Тёмный

KIJANA MDOGO BILIONEA, ANA MALORI 100, AMEAJIRI WATU 200, KUTOKA UFAGIAJI HOSPITALI MPAKA UBILIONEA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 276 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 сен 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 512   
@suzanamushi4567
@suzanamushi4567 Год назад
Nachojifunza hapa, ni kuanza kutembea na watoto wetu katika mazingira ya kazi zetu, watoto wanajifunza kwa kuona. Hongera sana Mr Twalib
@abdullahomar8092
@abdullahomar8092 Год назад
Huyu jamaa ana best ideas 💡 na zote zinasogeza urahisi wa ufanyaji biashara nchini
@gradientlife
@gradientlife Год назад
Twalib ana akili sana, mtangazaji umejitahidi lakini Twalib is just a genius guy. Hakuna habari ya 20Billions hapa, utajiri mkubwa ni charity. Hongera mpambanaji mwenzangu Twalib.
@yasmeenaal4191
@yasmeenaal4191 Год назад
Maashaallah tabarrak allah 🙏, kutoka 2017 kuanzia Lori moja mpka 2022 Lori 200 kwa kweli mungu akutangulie
@rodashadrack9474
@rodashadrack9474 Год назад
Malori 100 tu
@bennymsigwa1527
@bennymsigwa1527 Год назад
KUNUNUA malori mfululizo mi cjaridhika na chanzo Cha mapato
@greysonkisinda7390
@greysonkisinda7390 Год назад
@@bennymsigwa1527 kipato cha mtu unataka ulidhike nacho? We ni mchawi nn unataka kujua kipato chake chann?
@abdulbandidu119
@abdulbandidu119 Год назад
Mashallah. Allah azidi kumbaarik huyu jamaa,ni inspiration kubwa kwetu vijana wa kiTanzanzania.
@brobabuu3973
@brobabuu3973 Год назад
Umesema vizuri sana.. wala hana majivuno
@sadockchengula5542
@sadockchengula5542 Год назад
Dah! Hongera. Kazi ya baba ni dereva na wewe hukuwaza kuja kuwa dereva bali ulienda mbali sana ukawaza kuja kuwamiliki ajira ya madereva. Pia hukuwaza kuja kuwa CO wa kampuni za watu. Big up sijui dogo nadhani dogo.
@thegreat.9869
@thegreat.9869 Год назад
Biashara na mafanikio ni siri. Sio kila tajiri alitafuta kwa bidii kuliko maskini waliopo pia sio kila maskini unaowaona walikuwa ni wavivu kuliko matajiri waliopo. Hivyo. Mafanikio ni siri guys. Hongera kwa twalib ila baadhi ya matajiri wengi ni ni ma motivational speaker😂😂 Ukweli hawausemagi
@laisamally3736
@laisamally3736 Год назад
Namuomba m\mungu amzidishie kheri ili aweze kuajiri watu wengi zaid na pia namuomba mungu anijalie na mimi kufikia malengo ya kaka twalib
@halimamremi5375
@halimamremi5375 Год назад
Asalam Aleykum Mwanangu MASHALLAH MUNGU Akuzidishie nakuona una ulendo wa binadamu wenzio wasaidi tuu na utoe sadaka kwa ALLAH!! Ili uzidi kuendelea zaid na zaid mm nakuo.ba unipe kazi nami nipate rizk
@shabanialfani5394
@shabanialfani5394 Год назад
Kwao kulikuwa na Pesa bro. Sisi tupo Nje pia kupata Hela ya kununua Lori kama hilo siyo rahisi hivyo! Hata Mimi ukinianzishia Basi naweza kufika alipo. Watanzania wengi tunaweza sema Mitaji ndiyo shida
