Тёмный

MFANYABIASHARA ATAPELIWA MAMILIONI DUKANI KWAKE,JAMAA KAJA NA SLIP YA BENKI FEKI "SIKUJUA NIMEPIGWA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 159 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 563   
@frankkashner
@frankkashner 5 месяцев назад
Mimi nimeameibiwa mzigo wangu ofisi ya kilimanjaro tarehe 25/04 Nilihangaika hivi hivi mzigo nikaja kuukamata Arusha mtuhumiwa anangania ni wake mpaka imefikia tumeenda mahakama ya mwanzo moshi, Lakini hana risiti hata moja wala hajui mzigo ulipopstikana leo ni siku ya 20 bhado ninahangaikia mzigo wangu naamini Mungu atasimama kwenye haki maana mtuhumiwa anajua sheria sana na anauziefu na Mahakama lakini mimi ndio hatua yangu ya kwanza kufika Mahakamani
@sarahbuberwa7219
@sarahbuberwa7219 5 месяцев назад
Hongereni sana polisi wa Singida kwa kazi nzuri
@stanslausbernard5950
@stanslausbernard5950 6 месяцев назад
Wewe mama ni mwamba kwelikweli. Hongera kwa kuwakamata hao matapeli.
@PriscaMallya-eo9lw
@PriscaMallya-eo9lw 6 месяцев назад
Asante ndugu 🙏
@mariamuyusuph2196
@mariamuyusuph2196 5 месяцев назад
​@@PriscaMallya-eo9lw😊😊😊😊😊
@MaishaBabu-m2g
@MaishaBabu-m2g 5 месяцев назад
Anatapelije mchaga aisee lazima akamatwe
@neema-ee6qm
@neema-ee6qm 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂​@@MaishaBabu-m2g
@rafikiwildlife4263
@rafikiwildlife4263 6 месяцев назад
Hongera sana Mama unastahili tuzo ya heshima
@mfwimiekayuki8692
@mfwimiekayuki8692 6 месяцев назад
Hawa ndiyo polisi wa Tanzania.Mama Pole sana.
@PriscaMallya-eo9lw
@PriscaMallya-eo9lw 6 месяцев назад
Asante inaumiza mnoo,, Mungu wa mbinguni atanitetea😭
@bobdutchbobdutch8443
@bobdutchbobdutch8443 5 месяцев назад
Pole sana sister, next time usitoe mzigo mpaka umepata massage kwenye simu Yako
@latifahassan123
@latifahassan123 6 месяцев назад
Pole sana dadaangu na hongera pia kwa kupambania haki yako mpaka hapo ulipofikia.. mwenyezi mungu atawapa stahiki yao
@PriscaMallya-eo9lw
@PriscaMallya-eo9lw 6 месяцев назад
Amina inaumiza sana 😭😭
@stanslausbernard5950
@stanslausbernard5950 6 месяцев назад
Jamani mtendeeni haki huyo mama. Ameteseka sana. Hapa jeshi la pilisi limeonyesha udhaifu mkubwa. Sijui Kuna kitu gani kinachoendelea.
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 6 месяцев назад
Pole sana mama hata mishawahi kutapeliwa hivi Kwa bahati nzuri nilifanikiwa kumkamata mhusika na Hela ikarudi
@nehemiahbudi5753
@nehemiahbudi5753 5 месяцев назад
Hao walionunua babati walinunua kihalari kutoka kwenye duka so kesi lazima iwe na mwisho wa mipaka. Watuhumiwa wamekwisha kamatwa kwa kosa la utapeli, kugushi lisiti na wengine kununua bidhaa bila ya kufuata utaratibu, kukwepa kulipa kodi ya manunuzi ila wa mwisho yupo kiharali hatakiwi kubugudhiwa kwani amenunua kiharali kutokea duka lenye usajiri na kupatiwa lisiti halali.
@ROZITHOMAS-y4q
@ROZITHOMAS-y4q 6 месяцев назад
Polisi babati serikali itazamwe hilo. Mwizi amekamatwa na kithibiti askari hawaangaiki. Mbaya sana tena sana
@altonkanjolonga2380
@altonkanjolonga2380 5 месяцев назад
polisi wetu changamoto sana
@joharitamimu7141
@joharitamimu7141 4 месяца назад
Kiukweli polis babat sio salama
@josephlorri431
@josephlorri431 6 месяцев назад
Pole mama wa nguvu.. mimi walitaka kunitapeli mazao.. gunia 105 za mahindi (mkenya na m-tz)..tena walikuja shambani wakati wa mavuno.. niliuliza salio kwa mtandao,sikuona pesa..walitaka kufanya fujo..lakini nilishawaita askari wa kituo baada ya kutoona pesa kwa a/c.. Nilikataa wasipakie hadi salio isome..
