Тёмный

APARTMENT YA DOLA MOJA MAREKANI (PART 2) 

Hapa Nilipo
Подписаться 3,9 тыс.
Просмотров 52 тыс.
50% 1

Leo ni (Part 2) ya Apartment ya $1.40/Week. Watu wengi walitaka niwaonyeshe ndani kulivyo. Sasa Leo naomba niwaonyeshe ndani kulivyo. This Duplex is beautiful, the space is big for one/two people. Enjoy .#tanzania #kenya #uganda #tanzanianyoutuber #tanzanianyoutuber

Опубликовано:

 

16 июн 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 263   
@nikitadiamorelivingstone2831
Nyumba iko poa kwa mtu anayeanza maisha, ila kama uko marekani kwa zaidi ya miaka 10 bado unatafuta nyumba kama hiyo, bora urudi tu Home nyumbani TZ nyumba zipo nzuri, na bei poa, na mazingira tulivu.Ukiwa na biashara yako simple maisha yaenda bila stress.
@RehemaMwinyi-xs9bx
@RehemaMwinyi-xs9bx Месяц назад
Dola moja Kama Dola moja? Na unalipia miezi mingai? Au Kila mezi?
@RehemaMwinyi-xs9bx
@RehemaMwinyi-xs9bx Месяц назад
Naomba namba yako nnampango wa kuja uko nadhani utranisaidia my
@muccitronix
@muccitronix Год назад
Kwa bongo mtu mwenye mjengo kama huu ni mtu mwenye maisha mazuri mnooo
@Salumchiwili2023
@Salumchiwili2023 Год назад
Geto zuri sana vp kuhusu kazi mazingira hayo zinapatikana kwa wingi au hadi uende mbali zaidi na je neighbourhood ikoje
@kisagentabirage6693
@kisagentabirage6693 7 дней назад
Dada mambo mzima napenda interview zako mungu akubariki nafanya michakato ya kupambania kufika huko nitakutafuta siku nikifanikiwa kuja huko
@user-yg4er5kb4x
@user-yg4er5kb4x Год назад
Great madame
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 Год назад
Mashallah bonge moja apartment kwa huku kwetu hiyo ni bonge la ghetto nice content my sister
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
Asante sana.
@saidijuma5843
@saidijuma5843 Год назад
Contact nzuri sana
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 Год назад
​@@hapaniliponaomba ramani ya hii jengo bibie.. nataka nitoe kitu kama hiki
@emmycharles8463
@emmycharles8463 Год назад
Kaaa jamn kwahiyo hapo ndo marekan 🤔🤔
@dlumala
@dlumala Год назад
Unisaidie nano zamani ha ha inshore kusikiiza
@kingkendrickk
@kingkendrickk Год назад
Good content
@abdulshaban4560
@abdulshaban4560 Год назад
😁😁😁😁😁😁marekaniiiii sawa Dada,......
@innoofficialtz8516
@innoofficialtz8516 Год назад
Asee safi
@allyshomari7417
@allyshomari7417 10 месяцев назад
Safi safi. My daughter!!
@hapanilipo
@hapanilipo 8 месяцев назад
Asante sana.
@mariamsaid4112
@mariamsaid4112 Год назад
Kibongo bongo hiyo unaweza lipa hata laki tatu
@batromeombogo297
@batromeombogo297 Год назад
waaaao i like it... imejikuta na-subscriber in short nimependa kaziyako mnooo
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
Jamani asante sana.
@sammirykamanga9960
@sammirykamanga9960 Год назад
Namba number yako au mawasiliano yako
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 Год назад
Salam zangu kutoka neworleans Louisiana 👍
@ivanamkapa2369
@ivanamkapa2369 Год назад
Nyolooo
@kevinsheshe4954
@kevinsheshe4954 Год назад
Nice one
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
Thank you.