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 Год назад
Kwakoufupi wazee wake ndio wanapesa wamempeleka dogo ili awe na ujuzi kibiashara
@jabirjabir4652
@jabirjabir4652 Год назад
Kweli sioutani
@shabanialfani5394
@shabanialfani5394 Год назад
Kabisa maana Lori ni Kama Milion Mia kwenda Juu kwa Mishahara ipo bila kuhaso kisawasawa
@ngwelesalu8348
@ngwelesalu8348 Год назад
@@shabanialfani5394 250M
@shamimuabdallah8801
@shamimuabdallah8801 Год назад
Upo sahihi ndugu yangu shabani alfani penye pesa ndipo panapatikana pesa
@fadhilikiyungi1741
@fadhilikiyungi1741 Год назад
Amesoma shule ya msingi kinondoni,mahali nilipo mimi hivi sasa, jirani na hiyo shule,hongela kijana, wacha namimi nipambane,
@mosesarapkoibei9923
@mosesarapkoibei9923 Год назад
Baraka zake Mwenyezi Mungu zikushukie Brother. Kwani ni wengi tu wanapata kula sababu ya kazi ulizowapa. I wish ningepata job ya dereva gari kubwa kampuni yako naomba......Shukran sana
@hamidaala2832
@hamidaala2832 Год назад
MASHA.ALAH
@hadijaalpha7547
@hadijaalpha7547 Год назад
Mashaallah Mashaallah ☝️ mnyazi mungu azidi kukuongoza 🤲🤲🤲❤
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 Год назад
Maashaa Allah Tabaarakar Rahmaan 🤲🏽 Allah akuhifadhi na hasadi.amiina yaa Rabbiy 🤲🏽
@glorylyimo_
@glorylyimo_ Год назад
Hongera sana bro unatupa moyo wa kupambania ndoto zetu Kama vijana.
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Год назад
Hongera sana Mr.Twalib nimefurahi na kujifunza mengi kupitia Biashara na juhudi zako , ENDELEZA MAPAMBANO LAZIMA TUFANIKIWE KWA JINA LA YESU
@Cao_ZeKai
@Cao_ZeKai Год назад
sasa hapo tena Yesu kafata nini?
@sadockchengula5542
@sadockchengula5542 Год назад
Huwezi jua mpaka uwe tayari kujua. Neno linasema aliyetayari kupona na apone. Huko tayari kumjua Yesu ukiwa tayari hutauliza ulicho uliza.
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 Год назад
Bila kutoka jasho.mmmm,!!
@barakachalres9316
@barakachalres9316 Год назад
AMEEEN
@leonardmisalaba7946
@leonardmisalaba7946 Год назад
Hakika vijana wa kitanzania tunaweza, kikubwa ni kupambana tuu Kila kitu kinawezekna kabisa hakuna uganga Wala kuogopa
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Год назад
Mwenyezi Mungu azidi kumuongeza na kumlinda na kuzid kumpa njema, Mwenyezi amuongezee zaid ili azidi kuwaajiri wengi zaidi, aaaaammin
@edlumala9428
@edlumala9428 Год назад
Jamani utajiri hauna umriii! Qadar ya Allah
@masudially4669
@masudially4669 Год назад
Swadaqta
@mabulamasunga7378
@mabulamasunga7378 Год назад
Kiongozi, nimefurahishwa sana na ubunifu na uthubutu wako wa kuimarisha biashara za Kimataifa. Naomba pia uweze kunipatia mawasiliano yako nikupatie wazo langu la kimaendeleo.