@mohamedzungufya5151
@mohamedzungufya5151 6 месяцев назад
Na ndio inavotakiwa, ni mpaka pesa au muamala ureflect kwenye account yako ndo utoe Mzigo
@Deedah4
@Deedah4 5 месяцев назад
Sio wewe tu kuna rafiki yangu yupo njombe anakitengo alikuwa anadhulumiwa mil24 Mungu alisaidia na alikamatwa huyo tapeli na hela akatoa
@rasnchimbi
@rasnchimbi 6 месяцев назад
Huyu mama apewe tuzo ni shujaa kapambana na uovu na kujulisha umma,alipwe gharama alizotumia.
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 6 месяцев назад
KWELI KABISA hayo maneno.amefatilia mwenyewe safari zote.na bado Wanamzungusha sio wakumpa nguvu.kila kitu kiko wazi..
@JenniferJacob-hh3ij
@JenniferJacob-hh3ij 5 месяцев назад
Pia anakuwa Hana zuluma ndo maan
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 6 месяцев назад
Pole sana dada ki2 ambacho nimejifunza tanzania tuwe makini tusipate matatizo coz ukiwa na tatizo tu .ujuwe wewe ndo unakwenda kupoteza pesa .kufatilia case mpk kumaliza qe ndo utaingia garama mpk uwache
@nadirmahfoudh1812
@nadirmahfoudh1812 5 месяцев назад
Dada umepambana vizuri sana. Nakuombea kwa Mola ufanikiwe ktk kesi yako. Karibu Zanzibar
@2116-n
@2116-n 6 месяцев назад
Mama poleee Sana, POLISI POLISI POLISI ni laaaana
@officialjclever9879
@officialjclever9879 6 месяцев назад
hahahahaha huyo jamaa kaenda kujenga 😂😂😂😂bila hata kutumia nguvu na hawa ni wasomi waliokosa ajila😂😂
@philimonmtweve4522
@philimonmtweve4522 6 месяцев назад
Huyo mwenye duka iribidi achukuliwe hatua za kisheria kwa sababu kakutwa na mali zawizi inamaana duka lake lote nilawizi tuuu
@awadhally1052
@awadhally1052 6 месяцев назад
Kwel kabisaaa
@nigistsheikh7819
@nigistsheikh7819 6 месяцев назад
Kabisa
@lodrickmwambene133
@lodrickmwambene133 5 месяцев назад
Sijaelewa
@franciscoabushiri8065
@franciscoabushiri8065 5 месяцев назад
​@@lodrickmwambene133alienunua mzigo kutoka kwa wale wezi achukuliwe hatua
@agneselia9000
@agneselia9000 6 месяцев назад
Mama unamungu kweli na inaonyesha hujawahi kudhulumu mtu.
@JenniferJacob-hh3ij
@JenniferJacob-hh3ij 5 месяцев назад
Kabisa Yan kabisa
@stevenmwenda3005
@stevenmwenda3005 6 месяцев назад
Naongea kwa uchungu hata mimi yalinikuta Arusha gari langu limeibiwa nimelipata police twende tukalikamate tu lije kituoni sehemu salama nimezungushwa mpaka unasema police mnaintrest gani na hilo gari kulikamata kulileta police shida na upowafuatilia police twende kwenye tukio unazungumshwa yaani yakiwakuta watu yaliyonikuta na kama huyo ndo mtajua ninachokisema na huyo mama anachokisema
@bennylove6021
@bennylove6021 5 месяцев назад
Hukuwapa ushirikiano😂
@stevenmwenda3005
@stevenmwenda3005 5 месяцев назад
Kweli inasikitisha sana na hizi dhulma wanazokula hawajui wanawalisha familia zao dhulma baraka zipi za mungu wanazozitegemea wanakula vyakula wanajiona wajanja kabisa kwa fedha za dhulma inasikitisha sana wazazi wao waliwasomesha kwa shida ili waje wafanye dhulma kwa wengine aibu sana
@apostle_AngazaGN
@apostle_AngazaGN 6 месяцев назад
Pole sana mama, Mungu atakuwa hakimu wako na haki yako itapatikana
@PriscaMallya-eo9lw
@PriscaMallya-eo9lw 6 месяцев назад
Kabisa naiman Mungu atanitendea muujiza🙏
@evancetilya167
@evancetilya167 6 месяцев назад
😢Pole sana Mama, Mungu akupe nguvu katika kipindi hichi kigumu unachopitia na ninakuombea upate haki yako
@johnmsaki7920
@johnmsaki7920 5 месяцев назад
Hongera sana shujaa wa kupambania haki yako
@tumsifumunuo2602
@tumsifumunuo2602 6 месяцев назад
Mama ww ni mpambanaji. Hongera sanaa
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 6 месяцев назад
Pole sn Mom! Mungu ni mwema.Hayo mambwa yachomwe moto bhana.
