Тёмный

BELLA AFANYA MAAMUZI MAGUMU 

BongoStarSearch
Подписаться 410 тыс.
Просмотров 454 тыс.
50% 1

Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 11 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch

Развлечения

Опубликовано:

 

28 ноя 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 328   
@joelmwanje2008
@joelmwanje2008 3 года назад
Hao wote wazur sema uyo dogo wa njano ukifumba macho ukamsikiliza 😁👍 na ana kipaji kingine cha kukalili pia 🔥
@rabangidion660
@rabangidion660 2 года назад
Kwel kabisaaaaaaaaa
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 2 года назад
Sn jamaa mkali sn
@uwimanauwimana7692
@uwimanauwimana7692 3 года назад
huyu kayimba ki congo. ana juwa ku yimba sio rahisi mtanzania kuyimba lingala. ayimbe vizur la huyo anapita kabisa na mkubali sana 👌🏽👌🏽💪🏾🙏🏾🇧🇮
@neemazee1864
@neemazee1864 2 года назад
Etiii kayimba😂😂😂😂😂😂😂
@nyembomajid1262
@nyembomajid1262 Год назад
ndio huyo jamaa Iko swa bila unafki bila ubaguzi bila kupe ndelea bila uonevu kuimba ki congo Kwa mtanzania sio jambo raisi hata daimond hawezi kuimba hivo huyo kijana hata kama hakupata ushindi bado yeye ni mwamba wa bss, hata wasani wote wakitanzania kuimba hivo hawawezi
@franknkya3947
@franknkya3947 3 года назад
Three things; 1. Judges punguzeni midadi na kelele, 2. kuwe na muda maalum ambao contestant atatumia ku perform bila kuingiliwa na Judge 3. Judges wapewe Elimu ya kutosha kuhusu rules sio kufundishana on set.
@danielmarcochal4611
@danielmarcochal4611 3 года назад
Mwenye black so blessed in this time round ya pili mwenye njano kazingua. Even Bella my broza know that.. Ukisikilza voice dakika 5 sekunde ya 20 apo... Bella analaumu... kazi hii ya lawama.. na madam Rita anamkataza usiendee.. Watanzania wameona kipaji cha yona(black) UR SO BLESSED MUCH TALENTED but judgement ENDS SAY
@Lale_music
@Lale_music 3 года назад
Asante sana kaka Daniel one love ila ndo hivyo ilibidi nikubaliane na matokeo tuuh
@iptisamfakizubeir7664
@iptisamfakizubeir7664 3 года назад
Dah inauma siku zote nikiangaliy bss huwa nachek lkn leo nusu nilie et😢😢😢
@khamoshmikidadi9262
@khamoshmikidadi9262 3 года назад
Jamaa wa njano kajiongeza kajua akiimba kikongo atapenda t bella
@samwelmombo3290
@samwelmombo3290 3 года назад
Madam Rita may God give u long everlasting life ur so kind
@roi2553
@roi2553 3 года назад
Sio vizuri mumefanya BSS kipengele hicho mumezingua
@azizamohd5728
@azizamohd5728 3 года назад
Yaani it doesn't make sense at all
@martinjohnlupoly4489
@martinjohnlupoly4489 3 года назад
Kipaji anacho
@roi2553
@roi2553 3 года назад
@@azizamohd5728 sijawahi kuona sheria ya kukurupuka kama ivyo yan imetokea ghafla tu njwaaah!!!
@peloabandelwa9099
@peloabandelwa9099 2 года назад
@@roi2553nimashindano unatengemeya Je?
@kenny5672
@kenny5672 3 года назад
Huyu mkongo mnyamaaa! Kumaamake! 😅🤣🤣🤣🤣
@agapesaligawesasaligawesa2781
@agapesaligawesasaligawesa2781 3 года назад
Yeeeeees
@mwasitiiddy7425
@mwasitiiddy7425 3 года назад
Dah iyo yakuua mbya majaj mnazingua sana
@chidistar1944
@chidistar1944 3 года назад
Ndo maana ya mashindooo mwisho wa siku mshindi ni mmojaa tuu 💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿
@GodfreyByamungu
@GodfreyByamungu 2 года назад
Jamaa wa njano yuko vizuri sana. Hata mimi ningekuwa Bella ningemchagua tu. Atuangalii kaimba style ao lugha anayotumia Bella bali alifanya vizuri kuliko mwenzake. Yeye kaimba natural ila yule kalazimisha so hakuna kosa hapo.