@abdullyathuman1425
@abdullyathuman1425 Год назад
He's so innocent but anyway congratulation brother
@alfredinaperent26
@alfredinaperent26 Год назад
Hongera kijana kweli Manisha nikupambana kaza buti
@medlucas5686
@medlucas5686 Год назад
Kweli mafanikio yanachangamoto nyingi kwa kiasi tunajifunza bro Asante wakati mwingine unaweza semalabda nibadili kazi kumbe nisuala la muda asante
@petersmart8107
@petersmart8107 Год назад
Hongera kwa kudra za Allah, lakini atupe ukweli wa mafinikio yake Kutoka 2017 kwa lori moja mpaka 2022 malori 100, inamaana ni miaka 5 sasa,yaani kila mwaka labda malori 20, kiakili ni ngumu yapo yaliyofichikana
@janemhangomhango5841
@janemhangomhango5841 Год назад
🤣🤣🤣 bola iwe kweri
@jrsaid4270
@jrsaid4270 Год назад
Hio ni approximation labda na kama ni kweli ni zile used tz Bei ya mnada
@marykennedymarwa1641
@marykennedymarwa1641 Год назад
Vinawezekana kumbuka alikuwa anafanya kazi uingereza na mshahara ulikuwa ni pound na Bado alikuwa na nafasi ya kukopa Kwa ajili alikuwa ni mfanyakazi . So it is possible, hakuna maswali hapo Kwa sisi tunaoishi nje ya nchi tunajua . Keep up kijana
@kibabumlelwa71
@kibabumlelwa71 Год назад
Kumbuka amesema amefanya kazi kwenye moja ya Big 4 Accounting and finance companies in the world ambazo ni kati ya Ernest & Young, Delloitte, PWC au Moody. So mshahara wake ulikuwa mkubwa na ndio uliombeba kufika hapo alipo. Inaonekana ni kichwa kwemye Uhasibu huyu dogo.
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 Год назад
@@marykennedymarwa1641 anasema kwa kipindi anacho sema alikuwa Uingereza,na sometimes akisoma na kufanya kazi ktk restaurant kama weiter na cleaner Sio kweli aliweza kupata £500 kwa week,hapo amedanganya,even now hupati pesa hiyo kwa full time job, iweje yeye part time job after UN time apate hiyo?si kweli
@sadiqahmed5216
@sadiqahmed5216 Год назад
Masha alah mungu akujaliye bwana twalibu, ndo kweli kama una ndoto una weza kukamilisha ndoto yako kwa hiyo vijana wezangu tubambane tu kamilishe ndoto yetu tunayo, kama kaka yetu twalibu alivyo kamilisha ndoto yake na mwenyezi mungu amjaliye yeye na familiya yake , salamu zenu kutoka 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧 one love 💕 my brother and sisters?????
@leonardmisalaba7946
@leonardmisalaba7946 Год назад
Hongera saana kaka ,nami nakaza buti ipo siku nitafika level za juu kibiashara
@bentybenty2343
@bentybenty2343 Год назад
Masha ALLAH Tabarakallah
@daudhabona8897
@daudhabona8897 Год назад
Kipindi kizuri sanaaa. Ila mtangazi maswali yako yametunyima fursa kubwa ya kujifinza kibiashara bro.
@alexchungu6263
@alexchungu6263 Год назад
Tatizo , wewe una maswali yako, na yeye ana maswali yake. Cha msingi mtafute huyo tajiri, umuulize
@sarafinaoscar1360
@sarafinaoscar1360 Год назад
@@alexchungu6263 🤣🤣
@andiqueantonio3377
@andiqueantonio3377 Год назад
Millard ayo angeweza kumuuliza vzur kbsa
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Год назад
Maashallah tabarakallah mm Sina mengi kaka zidisha ibada Allah kakupa u tajili usi pumbazike nao kuwa makini na Dunia . Allah akulinde na Maadui wakilaaina🤲
@NeemaKipande-hr9rz