@abbynimel-kindy5107
@abbynimel-kindy5107 6 месяцев назад
Dah mtihani kwakweli bongo kweli njoosooo
@gibrilmongi5646
@gibrilmongi5646 6 месяцев назад
MCHAGA SIO MTU WAKUCHEZEA , HELA ANAIJUA HASA, SUPERWOMAN
@SophiaKamgunda
@SophiaKamgunda 6 месяцев назад
Kwanza na dereva kanusurka wangemuua
@edinakyaruzi9226
@edinakyaruzi9226 5 месяцев назад
Kweli kabisa
@agnesmartin5716
@agnesmartin5716 6 месяцев назад
Daaah jaman utapel umekuwa mwingi sana
@EmmmaTembo
@EmmmaTembo 6 месяцев назад
Siku waongo na wezi wakiisha na waaminifu waka jaa kila mahali tangu siku hiyo kila mtu ataona dunia ni sehem nzuri ya kuishi
@josephlorri431
@josephlorri431 6 месяцев назад
Hiyo siku haipo... kuzidiana ujanja ndo raha ya maisha... huko wanakofundisha uaminifu wezi nao wamejaa
@stevenmdoga8414
@stevenmdoga8414 6 месяцев назад
Acha anyooshwe maana huwa anadharau Sana dukani kwake😂😂😂😂😂
@Heal.your.soul92
@Heal.your.soul92 5 месяцев назад
@@stevenmdoga8414acha roho mbaya ipo siku utakuja pata shida na wewe
@khadjamhozya
@khadjamhozya 4 месяца назад
Haitatokea mpaka mwisho wa dunia
@khadjamhozya
@khadjamhozya 4 месяца назад
​@@stevenmdoga8414kumbe
@omarymbaraj8072
@omarymbaraj8072 5 месяцев назад
Mama Mkwe hongera sana Mungu atunusuru na Watu wabaya
@benjaminwerema8758
@benjaminwerema8758 6 месяцев назад
Hiyo michezo tumeizoea sana Huku Dar. Tunawakamata sana hao
@monicakimario2910
@monicakimario2910 5 месяцев назад
Pole sana Mama, Mungu hatakuacha. Jipe moyo
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 6 месяцев назад
Dah pole sana mpenzi ck nyingine biashara za kuweka fedha bank angalia salio kwanza kabla ya kutoa mzigo ndivyo wanavyo fanya kariakoo.
@bahatielias6443
@bahatielias6443 6 месяцев назад
Kabisa yaani
@annabyekwaso-wt7oi
@annabyekwaso-wt7oi 5 месяцев назад
Safi ni ushauri ht mm nimesema mbona simu utujulisha km mtu kaweka pesa au la!Nmb crdb nk zimesetiwa kisahii sana .
@Fx_expertmoneymaker001
@Fx_expertmoneymaker001 5 месяцев назад
​@@annabyekwaso-wt7oikama ameunganisha na sim banking. Lakn pia muda mwngne mtu unachanganyikiwa. Mteja kaja anachukua mzigo mkubwa kwa mara moja yaan unawaza jinsi ya kumuhudumia haraka arizike aje tena, na hujauza mzigo kama huo mda mref kwa mkupuo, yaan unachanganyikiwa unaona kama zali. Kumbe ww ndo wamepata zali kwako. 😂
@julianasongolo5710
@julianasongolo5710 5 месяцев назад
Pole sana dada utapata haki yako umepigana sana Mwenyezi Mungu akusimamie.
