 года назад
Yeah pako vizuri mwenyew nili enjoyed
@godrichyera7853
@godrichyera7853 3 года назад
Hhhhh...nilitoka hapo jana maids walkua wanakuongelea kwa uzur yan😅
@benjamininyambaso5041
@benjamininyambaso5041 3 года назад
H-hhhhhhhh uwii
@adamdemarch5565
@adamdemarch5565 3 года назад
Jamaa haamini au hahhaa
@mumyhendry2919
@mumyhendry2919 3 года назад
@@godrichyera7853 🤣🤣🤣🤣🤣mtaniua ... Yaan comment ndio zina nguvu kuliko hata video yenyewe🤣🤣🤣
@adamdemarch5565
@adamdemarch5565 3 года назад
Ahhh pesa ndo Ina nguvu Apo sio çømmênt 😀
@brayanphilipo1851
@brayanphilipo1851 3 года назад
Noma😎
@saumuabdi1802
@saumuabdi1802 3 года назад
Mimi nimelala hapa jana kuamkia leo kwani iko nini😜
@kalebphilip3426
@kalebphilip3426 Год назад
Ni pesa ndogo Sana mngefanya milion mia
@Mamatonny2065
@Mamatonny2065 3 года назад
Haa haaa haaa naishi Scandinavia lakini siwezi kulipa hiyo pesa hata kama pesa ninazo..
@manyakuulaompondelo4419
@manyakuulaompondelo4419 3 года назад
Pata kwanza pesa. Ukiwa na pesa kinachoongea siyo wewe ni pesa.
@nyanguhamisi2812
@nyanguhamisi2812 3 года назад
Tuliotoka mafia like kwangu mafia line/mafia raha
@bonnytv6530
@bonnytv6530 3 года назад
Me nkajua palm village kumbe ni kuoga na papa 😂😂😂
@crabmotility4207
@crabmotility4207 3 года назад
Mi nilijua papa la gigy money
@donprinceabselhalims7421
@donprinceabselhalims7421 3 года назад
Shungi mbili 💪
@humphreymwamatandala3669
@humphreymwamatandala3669 3 года назад
Mbona bei hiyo ya zamani, sasa ni dollar 45,000 kwa siku! Tafadhari jamani msibuku kwa hiyo bei.
@oledokoratelombashi9871
@oledokoratelombashi9871 2 года назад
Kaka kuna sehemu nyingine iko Zanzibar bei yake ni zaidi ya hio inaitwa zuri hotel kendwa
@djnangaxtwo2975
@djnangaxtwo2975 3 года назад
NIKWELI NPO MAFIA SASA KILINDONI KALIBUN SANA
@idrisamnyamisikhalifa4348
@idrisamnyamisikhalifa4348 2 года назад
Watu ambao c watanzania wanawezaje kumiliki ardhi nchini mwetu
@osamamvuoni7514
@osamamvuoni7514 5 месяцев назад
Hello
@simonlukiko2850
@simonlukiko2850 3 года назад
Kuna watu wana ishi dsm na pwani lakini cha ajabu awpajui shungi 2 kabisa tena unaweza kumuuliza mtu na aka shangaa na aka kuuliza ndio wapi ????
@saidmosh2550
@saidmosh2550 3 года назад
Mi Moja wapo
@abrahamreginald9858
@abrahamreginald9858 3 года назад
ok. nimebomoa mkopo NMB najiandaa kutimba hapo kesho kutwa.
@shaiduna
@shaiduna 3 года назад
Sio pekee angaliq piq mnemba Island utaona pia
@jojo-ju6yy
@jojo-ju6yy 3 года назад
Duh
@johns-ud9hh
@johns-ud9hh 3 года назад
Tanzania are been quarantined here.
@petercostakisoka
@petercostakisoka Год назад
Kwa wenye nazo wanaona ni kidogo sana
@faustineleonald2352
@faustineleonald2352 3 года назад
Aaaah wap, Kuna mission za watu huko,, endeleen kusema hotel😏
@Donrugi
@Donrugi 3 года назад
Swali ni wanalimiliki hilo eneo la Tanzania??? Na waliuziwa na nani sehemu za kitalii ambazo zinakuwa ni sehemu ya uwekezaji wa taifa
@fettyabiola1389
@fettyabiola1389 3 года назад
Siku zote serikal humiliki sehemu hiyo bali ni eneo, na jengo ni la mtu mwenyew huku akilipa kodi na sehemu ya share za eneo alilopew,so serikal hupata fungu ya pesa zinazopatikana
@Donrugi
@Donrugi 3 года назад
@@fettyabiola1389 kwa maana hiyo hata mm au mtu yeyote anaweza ruhusiwa kujenga sehem nyingine kama hiyo Kwa utaratibu ulio elezea wa kuwa analipia eneo na kodi?
