Majani anashangilia mwanae anatumiwa na kuzalishwa bila hata uchumba wala ndoa ujinga tu hakuna chochote zaidi ya aibu tu hapo duuu fedha kweli ni fedheha.
Ye kazalisha wangapi??? Sifurahii zinaa ila ndoa majaliwa,,usijione umefanikisha sana kuwa kwanye ndoa bali jiombee na uwaombee wengine kila mmoja anataka jambo zuri kwake
Kuolewa ndio Nini? Kuna watu wamefunga ndoa Tena za garama lkn wako wapi? Muhim wanaishi pamoja kwa upendo na uaminifu na wazaz wamelidhia, mungu anaweza akawaweka milele,kulikon walii funga ndoa
YANI MAPAMBO YANAELEZA JAMANI KWANINI WATANZANIA NI WASHAMBA? ULIWAHI ONA WAPI KWENYE KUTAJA JINSIA YA MTOTO MAPAMBO YANAKUWA PINK AU BLUE?😅😅😅😅😅NI BORA KUWEKA BLUE NA PINK KWA PAMOJA ....
Vizazi vya zinaaa vinazidi kuenea kila siku tutapata wapi baraka sisi baada ya kuzaa watoto mashetani nmajini na mabilisi katka ardhi alafu ss ni wajinga tunashangiria uchafu, loooo, po
Ko waislam ndo munaojua kujistil ebu unaesema ety unajivunia kuwa muislamu ach ujinga Kila din inajistil nyie mna mwezi wenu wa kuwa watakatifu ukiisha tu mnatuvalia ovyo Kam unaijua din San msingekuwa mnavaa uchi na nyie