Mtoto mwenye umri wa miaka 14 mkazi wa Mtaa wa Mapembe mkoani Dodoma aliyejulikana kwa jina la Agnes Omary amekutwa amejinyonga nyumbani kwao kwa kutumia mtandio huku chanzo cha kufanya hivyo kikiwa hakijajulikana kwani hakuacha ujumbe wowote.
✍@official_jennifersumi
#azamnewsupdates
29 авг 2024