Namshukuru Allah kwa kuwa na mawazo yanayofanana na ya huyu 'Profesa' mama Maryam. Kutembea kote na uzoefu wote aliojizolea bado ana 'Uswahili' kutoka chini ya moyo wake.
MashaAllah bi Mariam unaielezea culture ya mwambao vizuri sana,yoote ni ya kweli,yamesahauliwa sasa ukiolewa zamani lazima bi harusi atolewe kujulishwa ,sasa hakuna tena mengi yamesahauliwa,Allah akupe afya na umri mrefu
Alhamdulilah. Nice story nimejifunza mengi me natamani iendelee episode 2. Bi maryam ni hadhina kwa taifa letu na culture yetu. Na hii films ipo tayar dukani or online. 4rv uk 🇬🇧
Nimazumgumzo mazuri nimependa ningependelea uwanzishe na nyimbo za watoto za zamani mbazo sasa Zina potea Kwa mfano kama vile Alfola bandari Salam Ukuti Ukuti na nyingi nyeginezo