@pierreoriva4131
@pierreoriva4131 3 года назад
Mmh sema jamaa aliyeimba ya Sauti soul Yuko na kipaji sana
@dmnyamweziofficial2250
@dmnyamweziofficial2250 3 года назад
Kweli
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 3 года назад
Kweli kabisa
@agapesaligawesasaligawesa2781
@agapesaligawesasaligawesa2781 3 года назад
Ndio but uyo mwingine naye yuko vizuri na amelelax
@yasinimwengwa5726
@yasinimwengwa5726 3 года назад
Huyo dogo yupo vizuriiii mnoo hata kama mziki siujui lakini huyo dogo ni nomaaa
@peloofficial5610
@peloofficial5610 3 года назад
asante kwakutambuwa hukweli
@salhamrisho8138
@salhamrisho8138 3 года назад
Aliyevaa nyeusi yupo vizuri mnooh
@ibrahimbaila7764
@ibrahimbaila7764 3 года назад
Mtoto wa njano anajua . Nipeni nae nimsimamie
@koroboi
@koroboi 3 года назад
Uyo yohanaaaa mkaliiii ni star uyoooo star tayarii na nimbadi uyo kikongo kimewachanganya ana lolote BSS JAU
@busimeaminitu409
@busimeaminitu409 3 года назад
Acha ubaguzi wakabila
@koroboi
@koroboi 3 года назад
Amna man jamaa ansautii wewe
@koroboi
@koroboi 3 года назад
@@busimeaminitu409 Bella ndo kabagua
@selemanmaganga6013
@selemanmaganga6013 3 года назад
Kweli mi mwenyewe sijapenda mtu ashapita alfu mnamtoa tena hizo nitamaa kama nafasi yake ilishajaa angekaa kimya amwachie ambae bado.
@peloofficial5610
@peloofficial5610 3 года назад
@@selemanmaganga6013 tena wewe ndo ungeleta kimkonochako hapa na kuja kuwalaumu majudge heti wanahacha vipaji ufaamu haya ni mashindano cha kwanza kupita mbele sio kumanisha unamshinda wa nyuma yako kuhimba wote wanajuwa ila wanazidiana bella kafanya mahamuzi sahii wote ni watanzania
@rosekyara8220
@rosekyara8220 3 года назад
Yohana ndie anasauti ya mziki mtapoteza mtu sahihi Ila kaza moyo yohn kaanze kuimba waje ktk shooy 👍
@over_dance_tz8517
@over_dance_tz8517 3 года назад
Di voice noma bro big up
@your-future-is-your-life-007
@your-future-is-your-life-007 3 года назад
Yani uyo wa yellow uko vizuri sana kaka
@geofreyjoseph802
@geofreyjoseph802 2 года назад
Tena hatari
@neemasawe7016
@neemasawe7016 3 года назад
Hii so nzuri kabisaaa
@DayanaNelson-gv6cv
@DayanaNelson-gv6cv 5 месяцев назад
Wote wakali na wote wako na saut qali atar daaaah ❤❤❤❤
@mundelemuzuri9623
@mundelemuzuri9623 3 года назад
uyo mwenye tisheti nyeusi yuko vizuri beana
@nozgeniuz1812
@nozgeniuz1812 3 года назад
Du huyu wa jamaa alieimba kikongo anajua mashndano mulemule kwa bella
@givanerpom6247
@givanerpom6247 3 года назад
Mshindi atabiliwa huyu hapa Usisahau kusubscribe ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-WhJwh2HcN6U.html
@zablonrobert1522
@zablonrobert1522 3 года назад
Swala la kipaji cyo kuimba kama flan. Wewe ni wewe imba kama wewe ulivyojaaliwa na mungu lakin kwa kutumia wimbo huohuo
@ccmiaofficially2904
@ccmiaofficially2904 3 года назад
Umeona kaka eee,ana kila kitu kiukwel
@peloabandelwa9099
@peloabandelwa9099 2 года назад
@@zablonrobert1522 mnashindwa kusema hu kweli ki vipi wajano anajuwa🤣🤣
@ayshaayshaabdulrahman6143
@ayshaayshaabdulrahman6143 3 года назад
Wote wanajua but in case mpeniuyo WA tishat ya yellow
@universenurity776
@universenurity776 3 года назад
Huyo jamaa wa black alijichanganya kutoka mwanzo kuingia grp la Bella wakati madam alimkonyeza aende kwa Ommy.. kiherehere kimemponza
@jellycastro9037
@jellycastro9037 3 года назад
Mama yangu mpaka Congo tuna suscrib
@alluminiumexperttz.12mview13
@alluminiumexperttz.12mview13 3 года назад
Man in black deserved to win
@bahajajuma5947
@bahajajuma5947 3 года назад
I wish majaji wengine mngekua km Bella hn lingolongo na anachagua kilicho bora!!