@ashantidesire8635
@ashantidesire8635 Год назад
Kumbe hizi ni zile shelter za homeless ndio unaringa nazo.
@magretkijanga6038
@magretkijanga6038 Год назад
Aisee naomba no ...naitaka
@bigboys016
@bigboys016 Год назад
Umepapataje hapo dada,aisee
@stannydidasy
@stannydidasy Год назад
🔥🔥🔥
@SamwelMisungwi
@SamwelMisungwi 4 дня назад
Hapa 😂ujasema jimbo gani sehemu gan madam
@vincentndonye7989
@vincentndonye7989 Год назад
Hapo waeza bakwa au ukaibiwa.
@farhannahomary5505
@farhannahomary5505 5 месяцев назад
Jmn daah ila mbali sana kazi zinapatokana huko
@Fechasharon
@Fechasharon Год назад
Dah huyu dada ni muongo balaa dah😢
@benjamincharles2606
@benjamincharles2606 Год назад
Me nko tayari KWA kaz yoyote
@user-uk6cu3ls2q
@user-uk6cu3ls2q Год назад
HahahahahHaha mbavu mie zinatoka mbavu nimecheka sana comment
@adammalima3408
@adammalima3408 Год назад
Nimesubscribe Leo ila nimefaidika Asante sana keep up
@Walae260
@Walae260 Год назад
Uwongoooo
@hapanilipo
@hapanilipo 11 месяцев назад
Jamani Kweliiiiiii
@NIMFASHADieudonne-cy1fx
@NIMFASHADieudonne-cy1fx 7 месяцев назад
Thank you,so Dada ukweli hizo nyumba kiramda zinaonekana?ziko wapi sehemu yipi?mda wowote unaweza kuzipata?
@handzdownrecords1156
@handzdownrecords1156 Год назад
Mmmmh😂 dolla moja?? Whats the catch?
@muskrilcardo9372
@muskrilcardo9372 Год назад
hi ni mathalau ya hali ya ju, milango ata aifunguwe?!?!?
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 Год назад
Lo umejitoa ufahamu kupost UONGO 😂😂
@petermponeja498
@petermponeja498 Год назад
Tunaomba address za hizo apartment
@ludobudege1662
@ludobudege1662 Год назад
Ttunashukuru kutuabarisha kumbe tusiogope kuja Kuna vyumba Hadi vya $1
@Humanscale800
@Humanscale800 Год назад
Sio kwa ubaya lakini mbona watu wa hapo kwani hawajui kama hapo ni $1 rent? Either ni murder scene hapo, ama ni $1 a kwa saa na $720 kwa mwezi. Ama $1 monthly na massage with happy ending to the landlord 😂
@ChikoMathias
@ChikoMathias 9 месяцев назад
Ndio tupate kaxi na kuja huko
@hanschuma7734
@hanschuma7734 Год назад
Nimeipenda hiyo nyumba huku ss tunalipa mahela meengi halfu chumba na sebure choo bafu kichen how come
@frankdanford8245
@frankdanford8245 Год назад
Atufanani kiuchumi kwa america inawezekana ila kwa afrika itatuchukua karne mbili kufikia huko
@minaahlove7618
@minaahlove7618 Год назад
😂😂 it's funny
@andrinisrael9289
@andrinisrael9289 Год назад
Ukijitaji hela pia kua na kitu chenye mashiko unafanya jambo la kudhalilisha nchi
@vincentndonye7989
@vincentndonye7989 Год назад
Wewe ulianza hapo....
@merrymassa-hi6iy
@merrymassa-hi6iy Год назад
Mimi niko Tanzania
@84AfricaVlog
@84AfricaVlog Месяц назад
Hii nyumba n ya matofari au ya mbao,Je kuinunua n shingapi??