@kagenzikanala109
@kagenzikanala109 5 месяцев назад
Duhhh aisee hii nchi yetu.... pole sanaa mama
@AmianaMavura
@AmianaMavura 6 месяцев назад
Hongera mwwaya kwa upambanaji
@EliauMtishbi-os5ky
@EliauMtishbi-os5ky 6 месяцев назад
Congratulations cna Momy Kwa ujasiri inuliwa na Bwana
@kennedyjohn8900
@kennedyjohn8900 6 месяцев назад
Hongera kwa polisi wachache wanaojuawa wajibu wao waendelee kumsaidia
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 5 месяцев назад
Pole sana mama mungu akufanyie wepesi katika hili
@agathabaraka6077
@agathabaraka6077 5 месяцев назад
Pole mama kwa mfanyabiashara kuibiwa na dhuluma ni jambo la kuumiza moyo na biashara. Pole Mungu asimamie haki yako.
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 6 месяцев назад
Pole dada japo umehangaika ila mwenyezi Mungu atazidi kusimama nawe ni haki yako na Mungu atatenda 🙏🏼🙏🏼
@RobertYusuph-mr7kx
@RobertYusuph-mr7kx 5 месяцев назад
Dah!. Watu wamebobea wizi kweli
@hanifasupplies2109
@hanifasupplies2109 6 месяцев назад
Pole dada,umepana na mungu akutangulie. Je police babati mna maanisha nini hasa,kubakia na kielelezo cha kesi ya singida. Swala hili haliitaji maelezo.Watanzania tuwe wazalendo, Je vipi kitendo hiki ungefanyiwa wewe , Tafakarii.
@KasangaKalanga-vo6od
@KasangaKalanga-vo6od 6 месяцев назад
Pole sana mama na hongera kwa kufuatilia mali yako bila kukata tamaa
@RenaElsworth
@RenaElsworth 6 месяцев назад
Pole sana. Umoja pia umeleta mafanikio mazuri. Hongereni
@janifajani8875
@janifajani8875 6 месяцев назад
Kweli haki yamtu aipotei buree ongera mama shujaaaa❤❤❤
@isayahlesurwa307
@isayahlesurwa307 6 месяцев назад
Pole sana mama usijali mungu atakupa nyingi.
@djbaddest1220
@djbaddest1220 6 месяцев назад
Bonge moja la wakili 🎉
@mauajuma3762
@mauajuma3762 5 месяцев назад
Pole Sana dada prisca MUNGU yupo pamoja nawe endelea kupambana haki opatikane Sadaka yako unatoa kanisani haitakuacha mali ipotee
@PriscaMallya-eo9lw
@PriscaMallya-eo9lw 5 месяцев назад
ASANTE DADA MAUA NI MUNGU TUU ALINISIMAMIA MUMMY
@JacklineMnganya
@JacklineMnganya 5 месяцев назад
Watu watafute pesa kwa njia halali tuepuke njia za mkato Kwan hujui Mungu alikomtoa mja wake na kuamua kumbariki. Hongera sana mama shujaa
@Deedah4
@Deedah4 5 месяцев назад
The struggle was real mama hongera sanaaa na pole sanaaa
@helentelemla5623
@helentelemla5623 6 месяцев назад
Pole sana mama Kibona
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 5 месяцев назад
Hiyo michezo Polisi wa Babati wanaijua Ndo mana hawakutoa ushirikiano, Ni hatari kuwa Watumishi wanao sahau Viapo hasa likija suala la kulinda raia na Mali zao, hii inatisha Sasa piga picha kusingekuwa CCTV Camera?? Au RU-vid? Kwa Miaka Mingi Kuna kundi la Majambazi ndani ya Jeshi la POLISI Sasa hizi technology Ndo zinawaumbua
@shakiramshule342
@shakiramshule342 6 месяцев назад
Mungu yupo dada
@ZuhuraSaidi-f5d
@ZuhuraSaidi-f5d 6 месяцев назад
Pole sana ndugu yangu
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 6 месяцев назад
happo kwa peter madereva limefika niwakili makini sana ramda waamue kuzulumu2
@bahariawalk
@bahariawalk 5 месяцев назад
Pole Sana Mama, alakini ukifikia lengo fulani ya kibiashara lazma ku ajiri accountant ambae anahusika na hesabu maana mfanya biashara mkubwa ukiwa busy kutapeliwa nivirahisi Sana. Isitoshe kufanya biashara na bank ambayo ina technologia ya mobile banking mambo yanakuwa rahisi Sana maana wakati ulitumiwa receipt kama wamesha weka hela Kabla ya kupakiza mzigo wewe mwenyewe ungetumia simu yako ama computer kwa ku cheki.