@NeemaKipande-hr9rz 9 месяцев назад
Twalibu hongera Sana na Bado kwakudra za mwenyezi mungu utafika mbali Sana maana huna majivuno atakidogo MUNGU akubariki sana
@hgltv5336
@hgltv5336 Год назад
Amepambana sana but ukishakuwa na mali unaongezewa we jiulize gari moja ni TSH ngap?? m500-700 utaipata wap?? Kwa kuwa alianza vizuri kielimu na akapata nafasi ya kufanya kazi wingereza 🙏 Kuna watu hawana hata pakuanzia alipata pound 500 sawa na 1.3m Kwa week lazima utoboe kama unaakili kama zake. Aanzisha Hilo dawati la kusaport idea za vijana, ukomboe Tz 🙏 barikiwa sana 🌅🌅🌅🌅
@sharifasultanmhinah7829
@sharifasultanmhinah7829 Год назад
Kabisa
@ziyandamhlana8776
@ziyandamhlana8776 Год назад
Baba taja jina la kampuni ulifanya Kazi ingland campany yakoo ww ndio ulisimamia msiba wa Albee magwea bada yakusikia amefaliki ulikuwa Zambia
@richardkajembe6939
@richardkajembe6939 Год назад
Great brother 🎊🎊🎊🎊🎊👏👏👏congratulations
@Nyamko-christmas
@Nyamko-christmas Год назад
Vijana sidanganyike na story za watu ambazo zinasiri nyingi sio mtu wa kawaida na wala familia yake haiwezi kuwa yakawaida kosoma Oxford sio kitu kidogo. Huyo sio mtu wachini
@gabrielkimario3160
@gabrielkimario3160 Год назад
Ni kweli anaoneka wazazi wake walikuwa na uwezo wa kifedhaa
@peterkasenga8404
@peterkasenga8404 Год назад
Hongera Sana brother maisha yanasiri kubwa Sana anaejua vema ni Mungu ✝️
@goodluckmsoka3660
@goodluckmsoka3660 Год назад
Nawewe ufate izo siri
@khadijaksssimkhadijakassim6324
Hongera
@robsondalink6206
@robsondalink6206 Год назад
Kafagie na wewe sasa uone😂😂😂😂 maisha na mafanikio ya mtu ni siri kubwa sana
@TamuzaKale
@TamuzaKale Год назад
Hahahhaha mamae!
@ndennkya9554
@ndennkya9554 Год назад
Kweli kabisa umenena neno la maana
@priscamhando3818
@priscamhando3818 8 месяцев назад
Kwel kabisaa
@musason1680
@musason1680 Год назад
Haki nawaambia ndugu watanzania mimi siku Moja mpaka Millard ayo ataniita na anihoji apa kuweni na subira na mniombee sana. Sitawaangusha ndg zangu mwenyezi mungu anitangulie hakna kt natamani kama siku Moja nitoboe halafu nikakaa hapa sitaki BBC nataka Millard ayo hapa.
@burudanitiv324
@burudanitiv324 Год назад
Kabeti brooo uta won 🤑🤑🤑
@musason1680
@musason1680 Год назад
@@burudanitiv324 kubet sio ajira kaka wala co kt Cha ktegemea kaka tnamitikasi tnafanya tnaamini ck 1 mambo yatajipa t ni suala la mda t
@burudanitiv324
@burudanitiv324 Год назад
@@musason1680 total true brother Im understand broo hod bless us
@leonardmisalaba7946
@leonardmisalaba7946 Год назад
Hongera saana mkuu nami pia naamin one day we will be
@leonardmisalaba7946
@leonardmisalaba7946 Год назад
Tuzd kupambana tuu ipo siku marengo yetu yatatimia
@lawrencmagwaja9480
@lawrencmagwaja9480 Год назад
Hawa ndio wakubwa anawapa biashara zao
@bonnyngowo7567
@bonnyngowo7567 Год назад
Congrats bro.Mungu akutangulie🙏🙏🙏🙏
@merinaemmanuel3593
@merinaemmanuel3593 Год назад
Hongera sana
@dayana5513story
@dayana5513story Год назад
God bless you bro,kijana ata mafuta ajapaka 🙌🙌🙌
@sadockchengula5542
@sadockchengula5542 Год назад
Alafu uko halisi angekuwa mwingine hapa tungesikia una bana pua mara you know etc. Ila uko halisi safi sana.
