Тёмный
No video :(

BINTI ATOA MACHOZI AKISIMULIA MAISHA ALIYOYAPITIA MPAKA KUWA DEREVA BAJAJI MKOANI GEITA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 47 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 188   
@shailabushiri4578
@shailabushiri4578 2 года назад
Very bright and intelligent nimempenda ni mvumilivu mcha Mungu na ana upendo na familia yake Mwenyezi Mungu azid kumpa nguvu
@josephkulija293
@josephkulija293 2 года назад
Dada hujafa hujaumbika, hongera sana kwa kutunza utu wako na kumheshimu mmeo. Kikubwa Mng'ang'anie Mungu. Yule baba aliyekuita marehemu unayetembea naamini Mungu alishakujibia. Mabinti wengine waige moyo wako.
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 года назад
Mwanamke mwenye akili akipata mume bora maisha yanakuwa raha sana.
@aksharacosta4431
@aksharacosta4431 2 года назад
Kama mm vile 😜
@user-uu6ei1ys3k
@user-uu6ei1ys3k 5 месяцев назад
Sanaaaaa
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 2 года назад
Mungu akusimamieni wajameni, bright woman! Utatoboa hakika
@Sarahsaid2648
@Sarahsaid2648 2 года назад
Huyu ndie mke sasa siyo hawa wabandika kope na mikucha
@mariamali1887
@mariamali1887 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@halimahalima1488
@halimahalima1488 2 года назад
🤪🤪🤪
@ricksonlyimo2662
@ricksonlyimo2662 2 года назад
Swadakta
@shoshohamed1841
@shoshohamed1841 Год назад
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 2 года назад
💪💪💕💕, hutalia tena. Mwenyezi Mungu akujaaliye Kila lakheri Insha Allah 🤲
@nicholausmakundi2663
@nicholausmakundi2663 2 года назад
Anajielewa sana Mungu hamtupi mja wake..hongera sana dada
@NellyWaKidato
@NellyWaKidato 2 года назад
Daaaa!!!!. Huyu Dada Nimetamani Abgekuwa Mke Wangu Maana Anamtaja Mume Wake Kila Sekunde Na Kila Dakika
@lilianwaflotina1288
@lilianwaflotina1288 2 года назад
hahaha
@jacksongeorge3964
@jacksongeorge3964 2 года назад
😂😂😂😂
@nanaritho6850
@nanaritho6850 2 года назад
Kabisaaaa
@Sharifarajabudebe
@Sharifarajabudebe 2 года назад
😂😂kwan wa kwako hakutaji jamn watajeni waume zenu
@NellyWaKidato
@NellyWaKidato 2 года назад
@@Sharifarajabudebe aise sikumbuki ilikuwa lini kinitaja mbele za watu😀😂😂😂
@uajeupe4299
@uajeupe4299 2 года назад
Waoooo! She is so bright for sure. Mwanamke mwema
@agnellapius8142
@agnellapius8142 2 года назад
Super women 💪💪💪💪🙌🙌🙌🥰
@abdrizackadanali5047
@abdrizackadanali5047 2 года назад
If we could look into each other’s hearts and understand the unique challenges each of us faces, I think we would treat each other more gently, with more love, patience, tolerance, and care.
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 года назад
💯
@wellbrand3415
@wellbrand3415 2 года назад
Dada upo njema sana. Piga kaziii na Mungu ni mwema atakupigania utayafikia malengo yako. 🔥🔥❤
@jaypolmc1861
@jaypolmc1861 2 года назад
Aliemuoa huyu dada amepata bahat sana
@kassebo
@kassebo 2 года назад
MUNGU akupe kuishi miaka mingi Dada # maana wewe Ni mke mwema
@danielmakunganya6928
@danielmakunganya6928 Год назад
Huyu dada ni sawa tu na mke wangu, wanawake Kama Hawa wanaojitambua wachache Sana hongera sana Mungu atawafanikisha kwenye safari yenu ya maisha wewe mumeo na watoto wenu
@chamimdesa148
@chamimdesa148 2 года назад
Waitwao ni wengi, watendakazi ni wachache. Daaaa Mungu akubariki hasa kwa kujitambua, big up
@daliamkwamba683
@daliamkwamba683 2 года назад
Mwanaume ukifanikiwa hapa jeuri ongera mwanamke mwenzangu.