@wisperfect5320
@wisperfect5320 6 месяцев назад
Pole sana dada Umepambana sana dada lakin tujufunze kuangalia salio na siyo slip tu kwa pesa nyingi kama hizo na pia naona hao wanajuana na polis iweje vieleezo visiende polis
@DonataJoachimu
@DonataJoachimu 6 месяцев назад
Pole sana Prisca kweli jasho la mtu alipotei hongera kwa kupambana makibona.
@mamy8220
@mamy8220 4 месяца назад
😢😢😢Dunia nidwara yenyewe inamatukio mengi
@nicholausmramu
@nicholausmramu 6 месяцев назад
Dada pole sana Umepambana sana ila ndohivo tena Mungu Hatokuacha kamwe
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 6 месяцев назад
Hongera sana dada. Mimi nilitapeliwa police Arusha hakuna kitu walinisaidia lkn nahisi naenda kufufua RB sasa.
@ROZITHOMAS-y4q
@ROZITHOMAS-y4q 6 месяцев назад
Mama utashinda kesi. Mama samia akisia hilo itafanyiwa kazi
@samirazuberi186
@samirazuberi186 5 месяцев назад
Mama samia hyu tapeli au yupi.. Hivi samia unamtegemea
@MatonangeMathias
@MatonangeMathias 3 месяца назад
Polee
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 6 месяцев назад
Hongera sana Dada..wanakana au kuwa wataratibu hawamslizi kazi kuwa wamewajua hao😅 HAKI YAKO ITATOKA KWA JINA LA ALLAH.na wao wanafanya hayo na wanaodjiriki Mungu atawahukumu
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 6 месяцев назад
Jamaniiii pole sana, wewe ni Super woman
@teddymassawe3583
@teddymassawe3583 5 месяцев назад
Eka sana Mure nimekupenda sanaaa,yaani wewe ni mwanake balaa na nusu
@nassorowaziri3076
@nassorowaziri3076 6 месяцев назад
Pole Sana Dada na Mungu wangu atakurudishia na mm pia lilishanikuta
@stevenmdoga8414
@stevenmdoga8414 6 месяцев назад
Ila huyu mama huwa anadharau Sana dukani kwake basi tu 😂😂😂😂
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 6 месяцев назад
vm.tiktok.com/ZMMXhk3yN/
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 6 месяцев назад
vm.tiktok.com/ZMMXhk3yN/
@abdulhajiahmed8735
@abdulhajiahmed8735 6 месяцев назад
Pole sana
@xaverisunday699
@xaverisunday699 6 месяцев назад
Duhuu pole sana mama ww ni mwamba kwl kwl mama pole sn
@mcyudasicqo9610
@mcyudasicqo9610 6 месяцев назад
Pole mama,,mungu atakulipa
@edinalihedule7609
@edinalihedule7609 5 месяцев назад
Mungu atakupatia haki yako mpnz🥰🙏
@yusuphchristopher3014
@yusuphchristopher3014 5 месяцев назад
Pole sana mama polisi wetu wana udhaifu mkubwa kwenye ufuagiliaji wa kesi za raia hasa pale wanapoona kama hawana maslai watakayopata, mimi hadi leo nina RB ya polisi ya wizi wa shilling milioni moja na laki nane kwenye biashara yangu tangu 2023 mwezi December ila mpaka tunavoongea kila nikimtafuta askari wa upelelezi niliyekabidhiwa kufuatilia kesi yangu hana msaada wowote zaidi ya kutaka hela, nimeamua kuachana nayo maana niliona napoteza hela zaidi wakati tayari nilishapata hasara
@dominicklabu5728
@dominicklabu5728 5 месяцев назад
Wewe umeonyesha ushirikiano wowote au umemwachia tu mpelelezi
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 5 месяцев назад
Pole sana mama biashara yenyewe hii ni ngumu
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 6 месяцев назад
Dunia hii imejaa kila hatari. Pole sana mama. Pokeni hela taslimu. Dunia majaribu.
