Mnyamwezi toka unyanyembe kaza blood sio rahisi kukanyaga kwenye viunga vya Yanga kwa sasa ukiona umepigiwa simu na Engenier kwa ajili ya kazi ujue unajua🙌🙌🙌🙌
Hata man u,madrid,liverpool barca na nyinginezo hupata shida na mchezaji wa kigeni kilugha! Au unafikiri kila mzungu anaongea kizungu!! Language barrier ni kitu cha kawaida! Makocha na wachezaji huwa pia ni shida! Ts common!