@hmanews12
@hmanews12 Год назад
Habari yako,,,, nahitaj namna ya kuweza kuwasilian na ww,, hata Kam ni kea email kuhusu mafunzo ya RU-vid na namna ya kufungua channel
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Год назад
Kam hapo ni Marekan hayo maeneo sikai hat kwa bure hiv usalam upo kwnz
@yaqubyahya6285
@yaqubyahya6285 Год назад
😂😂😂 apo umetu danganya dada,..akuna nyumba ya 1$ USA....
@tanzuaprint
@tanzuaprint Год назад
Hakuna hizo Apt maybe zitakuwa zile za watu wenye mahitaji maalumu au ambao waneshindwa kukimu maisha yao. na mara nyingi hiz free apt huwa si safe.
@libeberu
@libeberu Год назад
Hapa tunaibiwaaaaa, kwamba homeless wa USA hawajui zilipo? Hapa tumepigwa
@alexandermilanzi9860
@alexandermilanzi9860 Год назад
​@@libeberuvitu vingine sio vya kubishia...kumbuka marekani ni kubwa nchi moja inakaribia kuwa sawa na ukubwa wa bara la Afrika....si rahisi kila sehem kuwa na watu wengi.... Mfano Tz🇹🇿 buguruni chumba si mpaka 15k mbona watu dar wanalala nje?
@tanzuaprint
@tanzuaprint Год назад
@@alexandermilanzi9860 Narudia Marekani hakuna nyumba za $1 Iko hvi: Serikali inaweza ikakujengea nyumba ikiwa wewe una familia kubwa au kuna vigezo fulani unahitaji wanavyohitaji unavyo wanaweza kujenga kwa ajili yako alafu wewe utakuwa unalipa kidogo kidogo lakini si $1. Au unakuta nyumba hiyo alafu unalipa kama $200 kwa mwezi. hizo ni za serekali. Mara nyingi hizo apt huwa haziko safe. maybe nyumba cos wanakujengea sehemu tofauti. Hakuna kampuni ambayo itakujengea nyumba imeweka mamilion ya $ alafu wewe ulipe $1. labda za shiriki na shiriki ni sawa na bure na linapokuja swala bure maana yake hapo hakuna usalama. Na hata za shiriki kuna sheria zake kuwepo pale. hata nyumba zile za kuamishika hakuna hata ya $ 50 maybe za bure na bure si kwa kila mtu. Huyu dada si mjanja kuliko Wamarekani wote, tunazijua code zote za government. Marekani ni nchi kubwa laakini ukiwa Marekani ni kijiji. Acha kushangazwa na ukubwa wa nchi, mitindo mbinu ni rahisi sana. kutoka kusini( North carolina) mpaka CA ni saa 5 kwa ndege. Tunaendesha gari kutoka Carolina mpaka iowa.
@madytwaa
@madytwaa Год назад
​@@alexandermilanzi9860bro ukubwa wa bara la Africa unaujua vizur interms of square meters bara namba 2 kwa ukubwa after Asia au unaropoka tu 😂
@Football-cl2hj
@Football-cl2hj Год назад
@@alexandermilanzi9860hata hotel Usiku tuh ni dolar 100 kwenda juu
@anoldmajivuno684
@anoldmajivuno684 Год назад
Salute sanaaaaaa
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
Asante sana.
@neemachristine2666
@neemachristine2666 Год назад
I can leave there comfortable with my husband and eight children comfortable
@godfreykipanga9468
@godfreykipanga9468 Год назад
Uwongo
@veilasharu2162
@veilasharu2162 Год назад
Ok
@vitrahbongz9420
@vitrahbongz9420 Год назад
Huy dem katupig 😂😂1$!!
@hapanilipo
@hapanilipo 11 месяцев назад
Kweli tena $1.40 Kwa Wiki.
@BenLeeBl
@BenLeeBl Год назад
Mgen akija km anatak kwenda choon inabid aingie chumban....
