Тёмный

Babuu Wakitaa Afunguka Alivyonusurika na Kansa | Mikiki Aliyopitia Tangu Yupo Hoi Mpaka Sasa 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 50 тыс.
50% 1

Full Interview ya Babuu Wakitaa kwenye leo Tena, asimulia mikiki aliyopitia akipambana na kansa

Развлечения

Опубликовано:

 

26 сен 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 106   
@digitalworld5577
@digitalworld5577 9 месяцев назад
Babuu is a very good story teller. Congrats for being positive….
@Auntieminah
@Auntieminah 9 месяцев назад
This has to go Viral… Babuu ana kitu soo special, kinatia sana moyo! I pray ufikie cancer free zone!
@kelvinsichone2359
@kelvinsichone2359 9 месяцев назад
Nimependa sana positive energy ya Babuu wa kitaa hasa kwenye kuupokea ugonjwa na kukubaliana na hali aliyonayo. Ametufundisha kitu hapo kwenye kuupokea ugonjwa wowote ule.
@MargrethNdone
@MargrethNdone 9 месяцев назад
Mungu Ambariki sana dr Ruta mama angu alikuwa akimpenda sana huyu dr kipind tunamuuguza hapo ocean raod😢..Mungu aendelee kukupa afya Babuu
@adeboTNM
@adeboTNM 7 месяцев назад
Babu Wa Kitaa one of my best Rappers toka Tzee. Salute!!
@abeldavid845
@abeldavid845 9 месяцев назад
Natamani hii ingesikiwa na jamii kubwa, kuongeza ufahamu juu ya ugonjwa huu... Glory to God
@gloriamwanjali9371
@gloriamwanjali9371 9 месяцев назад
Bi zena hongera sana
@vincej9275
@vincej9275 9 месяцев назад
Thanks to God for your healing. You are very positive.
@carlosleonard6050
@carlosleonard6050 9 месяцев назад
Nashangaa watu wote kwenye comment as if hamjamwona mwijaku...alivotulia ka maji ya mtungini....haya nipeni likes
@attunelson8828
@attunelson8828 9 месяцев назад
Yaani pole sana na hongera maana huo ni ushindi.Barikiwa kwa ujasiri wa kuwatia moyo wengine
@RahmaAwadh-ul9yu
@RahmaAwadh-ul9yu 9 месяцев назад
Pole sana na hongera sanaaaaa kwa Dr kwa kazi kubwa aliyoifanya na moyo wa ujasiri aliokupa Mungu mkubwa
@sidiqmhina7823
@sidiqmhina7823 8 месяцев назад
kaizer sosa mitaani tunakuita BABUU WA KITAA , JAHBLESS YOU MAN
@bobcheni
@bobcheni 9 месяцев назад
Duu mungu wangu kuna Ali najisikia sijui mungu mwenyewe ndo anajua
@sidiqmhina7823
@sidiqmhina7823 9 месяцев назад
Pole mwnangu wa kitaa, na hongera kwa kupambana na kuja na hii movement
@mathiasswai7006
@mathiasswai7006 9 месяцев назад
Chukua mau yako,🎉🎉 kaka, God bless more health,,,unatia moyo sana,
@georgecredo9100
@georgecredo9100 9 месяцев назад
My brother pole sana
@Snuky54
@Snuky54 9 месяцев назад
Masha Allah mwenyewe anavyoelezea unaweza cheka kama mazur lkn yote iman anayo ameridhia Alhamdulillah allah atutie nguvu wagonjwa wote
@yusrasalum
@yusrasalum 9 месяцев назад
Amin
@lilianilimbe4508
@lilianilimbe4508 9 месяцев назад
Polee sanaaa
@rosehaule6765
@rosehaule6765 9 месяцев назад
God.is.good big up dear bro ww.ni.mshindi umeshindaa na umeponaa❤ polee.sana jamani nimekupenda.sana umeponya wengi kwa.shuhuda yko.hukunhupo.kwenye furaha
@AminaMwingira-jh7ze
@AminaMwingira-jh7ze 9 месяцев назад
Duu pole kaka cku ya Leo nimekaa natafakari mungu azidi kukupa nguvu inshaallah
@BakariMtomae
@BakariMtomae 9 месяцев назад
