Leo nawapa Dili la Kazi, Yani ni kazi rahisi sana.Kazi ambayo unaweza kuifanya ukiwa sehemu yoyote ile duniani.Ukiwa qualified utalipwa $500 Website:www.humanmicro...
Sometimes tuwe tunajiquestion maswali ya ufahamu hv kweli mtu akupe pesa for that reason... watu muache ulafi.. hapo kuna agenda chafu inatekelezwa, au watu wanafanya research zao mbovu mbovu but ukweli ni kwamba hyo issue there is something fishy going on. Ila kama unavojua wanadam wa sku hzi wanapenda kuonekana na pesa tu bila kuzitafuta wala kutumia akili wataaply tu ila mkiipata nipo nmekaa pale..
Hi,Kennedy. Nenda kwenye Website Yao :www.humanmicrobes.org/donors .Ni kazi kamą kazi nyingine, Nenda ka Complete screening questionnaire and verification of stool type and physical fitness. Then kuna video interview.
Mimi naomba Ujiamini, Kama hujui kabisa kinge waombe uongee Kiswahili. Kama wana Kubali watu kutoka Inchi tofauti, wanaelewa kuwa sio kiła Inchi inaongea English. Nakuaminia nduguyangu.
Please muwe makini na ulafi wa pesa jamani, tutaletewa ugonjwa na hatutapata dawa, men they wana deal with country DNA, so please.please, please. Tujiulize wanataka haja kubwa ya kazi gani? Emagine waafrica hatukuumizwa na corona kwa kiwango kikubwa coz of DNA
Usikurupuke kuongea,set your motion in gear. Ukisikia jambo jiridhishe. Dada wa watu ametoa hadi website basi nenda kwenye website kasome ujiridhishe ili ujue lengo Lao la kutaka mavi ni nini. Hiyo kazi nimesoma wameanza kufanya research hiyo tangu 1997.
Kaaply kazi.Ni kazi kamą kazi nyingine. www.humanmicrobes.org/donors .We’re accepting donors from anywhere in the world where they have access to dry ice.