@givanerpom6247
@givanerpom6247 3 года назад
Mshindi atabiliwa huyu hapa Usisahau kusubscribe ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-WhJwh2HcN6U.html
@agapesaligawesasaligawesa2781
@agapesaligawesasaligawesa2781 3 года назад
Kweli kabisa
@ccmiaofficially2904
@ccmiaofficially2904 3 года назад
Sio kwa vile una simu kubwa na bando la mwez ndio una comment unachoona,Bella na wewe Bella anaimba japo Kuna watu wanaimba,labda niseme mwenye black anaimba sema wimbo aliouimba umegusa kweny kuonesha ukal wa vocal na si vingnevyo,Ila wa njano amecheza na kila kitu,ameimba kwa hisia,ladha na saut za kuminya pia hata ndio maana muimbaj Kama Bella ameliona ilo ndio maana amechukua..Halafu wimbo si kuelewa maana tu pia nyimbo n feeling,mdundo,vinanda na lugha ilivyotumika.,.Abdul n mtundu sana msiangalie kushoot saut angalien na maujanja mengne jaman......
@evahkajala3807
@evahkajala3807 3 года назад
Daaaaaaaaaaaaj inauma sanaa nafasi inachukuliw aivi ivi daaaah
@jonathanicrisatijonathanic6708
@jonathanicrisatijonathanic6708 3 года назад
Mucheki jiva ana ngoma kali sana
@over_dance_tz8517
@over_dance_tz8517 3 года назад
Do voice noma cku zote me nakuombea nakubalii nakubalii be big up
@ccmiaofficially2904
@ccmiaofficially2904 3 года назад
Una namba za Abdul unisaidie n mshikaj wangu pindi Niko Temeke Maeneo ya mikoroshini
@over_dance_tz8517
@over_dance_tz8517 3 года назад
Daaaah mshikaj sina lakn pia nami nilitaman niwe nayo. Sana asee
@khadijamillanzi8552
@khadijamillanzi8552 3 года назад
Npe zako nimtumie
@ccmiaofficially2904
@ccmiaofficially2904 3 года назад
Mwambie mie tcha wa Good Shepherd Temeke mwembe yanga
@ccmiaofficially2904
@ccmiaofficially2904 3 года назад
@@khadijamillanzi8552 ....0779 207017. 0685 998465.....Mzma lakn
@sabrinaally8216
@sabrinaally8216 3 года назад
mm sijapenda kichofanyika hapokwabella woteewanafaaa 😥😥😥😥
@naomysombi7999
@naomysombi7999 3 года назад
Bella Yuko sawa
@wellbrand3415
@wellbrand3415 3 года назад
Ooow...!!! Ndio maana huwa nasema "LIFE IS NOT FAIR AT ALL".
@joyjilien5432
@joyjilien5432 3 года назад
Yaani inauma sana alijikaza kwasbb ni mwanaume tu lkn ma judge 👨‍⚖️ waache ivyo sio vizuri
@wellbrand3415
@wellbrand3415 3 года назад
@@joyjilien5432 kwani Master J alikuwa na nafasi 1 kwanini hakumpachika...? Ndio maana nasema LIFE IS NOT FAIR
@joyjilien5432
@joyjilien5432 3 года назад
@@wellbrand3415 mmmm 😋 ni hatariii yaani
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 3 года назад
@@wellbrand3415 master jay hajafanya fair
@wellbrand3415
@wellbrand3415 3 года назад
@@timothmwakakusyu4563 yaani nimesikitika kweli... Ila ndio hivyo... Ilipangwa hivyo.
