Wasio elewa Mpina hajaleta hii kesi kutetea familia yake. Wengi hawaelewi wizi wa hawa watu Bashe na group lake. Mpina ni Musomi. Utamuelewa tu kama na wewe Una elimu ya kutosha. Tunajuwa Tanzania elimu yetu iko chini sana. Wengi hatuelewi. Ndiyo maana chochote tukifanyiwa na serikali tuko kimya. Ndiyo maana viongozi wetu wanasema Tanzania ni nchi ya amani. Amani iko wapi kama kuna uonevu wa wengi na ufisadi kupamba moto.
Tanzania bado tuko nyuma sana kwa uelewo. Viongozi wetu wanafanya wanavyotaka na tunatakiwa tukae kimya ili tuchunge amani. Amani gani bila haki? Ufisadi kila kona. Wengi wanaofanya ufisadi huu ndiyo wasifiaji wakubwa wa Rais kumuziba macho na masikio ili waendelee kuwaibia walio wengi. Mwenye kuelewa na kutetea walio wengi, wanaleta chuki, Mpina yuko Sawa kabisa kutetea Mali za watanzania masikini. Tanzania ni ya watanzania wote
Hii kesi ni mutihani mkubwa kwa serikali. Tanzania ni tajiri, kama serikali Ingęchunga kikamilifu mali za watanzania, na Kuwaadhibu wapigaji wa fedha za wananchi, kila mtanzania angekuwa na hali ya kuridhisha. Kuna watanzania wanaishi maisha mabaya sana kushinda Sudani Kałamoja wakati wa vita. Na kuna watanzania wanaishi maisha ya kufuru kwa pesa walizo waibia wengi. Pesa hizo zimęwafanya wawe juu ya sheria. Tanzania ya Mwalimu Nyerere ya watu wote Sawa si Tanzania ya leo. Tanzania ya leo ni ya mapepari wachache waliojitajirisha bila ya kuwa na viwanda. Mungu tusaidie hatujuwi nchi inaelekea wapi. Bunge limeshindwa kutusaidia. Wabunge wetu duni kwa woga. Tunategemea MAHAKAMA. EH MUNGU TUSAIDIE.
@@alimuse6980 Wewe nguruwe hujielewi. Sichukii utajiri wa haki. Wengi wanatajirika kwa kuwaibia watanzania wanyonge. Tukiwafanyia audit utajiri wawo utasambaratika, ni wizi mtupu. SUKARI BILA KODI. Nitamufuata Nyerere wakati ukifika. Wewe na Bashe mutaishi milele.
Petro Makala Mpina atapita bila ya kupingwa. Pengine wahuni ndani ya CCM wamuzime. Ndiyo maana tunataka katiba watu waweze kusimama kwenye uchaguzi bila ya wahuni kingilia.Kwasababu wahuni wamekiteka chama
Mpina unazingua...hili la sukari achana nalo...unatetea matajiri wa viwanda vya sukari badala ya watumiaji wa sukari ambao ni wengi zaidi na ni walala hoi...bei ya sukari hao wenye viwanda hua zinafika hadi 6000...wewe mpina ndio unataka watanzania tununue sukari bei hizo??maslahi ya nani?
maduidshabani; Kwa nini aachane nalo? Sikulaumu pengine uelewo wako kwa hili jambo uko chini sana. Bila ya wabunge kama Mpina, kutetea haki, Tanzania itaelekea Pabaya. Kama huelewi please muache Mpina atetee watanzania.
@elimu6980 - UELEO wako ni mudogo sana. Mpina hakuleta hii kesi kutetea familia yake. Ni mbunge anatetea watanzania wanyonge. Je wewe ni mmoja wa wapigaji wa sukari?