@fettyabiola1389
@fettyabiola1389 3 года назад
@@Donrugi swadakta
@elizalutiga6287
@elizalutiga6287 3 года назад
Looooh
@mamawadudu48
@mamawadudu48 3 года назад
Tatizo hapo kupata nafasi ni shida. Anyway nitajaribu tena angalau nipate siku tano tu.😁😁
@mumyhendry2919
@mumyhendry2919 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ototek8037
@ototek8037 3 года назад
😀😀
@umunafisa7060
@umunafisa7060 3 года назад
Af wanapadharau
@yelemiastephano7273
@yelemiastephano7273 3 года назад
Mhuu
@victoriamwaijengo7220
@victoriamwaijengo7220 2 года назад
Shungi mbili,daaah pamekamilika kumbe
@eliudwiston4206
@eliudwiston4206 3 года назад
#Milard Ayo hapo mmetudanganya bwana mimi ni hotelier nafahamu hapo ni $25000 Kwa usiku mmoja na lazima ubuku kwa siku tano ambayo ni 125000 USD Fanyeni uchunguzi vizuri
@bahatihappy5693
@bahatihappy5693 3 года назад
Mh Mimi ata seheemu ya elfu 50000 sijawai kulala jmn aya maisha du
@danielsostenes1640
@danielsostenes1640 Год назад
millard tunaomba uje uende na serengeti sehemu moja iitwayo nata kuna hotel inaitwa gurumeti utuangalizie io ndo inaongoza
@mikefirstbrand7582
@mikefirstbrand7582 3 года назад
💥💥💥
@JKQGAME
@JKQGAME 3 года назад
Nilishaendaga hapo 2010
@fatemaligalawa1918
@fatemaligalawa1918 3 года назад
Kwani wenye hiyo Hotel wanasemaje
@antonymanyenye8665
@antonymanyenye8665 3 года назад
Nimewahi kulala hapo ni kweli kbsaa anachosema
@christiannyamamba9089
@christiannyamamba9089 3 года назад
Inshaallah siku bado zipo wacha tupambane ntampeleka wife nikiuza nyumba ya urithi
@annalaizer7142
@annalaizer7142 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🍾🥂
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 3 года назад
Tatitozo hapo kupata nafasi uwa ni issue sana , yaan niliangaika sana mwaka juz
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 года назад
🤣🤣🤣
@cosmasdaud9088
@cosmasdaud9088 3 года назад
Hapa duniani daaa
@jerryjuma1339
@jerryjuma1339 3 года назад
Pakawaida Sana mbona?
@edlumala9428
@edlumala9428 3 года назад
Presidential suites four seasons Serengeti ni $11,000
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 3 года назад
Nikweli nimelala sana hapo
@bashirberuwani1834
@bashirberuwani1834 3 года назад
Hapana ipo sehem nyingine yenye bei zaidi ya hapo Ngorongoro lodge leo nadani ya hifazi ya ngororngoro chumba $12000
@olarivedu5588
@olarivedu5588 3 года назад
Nooo sio kweli
@olarivedu5588
@olarivedu5588 3 года назад
Lodge ipi iyo?
@abuuhilary4609
@abuuhilary4609 3 года назад
Je wakua kua kuna watu wana pesa kiasi wanaona laki nikama buku 10
@abdulatiftu9836
@abdulatiftu9836 3 года назад
Hamna stress hapo hio hesabu ya watu 10 sio mtu mmoja.dola elf10 ukigawa kwa 10 kila mtu mmoja ni dola elf moja ambayo ni sawa na million 2 na laki 2,na hapo wanaweza kupunguza low season mnaweza kupata hata kwa dola 8000 kwahiyo milad ayo usitutishe😂😂😂😂😂
@khatibumuba407
@khatibumuba407 3 года назад
kuitizama mafia inautalii mkubwa kabisa ambao wa kujulikana duniani
@enossosthenes9061
@enossosthenes9061 3 года назад
Sid Sizoni za kihidi za kiswahili
@kambiyusufu7709
@kambiyusufu7709 3 года назад
Dah aisee milioni 22 mh
@ethanethan4437
@ethanethan4437 3 года назад
Nilishalala humo mwaka 2018 pako poa sana karibuni wageni
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 3 года назад
Yani watu wanakufa kwa njaa Wana lala kwenye MABOX wanao Kota chakula kwenye mapipa Wana kula alafu nikatupe milioni 22 kwa siku? Pumzi ndio nitainunua kama ina nunuliwa lkn sio hapo
@wisperfect5320
@wisperfect5320 3 года назад
@@jenyyusuph4973 mawazo ya masikin
@kagileman5798
@kagileman5798 2 года назад
Iyo bei na Ya Zaman sana Sasaiv ni $22000 Sawa na Tz shilling ml 40 na chenga Kaka watu wanaish
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 Год назад
Vitu vya kufanya vipo vingi sana.tupambane kutafuta mkwanja.
@zeboytv7043
@zeboytv7043 3 года назад
Nimeenda hapo
@mtaalamwamambo2099
@mtaalamwamambo2099 3 года назад
Ni kweliii wiki ilopita nilikua apoo🤫🤫🤫
@fatumazuberi9842
@fatumazuberi9842 3 года назад
🤣🤣🤣🤣
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 года назад
🙉🙉🙉😂😂
@raymondmhozya8894
@raymondmhozya8894 25 дней назад
Colonized again
@amosepimack399
@amosepimack399 3 года назад
English please!
@villagekid2346
@villagekid2346 3 года назад
Nkajua anamiliki mtanzania nishangaee
@Nedjadist
@Nedjadist 3 года назад
Kwa nini stori iko based juu ya fedha? Kwa nini hukuelezea tu kitu gani kipo, vipi mtu anaweza kwenda, na vipi nchi inavofaidika, uchafu wanaupeleka wapi, wamepangiwa kwa muda gani, historia ya mwenye kisiwa....kisha akamalizia kwa hiyo obssession yako ya fikra za kimaskini?
Далее
CHUMBA MAALUM ANACHOLALA RAIS "SIMU HAIINGII"
6:33
Просмотров 430 тыс.
Women's Defending + Men's 😮‍💨❌
00:20
Просмотров 1,6 млн
360° Travel inside the Great Pyramid of Giza - BBC
3:35