Askofu Mwanamapinduzi nimefarijika sana na ujumbe ambao umetupa pamoja na viongozi wa dini wengine. Mungu unayemtumikia akubariki na akupe kusimamia haki hiyo mpaka mwisho. Tunakuombea.💗
Askofu pole sanaaaa yaliyotokea Kenya Tanzania hayawezi kufika sisi nchi yetu hatukupata Uhuru kwa kumwaga damu acha kabisa ushawishi kama huo hao wanasumbuliwa na ukabila na udini
Wewe utabaki kubwaka kama mbwa koko hakuna atakae wapa Nchi hii Mavibaraka ya mabeberu na ukimaliza kubwaka ukapige mswaki domo lako Lina nuka kama Choo