Me nimtanzania napenda kilicho changu nafatilia san hii move mnajitahid san ila msipend kukalil manen nawaombea kwa Alah awape ubunifu mwingi bongo move izid kufika mbal nawapend
Waomba like kazi mnayo Badala kuangalia ili utoe commenti yako wapi amekosea au kusifia kazi yake Wewe unakimbilia kuomba like Basi nawewe ata unge like kazi yake kama umeshindwa kusifia kazi yake Yani kabra kazi aikawekwa sawa tayari umeshaomba like Wasanii wanaitaji ushauri wako ili ajue alipo kosea alekebishe na alipo fanya vizuri aongeze
Mimi narudia Tena leo Stephan Azizi KII Alisha SainiYANGA African tangu tarehe 16 ya mwezi Wa sita na AWEZI kukataa kucheza champion ligi kujitangaza ZAIDI alafu akacheze SHIRIKISHO iyo ni kujishusha brand Awakatae Azam matajiri WA Chamazi ambao ni nafasi ya pili alafu aende simba nafasi ya tatu KWELI jamani?
Hongera sana Babajoan hujawahi kukosea mimi naona ndio shabiki ako no 1 Hii ni fire 🔥🔥 naona umeamua kututoa machozi daahh unaweza sana BABAJOAN Mungu akuongoze vyema