Babutale napenda vile unaongealea wasanii waliotoka wasafi, huna kinyongo hats, that is a sign of maturity and a good leader, soft spoken person, keep up the good work muheshimiwa all the way from kenya
Kwa kweli Africa haswa hizi nchi zetu East Africa tunahitaji zaidi Uelewa kuhusu Mambo ya mikataba wengi ni kelele Tu ooh kaonewa ooh kanyanyaswa daah 😂😂😂
Uko sahihi, niko ulaya mzungu kila issue ya pesa wanataka 80% rafiki yangu aliondoka akasema yeye ni maskini jeuri hawezi, mie nikapigakazi nikaongeza shift mbili nimekuwa mtumwa kwa miaka miwili ila sasa nina office yangu account zinasoma vizuri, sasa Leo jamaa yangu aliyekuwa maskini jeuri nikija Tanzania nampa elfu 30 ya kula hali ngumu, jamani tuheshimu mabosi tutafika mbali
babu tale ni moja ya majambazi kwa inchi inayo chipukia kama tz nimajizi mnaua kipaji cha richi mavoko mnakataza media zisipigwe ngoma zake mnadiriki haa
Hahahah mzeee Kamaliza hahaha Katoa Code zote Hahhaa Google Ads Ukiweka Dola 3000 tu Basi Kila Kitu kina panda Hahaha Kim Mashavu anasema anamarobot hahaha
Kwann apo ndooo ujue jeshiiiiiii sio mtu mzulii wivuuu ndo tatizo lenuuu mulijua mondi ata kua mungu aina iyooo kulaaa chumaiyo watu wap mtwra kila mtu kondekonde way kondeeee
@@fabianiemmanuel6630 Ukweli ni kwamba huwezi kuwekeza pesa nyingi halafu uchukue kidogo ya ulichowekeza. "Wewe inakuingia akilini unanunua embe 200k halafu uuze 200k h Iyo hiyo bila faida? Au uuze 100k?" Mimi kusema ni mwongo sijamaanisha hawajawekeza ninachomaanisha hawezi kuwekeza kwa msanii pesa nyingi halafu waziache tu zipotee eti wanachukua kidogo tu. Au nyie hamjamsikiliza vizuri BABUTALE alichojibu? Kuchukua pesa kwa msanii uliyeekeza nguvu kubwa kwake sio dhambi kwa sababu tayari umemfanya kuwa wa "Thamani" kuliko alivyokuwa mwanzo.
@@safariadrien5348 rejea comment yangu tafakari kwanza nahisi hujaelewa maana yangu umeenda moja kwa moja kwenye mihemuko yako "hisia siku zote haikupi uwelewa sahihi wa jambo Ila tafakari ndio msingi pekee unaoweza kukupa kuelewa jambo" TAFAKARI KWANZA..........
500 million tz Kenya ni 30 M , nikipata hizo nishafunga mchezo , thats alot of money, pesa nzuri sana , nikishika hizo sai huku wataniita illuminati 😅😅