Тёмный
No video :(

Hotuba Ya Mwl Julius K Nyerere Mkutano Mkuu Wa CCM Dodoma Mwaka 1995 

Ikulu Tanzania
Подписаться 283 тыс.
Просмотров 468 тыс.
50% 1

Hotuba Ya Mwl Julius K Nyerere Mkutano Mkuu Wa CCM Dodoma Mwaka 1995

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 179   
@moshiphoneclinic6070
@moshiphoneclinic6070 11 месяцев назад
Gonga like Kama unamkubali huyu mwamba
@sarfarazahmad5445
@sarfarazahmad5445 Год назад
One of the most popular and the best speakers in Africa and the world. Miss you Mwalimu.
@anilabdallah746
@anilabdallah746 Год назад
❤i
@musr931
@musr931 6 месяцев назад
I can't get enough of this GUY!
@godfreychitumbo589
@godfreychitumbo589 Год назад
Daaaaaaaaah hakika baba wa taifa alikuwa ananena ya kwel tutayatafuta nje na sio ndan tutakukumbuka daima
@tonnykasibante8823
@tonnykasibante8823 Год назад
A speech with content maana na mathumuni.Hayati Nyerere asante sana kwa kuwa kielelezo na mfano bora kwa wote katika bara letu ?Mwenyezi mungu akubariki
@hassanmzee1807
@hassanmzee1807 Год назад
Huyu ni mtu
@danmutuginjoroge
@danmutuginjoroge Год назад
Greatest speech ever by former excellency
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Год назад
Mungu wetu ingilia kati kusaidia watanzani wako. Mungu ULITUWEKEA nchi hii UTAJIRI MKUBWA sana lakini mbona viongozi wetu hawana akili kubwa za kutosha kugeuza UTJIRI huo WA ASIKI uwe na manufaa kwa watanzania na hata afrika kwa ujumla? Hao Wanasiasa wetu hawaji na sera zenye mashiko ya manufaa kwa taifa hili. Tunawatafuta sana viongozi wenye mitizamo hiyo na tunajua wapo ila ni vigumu kupenya ngome ya CCM. Ee mungu tunaomba msaada wako utusaidie wana wako. Sisi siyo masikini wa mali bali akili.
@songaym.assiyecheka5322
@songaym.assiyecheka5322 6 лет назад
Mungu wangu nisaidie kumuenzi Baba Wa Taiga Langu LA Tanzania!! Hayati MwL. Julius Kambarage Nyerere.
@gracemush6838
@gracemush6838 2 года назад
Mungu ampe makao ya milele baba yetu wa taifa hili la Tanzania wapo wawili 2 wote atukonao
@estherbukoja6208
@estherbukoja6208 Год назад
Asanter kwa kuturetea uhuru ktk taifa letu na sasa tunaishi kwa amani na tunakukumbuka sana ,mungu ailaze roho yako kwa AMANI mahari pema peponi AMINA
@user-ig2ol6oi9k
@user-ig2ol6oi9k Год назад
Mwalimu Julius kambarage Nyerere alikuwa ni kiongozi wa kweli na aliyekuwa na maono . Na alikuwa akili , hekima, busara, utu na kipawa kikubwa cha uongozi . Mungu azidi kumpa raha ya milele peponi. Hatuwezi kumsahau
@jumambazi7173
@jumambazi7173 Год назад
Hotuba za baba wa Taifa Mwalimu Julius Nuerere ni uhai wa Taifa letu na kwineko duniani.Zidumishwe Kama urithi wetu.
@samsonkaboko5137
@samsonkaboko5137 Год назад
Mt Nyerere ulikuwa ni baba kweli na Kila aliyepita kwenye nyayo zako alifanikiwa Kwa haraka zaidi, pumzika kwa amani, msalimie JPM
@user-jj2ud8bv2j
@user-jj2ud8bv2j 21 день назад
nikweli
@stephenf.sikolia7588
@stephenf.sikolia7588 6 месяцев назад
Thank you for educating African continent. God help us.