@hanifasadicki1428
@hanifasadicki1428 3 года назад
Jaman mludishen yohana
@abdulyiddy358
@abdulyiddy358 3 года назад
Abdul🔥🔥🔥🔥🔥
@wasasyjr8657
@wasasyjr8657 3 года назад
Dah uyo jamaa wangemfklia vzr pengne muonekano umemponza but vocal yko vzr
@peloofficial5610
@peloofficial5610 3 года назад
dah mwaka huu kazi hii ningumu
@mtitagirloriginal6890
@mtitagirloriginal6890 3 года назад
Kipaji hicho bella unekitoa voice kama yote
@msms8812
@msms8812 3 года назад
Masha Allah huyu kijana aliichukua nafasi ni kweli kabisa ilipaswa iwe yake kaimba vema mmno
@alicembeyu6688
@alicembeyu6688 3 года назад
Wote wakosawa lakini lazima kuwe na mshindi.. Bro usife moyo ur a super star already
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 3 года назад
Tatizo iyo nelea wamisha ichoka sn unajuwa wimbo unao skika marakwamara nirahis kukufelisha ila wete wako vizur tu
@peloofficial5610
@peloofficial5610 3 года назад
@@nasraabdallah850 sema wote wanajuwa kungukuwa na fasi bella angechanguwa wote ila alionesha aliwakubali wote ila sasa ilibidi kati yao achanguwe mmoja
@alicembeyu6688
@alicembeyu6688 3 года назад
@@nasraabdallah850 kabsa my dear
@husseinstriker4211
@husseinstriker4211 3 года назад
Mmesahau Bella Yuko sahihi (challenge) I will
@winfridaminaa6765
@winfridaminaa6765 3 года назад
Nimemuonea huruma sana uyo black dah
@LadouceurTony
@LadouceurTony 3 года назад
🤩 wow
@bizimanasaid7678
@bizimanasaid7678 3 года назад
Mm sio shabiki wa mziki Ila n shabiki wa majaji kiukweli hap mr hunifurahisha saaana ulivyo tuuuu wapenda kazi yako
@ibra6269
@ibra6269 3 года назад
Black Yohana fundi sana muimbaji mzuri
@zablonrobert1522
@zablonrobert1522 3 года назад
Ninatamani waje wasome comment waone watu walivyochukia yaaaan ili wamrudishe ikiwezekana.. Mtu anaimb sauti yake mwenyew tena strong voice Anafika kwenye key tone ana power ana punch anavocal... Eti mnamkata kisa mtu anaimba kama bella Nyie hamtafuti watu wapya aseeeeee Am so sad nimeumia saaana
@Lale_music
@Lale_music 3 года назад
That's it kaka ila nahisi haikuwa time yangu although haikuwa sawa
@peloabandelwa9099
@peloabandelwa9099 2 года назад
@@Lale_music 🤣🤣🤣🤣bado Sana kijana ulikutana na mtu mbaya Sana
@Lale_music
@Lale_music 2 года назад
@@peloabandelwa9099 yaah mimi bado sana mzee
@sefoo8084
@sefoo8084 3 года назад
Kw upande wang wote wakali ila huyo aliyevaa black ni mzuri zaidi sauti yake ina power sana. Ila nahisi majaji wanajua zaidi
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 2 года назад
Madam ritta😂🌹❤️💕
@jasminabdul7569
@jasminabdul7569 2 года назад
.safi
@tausindekwa7314
@tausindekwa7314 3 года назад
It's more painful bana
@annastaziasospeta9181
@annastaziasospeta9181 3 года назад
Good
@joycejohn7754
@joycejohn7754 3 года назад
Watu wajue wanatakiwa mshind apatikane 1
@Djtigerbaby
@Djtigerbaby 2 года назад
Bela anaweza
@fongaamike2768
@fongaamike2768 3 года назад
Mnaongea sana.muwe mna concentrate
@dmnyamweziofficial2250
@dmnyamweziofficial2250 3 года назад
Wewe ndio unajua Baba hongera
@juniorsmart2483
@juniorsmart2483 3 года назад
Mmebor afu xo vzr xjafurahia hii system yenu kwanza hata huyo wa njano mxfa mingi mpaka anabor😕😕😕Pole mwaya 😢😢😂😂
@adamsnchimbi9478
@adamsnchimbi9478 3 года назад
Bss 2020 bambataa
@manuelchogo1234
@manuelchogo1234 2 года назад
Mwooooto Issa aisee
@braveson4683
@braveson4683 3 года назад
Mwenye yellow anajua
@amirlehao8945
@amirlehao8945 3 года назад
Huu mi ufala ulokomaa wa bss yaaa wa kiwango cha lami
@sashadiva1111
@sashadiva1111 3 года назад
Mwenye yellow akiongea kama mario
@givanerpom6247
@givanerpom6247 3 года назад
Mshindi atabiliwa huyu hapa Usisahau kusubscribe ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-WhJwh2HcN6U.html
@preciousmohmed7372
@preciousmohmed7372 3 года назад
Cousin wake wanadai😁
@mjubamuuni5083
@mjubamuuni5083 3 года назад
Namkubali yohana hamjamfanyia haki kabisa
@ccmiaofficially2904
@ccmiaofficially2904 3 года назад
Ila kumbuka mziki unajumuisha hasira udhun,ladha,maumivu,ivyo mi naona Abdul yuko poa
@DayanaNelson-gv6cv
@DayanaNelson-gv6cv 5 месяцев назад
Kama kiba vile ❤❤❤
@msafirihemed3877
@msafirihemed3877 3 года назад
😂😂 Bella is bonyezaring!!