Aiseeeh pole sana kak
@ancolartherapper1899
@ancolartherapper1899 9 месяцев назад
Bablai kinyamwezi sana sema sir god ni mwema siku zote
@KADALAtv255
@KADALAtv255 9 месяцев назад
Exactly, Mimi pia nimepona aisee wauguzi na ndugu baadhi yao wanakukatisha tamaa kwamba cansa hawaponi. Weee mimi pia nilipata mizunguko sita ya Chemotherapy na mionzi mara moja. Jamii wanatakiwa kupata Elimu juu ya uginjwa huu na matibabu yake.♥️♥️♥️
@aisharamadhan5257
@aisharamadhan5257 9 месяцев назад
Mashaallah na pole kwa kuumwa garama nikakuaga kubwa naomba kufahamu ndugu yangu
@KADALAtv255
@KADALAtv255 9 месяцев назад
@@aisharamadhan5257 Gharama ni kubwa asikudanganye mtu, ingawa serikalininasema matibabu ni bure but ni pesa labda mionzi sasa foleni yake mpaka ukaingie utasota
@KADALAtv255
@KADALAtv255 9 месяцев назад
@@aisharamadhan5257 Foleni ni kubwa mno wagonjwa ni wengi mno
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 9 месяцев назад
Acha kulaumu wauguzi
@omaryrashidiboga4651
@omaryrashidiboga4651 9 месяцев назад
Duh pole sn Mwana wa hip hop
@mitaahisia8452
@mitaahisia8452 9 месяцев назад
kaizer sosar.....nakubal sana bro
@veronicapaul4821
@veronicapaul4821 9 месяцев назад
God is good
@leaherasto929
@leaherasto929 9 месяцев назад
Pole kwachangamoto ulizopitia Mungu nimwema ata sasa yeye niEbenezer
@brightonmasaki1183
@brightonmasaki1183 9 месяцев назад
Pole brother
@asyajey3479
@asyajey3479 9 месяцев назад
Pole sana babu
@mbeyusaid4688
@mbeyusaid4688 9 месяцев назад
Pole Allah ndo mweza wa yote
@AshuraNgoto
@AshuraNgoto 9 месяцев назад
Pole sana
@JuliusMchopa-pr5pt
@JuliusMchopa-pr5pt 9 месяцев назад
Daah bonge la insperation ila hongera kwa kukubali hali yako mpka amepona ila ni huzuni nilimpoteza mama kwa kansa🥲🥲
@ayubukedimundi3221
@ayubukedimundi3221 9 месяцев назад
Brother ni shujaaaa Sana kweli kabisa yaaaaani
@lulumbwaga9822
@lulumbwaga9822 9 месяцев назад
Champion
@chiwagaempire1211
@chiwagaempire1211 9 месяцев назад
Mungu akutunze
@hariethmatungwa9293
@hariethmatungwa9293 9 месяцев назад
Duu bigup
@GladnessJames-mk9yh
@GladnessJames-mk9yh 9 месяцев назад
Daah ushuhuda mzuri sana
@Noahkilima24sep
@Noahkilima24sep 9 месяцев назад
Doctor ruta
@cptnbazil6121
@cptnbazil6121 9 месяцев назад
Killer na lunya wanakubali una moyo safy bro
@user-nq4md3sj6d
@user-nq4md3sj6d 9 месяцев назад
Babuu wa Kitaa 🫶
@joshuakinabo6861
@joshuakinabo6861 9 месяцев назад
Kumbe country boy na Babu ni nduguuu
@malengaWetuTv2699
@malengaWetuTv2699 9 месяцев назад
Mwenyezi Mungu atunusuru 😢😢
@carlosleonard6050
@carlosleonard6050 9 месяцев назад
Dak ya 17-18.....mwijaku hapo
@giztony2009
@giztony2009 9 месяцев назад
Nawagea hype wenzangu@ Babu wa Kitaa
@Ramboyclassic69
@Ramboyclassic69 9 месяцев назад
Nataman ujumbe huu ungmfikia baba yngu may be angepona 😔😔
@KalenjeMasoud-vg3om
@KalenjeMasoud-vg3om 9 месяцев назад
Pole sana
@ayubukedimundi3221
@ayubukedimundi3221 9 месяцев назад
Pole Sana ndugu
@user-nq4md3sj6d
@user-nq4md3sj6d 9 месяцев назад
pole sana.. Allah atamjalia atapoa inshaallah
@Darian2550
@Darian2550 9 месяцев назад
Pole sana!
