Vijana acheni wivu binafsi naona umuhimu wa uwepo wa mchambuzi Ally Masubi katika mdahalo wa GPS sababu anawakilisha Kizazi cha Gene Z na kuwapa changamoto Kizazi cha Milleniaz kuanzia kwa Sky Walker, Dj Smaa na Henry Mwinuka. Big up kwa Simulizi na Sauti.
Kwanza niwapongeze sns kwa kuwa wabunifu katika kuijenga jamii ya kitanzania na kiafrika kwa ujumla kwa wale wenye kujua ligha inayozungumzwa hapa' mnawafumbua walio wengi nakuwafanya tujiamini uchambuzi wenu mzuri' Natumai kwa hili ipo siku mtapewa tuzo hapa nchini na hata Africa mashariki kama si Kenya na wakenya ama vinginevyo. Tunawapenda sana kwa kazi nzuri.Msiache kuchambua tunawasikiliza kwa makini katika kila nukta.
Zuwena kunywa soda kwa mangi nitalipia. Viongozi wasio na huruma na ubinadamu! Yaani wao wanajali maslahi yao kwanza. Nyinyi hata mkifa wao hawajali. Nimecheka kwa sauti Aly alivyosema "li Trump likajibu"😅😅😅
Kaka sky,dj smaa Henry na ali nipo apa shabiki yenu kabisa nafuatilia hapa gps...napia tutasapoti gps innshaala tukijaaliwa ili tujifunze zaid..#tujifunzesote#tusapotianekwahiyari na upendo ili tujifunze zaid
Mim ali akiwa anachambua mala nyingi huwa simuelewagi sanasana namuelewaga sana dj smaa...au Henry lakin leo uchambuzi wa ali simuelewi..hajuw kufindisha kama ni mwalimu...japokuwa anajua vitu vingii..ila hawez kufundisha
Kupandisha interest rates inahusisha kusave hela kwenye banks au kununua government bonds sio kukopa. Henry jifunze zaidi. Matajiri now wanapeleka usd kwenye us banks au kununua government bonds kwasababu interest rate imepanda . And hyo interest rate sio 15% ni 5.5%
@SNS, SKY HUWA NASUBIRI KWA HAMU SANA VIDEO ZENU LAKINILEO NIMEPATA HASIRA NIMEJISIKIA VIBAYA SANA KIPINDI LEO NIMEKEREKA SANA YAANI ALLY HAPANA. Dj SMAA na kaka MWINUKA BIG UP SANA. Ally tunaomba wenzako wakiongea usiwakatishe
Nawakubal sna wachambuz wa GPS hap studio ila tafadhl naomben mnieleweshe vzr kuhusian na hli kwamb, inakuaj Marekan inaubav wa kuwakataz mataif kam Iran, Korea kaskazin, Urusi na mengin wasitengeneze silah za nuclear ingal wao, waingereza na wafaransa wanatengeneza bla kuwekewa mipak yyt ile? Tafadhalini naomben mnieleweshe iv hta ktk uchambuz mwngn. Ahsanten.
Ally please Yaani hao wenzako wanajua zaidi yako na wakiongea tunawaelewa lakini wewe Sasa ndg unaongea wewe tu halafu Ndio HUJUI AAAAAH . Please jaribu kujilimit PLEASE
Kw nn na hapa kwtu Tanzania pasiwe na Vyama vikuu viwili tu vikafanya Debate kuliko kupoteza Pesa nyingi maaafa na hata miundo mbinu huvurugika kwa siasa mbovu tulizo nazo tubadilike Viongozi tusiangalie matumbo yetu tu tutakwnda kuulizwa kwa Allah Kesho kiama tumuogopeni Allah
Ukiangalia hawa jamaa djsma anatokea kanda ya ziwa,mwinuka anatokea nyanga ya juu kusini sijajua ally masubi anatokea wapi ila hawa 2 sehemu wanaotekea vyakula vyao sio mchezo hata ukiangalia sky nae kanda ya ziwa utagundua
Kwangu mimi majibu ya siasa za nje naona kama wote walikubaliana ku skip. Na ndio maana walitumia muda mwingi sana kujadili katika maswala ya utoaji mimba na sera ya uhamiaji. Sera ya nje ndio inayopasa kutoa kura nyingi sana. Wauliza maswali wamelimiti maswali katika upande wa Siasa za kimataifa.