@ismailabdallah7853
@ismailabdallah7853 2 года назад
mwenyezi mungu hakufanyie wepesi mwalimu Baba wa taifa letu
@mrmuba7330
@mrmuba7330 Год назад
ndugu kwa muislam haifai kumuombea dua mtu aliekufa hali ya kua si muislam
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 9 месяцев назад
@@mrmuba7330ila kukuombea wewe shoga ni sahihi
@amazing_life696
@amazing_life696 3 месяца назад
Heeh! Kumbe uislam ndio uko hivyo. Basi hapo hakuna dini ni ushenzi tu.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 2 месяца назад
​@@amazing_life696 Dua umuombe ndugu yako, na hakuna undugu wa Muislam na asiyekuwa Muislam. Ni HARAM kumuombea pepo asiye Muislam.
@dicksonimfungomfungo6657
@dicksonimfungomfungo6657 Год назад
Hiindiyo ilikuaga mashine ya Tanzania , Mungu akubaliki akutie wepesi na laha ya milele
@lambosalum6299
@lambosalum6299 Год назад
The real father of Tanzania and Africa by general
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Год назад
Hotuba iliyojaa utajiri wa kifikra na uzalendo wa ukweli👏👏 👍
@khalfanmustafa6615
@khalfanmustafa6615 Год назад
Nyerere ulikiona hichi kitu Kuna Nyerere mwingine alitokea ila amekufuata huko mungu awaweke mahara pema!!
@user-xl9so6jg1e
@user-xl9so6jg1e 10 месяцев назад
Yule msukuma alikuwa mwenda wazimu
@fatmakitine7674
@fatmakitine7674 Год назад
Innallah Wainaillah Rajuun. Mwenyezi Mungu amrehem amsamehe makosa yake inshallah ampe pepo
@OmarJuma-og4kd
@OmarJuma-og4kd 3 месяца назад
@fatmakitine7674 usihadalike na maneno ya kisiasa na kumuombea kafiri asamehewe na Allah nakushauri isome Qur an itakuzindua kiakili kwa Allah anasema kwenye surat Muhammad Aya ya 34..kwamba....wale ambayo wamekufuru na kuzuia watu kuelekea njia ya Allah Kisha akafa na ukafiri wake basi hatasamehewa na Allah ....Sasa Nyerere alikufa na ukafiri wake vp wewe unamuombea kwa Allah kuwa amsame na mtie peponi wakati pepo umewekwa ajili ya wachamungu sio makafiri ...
@hajihassan5433
@hajihassan5433 2 месяца назад
​@@OmarJuma-og4kd Acha mtu aombe dua anavyojisikia Mungu mwenyewe ataamua hata Mtume wetu Muhammad alimuombea ami yake kwa sababu Dini ni kati ya mtu mwenyewe na Mungu, utajuwaje kafa na Dini gani.
@user-jj2ud8bv2j
@user-jj2ud8bv2j 21 день назад
mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi amini
@fredrickotieno6694
@fredrickotieno6694 Год назад
Rest easy legend of Africa
@godfreyhhaysanday7530
@godfreyhhaysanday7530 Год назад
Tunakukumbukeni watetezi wa nchi yetu bad tunawakumbuka😭😭😭
@user-wr8yy2ft2v
@user-wr8yy2ft2v Год назад
Mungu ailaze loho ya baba yetu mahali pema pema peponi na apumzike kwaamani
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 10 месяцев назад
this speech my roll mode
@user-rs2rb6we2n
@user-rs2rb6we2n 7 месяцев назад
VIONGOZI WOTE WA SERIKALI MTAZAME HII KITU KILA SIKU ✍️ MNAJISAHAU SANA📌📌
@ezekielbandshimbayabhoya331
Uhakika kabisa pongezi baba wa taifa ulale mahali pema peponi
@ramadhanomary2547
@ramadhanomary2547 Год назад
Mungu akulipe kwa mazur ulio tupigania kwenye nchiyetu heshima nyingi kwako mwalimu daima hatuta kusahau 🙏🙏🙏
@richardboaz-mashagospel2346
Baba yangu huyo! Nampenda sana baba, na JPM....hawa ndio waasisi wapenzi wa watanzania, walitupenda kwa mioyo yao yote.
