Twalib ana akili sana, mtangazaji umejitahidi lakini Twalib is just a genius guy. Hakuna habari ya 20Billions hapa, utajiri mkubwa ni charity. Hongera mpambanaji mwenzangu Twalib.
Dah! Hongera. Kazi ya baba ni dereva na wewe hukuwaza kuja kuwa dereva bali ulienda mbali sana ukawaza kuja kuwamiliki ajira ya madereva. Pia hukuwaza kuja kuwa CO wa kampuni za watu. Big up sijui dogo nadhani dogo.
Biashara na mafanikio ni siri. Sio kila tajiri alitafuta kwa bidii kuliko maskini waliopo pia sio kila maskini unaowaona walikuwa ni wavivu kuliko matajiri waliopo. Hivyo. Mafanikio ni siri guys. Hongera kwa twalib ila baadhi ya matajiri wengi ni ni ma motivational speaker😂😂 Ukweli hawausemagi
Asalam Aleykum Mwanangu MASHALLAH MUNGU Akuzidishie nakuona una ulendo wa binadamu wenzio wasaidi tuu na utoe sadaka kwa ALLAH!! Ili uzidi kuendelea zaid na zaid mm nakuo.ba unipe kazi nami nipate rizk
Kwao kulikuwa na Pesa bro. Sisi tupo Nje pia kupata Hela ya kununua Lori kama hilo siyo rahisi hivyo! Hata Mimi ukinianzishia Basi naweza kufika alipo. Watanzania wengi tunaweza sema Mitaji ndiyo shida
Baraka zake Mwenyezi Mungu zikushukie Brother. Kwani ni wengi tu wanapata kula sababu ya kazi ulizowapa. I wish ningepata job ya dereva gari kubwa kampuni yako naomba......Shukran sana
Kiongozi, nimefurahishwa sana na ubunifu na uthubutu wako wa kuimarisha biashara za Kimataifa. Naomba pia uweze kunipatia mawasiliano yako nikupatie wazo langu la kimaendeleo.
Hongera kwa kudra za Allah, lakini atupe ukweli wa mafinikio yake Kutoka 2017 kwa lori moja mpaka 2022 malori 100, inamaana ni miaka 5 sasa,yaani kila mwaka labda malori 20, kiakili ni ngumu yapo yaliyofichikana
Vinawezekana kumbuka alikuwa anafanya kazi uingereza na mshahara ulikuwa ni pound na Bado alikuwa na nafasi ya kukopa Kwa ajili alikuwa ni mfanyakazi . So it is possible, hakuna maswali hapo Kwa sisi tunaoishi nje ya nchi tunajua . Keep up kijana
Kumbuka amesema amefanya kazi kwenye moja ya Big 4 Accounting and finance companies in the world ambazo ni kati ya Ernest & Young, Delloitte, PWC au Moody. So mshahara wake ulikuwa mkubwa na ndio uliombeba kufika hapo alipo. Inaonekana ni kichwa kwemye Uhasibu huyu dogo.
@@marykennedymarwa1641 anasema kwa kipindi anacho sema alikuwa Uingereza,na sometimes akisoma na kufanya kazi ktk restaurant kama weiter na cleaner Sio kweli aliweza kupata £500 kwa week,hapo amedanganya,even now hupati pesa hiyo kwa full time job, iweje yeye part time job after UN time apate hiyo?si kweli
Masha alah mungu akujaliye bwana twalibu, ndo kweli kama una ndoto una weza kukamilisha ndoto yako kwa hiyo vijana wezangu tubambane tu kamilishe ndoto yetu tunayo, kama kaka yetu twalibu alivyo kamilisha ndoto yake na mwenyezi mungu amjaliye yeye na familiya yake , salamu zenu kutoka 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧 one love 💕 my brother and sisters?????
Maashallah tabarakallah mm Sina mengi kaka zidisha ibada Allah kakupa u tajili usi pumbazike nao kuwa makini na Dunia . Allah akulinde na Maadui wakilaaina🤲
Amepambana sana but ukishakuwa na mali unaongezewa we jiulize gari moja ni TSH ngap?? m500-700 utaipata wap?? Kwa kuwa alianza vizuri kielimu na akapata nafasi ya kufanya kazi wingereza 🙏 Kuna watu hawana hata pakuanzia alipata pound 500 sawa na 1.3m Kwa week lazima utoboe kama unaakili kama zake. Aanzisha Hilo dawati la kusaport idea za vijana, ukomboe Tz 🙏 barikiwa sana 🌅🌅🌅🌅
Vijana sidanganyike na story za watu ambazo zinasiri nyingi sio mtu wa kawaida na wala familia yake haiwezi kuwa yakawaida kosoma Oxford sio kitu kidogo. Huyo sio mtu wachini
Haki nawaambia ndugu watanzania mimi siku Moja mpaka Millard ayo ataniita na anihoji apa kuweni na subira na mniombee sana. Sitawaangusha ndg zangu mwenyezi mungu anitangulie hakna kt natamani kama siku Moja nitoboe halafu nikakaa hapa sitaki BBC nataka Millard ayo hapa.