@saeedmassoud256
@saeedmassoud256 9 месяцев назад
Pole sana unaweza kumtumia link itamfikia na ataiyona inshallah 🙏
@user-td3ss6nk2d
@user-td3ss6nk2d 9 месяцев назад
😂😂😂😂 hivi mmemuona Jose mara anavyomtazama babuu😂😂😂😂😂.....
@dannylema3125
@dannylema3125 9 месяцев назад
Sababu ya Kansas ya Ngozi Ni ipi wandugu au inatokea tuu!?
@kijakazinyalinga7003
@kijakazinyalinga7003 9 месяцев назад
Naogopa mimi😢
@eliasurious7419
@eliasurious7419 9 месяцев назад
Asee babuu, Mungu azidi kukuimarisha
@emmamatemu8225
@emmamatemu8225 9 месяцев назад
Kuna siku nilikuwa pale nyuma ya shopers mikocheni, dada mmoja akawa anasema nimetoka kumcheck Babuu ila matumaini hamna tena.
@mtaostephen3660
@mtaostephen3660 9 месяцев назад
Dah Ila kwa uwezo wa mungu,mwamba huyu hapa Tena
@bobcheni
@bobcheni 9 месяцев назад
Duu mwangu sjui nismeje kna Ali najiona mhhh
@bainolatino3412
@bainolatino3412 9 месяцев назад
Babuu ndomana mpaka leo ukabaki kwene game japo wengi walipotea uloanza nao kwene game because we ni mjanja na akili ya kuzaliwa uko nayo
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 9 месяцев назад
Mwijaku kakaa mbali😅😅😅😅mtoto wa mjini amekalia kiti
@sarahmurano2829
@sarahmurano2829 9 месяцев назад
Pole san
@ibrahimbaila7764
@ibrahimbaila7764 9 месяцев назад
Mimi soon ntatoa pesa ya watu 15-10 watibiwe . Apo Ocean road
@Trappqueen970
@Trappqueen970 9 месяцев назад
anza n mim jmn nkupe no ykupokea pesa
@luizabahati5198
@luizabahati5198 9 месяцев назад
Inshallah
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 9 месяцев назад
Huu ugonjwa ninavyo uogopa😢. Ila kwa ushuhuda huu, nawaombea wagonjwa wapone insha Allah
@eveliynejoseph7944
@eveliynejoseph7944 9 месяцев назад
Acha tu yaan naogopa kuliko Ukimwi Mungu anisamehe kwa kweli
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 9 месяцев назад
@@eveliynejoseph7944 mi sasa hivi nimiumwa mwili nawaza isije kuwa ndiyo Kansa, Mwenyezi Mungu tuepushe na gonjwa hili
@abdallahahmed2776
@abdallahahmed2776 9 месяцев назад
Mbona mwijaku hana raha😂😂😂
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 9 месяцев назад
Husna anavyojifantaga anajua kuhoji leo kashindwa kabisaa kuuliza maswali ya msingi😢
@internationaltiktok4477
@internationaltiktok4477 9 месяцев назад
Naitaji namba za huyo doctor
@tanzaniaprogress
@tanzaniaprogress 8 месяцев назад
Kansa ya ngozi afu uvimbe utokee ndani ya mbavu, dah! Hii sio kamba hii? Bado Hajasema Mpaka aseme ni kansa gani iliyokuwa inamsumbua.
@jamesmwangonda7080
@jamesmwangonda7080 9 месяцев назад
mlipaswa kuuliza maswali ya msingi nini chanzo ya hiyo kansa alivyoambiwa na madaktari na nini kinatakiwa kufanyika kuepukana na aina hiyo ya kansa.
@jrm9448
@jrm9448 9 месяцев назад
Bongo kuwa wana udaku tu hakuna waandishi wa habari.
@user-ip4ie7pt6i
@user-ip4ie7pt6i 9 месяцев назад
Hakuna binaadam anae kumbuka kila kitu
@robertadrian2559
@robertadrian2559 9 месяцев назад
Acha ujuaji
@justyoscar2987
@justyoscar2987 9 месяцев назад
@@jrm9448mbona ameeleza doctor inawezekana ukarithi au kutumia vilev na sigara… halaf babuu akasema yy vyote inawezekana kwa sabab baba yake amekufa kwa canser na pia inawezekana ikawa ni pombe au sigara kwa sabab alikua anatumia!