@dorriskenga1747
@dorriskenga1747 3 года назад
😀😀😀😀😀😀😀
@fainajaffary4070
@fainajaffary4070 3 года назад
😃😃😃
@ayoubhussein6625
@ayoubhussein6625 3 года назад
Aka kajamaa kenye blich kana sifa sana
@fainajaffary4070
@fainajaffary4070 3 года назад
😄😄😄
@bertinaafonsorapaz8345
@bertinaafonsorapaz8345 3 года назад
😅😅😅😅saaana
@Minsirerickjuniorofficial1272
@Minsirerickjuniorofficial1272 3 года назад
Mngewachukua wote Aki life sio poa
@fredernest7572
@fredernest7572 3 года назад
Huyu jamaa mwenye njano ni balaaa
@josephsanga474
@josephsanga474 3 года назад
Huyoo Aliembaa kikongo hajuii
@peloofficial5610
@peloofficial5610 3 года назад
huwe mkweli bhana wote ni wa tz huyo wa yellow nimkali tu
@khatibissa3560
@khatibissa3560 3 года назад
Nimecheka jamaa anasali daah
@mugishalahay6050
@mugishalahay6050 3 года назад
Wote wako vizuri ila uyo wa jaune ni moto
@edoamuri1646
@edoamuri1646 3 года назад
Nc
@monnahthepresenter1978
@monnahthepresenter1978 3 года назад
It’s hurt aise akuna njia mnaweza badilisha jinsi mna select watu
@zablonrobert1522
@zablonrobert1522 3 года назад
Nimechukia sijapenda
@bellabakera
@bellabakera 3 года назад
Sio personal ni mashindano haya
@peloofficial5610
@peloofficial5610 3 года назад
@@bellabakera ndio nimashindano ila nashindwa kuwaelewa hawa
@zablonrobert1522
@zablonrobert1522 3 года назад
@@bellabakera mshkaj anajua sana anawazid baadhi ya watu ambao wamepitishwa na majaji wengine kwann wasinge mchukua Kura zikapelee
@zablonrobert1522
@zablonrobert1522 3 года назад
@@peloofficial5610 unajua wamefail pakubwa saana sijapenda yaaan wanaacha vipaji vocalist wanachukua mtu kisa anaimba kikongo sijakataaa kuwa hajui ila wangeangalia vtu vingi
@peloofficial5610
@peloofficial5610 3 года назад
@@zablonrobert1522 hapo unaposema kisa kikongo umedanganya kabisa hata bila hivyo mwanzo alihimba wimbo wa kings music bella akamkubalia hapo hivyo unaweza kusema heti wanachanguwa mtu kisa kuhimba wimbo wa kingongo sio kweli ndugu sema tu wengi walitaka yule wa nguo ya black achanguliwe na wakati kakutana na mwengine zaidi yake kusema hukweli wote Christian bella aliowachanguwa ni wakali hata huyo angekutana na yule dada alieimba wimbo wa marecan talents on fire angemshinda naye ila bella alichanguwa vizuri tu haya nimashindani bhana
@irenenyolobi1906
@irenenyolobi1906 3 года назад
Wangefat utaratibu wa mwaka Jan mbwembwe nying hizi zinakera
@givanerpom6247
@givanerpom6247 3 года назад
Mshindi atabiliwa huyu hapa Usisahau kusubscribe ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-WhJwh2HcN6U.html
@annalubango9899
@annalubango9899 3 года назад
Zinakukera wewe tu Mimi nafurahia
@daimavlog
@daimavlog 3 года назад
😭😭😭
@aishakidotigakii6157
@aishakidotigakii6157 3 года назад
Yani wote wako Sawa
@nyuzmastory6538
@nyuzmastory6538 3 года назад
Imetulia hiyo
@janethsemboni9874
@janethsemboni9874 3 года назад
Mnaacha vipaji loooh!