mwango huyooo sana Mtoto wa mheshimiwa kutoka Tanzania na Zambia ndio wenye mzigo huyooo mwulize Kondowani ndio msimamizi Zambia abaishii Avondelo msimamizi wa Tanzania ana itwa zubeli ndio mumiliki wa golofa lile kubwa makumbusho anataka😂kiki mwamba hana😂kituuu
Kweli binadam happening kuona mtu ana maendeleo sasa mimi namjuwa vizuri huyo ndio mwenye hizo mali naijuwa hata familia yake Kabla hata ajarudi tanzania
Maelezo yake yapo easy sana na anakwepa maswali ya msingi ila nampongeza kwa alichofanya na kumsihi kwa maslahi ya watanzania asije kununua magari ya kichina, atawatia vilema wafanyakazi wake wa maroli.
Uingereza kafanya kazi miaka mingapi kwenye financial institute mpaka sasa yupo Tanzania?, Hata kama alikuwa akilipwa £50000 kwa mwezi bado hawezi kununua kiasi hicho cha malori. TUNAHITAJI KUJIFUNZA KAMA NI KWELI
AWE MKWELI BIASHARA YA MAGARI NA UMRI HUO NI MWOOONGO WENYE MAGARI TUNAWAJUA HAYAZALIANI KIRAHISI HIVYO. KAMA ANAENDELEZA MALI ZA BABA YAKE HAPO NITAELEWA.
2017_2022 ndani ya miaka mitano anamiliki maroli 100, kila mwaka alikuwa ananunua maroli 20, sio kwel. kuna namna imetendeka, kila mwaka ununue roli 20.
@@boniphacecharles7828 Upewi Unatumika Kama Kichaka2 Mipango Yote Inapangwa Kwa Walio Nyuma Yako Ambao Wanapenda Kufanya Biashara Kwenye Taifa Lako Lakini Awapendi Wajulikane Malori Mia Kuongea Niraisi Sana Lakini Utajiri Mkubwa Sana Unamiliki Kijiji Kizima Nyumba Zote Wewe Ni Tajili Lakini Nyuma Yako Wako Wenye Pesa Na Mipango Yao Wewe Unatumwa2 Na Uwezi Kuzingua Kwa Maisha Yako Kumkimbia Mwenye Pesa Akusamee Yeye2 Nasio Wewe Kusema Utamgeuka Ukiona Ivo Hana Pesa Uyo
Tunashukuru kwa ujasiri uliotupa wazee kwa vijana! angalizo!! kuhusu bei ya lorry moja ulikuwa na uwezo wa kujibu kwa makadirio ambayo ni kitu rahisi tena kwa wewe ambae tayari umeshanunua mengi mie mwenyewe najua japo huwa naangalia masoko mbalimbali duniani kote, mbili ulisema changamoto ukiwa unasoma kule oxford ni kuwa mbali na familia pamoja na ndugu hadi pale ulipokuwa kuzoea na kutengeneza ndugu wengine kule ila sasa uliendaje huko kwa scolarship au vipi kutokea ifm! yaani mtu akishakuwa na hizi mali zinazohamishika wengi hawawezi kuwa na clear picture
Tusidanganyane jamani,,huyo kazaliwa kwenye mfereji wa pesa na connection.utoke zako nchukwi huko uende oxford moja kwa moja 😳😳au ndio Yale Yale tunayoambiwa bakhresa alikua anauza ndizi na karanga kariakoo
Kusema ukwel jamaaa inaonekana kwao kulikua kuna pesa ndio maana kapata chance ya kusoma nje nakuweza kupata kazi nzuri katika shirika la fedha huo ndo ukwel maana pesa ya kununua lorry moja lile ya kwanza nikama million 300 iv
Hawa watu ndio wanaosababisha vijana kuloga au kumkufuru Mungu kwa kuamini maneno ya waliofanikiwa toka 2017 hadi 2022 uwe na lori mia ?? Ni mpambanaji ndio ila kuna jambo nyuma ya pazia