@amandomwamanda9000
@amandomwamanda9000 9 месяцев назад
Jifunze kuwa msikivu mpaka mwisho.
@godwinmwakibibi274
@godwinmwakibibi274 9 месяцев назад
Mjanja huyuu
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 9 месяцев назад
Allah azidi kukupa shifaa mm nipohoi hapa nawaza siwaziikuambiwa huwo ungonjwa maana dalilinyingi ninazo Allah tu aamue kuninusuru. Mawazoyanakuja kwenye pesa nitaanzakujitibu vipi kamapesa sina mm ndiye mama na ndiye baba wa familia. Napambana na familia ilitupate liziki sasa nilikaachini inakuaje hapo 😭😭😭yarabi nipeshifaa kwa hurumawako🤲😭😭 Sijui nikaetu mpakasikuyamwisho sijuinifanyenini watotowangu wataishivipi yaninachanganyikiwa kwa mawazo
@ireneinnocent4128
@ireneinnocent4128 9 месяцев назад
Nenda kajicheki TU. Mungu atafungua njia yake usiwaze sana utazidi kuumia. Pia usisahau kuomba kwa Imani yako. Mume wangu alifanyiwa operation mara nne na sasa hana kansa kabisa. Usiogope❤
@rogath_silayo
@rogath_silayo 9 месяцев назад
Anza water fasting, funga siku tatu au tano mfululizo kwa kunywa maji tu kila baada mwezi Alafu uendelee kula Ila punguza wanga na sukari, pendelea kula protein kwa wingi ndio utakaa mda mrefu bila kula....seli za kansa zinapenda sukari...ratiba yako ya kula iwe 16:8 au 18:6, yaani unashinda njaa masaa 16 au 18 Ila unaweza kunywa maji tu Alafu unakula ndani ya masaa nane au sita Milo miwili au mmoja tu. Ingependeza Kama ungeweza kula protein pekee Alafu ule mara moja kwa siku kilichobaki unakunywa maji kwa miezi sita mpaka mwaka Ila usisahau kufunga siku tatu au tano mfululizo kila mwezi kwa kunywa maji pekee!!!! Baada ya miezi sita kapime afya.
@mwajabuyusuph3945
@mwajabuyusuph3945 9 месяцев назад
​@@rogath_silayo habari
@mwajabuyusuph3945
@mwajabuyusuph3945 9 месяцев назад
Habari. Nakupataje kwa maelezo zaidi. Nauguliwa na mama yangu
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 9 месяцев назад
@@ireneinnocent4128 Allhamdulillah. Amepona Mungu mwema Asante kwaushauli wako Mungu akulipe heri
@nelsonmasolwa8343
@nelsonmasolwa8343 9 месяцев назад
mwamba anaongea san asee
@FarajiAbdallah-pq1dc
@FarajiAbdallah-pq1dc 8 месяцев назад
Mnazingua mtu anaongea mnaeka sauti ya mziki kumbwa
@franciskyombo9394
@franciskyombo9394 9 месяцев назад
Nilikuwaga nacheza goma lako kimbia fasita wewe na langa na mchiz mox.
@jrm9448
@jrm9448 9 месяцев назад
Ujasiri wa Babu wa Kitaa katika kupambana na kuhamasisha kuhusu kuikabili kansa ni wa kipekee. Mungu azidi kumpa nguvu na uzima. Baada ya kuugua kwake heshima yangu kwake imekuwa kubwa mno. Ameonyesha ujasiri ambao ni wa kipekee. Mungu azidi kumsimamia.
@AshuraNgoto
@AshuraNgoto 9 месяцев назад
Pole sana
@user-jv1tk2vz8m
@user-jv1tk2vz8m 9 месяцев назад
Mm ndugu yangu anatatizo ya Kansa ini anaweza kumsaidia
Далее
LIVE: Power Breakfast Na Dr. Slaa
Просмотров 214
Վարդավառը Գյումրիում
00:15
Просмотров 141 тыс.
⚡️Uylanishim kerak, sovchilikka borasizmi?...😅
00:50
FAHAMU DALILI ZA SARATANI YA DAMU
11:45
Просмотров 6 тыс.
Оцените переход от 0 до 10🤣
0:14
мы в телеге - hahalivars
0:52
Просмотров 4,2 млн