@ziyandamhlana8776
@ziyandamhlana8776 Год назад
Ww kipindi mtoto wakiongozi abakutuma Zambia kuchukuwa mwili wa ngwea ulikuwa ushakuwa na loli????duuuuu Tanzania noma
@patrickpazza4764
@patrickpazza4764 Год назад
Inatufariji Sana aisee kwa hili hongera Sana bro
@FreeGod368
@FreeGod368 Год назад
JAMAA TAJIRI ALAFU HUMBLE ANI..IMAGINE LOL👐👐👐👐👐♥️♥️♥️🇹🇿👐👐👐
@ziyandamhlana8776
@ziyandamhlana8776 Год назад
mwango huyooo sana Mtoto wa mheshimiwa kutoka Tanzania na Zambia ndio wenye mzigo huyooo mwulize Kondowani ndio msimamizi Zambia abaishii Avondelo msimamizi wa Tanzania ana itwa zubeli ndio mumiliki wa golofa lile kubwa makumbusho anataka😂kiki mwamba hana😂kituuu
@yahyaiddi5782
@yahyaiddi5782 Год назад
Kweli binadam happening kuona mtu ana maendeleo sasa mimi namjuwa vizuri huyo ndio mwenye hizo mali naijuwa hata familia yake Kabla hata ajarudi tanzania
@ip_header
@ip_header Год назад
Biashara ukisikiliza ni kama kuangalia movies utaona nyepesi lkn ukiingia ndio utajua changamoto zake.
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Awesome
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 Год назад
Aisee, hongera sana kwake.
@barakanicholaus7507
@barakanicholaus7507 Год назад
Maelezo yake yapo easy sana na anakwepa maswali ya msingi ila nampongeza kwa alichofanya na kumsihi kwa maslahi ya watanzania asije kununua magari ya kichina, atawatia vilema wafanyakazi wake wa maroli.
@petersmart8107
@petersmart8107 Год назад
Uingereza kafanya kazi miaka mingapi kwenye financial institute mpaka sasa yupo Tanzania?, Hata kama alikuwa akilipwa £50000 kwa mwezi bado hawezi kununua kiasi hicho cha malori. TUNAHITAJI KUJIFUNZA KAMA NI KWELI
@karyori69
@karyori69 Год назад
kuna kitu kinaitwa mikopo!
@charlesmweta6950
@charlesmweta6950 Год назад
Ww maisha hupanga Mungu acha wivu wakishamba pambana na ww upate zako wak discuss
@charlesmokiwa6323
@charlesmokiwa6323 Год назад
Kwa hapa UK Kazi masaa 20 ya waitress ulipwe £500 kwa wiki sio kweli,hapa katutengeneza
@abdullahomar8092
@abdullahomar8092 Год назад
Una bifu kijana
@collinsambwene9563
@collinsambwene9563 Год назад
Sasa wewe unafikiri pesa kazitoa wapi?Mijitu mingine bhana.unafikiria kuiba tu
@fredma21x
@fredma21x Год назад
Ameshindwa kujibu Networth yake ni kiasi gani...Hapo tu ndipo ameninyima raha🤣🤣🤣
@jimmykitura5803
@jimmykitura5803 Год назад
Mola ndio mpango mzima na jinsi unavyo sema moyoni riziki kwa wengine ndio mungu ibaliki brother
@aishashaibu4772
@aishashaibu4772 Год назад
Daaah mungu akutangulie uzid kuwaajir watu ambao wanapata mkate kupitia wewe kumbe tz kuna watu wanapesa lkn hawapigi makelele
@didasseveline9013
@didasseveline9013 Год назад
Siri ya utajiri wa mtu anaijua yeye na mungu! Hayo maelezo mengine ni kutulisha imani2
@abdallahkajonjo2296
@abdallahkajonjo2296 Год назад
Hahahahahha
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 Год назад
AWE MKWELI BIASHARA YA MAGARI NA UMRI HUO NI MWOOONGO WENYE MAGARI TUNAWAJUA HAYAZALIANI KIRAHISI HIVYO. KAMA ANAENDELEZA MALI ZA BABA YAKE HAPO NITAELEWA.