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 2 года назад
Hii ndo maana halisi ya Couple Goals Hongereni sana Mungu awatangulie mtafika mbali
@husseinyappi9330
@husseinyappi9330 2 года назад
Mume wako ikija kukuwacha atajuta mpaka kaburini hongela sana
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 года назад
Mzuri mashalllah 💙congratulations 💪💪💪my
@arafakiloli749
@arafakiloli749 2 года назад
In shaa Allah Allah awazidishie rizki mtimize ndoto zenu.
@yumbujackson869
@yumbujackson869 2 года назад
Hongera sana, mungu muweza wa yote, endelea kupambana malengo yako yatatimia
@florianhashimu1370
@florianhashimu1370 2 года назад
Uyo jamaa ampende sana mkewe.Kaka mke umepata usije ukamliza siku laana haitoki Kwa wazazi tu.Mke anaye kutaja mara tatu tatu hiyo ni mwanamke kweli kweli.Hata cku moja moja Rudi hata na maua
@aminah3346
@aminah3346 2 года назад
Mim nimesha lizw san
@neemacharles5502
@neemacharles5502 2 года назад
@@aminah3346 ukisoma ivyo ujue unapenda maisha ya juu bila changamoto,na una chagua waume,msikilize uyo dada vzr utagundua Jambo hasa ukikutana na mwanaume mwenye maisha ya chini lkn anatamani afike mbali hasa akipata mwanamke anaemwelewa
@aminah3346
@aminah3346 2 года назад
@@neemacharles5502 we nawe hujaelewa nilicho manish kaa kimy man siwez kuanik niliyo pitia hap hazarani
@aminah3346
@aminah3346 2 года назад
@@neemacharles5502 kuna wanaume wengine unaanz nae chin akisha fanikiwa tu anaanz vitimbi
@khadijamohamedy4492
@khadijamohamedy4492 2 года назад
@@aminah3346 kweli dada we ndiyo mm nawaogopa Sana wanaume ambao hana kitu wanabadilika vibaya san
@peruthyshideko2379
@peruthyshideko2379 3 месяца назад
Nimewah kupanda bajaji ya huyu dada kwanza anastor kama zote abiria unaenjoy😂😂😂...Keep going dada
@ireneflorence2232
@ireneflorence2232 2 года назад
Aiseeee dada anatema madini na anajitambua imagine angebahatika kupitia shule angekuwa hatari zaidi ya ivi,dada ubarikiwe Mungu akakujazie kikombe chako mpk kimwagike,bro umepata mwanamke wa shoka hongera Kwa mume
@anzania3663
@anzania3663 Год назад
Ni kweli kabsaa nampenda dada huyu sanaaa
@annastaziandatulu7899
@annastaziandatulu7899 2 года назад
Dada unaongea vizuri sana ,,,Mungu awafanikishe
@yahyachande3009
@yahyachande3009 Год назад
Niwachache Sana wenye uvumilivu wa hari ya juu sana hongera Sana dada mungu atakujaalia
@faridaaloyce4330
@faridaaloyce4330 2 года назад
Dada siyo wewe tu Kuna mtu alishawahi kunidharau na kunikataa lakini Leo hii hata hanifikii. MUNGU NI MUNGU TU
@matildajonasmboya5320
@matildajonasmboya5320 2 года назад
Majaribu ni mtaji mshukuru yule mzee aliye kutukana amefanya uongeze nguvu za utafutaji zaidi na Mungu atakubariki sana
@lucylucy3678
@lucylucy3678 2 года назад
Daa pole dada san mungu akupe maisha marefu san pamoja na mume wako unajituma san hawa ndo mawif tunaotak.
@yusrasalum
@yusrasalum 2 года назад
Mungu mkubwa hakuna kutafuta kwa rahisi lazima upitie changamoto ndio uwe mshindi hongera dada 😍
@babaloisethan7010
@babaloisethan7010 2 года назад
Very inspirational! MILARD AYO TUFANYIE INTERVIEW NA MUME WA HUYO DADA....#SuperWoman💪
@super_boy_tz
@super_boy_tz 2 года назад
Riziki Paul nisikilize kidogo dadangu kama utapata fulsa ya kuona comment yangu Mungu mkubwa katika maisha ya binadam ujasili ulio nao. Ndo mafanikio yako endelea kupambana tu never give up
@sheagraphics269
@sheagraphics269 2 года назад
Bichwa bovu Leo umetoa ushauri mzuri inaonekana umeanza kupona🤣🤣
@pachamalota4455
@pachamalota4455 2 года назад
Dah! Pole sana Dada Mungu akutie nguvu Mungu akufanikishe Mungu aifadhiri ndoa yako.