@aishasaidmimo5239
@aishasaidmimo5239 Год назад
naomba conection ya kazi dada
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Год назад
Upo wapi kuna mtu akupe connection km unahitaj
@SophiaMarwa-gt6id
@SophiaMarwa-gt6id Год назад
Naomba conection ya kaz dada
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
Nduguyangu Kuna Website 5 za kazi nimetowa leo. Hope itakusaidia.
@user-hv1oz4ei3t
@user-hv1oz4ei3t Год назад
Taratibu utavunja vitasa vya watu
@bensonlameck6348
@bensonlameck6348 Год назад
Hio nyumba inawezekna iko nje kbsa ya mji wa marekani asee ,na hmna kazi hapo,na joto lililopo hpo ni balaa unaweza ukafa kma umegendua hio nyumba ina Ac,fan
@safiyasafiya5014
@safiyasafiya5014 Год назад
Ipoh a/c huionii
@safiyasafiya5014
@safiyasafiya5014 Год назад
Sema umbili WA kazi
@yusuphswai6851
@yusuphswai6851 Год назад
Iyo nikwel kabis wala sipingi
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 Год назад
Hizo ni free please usidanganye watu
@kisagentabirage6693
@kisagentabirage6693 Год назад
Dada mie nataka kuja marekani unaisaidiaje pls am very interesting kweli dada angu pls
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
Sawa jamani, angalia Video yangu ya Kesho Inamajibu.
@mohammedbaraka9230
@mohammedbaraka9230 Год назад
Tunasubiri wote hiyo video
@saxinajoseph4289
@saxinajoseph4289 Год назад
Acha utapeli nyumba hizo ni za Bureeee kwa hapa marekani...
@kwisa4899
@kwisa4899 Год назад
sasa hiyo pesa si bure kabisa utofauti ni nini
@anthonysindabaha7517
@anthonysindabaha7517 Год назад
Hizoo ni unsafe apartments na mara nyingi hutumika na disabled ..hvyo basi hakuna apt hapo states kwa $1 acha kudanganya watu unless una seek for subscribers na followers
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 Год назад
Una shida gani? Yaani uko moto msyuuuee
@user-of1uy6jv3o
@user-of1uy6jv3o 6 месяцев назад
Dada naomb namba tuwasiliane
@oswaldkakuyu
@oswaldkakuyu Год назад
Location ya hii apartment iko wap na je naweza nikapata contact yako ili unipeleke na nikapaone
@julianamassawe2508
@julianamassawe2508 Год назад
Hi
@oswaldkakuyu
@oswaldkakuyu Год назад
​@@julianamassawe2508hello
@user-qz3wn6tt6b
@user-qz3wn6tt6b Год назад
Usalama upo madam na vp Kwa tulio kua Tanzania kama natka kija
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 Год назад
Wapi hapo
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
Texas
@florianscarion5085
@florianscarion5085 Год назад
Acheni kupumbaza watu.
@nuruvinny5141
@nuruvinny5141 Год назад
Ndo maana awatupigii picha wakiwa makwao
@teychriss3248
@teychriss3248 Год назад
Mmh
@jumachilundajr4853
@jumachilundajr4853 Год назад
Usalama upo hapo
@monicacyprian9137
@monicacyprian9137 Год назад
marekani ya wapi jamn kusingekua na homeless kama ni hivyoo je kunahuduma za kijamii
@alexandermilanzi9860
@alexandermilanzi9860 Год назад
Ushaambiwa huko ni Texas sio kila sehemu marekani ni maisha mazuri tu.... Na ndo maana hata hao homeless wapo pia marekani.... Haya njoo dar vyumba mpaka 15k bugurun
@PaskaziaLawi-kr3lx
@PaskaziaLawi-kr3lx 4 дня назад
Habari dada naoma namba yako kunakitu nataka nikwambie mimi ni mama
@GQTVONLINE
@GQTVONLINE Год назад
Dada tunaomba connection ya kupata kazi
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
Nitakupa Connection nduguyangu usijali. Nipe muda nalifanyia kazi.