@collinsambwene9563
@collinsambwene9563 Год назад
Sema unayejua ukweli
@happymushi8197
@happymushi8197 Год назад
Kanifurahisha tu hachanganyi lugha ila wangekuwa wengine hapo kizungu kama chote kila sentence yan. Big up bro!
@pastorgodwinchengula7848
@pastorgodwinchengula7848 Год назад
Kama wewe ulivyochanganya tayari hahaaa
@nyokonyoko7990
@nyokonyoko7990 Год назад
Wivu tu kw wanao changany ngeri mbn ww umesem big up acha uchawi dad 😆
@happymushi8197
@happymushi8197 Год назад
Ndio hivo kama cc
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 Год назад
Mtu anakosoa alafu anarudia kosa lile lile,Mambo ya kuona vibanzi vya wengine na huku liboriti limekaa fronti 🤣🤣
@rademm8924
@rademm8924 Год назад
Akichanganya kuna hasara gani unapata au faida gani?
@binally1alkindy511
@binally1alkindy511 Год назад
Maisha yanafactors nyingi Sana ,keep the spirit up ,mashallah na Allah akunyosheee
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Год назад
Big up bro. I appreciate
@manjaugodwin7834
@manjaugodwin7834 Год назад
Hongera sana kk nımeıpenda hıyo jaman naomba ushaurı wako
@abdulahmadimkabakuli6342
@abdulahmadimkabakuli6342 Год назад
ALLAH akuzidishi pia usihau dini yako toa kwa ajiri ya ALLAH utafanikiwa
@user-th1il3zt7o
@user-th1il3zt7o 2 месяца назад
Twaribu kulaga uhangame nyanda,,, Mungu akupiganie kwenye kazi zako
@thomassalvatory8303
@thomassalvatory8303 Год назад
amesoma oxford, unasema ameanzia chini kuwa serious ila hongera kaka
@khalidsharji2462
@khalidsharji2462 Год назад
Mashallah M.mungu akulinde
@richardsaidi2448
@richardsaidi2448 Год назад
Ni vzrii kusikilizaa watu walio fanikiwaa.lakin ndugu zanguu ningumuu mtu kusemaa njia alizotumiaa akafanikiwaaa .matajiri wenyewee wanatoaa ushaurii kwaa masikinii.lakin aslimiaa kubwaa sis tunaskilizaa watuu walio fanikiwaa na kudhalau ushaur wa maskin.atujuii kwambaa maskini ndioo ana. Idea nzriii bila wivuu wowotee
@athusmateru
@athusmateru Год назад
Fact🙄
@janechristophermkumbi9046
@janechristophermkumbi9046 Год назад
Manshalaah manshalaah subuhanalaah akufunike nambawa zake naomba mawasiliano yako nikupatie usia wangu wahenga wanasema ukubwa dawa Inshaalah
@bahatiagape731
@bahatiagape731 Год назад
Naomba umwajiri ndugu yangu jmn..ni dereva mzur sana.🙏
@zahariasongolo9362
@zahariasongolo9362 Год назад
Afu jamaa Wala hujisikii mashaallah
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 Год назад
Huyu amekubali kuwa alikuwa mfagiagi,wengine wamefanikiwa walikuwa wachungi,hawasemi walikotokea
@kazkaz1943
@kazkaz1943 Год назад
Wabongo wanavyopenda kuiga wangesikia bilionea anayefuga mbuz au analima vanila kesho wote wangefuga haya sasa kanunuen maloli😀😀nunuen loli moja tu
@busta_malik5971
@busta_malik5971 Год назад
Khaaa😂😂😂
@mohamedsalum378
@mohamedsalum378 Год назад
Safi sana bro,Mimi namawazo namba ntapataje,tatizo mtaji
@mr.petrokhuni9363
@mr.petrokhuni9363 Год назад
HIZI NDO TAARIFA , mWANDISHI UPO VIZURI UMEMUDU INTERVIEW
@zawadisospeter827
@zawadisospeter827 Год назад
Nimekupenda Bure una bidii sana Mimi Nina bidii lkn sijafanikiwa.hongera sanaa.