@HenryKanyika-pu8nd
@HenryKanyika-pu8nd 9 месяцев назад
Nyerere kama Jpm
@deuskisonga5819
@deuskisonga5819 Год назад
Baba wa TAIFA ALIKUWA anaona mbali Sana. RIP
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 24 дня назад
Painful left by late julias kambarege Nyerere can not recover easy into our national Feliyer of ccm leadership use police force no longer ccm we know into Tanzania population only police force and lteligince that all late julias kambarege Nyerere was the voice of poor tanzania people now we have brutal group holdings power with the forenor from development country we tanzania population we became slevering into our tanzania national
@evaomondi8218
@evaomondi8218 Месяц назад
Such a brilliant mind that went so soon! Before we harnessed all of it! Tunaomba Rais ambaye atakuja kupindua nchi ya Tanzania kwa falsafa ya Nyerere!
@aminasaidi5010
@aminasaidi5010 8 месяцев назад
Dahh hotuba nmeixkia mwaka nazaliwa mm mbona haziachan najinsi dk jn pombe maguful alivokua anatuogoza mung aziweke roozao mahala pena pepon aamin
@KalisPhilippelwatomwa
@KalisPhilippelwatomwa 4 дня назад
Le merite president
@daudmnanga7075
@daudmnanga7075 11 месяцев назад
Asante sana kwamuongozo
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Год назад
umesema kweli baba ni kweli nchi hii haipaswi kuwa ya MATAJIRI. Ni nchi ya watu masikini lakini ni nchi yenye utajiri kuliko nchi nyingi duniani. Wanasema ni nchi ya pili afrika kwa kuwa na utajiri mkubwa wa asili. na tutakuwa juu kabisa kidunia kwa utajiri. Swali....kiongozi gani anaamini katika hilo na kulitetea bila woga? Uzalendo huo umeenda wapi? Wanasiasa walio wengi wamekuwa wabinafsi sana wanaangalia maslahi yao binafsi wanasahau maslahi ta taifa. wanasahau kuligeuza taifa hili kuwa matajiri kama ambavyo inavyostahili. Tanzania siyo masikini wa mali asilia bali fikra. Mungu wetu tusaidie Tanzania yako
@user-yf6ge4xf5d
@user-yf6ge4xf5d 9 месяцев назад
Hutubahii imetoa machozi uhakika Baba wa Taifa alikuwa chuma
@ericssonkaaya2140
@ericssonkaaya2140 2 дня назад
Ccm waisikilize kwa makini hii hotuba.
@karithiemenyi154
@karithiemenyi154 10 месяцев назад
The best president afruxa has ever had. I really respect adore. Nay his soul rest in peace.
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Год назад
Tanzania ya wanasiasa wa leo inakumbuka hayo maneno kweli? Au ndio yanaigilia sikio hili yanatokea sikio la pili. Mungu wetu uko wapi? Usituache wenyewe hatuwezi
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Год назад
Baba yetu uliwahi kusema chama kitakachoweza kuitoa CCM madarakani lazima kitoke ndani ya CCM. Tunaamini ukweli huo. Mungu awape ujasiri watu waadilifu wajitoe ndani ya CCM waanzishe chama kipya kitakacholeta matumaini kwa watanzania. Hicho chama kitachukua nchi kirahisi sana. Watu hao wasafi wapo na wanajulikana kwa wananchi. Wajipe moyo wa ujasiri wajiongeze wataungwa mkono.