@GQTVONLINE
@GQTVONLINE Год назад
@@hapanilipo Ubalikiwe
@HoneysugarPudding
@HoneysugarPudding Год назад
​@@hapanilipo jamani dada kazi ukipata nyingi mie pia nisisahaulike tafadhali Mungu akubariki sana
@mercysamuel9281
@mercysamuel9281 Год назад
Mamie naomba connection na mimi za kazi huko
@mercysamuel9281
@mercysamuel9281 Год назад
Mamie na mimi nisaidie kazi huko
@selineakoth1483
@selineakoth1483 3 месяца назад
huko ni state gani dadaa
@melkizedekoliech7859
@melkizedekoliech7859 Год назад
Tryna imagine thousands of$000i can save 4 investment livin in these houses😮😮😮 Uffffffff!!
@farhannahomary5505
@farhannahomary5505 5 месяцев назад
Usalama ukoje
@rhobywerema6996
@rhobywerema6996 Год назад
Hiyo nyumba huku kwetu milion 2 laki5 bora tu nihamie huko sasa shida kazi
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
Kazi zipo nyingi sana, Ila kwa mwanzo usichaguwe.
@rhobywerema6996
@rhobywerema6996 Год назад
@@hapanilipo kwa mtu kama mimi elimu yangu ya 4m4 nitapata kazi gani
@rhobywerema6996
@rhobywerema6996 Год назад
@@hapanilipo Natamani nipate kazi nimtunze mwanangu maana napitia wakati mgumu
@HalimaChuwa-kk5lt
@HalimaChuwa-kk5lt Год назад
​@@hapanilipokwa ambao hatujasoma tutapata Kaz gan uko jmn
@frolahsaloon2506
@frolahsaloon2506 Год назад
@@hapanilipo nitafutie kazi hata yakulea watoto
@keyla3641
@keyla3641 Год назад
Jamani Dola moja tu wapi sijawahi kusikia
@user-nx7ll2ce5v
@user-nx7ll2ce5v Год назад
Hata bongo vjijin upati kwa bei iyo
@pembemussa2804
@pembemussa2804 Год назад
Ukiishi Maisha hayo waeza Ng”oa pisi kali ya kizungu kweli hapo ni mwendo wa Chama la sabuni😢
@hanschuma7734
@hanschuma7734 Год назад
Tembea mwanangu utanielewa unan'goa sana mpaka utaniambia....mbona rahis tu hao
@rehemalusindengawa5186
@rehemalusindengawa5186 Год назад
Mbona nimetamani kuja
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
Njoo Mwaya.😊
@Rachid_Daudi
@Rachid_Daudi Год назад
#LiegeEdward nyumba kwa $1 😂
@tycoon9540
@tycoon9540 Год назад
I like ur content my día sister, but naomba kujua this is which part/state of USA!??? Newyork, LA or
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
Texas
@crownpress5512
@crownpress5512 Год назад
Huko kutakuwa ni Kama uende kuishi mabwebande 😂😂😂…kutakuwa hata huduma za jamii unasafiri siku mbili
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
😅😂😂
@wilbatnyato4679
@wilbatnyato4679 Год назад
Kumbe na USA kuna nyumba za hivi?
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
Zipo ndugu yangu.
@bonfacmoshi569
@bonfacmoshi569 Год назад
Labda kama unaolewa! Msitudanganye hivyo!
@hurumakhadi9943
@hurumakhadi9943 Год назад
Ni uwongo hakuna nyumba ya dollar moja hapa marekani
@wilsonm.7376
@wilsonm.7376 Год назад
Je maeneo hayo pia kuna kazi za kufanya upate dola?
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
Kazi zipo nyingi sana.