@bahatikazungu7657
@bahatikazungu7657 Год назад
Kwenye mambo ya utajiri mtu asikuhadithie tu eti ilikuwa hivi na hivi,utajiri una mambo mengi
@fatumachagudadui3138
@fatumachagudadui3138 Год назад
Na tajiri kukuambia siri ya mafanikio ni ngumu
@janatiitungo7338
@janatiitungo7338 Год назад
Masha'Allah
@hallin9561
@hallin9561 Год назад
2017_2022 ndani ya miaka mitano anamiliki maroli 100, kila mwaka alikuwa ananunua maroli 20, sio kwel. kuna namna imetendeka, kila mwaka ununue roli 20.
@hamisimwachengo1849
@hamisimwachengo1849 Год назад
Tembea viwandan utakuta zaid ya izo mtu kanunua kwa pamoja
@leaherasto929
@leaherasto929 Год назад
Wakwanza nipeni like... Hongera sana milionea
@japhetadelard9465
@japhetadelard9465 Год назад
Ndio wewe ni wakwanza hatujakataa .
@zuhuramuhanga5400
@zuhuramuhanga5400 Год назад
Uzipeleke wapi hizo like
@Burner_Acc
@Burner_Acc Год назад
Like zinakusaidia nini wewe zwazwa? Watu wanatafuta pesa kuwa mabilionea wewe unaomba likes
@masala04official22
@masala04official22 Год назад
@@Burner_Acc 😂😂😂😂
@michaelmaziku991
@michaelmaziku991 Год назад
Ww hujatoka familia ya chini bwan km baba yako alikuwa dereva means alikuwa anajiweza
@hakunamatataznz5508
@hakunamatataznz5508 Год назад
Kongore kaka, Allah bless you and Ayo Tv
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Год назад
Hongera sana kaka.
@hadithizetutv
@hadithizetutv Год назад
Asante kwa hadithi
@charlesmugisha6529
@charlesmugisha6529 Год назад
Hongera Sana twaribu.
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 Год назад
Mashaallah 🙏
@iamcurthbertvevo5302
@iamcurthbertvevo5302 Год назад
ATUAMBIE UKWELII HII KITU KWA UMRI WAKE SIO RAHISI ATA KIDOGO
@prosperkiluwa8184
@prosperkiluwa8184 Год назад
Mungu akutunze. Je sisi watu wnye uemavu wa kujongea na tuna ujuzi au ideas ni vipi
@amenuhu9268
@amenuhu9268 Год назад
hongera ndugu yangu wewe ni mpampambanaji
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Год назад
Naweza Kuonekana Mimi Tajiri Lakini Nyuma Yangu Yuko Mwenye Nacho Kampuni Zikue Kupitia Mimi Mzawa
@afrocushitic
@afrocushitic Год назад
Kumbe hat wewe umeona👍👍
@boniphacecharles7828
@boniphacecharles7828 Год назад
Kama unaakili hata ukipewa utashidwa tu
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Год назад
@@boniphacecharles7828 Upewi Unatumika Kama Kichaka2 Mipango Yote Inapangwa Kwa Walio Nyuma Yako Ambao Wanapenda Kufanya Biashara Kwenye Taifa Lako Lakini Awapendi Wajulikane Malori Mia Kuongea Niraisi Sana Lakini Utajiri Mkubwa Sana Unamiliki Kijiji Kizima Nyumba Zote Wewe Ni Tajili Lakini Nyuma Yako Wako Wenye Pesa Na Mipango Yao Wewe Unatumwa2 Na Uwezi Kuzingua Kwa Maisha Yako Kumkimbia Mwenye Pesa Akusamee Yeye2 Nasio Wewe Kusema Utamgeuka Ukiona Ivo Hana Pesa Uyo