Trump mjanja sana, hakutaka kuegemea upande wowote, maswali mazito ya GAZA na vita vya Ukraine hakutaka kujibu moja kwa moja asije akabainika yuko upande gani, ingemkost ndio maana alikuwa anakwepa kujibu kijanja😅🙏🤣😂nimeluelewa sana trump binafsi
Nikukumbushe apo kaka Henry unajuwa hata sisi mtume wetu alikabidhiwa rasmi utume kuanzia miaka 40 ...ila kwakuwa sisi umri wetu ni mdogo waanze kugombea miaka 35 mwisho miaka 60
Mimi nnacho hisi kwamba hoja ya Ali masubi ipo sahihi coz Kuna BAADHI ya mataifa ulaya hususan Kama marekani ili uwe raisi Basi lazima uwe na ushawishi fedha,ukaribu kwa matajiri na kua na ukaribu na watu wazito.nje ya hapo wamarekani hawakupi tu urais.
Hivi wewe wanaokulipa kuendelea kudanganya Watanzania ni nani, naona kama vile ni warusi.Hakuna mtu.ambae yupo slow na kazi ya uraisi ni kubwa sana kwake kama Trump.Anachojua ni kutukana wanawake na mtu yeyote na matusi yenyewe makubwa.Huyo kichaa utamuweka vipi kwenye uraisi..Sisi tunaoishi hapa nao tunayaona mengi..Wanaokulipa tutawaweka hapa baada ya muda
@@janethmafie7721Wewe kila sehemu upo tu, punguza chuki binafsi mpuuzi wewe.Uchambuzi hamtakiwi kuwa na sauti 1,kila mtu achague upande wake.Mjinga wewe.
Mi binafsi sioni Kama baiden wa matukio ni og naona lile ni robot tu, yaani Kama utakuwa makini kunuangalia mcheki mikono yake inavyo move utagundua kitu
Moja Kati ya hasara ya kuzaliwa 90-2000 ni vijana kujiona wajuaji sana huyu dogo Ali masubwi mpaka anakera anasema yeye tuuu mpaka anachosha broSKY huyu dogo kua nae makin anatuboa bhana
Mnakosea kuchagua upande... Kama haumuelew mtu fulani msikilze unae muelewa... Mdahalo wa upande mmoja hauna maana... So aly ni mtu muhim kwenye GPS... Kazi nzurii...
Naitwa Ally Masubi.kunichukia nichukie lakini jina langu litamke vizuri boss.kuhusu kuongea kila mtu gps anahaki sawa ya kuongea.so chuki zako nitatizo lako.
@@thefactbook...1607 hakuna chuki maana sioni ufundi mwingi kutoka kwako ninachokiona unaongea sana ile GPS inatoa nafasi kila mchambuzi kuongea kwa mda flana lakin ww unachukua hata nafasi za wenzio hujamaliza kuongea ww ushadakia tunajua ww ni wa 95 lakin hebu pevuka kidogo sikiliza wenzio kwa makin then jenga hoja
Nyinyi chaneliyenu ya kibinafs yenyelengo lakueneza habri zauwongo na upotoshaji hamjui nn mahana harisi ya habari mmekariatu ushabik na unazi unazi nachuki zdi yawatu hambao mnahonanyi hawako saii kiupandewenu rakin ss tuliyoko USA baden laispendwa sana kwawatu weusi nawahamiaji hanashda nass kabisa
@@salehkhalfan7345 we akili yako haiko sawa ufai kucomment kabisa huku mana wa2 wasio na akili ndo hua wanadeal na v2 vidogo vodogo visivyo na maana na wanaacha v2 vya msingi,nazan ulielewa ila ukosefu wako wa akili umeona hyo typing error ndo k2 cha kukosoa