@angelkavishe5240
@angelkavishe5240 2 года назад
Hakika katika Maisha kila kitu ni kumuomba Mungu Mimi niliwah kusukumwa katika Daraja na Vijana wawili waendesha Boda boda kisa wamenitongoza nimekataa majira ya Jioni natoka Shule wakisema wamesoma wangapi na wako wapi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@hizamwaimu3918
@hizamwaimu3918 2 года назад
Daaaah😭😭😭 eti we nimarehemu unaetembea ...
@amockkalinga1520
@amockkalinga1520 2 года назад
Inauma Sana 💔 kuitwa marehemu huku upo hai 🤔😭😭😭😭😭😭😭
@msukuma1
@msukuma1 2 года назад
Sema wanaume sometime viumbe vya ajab sana apo wanehangaika wote wakij kupat mali tu ataanza na michepuko😭😭
@aishaomarry6996
@aishaomarry6996 2 года назад
Akiwa na michepuko si afadhali wanawafukuza kabisa wake zao
@msukuma1
@msukuma1 2 года назад
@@aishaomarry6996 jaman 😭😭
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 года назад
Yani ni shiida sana
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 года назад
Imeisha hiyo haha
@zainabkazige7388
@zainabkazige7388 2 года назад
Woow, hadi raha! Mungu azidi kuwafanikisha🙏💪
@josephatmathiasgalagalabuh786
@josephatmathiasgalagalabuh786 2 года назад
HAKUNAGA MTU WA GEITA MJINGA MJINGA. BIG UP MWANAGEITA MWENZETU UNA AKIILI TIMAMU SANA
@sikudhanimoshi6967
@sikudhanimoshi6967 2 года назад
Mm mwenyewe ndoto yangu kuja kuendesha bajaji inshallaha
@richardbubani7070
@richardbubani7070 2 года назад
Mungu akisaidia sana uendelee kufanikiwa
@kimsamespa8490
@kimsamespa8490 2 года назад
Pole Sana omba Mungu Sana na ufute hayo maneno alio ongea huyo baba mchawi
@fatumaibrahim8973
@fatumaibrahim8973 2 года назад
Pole Dada mungu akupe maisha marefu ✍️
@thadeusmarkiminja2282
@thadeusmarkiminja2282 2 года назад
Hongera sana kwa uvumilivu wako mungu ni mwema endelea kumwamini utafika mbali,hongera pia kwa mumeo na wote waliokusaidia.huyo aliyekutukana sio baba na hata kama ni baba hahitajiki kuitwa baba.
@fabiankasu8138
@fabiankasu8138 2 года назад
Dada yuko vizur sana.
@rubensaitoti6839
@rubensaitoti6839 2 года назад
Hongera sana Mungu akubariki
@mwakwelisaid3152
@mwakwelisaid3152 2 года назад
Wow amazing interview 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@mcmrtichaentertaimentgudi7331
@mcmrtichaentertaimentgudi7331 2 года назад
Heeee Dunia hii kumbe Bado wapo wanawake km hawa
@wiliminawiliams9384
@wiliminawiliams9384 2 года назад
Hongera sana Dada,Mwenyezi Mungu akutimize ndoto zako
@davidmagambo3001
@davidmagambo3001 Год назад
Mama hongera uko vizuri Mungu akuongoze na kukuangazia
@petromsomba4523
@petromsomba4523 Год назад
dada nmefikilia kitu gani ntacommenti hap kizuri kikufikie ira sjaona nakuombea mungu akupe afia njema
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 2 года назад
Safi sana dada,maana wanawake wengi wao wanategemea kujiuza au kutumia mwii wao kupata fedhaa...yaani udangaji
@rudhwanjumbe2970
@rudhwanjumbe2970 2 года назад
Ongera sana sana my Dada
@user-uu6ei1ys3k
@user-uu6ei1ys3k 5 месяцев назад
Hongera sanaa dada piga kz Mungu bado anampango nyie wacha kulia
@onesmoelias2285
@onesmoelias2285 Год назад
Hongera sana shemej ang kwakwel unajtma nakpata sana umeuza sana matunda kichwan
@emmanueldaniel1781
@emmanueldaniel1781 2 года назад
Hongera Sana dada, hongera kwa mume wako pia.