@giftsiwakwi4079
@giftsiwakwi4079 Год назад
Unakumbukwa Baba wa Taiga, may your soul continue resting in peace
@jacobjohn6512
@jacobjohn6512 Год назад
Viongozi wetu mjifunze kupitia hotuba za baba wa taifa
@naphtalleyakoyi1336
@naphtalleyakoyi1336 2 года назад
Wanasiasa wa Kenya yetu na wakasie hili ,ukabila kisiasa ndo inatumaliza
@mpalemwamakamba
@mpalemwamakamba 9 месяцев назад
Mungu amlaze mahali pema peponi wanaharibu nchi yetu washindwe
@zackmwitakitejakutokasimiy8238
Nilikupenda sana
@benisango4553
@benisango4553 Год назад
Mzee......upo.....sahihi.....kbs......lkn......leo.......ndoyanayo.......ishiiii.......hapa......tz.......watu.......Wana......kula......tuuuu......hakuna.......ranqi.......tumeacha.......kuona..........Asante........mwandishi........Mambo.......ya.......msinqi......kwelikweli.....ubrkw.....Sana..."""!
@laurentikimbangala2970
@laurentikimbangala2970 Год назад
Ni kweli , uhalisia rushwa ni adui ya haki.
@georgekavishe2787
@georgekavishe2787 Год назад
Babaaaaa🕺🕺
@TimasMwambene
@TimasMwambene 2 месяца назад
Huyu kweli alikuwa rais yaan wa kumfananisha naye bado Sana.
@hilarymtweve7317
@hilarymtweve7317 Год назад
Asante sana baba YETU mpendwa hakika baba wewe mtetezi wa wawanyonge
@user-kw5ub2pt3h
@user-kw5ub2pt3h 10 месяцев назад
Mwarimu nyerere umojauriotujengea vijana sasahakuna viwandaurivotujengea vijanasasa vimekufa umojawavijana sasa umekuwa umoja wawazetu
@eliudikapungu1931
@eliudikapungu1931 Год назад
Kweli kabisa mungu atulinde
@widonphilipo5866
@widonphilipo5866 Год назад
Tutakukumbuka mwalimu
@christopheyongesa6721
@christopheyongesa6721 10 месяцев назад
A great leader...
@haggairaywer7002
@haggairaywer7002 10 месяцев назад
My Political hero.
@angelomfilinge8662
@angelomfilinge8662 7 месяцев назад
the stongest leader in the world. We will miss you forever
@emmanuelsaguda7136
@emmanuelsaguda7136 Год назад
Rip baba wa taifa😢😢
@gidionkatorano8839
@gidionkatorano8839 Год назад
Tumuenzi kwelikweli kwa kututoka rohoni lakini viongozi wa ccm walio we gi hawana hofu ya mungu kwa kuzingatia aliyoyasema Baba wa Taifa.
@oss6689
@oss6689 Месяц назад
CCM yake ilikua #1 Bada yake kumekuja CCM kabambe kuliko yake haijui hata kuendesha Uwanja 😢wake😢Kiya Kilimanjaroo airport 😢😢😢 Masikini baba wetu wataifa . CCM yako hayo ndio mabadiliko yao yanadhihirisha kwenye Ripoti ya Mkaguzi waserekali...😢😂😂
@emmamateso7306
@emmamateso7306 Год назад
Uyu nyelele alikua nimutu wapekee sasana
@gervasrobert7766
@gervasrobert7766 Год назад
Bora urudi tu Baba inchi imeuzwa
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 Год назад
Nyerere na Aristotle wanatofautiana kwenye utumwa tu. Lakini, Hatuna wasomi wanaenzi mawazo ya Nyerere sawa na wanavyotunza ya Aristotle. Siku Nyerere akipewa heshima yake kama Mwanafalsafa, Tanzania itaongoza umoja wa afrika mashariki (political federation) na kisha ya afrika nzima.