@Doctor_rupingwire
@Doctor_rupingwire Год назад
Hello
@HalimaChuwa-kk5lt
@HalimaChuwa-kk5lt Год назад
​@@hapanilipoutuunganishie na Kaz jaman
@athumanizaidi8560
@athumanizaidi8560 10 месяцев назад
Hizo apartments zinapatikana wapi hap US?
@hapanilipo
@hapanilipo 10 месяцев назад
Texas
@leonardpeter8239
@leonardpeter8239 Год назад
ni dolla1 kwa mwezi au kwa siku?
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
Kwa Wiki. Kaangalie Part 1.
@erenestawanjiru1935
@erenestawanjiru1935 Год назад
😂😂😂😂😂😂
@JustinBernad-wp3eo
@JustinBernad-wp3eo Год назад
Madam embu nisaidy kit hv naram za usafir kutok tz adi huko inagarim shingap
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
Gharama za Usafiri inategemea na ndege unayotaka kupanda ndugu yangu.
@JustinBernad-wp3eo
@JustinBernad-wp3eo Год назад
@@hapanilipo ok je? Ndege amby garam kidog n chin ina cost shingap
@robertabel6984
@robertabel6984 Год назад
Ila we naye ni kiazi sana kwahiyo hicho chumba ndo kimekufanya upate hamu hivyo au
@marygregory7566
@marygregory7566 Год назад
Mbona kila kitu kimepinda kianzia milango mpaka makabati😆😆😆😆
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
Yani wewe🤣🤣🤣
@estakapufi7582
@estakapufi7582 Год назад
Hee dola moja kwa mwezi wakati kuna watu kibao marekani wanaishi barabarani washindwe kulipa dola moja mhuu
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
$1.40/Week
@Doremi_pro
@Doremi_pro Год назад
Mbona kama unatucheka tunaotaka kunnua ilo geto
@HawaKibeshi
@HawaKibeshi Месяц назад
Marekani maeneo gan hayo nije madam
@pembemussa2804
@pembemussa2804 Год назад
Uko na acc TikTok dada ake?
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
Ninayo ila sijapost kitu. Nitaanza ku post.😊
@AminaMustafa-uw7jc
@AminaMustafa-uw7jc Год назад
dollah 1 kwa siku or
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
Kwa Wiki $1.40
@vom84
@vom84 Год назад
Bonge moja la Ghetto
@flackomasterbaddest4155
@flackomasterbaddest4155 Год назад
Shida ni ghetto area sio salama
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
😅😅😅Ukianza maisha hamna kuchaguwa.
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 Год назад
Sinza ni laki 2 huu mjengo aisee balaa
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
Yani balaaa na nusu, tena pale mitaa ya Kwa Remmy.😅
@user-nx7ll2ce5v
@user-nx7ll2ce5v Год назад
Kweny bei apo km umetupga vile dollar 1 kwa mwez au 100
@hapanilipo
@hapanilipo Год назад
$1.40 Kwa Wiki.
@hidayamotto7210
@hidayamotto7210 Год назад
Dollars Moja hi ya 23000 kw tz sh au
@carolineaugustino6629
@carolineaugustino6629 Год назад
2000 na kitu
@user-fq4ys9ws7u
@user-fq4ys9ws7u 11 месяцев назад
Mbona hutu tafut nasisi
Далее
KAZI ZA MAREKANI
10:27
Просмотров 17 тыс.
Nyumba za kupanga marekani mjini NewYork
17:51
Просмотров 3,1 тыс.
В GEOMETRY DASH СДЕЛАЛИ GTA
00:27
Просмотров 572 тыс.
How to Measure ANY Cliffs Height with a Rock
00:46
Просмотров 10 млн
NYUMBA YA DOLA MOJA
4:27
Просмотров 1,4 тыс.
HAJA KUBWA NI DILI UTALIPWA $500-$180,000  MAREKANI
11:52
Gari Nyumba Marekani
13:37
Просмотров 713
HAKI YA NDOA KWA TIMETABLE | NIMEUZA MKOJO MAREKANI
53:51