@abdultandala6576
@abdultandala6576 2 года назад
Uyu dada anaakili sana 🥰
@jumarajab5316
@jumarajab5316 2 года назад
pole sana pambana
@lgdnce8309
@lgdnce8309 2 года назад
Hongera dada n'a ujasiri wako
@stellah3844
@stellah3844 2 года назад
Maskin dah pole sana dada mungu atakufungulia zaidi.
@ramadhaniadam553
@ramadhaniadam553 2 года назад
hongera sana unajitambua
@mwajumakudema5840
@mwajumakudema5840 2 года назад
Mtangazaji fanya juu chini tumpate na mume wa huyu dada🤣
@ladysasty
@ladysasty 2 года назад
Hongelaa sana dada👏
@mtaalamwamambo2099
@mtaalamwamambo2099 2 года назад
Big up kwa Muwe wa uyu dada👏
@muhambwetvonline
@muhambwetvonline 2 года назад
Wife material ndo huyu sasa
@josephmarwa7212
@josephmarwa7212 2 года назад
Kwakweli
@devotafrances1876
@devotafrances1876 2 года назад
Pambana dada heshima pesa Mungu yupo pamoja na wewe waliokudharu watakusalimia kwa heshima
@janethmwanda357
@janethmwanda357 Год назад
Huyo mwanaume akifanikiwa cjui km atakua hvy labda wanaume wa geita uko
@geofreymaina3838
@geofreymaina3838 2 года назад
Sasa ngoma dar kaka milard tunateseka sana eti ukipata abiria wa kwenda kariakoo au posta unakamata eti hamna kuingia mjini wanakutoza faini laki moja tunanyanyaswa sana hatufanyi kazi kwa raha yaani wakati hatuibi wa hatuli cha mtu na hii habari ya kutoingia mjini waziri alikataza
@yahyamkone5601
@yahyamkone5601 2 года назад
Kwakweli huyu mdada ni wa mfano Sanaa hakika wanawakewote wangekuwa Kama huyu dada hii dunia na amani Sana
@aminah3346
@aminah3346 2 года назад
Hapn anabahati kapat mwanaume mwelewa wengine tumejaribu tumebak tunaumia tu
@bertinaafonsorapaz8345
@bertinaafonsorapaz8345 2 года назад
Kweli dada
@onemuzungu7291
@onemuzungu7291 2 года назад
Hongeraaa sana dada and never give. Up
@samwelhechei8537
@samwelhechei8537 2 года назад
Mungu aendelee kuwapigania
@theresiamartin3008
@theresiamartin3008 2 года назад
Mungu azidi kuwabariki mtafika mbali sana
@rashidyally8715
@rashidyally8715 2 года назад
Basi usilie hizo ndizo changamoto za maisha binadamu walio wengi ni wapumbavu Sana na endapo utawasikiliza utakata tamaa we kaza mungu atakufungulia utafanikiwa zaidi na utaweka histolia kubwa kwenye maisha yako
@johnmasaki2343
@johnmasaki2343 2 года назад
L
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 2 года назад
Hongera my dear kwa kufika hatua kama iyo na pia ongera ww na mumeo lkn wanaume sio wazuri mpz unaangaika nae lkn mkishafanikiwa mume anakusariti mchana kweupe..mm nilikua kama ww maisha ya kumuamin mwanaume lkn sasaivi nimeshakataa tamaa kuhusu hao wanaume siwataki hata kuwaona
@rashidyally8715
@rashidyally8715 2 года назад
@@kiehbhzh7044 hiyo wewe na huyo mtu ulie mpata Ila sio wanaume wote tuko namna hiyo
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 2 года назад
@@rashidyally8715 amna lolote wanaume wote vigeu vigeu tu mm wala bado ujanishawishi nataman ningekua napita kuhamasisha kuhusu swala mwanamke kuunda mali na mwanaume🤮🤮🤮
@rashidyally8715
@rashidyally8715 2 года назад
@@kiehbhzh7044 ushafeli wewe sema umekutana na mtu asiejielew kwenye maisha au wewe ulikua jeli jeli sana
@onlinemateustv1925
@onlinemateustv1925 2 года назад
Mhh ubarikiwe dada maana wengine duh Wabarikiwe wazazi wako
@r14kgroup68