@nyakubusakabazi2689
@nyakubusakabazi2689 11 месяцев назад
Yani basi tu
@nyakubusakabazi2689
@nyakubusakabazi2689 11 месяцев назад
Ulitakiwa kuwepo mpaka sasa
@juliusmollel5822
@juliusmollel5822 Год назад
Mungu amlinde
@nicholausmosha5
@nicholausmosha5 Год назад
Mungu akusamehe makosa Yako akupokee mbinguni.
@YaeLondon-xy7sh
@YaeLondon-xy7sh 10 месяцев назад
Babu baraka za Mungu zilikuwa nawe na
@MussaAmri-ps4oy
@MussaAmri-ps4oy 3 месяца назад
Eee mungu ibaliki Tanzania ayangu nawatuwake
@user-cz7bd9tc5k
@user-cz7bd9tc5k Месяц назад
Uli ongoza vizuri sana lakini ume Tuachia katiba mbovu sana
@zariadunia6328
@zariadunia6328 Год назад
Baba yetu huyo uliyempigia debe hakiyajai hayo uliyosema alijenga mahotel ughaibuni na hata kusahau kwao Ntwara
@wilsonchishomi1083
@wilsonchishomi1083 Год назад
Yaani lilikuwa ni bomu… yaani alituuza kabisa
@innocentntabala6329
@innocentntabala6329 Год назад
Hakika baba wa Taifa, uliyosema yanatendeka. RIP baba.
@ernestshuma1489
@ernestshuma1489 Год назад
ungekuja ungeona upuuzi wanaofanya na kwa ninavyokujua we we unavyochukia upuuzi apo ungekata ata shingo ya mtu
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 10 месяцев назад
Main point of late julias kambarege Nyerere during his life time speech address ccm leadership that this rooling part is not for reach people we need leader who sense challenge of poor people our farmer our nation who are poor Now this day we start talking about religious like religious is vary lptantAnt of people life if cricianity want to know number of cricianity prist will know his cricianity on the Charch if mwislim want to know number of mwislim they will know them on moskit What das it makes sense we gavment know religious number Even peaple jump on buss use troubblerizim today big country jointivencter they have unit you Africa population of 27milion you bring trublerizim jump on bus on trublerizim We need leader who will remove this elect leader who knows this Ok that was late julias kambarege Nyerere during his life time shout leader who are in leadership crush peaple who bring trublerizim or religious behavior brain capacity of late julias kambarege seen and sense Denger in fiucher to came
@mmarycalvin6395
@mmarycalvin6395 7 месяцев назад
Mwl. Akirudi leo atashangaa sanaa
@ikulunimahalipatakatifu7642
Mungu ibariki Tanzania
@Samy-zainKayumbu
@Samy-zainKayumbu Месяц назад
Kweli neema hairudii marapili😢😢
@naomyshayo9261
@naomyshayo9261 Год назад
Mungu akuuepushee namoto wajehanamu
@SijKukr
@SijKukr 25 дней назад
Nyerere
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Год назад
Point moja kubwa umeongea baba yetu mpendwa. Watanzania wanataka mabadiliko...... wakiyakosa ndani watayatafuta nje ya CCM. Tatizo hata huku nje watu tulio nao bado hawaaminiki... akili zao ni zile zile. Alikuja baba JPM akapinga rushwa kwa nguvu zake cha ajabu hao wa huko nje hawajaliona hilo hadi leo wakati sisi wananchi tunajionea kwa dhahiri kabisa.... sasa tutawaamini vipi? Tunaona ni wale wale tu. Labda kije chama kipya kabisa kimegeke kutoka ndani ya CCM cha watu waaadilifu sababu wapo.