@stevenmdoga8414
@stevenmdoga8414 6 месяцев назад
Acha anyooshwe maana huwa anadharau Sana dukani kwake huyu mama
@johndesire-l4f
@johndesire-l4f 5 месяцев назад
Pole sna Boss,,mungu atakusaidia
@petroyohana1126
@petroyohana1126 6 месяцев назад
Huyu dada ni jembe kweli kweli
@greenwellnsyukwe4729
@greenwellnsyukwe4729 6 месяцев назад
Ni Hatariiii Kwa kweli, hawa matapeli ni wengi Kwa kweli, hata kwenye Lipa namba hizi siyo.
@ashelimwamlima602
@ashelimwamlima602 6 месяцев назад
POLISI TANZANIA 🙌🙌
@JustineWangi-j2t
@JustineWangi-j2t 6 месяцев назад
Polisi inchi hii hatuna😮
@KokoFimbo
@KokoFimbo 6 месяцев назад
Babati apo si ndio kesi ya mbunge imefutwa vile?
@leticiachunga9118
@leticiachunga9118 5 месяцев назад
Babati msumari wa bati 😂😂😂😂 Mungu ndio anaijua babati na mwenye kuikomboa ni Yeye Mungu tu. Wasameheni askari sio wamejitakia ila wameogopa msumari wa bati🤣🤣🤣🤣
@MariaIsaya-y2y
@MariaIsaya-y2y 5 месяцев назад
Pole Sana dada angu
@smakmkasiwa723
@smakmkasiwa723 5 месяцев назад
Pole sana mamaa, kwa yaliyo kukuta.
@abdulkaleemmbarak6670
@abdulkaleemmbarak6670 6 месяцев назад
Pole dada mungu awe pamoja nawe upate haki yako
@Zaburi-
@Zaburi- 6 месяцев назад
Mungu/MUNGU sio mungu
@stevenmdoga8414
@stevenmdoga8414 6 месяцев назад
Nawewe umepata wababe wenzako unajibugi kuwa nenda popote pale usinibabaishe sasa nayeye aende popote
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 5 месяцев назад
​@@stevenmdoga8414mungu sio mtu lazima akupitishe kwenye moto lakin hana hana hasira na mwadamu mungu ni mwema
@JumaMukide
@JumaMukide 6 месяцев назад
Pole sana mama makibona haki Yako itapatikana tu 15:10
@FahiyeFarah6878
@FahiyeFarah6878 5 месяцев назад
Pole sana kwa Mama itakuwa Alikuwa amechoka sana siku hiyo lakini ndugu zangu risiti pekee ambayo inaweza ikawa halali ni risiti ya machine ya wakala tuu because pesa ikishawekwa unatumiwa message directly kwenye simu na bank Husika Example UTAONA KWENYE TEXT IMEINGIA MESSAGE MTUMAJI CRDB BANK ALLAH AWAJALIE WAFANYABIASHARA WASITAPELIWE AAMIN
@linimaarifa5009
@linimaarifa5009 6 месяцев назад
Mama hapo umepata jembe huyo wakili hakika haki yako utapata
@rukiasalim3376
@rukiasalim3376 5 месяцев назад
Mimi nimeibiwa maharage gunia kumi tumewakamata wezi wakakubali ni kweli wameiba wakawekwa ndani, mwisho wa siku watuhumiwa wote waliachiwa Kwa kutoa pesa Kwa askari mpelelezi wa hiyo kesi, na katika kuwakamata hakuhusika na hakutoa ushirikiano hata kidogo, mtuhumiwa mkuu alitamka yeye mwenyew kutoa laki Tano na ndo alikuwa mtu wa kwanza kuachiwa. Yule askari mungu amlipe sawasawa na matendo yake
@wailosvijevania1049
@wailosvijevania1049 5 месяцев назад
Nchi yetu Askari wala Rushwa wanafanya maovu yahalalishwe na wanyonge waendelee kukiona cha moto
@beatricejohnkomba3076
@beatricejohnkomba3076 5 месяцев назад
Mlaani mungu anajua kushungulika nao wanasahau Dunia tunapita
@mithlaabdulrahim8566
@mithlaabdulrahim8566 6 месяцев назад
Super woman...❤
@Afsa-z2v
@Afsa-z2v 5 месяцев назад
OngerA SANA DADA UMEPAMBANA SANA HILO POLISI WA BABATI NI WEZI PIA KWanini hWatoi ushirikiano
@victordavidmmbaga8491
@victordavidmmbaga8491 6 месяцев назад
Pole sana mtani
@shakirashakira-gc2yw
@shakirashakira-gc2yw 5 месяцев назад
Pole mama yangu mungu atakusimamia
@dorotheachami4044
@dorotheachami4044 5 месяцев назад
Pole priska mdogo wangu
@dannylema3125
@dannylema3125 5 месяцев назад
Daaaah pole sana mama
@lissaMetta
@lissaMetta 5 месяцев назад
Daaah serekali ya siku izi noma, pole sana mama
@alphoncekagezi4950
@alphoncekagezi4950 5 месяцев назад
Kwa wizi huo kuna namna mifumo ya bank iliko akaunt ilihusika ama tapeli husika ana vifaa vya electronic anavitumia kutapeli mali.