@r14kgroup68 2 года назад
Pole na hongera sana
@robesongvictor
@robesongvictor Год назад
Hongera mwenyezi Mungu akutangulie
@jrsaid4270
@jrsaid4270 2 года назад
Kila mtu anasafari yake katka maisha hata waliofanikiwa Kuna history kubwa behind their life Cha msingi ni kufight tu hakuna sababu yakukata tamaa
@shameemrashid5219
@shameemrashid5219 2 года назад
Hongera mdg wangu wew ni malkia wa nguvu
@adamnguvu1020
@adamnguvu1020 2 года назад
*u have a good speach cctercongraturation dou to this Enterviw*
@pendokissatu937
@pendokissatu937 2 года назад
Anajua Kujielezeaa sanaaa
@lukrensiamlelwa3318
@lukrensiamlelwa3318 2 года назад
Sanaaa anajua kujielezaa munoo
@margaritoraphael3805
@margaritoraphael3805 12 дней назад
Milard kuna mtu anataka kumsaidia kulipia kudogo tunaomba mawasiliano
@shabanijuma2085
@shabanijuma2085 Год назад
Marehemu tatizo. Sisi sote ni maiti .Nani anabisha yeye atakuwa mlinzi wa Dunia .Mbona Mimi Siyoni tatizo Sisi sote maiti kubali ukatae.
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 года назад
Ndo maisha yalivyo
@namsamson3443
@namsamson3443 2 года назад
Mko very smart wewe na mme wako mtafika mbali sana
@sarhiabenson2683
@sarhiabenson2683 Год назад
Nice 👍
@benjaminkapelah7664
@benjaminkapelah7664 Год назад
Interview nzuri Sana inspired
@emes602
@emes602 2 года назад
Dadeki eti marehemu anayetembea mpuuuz sana
@martinakessy5413
@martinakessy5413 Год назад
Binti una akili sana. Wewe ni mwanamke mpambanaji,fanya kazi kwa bidii utaona matunda yake.
@adamnguvu1020
@adamnguvu1020 2 года назад
*its joikle voliple fighter my ccter so hole toiple choice za blople people according to za life ua voice it will be well very soon coz no one is perfect god is creater*
@anethjoseph4542
@anethjoseph4542 Год назад
Muombeee Mungu huyo mume ll shetani asije pita hapo
@michaelselis8531
@michaelselis8531 2 года назад
Mungu ni mwema mamangu
@veronicamayenga9531
@veronicamayenga9531 Год назад
Pole
@marcondunguru618
@marcondunguru618 2 года назад
Safi sana we nimke bora
@jamesobedy3940
@jamesobedy3940 2 года назад
Milima na mabonde 😢
@timothkalega1333
@timothkalega1333 Год назад
Huyu ndo Super women
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 Год назад
Hv kameraman huwa hamna Kairi hee?!! Hebu tazama jinsi ulivomtoa sura umeiharibu sana utadhani analia
@euniceyalledy1745
@euniceyalledy1745 2 года назад
Waooooh anajieliwa sanaaa
@ericamwkyokile4681
@ericamwkyokile4681 2 года назад
JIPE MOYO DADA.MUNGU ANATENGENEZA HISTORIA YA MAISHA YAKO.UTABARIKIWA SANA ILA USIJE KUSAHAU WANAOPITIA MAGUMU .HAYO NI MADARASA YA DUNIA.
@tajilimtoto5009
@tajilimtoto5009 2 года назад
Mungu awe pamoja nanyie japo mkipata pesa ni sio mume wako nimumewao
@veronicangwesa3273
@veronicangwesa3273 2 года назад
Hongera mdada
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 2 года назад
Interested😘
@gidiongipson8734
@gidiongipson8734 2 года назад
Hiviii kwanini vitu au watu wa namna hii hawapewi Kipaumbele kwenye madia tofauti tofauti, lakini vitu vya kishwahini ndoo vinawekwa mbele
@kiwangodaniel1302
@kiwangodaniel1302 2 года назад
Safi Sana dada. Good
Далее
Девочки, у вас тоже так? 💅🏻✨
00:17
Never Troll Shelly🫡 | Brawl Stars
00:10
Просмотров 1,4 млн
Девочки, у вас тоже так? 💅🏻✨
00:17