@tourzmbaruk4319
@tourzmbaruk4319 3 года назад
Ubaya ubaya😀😀
@eliasmassasa8726
@eliasmassasa8726 3 года назад
Huu ni ukatili eseee duuuuu
@yasintaswahasni4747
@yasintaswahasni4747 3 года назад
Mnabowa sana mngewaacha wote
@peloofficial5610
@peloofficial5610 3 года назад
sasa Angewahacha wote tena wewe ndo ungekuwa wa kwanza kulaumu heti bella aliacha wakali sasa mjuwe ya kwamba kupita mbele sio kumanisha unamzidi wa nyuma yako apana yy bella alisema ashaeneza sasa ikabidi atowe mmoja kati ya wale 8 aliokuwa ashawachanguwa mbele ndo akamchukuwa huyo wa black na wa yellow wapimishane sababu apendi kuacha mwenye kipaji ila ufaamu kama wote wanajuwa na nfomana alimchukuwa wa black sababu anajuwa ila wanazidiana asingemchukuwa wa yellow mgesema saaaana hapa
@ayubutimothy8666
@ayubutimothy8666 3 года назад
YEAH. PAMOJA WANAUME... MMOJA ANABAKI MWINGINE ANAENDELEA KUWAKILISHA CHAMA KILA LA KHELI.
@zainachande5095
@zainachande5095 3 года назад
Nimemuonea huruma mwenyewe anapiga njia ya msalaba lol
@ayubutimothy8666
@ayubutimothy8666 3 года назад
@@zainachande5095 dah. Ndo safari ishakuwaaaa......
@LadouceurTony
@LadouceurTony 3 года назад
Ila wa nguo nyeusi yupo vizuri sana naona jamaa wa njano alijua afazali nikaende na kikongo zaidi 🤩
@rutagasto
@rutagasto 3 года назад
Safi kijana wetu hujawahi kukosea
@leticiajacob9745
@leticiajacob9745 3 года назад
Daaah
@mosesmhina9980
@mosesmhina9980 3 года назад
huyo mwamba mwenye njano ni duniaa
@gloryjohnson5878
@gloryjohnson5878 3 года назад
daaah bna ts not fair huyo kaka anasauti sana c.bella sio poa😰😰yohanne iz good
@timasalehe3805
@timasalehe3805 3 года назад
Daaaah
@wordsmith_Benn
@wordsmith_Benn 3 года назад
Jmn sio fair khaaa
@zainaramadhan7769
@zainaramadhan7769 3 года назад
duh mnatuliza jmn broo ameumia
@dianamwanjala4114
@dianamwanjala4114 3 года назад
Uyu ndo mshindi wangu
@deelissa2746
@deelissa2746 3 года назад
Madame Lita anafuata mkia😂
@johnrogath1066
@johnrogath1066 3 года назад
Huu mfumo mbovu sanaaa
@maquemkondela
@maquemkondela 3 года назад
Dogo balaaaa sana hunabudi kumchukua bella
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 года назад
Oooo
@calvinb68
@calvinb68 3 года назад
Wote n juu
@manuelchogo1234
@manuelchogo1234 2 года назад
Mshindani wa Issa hahaha tiari kashajua kangushwa ishira za msalaba kibao hhhh Issa hatari
@Madmax_kingTz
@Madmax_kingTz 3 года назад
Kiukweli mnazingua
Далее
BSS 2020 EXTRA DAR ES SALAAM
17:50
Просмотров 222 тыс.
We will see who will do it better 😂
00:14
Просмотров 2,5 млн
ПОЮ НАРОДНЫЕ ПЕСНИ🪗
3:19:41
Просмотров 1,8 млн
Разбудили Любимой Песней 😂
00:14
Jua kali leo usiku jumapili 21-7-2024         4k
19:14
Просмотров 27 тыс.
MADAM RITA AFANYA MAAMUZI MAGUMU
6:17
Просмотров 460 тыс.
ASAGWILE-AFRO-leswanyika
5:39
Просмотров 65 тыс.
BONGO STAR SEARCH DAILY SHOW ARUSHA WEDNESDAY
27:56
Просмотров 224 тыс.
Приятного аппетита 🤣
0:15
Просмотров 4,9 млн
У Котика Отняли Игрушку 🥺
0:15
Каха бизнес-класс
0:48
Просмотров 1,5 млн