@HabibuHoseni-sv8hd
@HabibuHoseni-sv8hd 5 месяцев назад
Hiii nchii ni ngumu sana yan kielelezo kimekamatwa lakn bado tyu 😢😢😢khaa dua ya mdhulumiwa hairud mama mungu atakusaidia na haki yako itapatikan tyu usiwe na shaka upo na mungu alie hai mam
@Mimi-wf7mb
@Mimi-wf7mb 11 дней назад
Hapo kwa Madeleka mama umefika
@tomasjilundumo865
@tomasjilundumo865 5 месяцев назад
Hongera mama kukamata hao kuluta
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 6 месяцев назад
Dah mtu unapambana weee anakuja mtu kukutapeli mwee 😢😢😢 pole sana
@summanelson5523
@summanelson5523 6 месяцев назад
He bila kuangalia salio kwenye akaunti!!!! Mbona ulitapeliwa kijinga!!! Ila umefight mama kumpata mtuhumia wako!!! Ila huyo aliyekataa gari na mzigo kuchukuliwa Mungu anamuona!!!! Mama Mungu atakulipia!!!!
@bakaribakari6444
@bakaribakari6444 5 месяцев назад
Hawa jamaa huwaga kama wana Kidawa hivi...usiombe ya kukute
@monicagerald6676
@monicagerald6676 5 месяцев назад
Yaani benki wameturahisishia sana maisha, simbanking,internet banking,app za benki,ukiweka hela Tu ndani ya dakika kadhaa zinaonekana. Watanzania hatupendi technologia,hii inatucost sana.
@RBSMABATI
@RBSMABATI 5 месяцев назад
Ni hivi, Hawa jamaa wanakuomba account namba wanaenda kuandaa malipo kwa njia ya cheque. Wanaenda kudeposit amount ya iliyopo kwenye cheque ikinaonekana kama imewekwa kwenye akaunti. Kumbuka cheque ni promise/ahadi kwamba utalipwa pesa flani. Kwahiyo kwa Mara ya kwanza Ile pesa utaiona benk lakin utaambiwa fulan ataweka pesa kwenye akaunt yako kiasi flan kama cheq. Hii nimeishuhudia Mara 2. Na Mara nyingi wanakuja jumamosi na wanakuwa na haraka wakati huo ww unataka kufunga duka ndo wanaingia. Hii hata ww inaweza kukukuta.😢
@fredricksabick-hi1fl
@fredricksabick-hi1fl 5 месяцев назад
@@RBSMABATIkumbe kuna uwezekano wa hela kuonekana na baadae kutoweka😢
@vailethmbulule8339
@vailethmbulule8339 5 месяцев назад
Malipo ya cheque yalitaka kunicost ila nilistuka mapema
Далее
НЮША РОЖАЕТ?
00:17
Просмотров 1,1 млн
When Khabib dropped Conor McGregor 👀 #nocommentary
00:59
Part 5. Roblox trend☠️
00:13
Просмотров 2,9 млн
MAMA MKWE AMEVUNJA NDOA YANGU
1:04:02
Просмотров 20 тыс.
How the Most Elite Spy Agency Operates
22:42
Просмотров 1,9 млн
НЮША РОЖАЕТ?
00:17
Просмотров 1,1 млн