Nimependa sana positive energy ya Babuu wa kitaa hasa kwenye kuupokea ugonjwa na kukubaliana na hali aliyonayo. Ametufundisha kitu hapo kwenye kuupokea ugonjwa wowote ule.
God.is.good big up dear bro ww.ni.mshindi umeshindaa na umeponaa❤ polee.sana jamani nimekupenda.sana umeponya wengi kwa.shuhuda yko.hukunhupo.kwenye furaha
Exactly, Mimi pia nimepona aisee wauguzi na ndugu baadhi yao wanakukatisha tamaa kwamba cansa hawaponi. Weee mimi pia nilipata mizunguko sita ya Chemotherapy na mionzi mara moja. Jamii wanatakiwa kupata Elimu juu ya uginjwa huu na matibabu yake.♥️♥️♥️
@@aisharamadhan5257 Gharama ni kubwa asikudanganye mtu, ingawa serikalininasema matibabu ni bure but ni pesa labda mionzi sasa foleni yake mpaka ukaingie utasota
@@jrm9448mbona ameeleza doctor inawezekana ukarithi au kutumia vilev na sigara… halaf babuu akasema yy vyote inawezekana kwa sabab baba yake amekufa kwa canser na pia inawezekana ikawa ni pombe au sigara kwa sabab alikua anatumia!
Allah azidi kukupa shifaa mm nipohoi hapa nawaza siwaziikuambiwa huwo ungonjwa maana dalilinyingi ninazo Allah tu aamue kuninusuru. Mawazoyanakuja kwenye pesa nitaanzakujitibu vipi kamapesa sina mm ndiye mama na ndiye baba wa familia. Napambana na familia ilitupate liziki sasa nilikaachini inakuaje hapo 😭😭😭yarabi nipeshifaa kwa hurumawako🤲😭😭 Sijui nikaetu mpakasikuyamwisho sijuinifanyenini watotowangu wataishivipi yaninachanganyikiwa kwa mawazo
Nenda kajicheki TU. Mungu atafungua njia yake usiwaze sana utazidi kuumia. Pia usisahau kuomba kwa Imani yako. Mume wangu alifanyiwa operation mara nne na sasa hana kansa kabisa. Usiogope❤
Anza water fasting, funga siku tatu au tano mfululizo kwa kunywa maji tu kila baada mwezi Alafu uendelee kula Ila punguza wanga na sukari, pendelea kula protein kwa wingi ndio utakaa mda mrefu bila kula....seli za kansa zinapenda sukari...ratiba yako ya kula iwe 16:8 au 18:6, yaani unashinda njaa masaa 16 au 18 Ila unaweza kunywa maji tu Alafu unakula ndani ya masaa nane au sita Milo miwili au mmoja tu. Ingependeza Kama ungeweza kula protein pekee Alafu ule mara moja kwa siku kilichobaki unakunywa maji kwa miezi sita mpaka mwaka Ila usisahau kufunga siku tatu au tano mfululizo kila mwezi kwa kunywa maji pekee!!!! Baada ya miezi sita kapime afya.
Ujasiri wa Babu wa Kitaa katika kupambana na kuhamasisha kuhusu kuikabili kansa ni wa kipekee. Mungu azidi kumpa nguvu na uzima. Baada ya kuugua kwake heshima yangu kwake imekuwa kubwa mno. Ameonyesha ujasiri ambao ni wa kipekee. Mungu azidi kumsimamia.