@asungwilemwaifunga1285
@asungwilemwaifunga1285 Год назад
Siyo lazima CCM imeguke. Watu wengine, watanzania waikatae CCM waje na mtazamo mpya tofauti na wana CCM
@emmamc9113
@emmamc9113 2 года назад
Asee kweli mwalim mungu akulinde utabaki kuwa baba wa taifa Bado tyupo msalimie mjomba JPM denger ist Africa
@jotusjohn6970
@jotusjohn6970 Год назад
Ivi serikali iliyoko madalakani hawajui haya wanadiki na makodi Kodi kila Kona ,vyanzo vya mapato nchini mbona ni vingi amjui mnatuumiza
@godfreyjulius5132
@godfreyjulius5132 Год назад
UTAISHI MIOYONI MWA WATANZANIA DAIMA, PUMZIKA KWA AMANI MZEE WETU.
@angelomfilinge8662
@angelomfilinge8662 7 месяцев назад
his philosophy will exist forever
@widonphilipo5866
@widonphilipo5866 Год назад
Batsman mungu akurudishe
@EliasmwegoEliaselias-rq4ey
@EliasmwegoEliaselias-rq4ey 9 месяцев назад
Ulitutoa mbali utakumbukwa daima kizaz na kizaz.
@thomasnkaina9070
@thomasnkaina9070 Год назад
Rusha imekuwa ugonjwa ambao ni sawa na ukoma ,Tatizo, tena sasa linaonekana kua kero kwa jamii haki inanunuliwa hasa wakati wa uchaguzi unafanyika sasa wa chama
@LucasSalimLiamaLiama-vq7qh
@LucasSalimLiamaLiama-vq7qh 3 месяца назад
Tulimpata Magufuli ila manyang'au wamemuuwa kwa manufaa yao
@jamessindan2475
@jamessindan2475 Год назад
Mwalim Tanzania uriotuachia imearibika sio ile
@shukurually5439
@shukurually5439 Год назад
Hakika Mungu ampumzishe j.k nyerere madhara pema
@stephenf.sikolia7588
@stephenf.sikolia7588 6 месяцев назад
Amen
@user-cz7bd9tc5k
@user-cz7bd9tc5k Месяц назад
Mwandishi Huyu Vipi?
@user-rs2rb6we2n
@user-rs2rb6we2n 7 месяцев назад
VIONGOZI WOTE WA SERIKALI MTAZAME HII KITU KILA SIKU ✍️ MNAJISAHAU SANA📌📌 1:08
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Год назад
Tatizo linaonekana hao hao wapiga kura wenyewe wengi wao ndio wala rushwa wakubwa sasa watamchagua vipi mtu atakayeenda kinyume nao? Hiyo itakuwa ngumu sana baba labda kama angekuwepo mwenyewe
@Kimware-kb1yb
@Kimware-kb1yb 2 месяца назад
Nina
@ommyd5081
@ommyd5081 8 месяцев назад
Rip ❤you
@KingsPambakali
@KingsPambakali 4 месяца назад
Loan
@moshiphoneclinic6070
@moshiphoneclinic6070 11 месяцев назад
Ok mzee pumzika
@richardboaz-mashagospel2346
**Rushwa, Umasikini (hivi kweli viongozi wa sasa wamebeba mioyo ya hawa wazee?, Udini (mawazo ya kipumbavu), na Ukabila**
@user-qr5jf6ir9i
@user-qr5jf6ir9i 7 месяцев назад
Tunakukumbuka baba wa taifa
@Michael_Msanzya
@Michael_Msanzya 5 месяцев назад
Maneno yanayo Ishi
@daudmnanga7075
@daudmnanga7075 11 месяцев назад
Tutamuezi sana
@imeldamsigala3783
@imeldamsigala3783 Год назад
mtoto waajabu
@JeanNdayihimbaze
@JeanNdayihimbaze 3 месяца назад
❤❤❤
Далее
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
When I met the most famous Cristiano
01:03
Просмотров 28 млн
Julius Nyerere Interview (1996)
15:39
Просмотров 122 тыс.
HOTUBA YA J K NYERERE MBEYA MWAKA 1969
49:55
Просмотров 245 тыс.
Developmentalism & Welfarism - Dr Julius Nyerere
1:47
Просмотров 2,4 тыс.
When I met the most famous Cristiano
01:03
Просмотров 28 млн