@malikzafarani172
@malikzafarani172 Год назад
Hongera sana br utafika mbali
@edwinmtei5786
@edwinmtei5786 Год назад
Tunashukuru kwa ujasiri uliotupa wazee kwa vijana! angalizo!! kuhusu bei ya lorry moja ulikuwa na uwezo wa kujibu kwa makadirio ambayo ni kitu rahisi tena kwa wewe ambae tayari umeshanunua mengi mie mwenyewe najua japo huwa naangalia masoko mbalimbali duniani kote, mbili ulisema changamoto ukiwa unasoma kule oxford ni kuwa mbali na familia pamoja na ndugu hadi pale ulipokuwa kuzoea na kutengeneza ndugu wengine kule ila sasa uliendaje huko kwa scolarship au vipi kutokea ifm! yaani mtu akishakuwa na hizi mali zinazohamishika wengi hawawezi kuwa na clear picture
@burundishallsmile1day109
@burundishallsmile1day109 Год назад
MashaAllah 👍🏽
@jerichomwandenje3657
@jerichomwandenje3657 Год назад
Naomba kazi mwee
@omarylukindo5306
@omarylukindo5306 Год назад
Tusidanganyane jamani,,huyo kazaliwa kwenye mfereji wa pesa na connection.utoke zako nchukwi huko uende oxford moja kwa moja 😳😳au ndio Yale Yale tunayoambiwa bakhresa alikua anauza ndizi na karanga kariakoo
@its_khalidy_46
@its_khalidy_46 Год назад
Millard ayo ni jina kubwa sana kwa sasa,,,ila studio zake bado hazilingani hadhi na ilo jina,,, sound system,,camera mpaka chumba ,,ni wazo tu lakini
@jameskalibate7883
@jameskalibate7883 Год назад
Kusema ukwel jamaaa inaonekana kwao kulikua kuna pesa ndio maana kapata chance ya kusoma nje nakuweza kupata kazi nzuri katika shirika la fedha huo ndo ukwel maana pesa ya kununua lorry moja lile ya kwanza nikama million 300 iv
@machajeremia7870
@machajeremia7870 Год назад
Pongezi kwake mungu akupe Maisha marefu Ili tuvune matunda kutoka kwako
@erickdioniz8277
@erickdioniz8277 Год назад
Hongera sana bro
@allandavid752
@allandavid752 Год назад
Hawa watu ndio wanaosababisha vijana kuloga au kumkufuru Mungu kwa kuamini maneno ya waliofanikiwa toka 2017 hadi 2022 uwe na lori mia ?? Ni mpambanaji ndio ila kuna jambo nyuma ya pazia
@masudially4669
@masudially4669 Год назад
Big up to my bro
@geographyteacher.2961
@geographyteacher.2961 Год назад
Hongera sn kwake. Millard nyuma ya camera hao wadau wawe makini ktk minong'ono, kuanzia ktk swali la thamani ya utajiri...
@mercypeter162
@mercypeter162 Год назад
🙏🙏🙏
@khamissubira9411
@khamissubira9411 Месяц назад
Mimi nipo. Zanzibar Mwalimu. Hassan. Ali. Panga. Imamu. Mkuu. Masjid. Shuura. Uliopo. Wilaya. Ya. Mjini. Kijiji. Cha. Muembe. Makumbi. Sheia. Ya. Masumbani. Inshaallah nahitajia. Nambari. Ya. Simu. Ya. Twalib. Abdull. Hussein
@alphoncekihwili
@alphoncekihwili Год назад
Napenda sana hii kampuni nije kuwa fund kwenye hii kampuni nampenda sana
@iddiali8057
@iddiali8057 Год назад
BarakaLLAHU LAKA
Далее
World Record Tunnel Glide 🪂
00:19
Просмотров 17 млн