The guy with the guitar, country music..I am so glad seeing you through this round...If You had a private show I would come every weekend at the front seat!!!!!
I love you guys all the way from U.S.A, Des Moines Iowa ❤❤ nawapenda sana watanzania mimi mukongomani🇨🇩but I was born in Tanzania I grew up in Zimbabwe 🇿🇼❤❤❤❤❤❤
shida ya wabongo sijui ni uswahili ndio mwingi au ni ushamba? unajua kiukweli hawa judges hawatakiwi kuwakejeli hawa wte wameshiriki hapa...sababu maana ya hao kuekwa pale kaam judges ni kwa sababu waapo watakaokuja na hawataafikiaa kwa kile wanachokitafuta...kuna wengne wamejaribu sana lkn wamewatoa kimaadharau saana...mnachotakiwa nkuwapa moyo lkn sio kuwadhalilisha au kuwafanya paka wafeel kua labda walikosea kuja jaribu bahati yao..lazma mkae mkijua tatizo sio kutotimiza ndoto..tatizo nkutokua na ndoto ya kutimiza...mko na madharau kwao sana..na ndio maana hata konde boy mulimuondoa mkimuambia hajui imba na leo ni msanii mkubwa tanzania...hapo kuna wenye wamejaribu ata shinda konde boy alivoimba mkamtoa...mnachotakiwa nkuwatia moyo na sio kuwavunja moyo...hio ni mbaya sana mnafanya...hamnaa ustarabu ata kidogo..bure kabisa!! na kama umekubaliana na mm gonga like...
Kuna watu nje ya ma judge wanaimba vizuri ukiwaskia lakini wakiingia ndani wanaboronga kwa kupanic...itabidi wapewe mafunzo maana ya BSS ili wasijipotezee muda
Huwezi toboa kwasababu vocal ya dimond ni kali sana, Z anton aliwai kusema hivyo kuwa pich na vocal ya mond ni kali sana sehem ya kupanda kama una sauti ndogo hupandi hapo
Kwa mfano harmonize Ni kweli hakuimba vizuri ile siku ila kazi ya majaji ni kugundua na kuivumbua talent ya msanii na kutomkatisha tamaa Bali kumfundisha na kumuelekeza ili aongeze bidii ndicho kilichotawakiwa kwa harmonize. Sasa kazi hiyo kafanya chibu inashangaza sana. Watanzania mujue kuwa million 50 haina maana kama tukipoteza wasanii wajao na ambao wanaweza kuongeza kipato Nchini. Huu ni ushamba tu unawasumbua. Ushauri wangu. kabla ya kuanza bongostarsearch wakajifunze Nchi zinazofanya vizuri. Kama vile Marekani na Mexico ndipo warudi kufanya hiyo kazi ya ujaji.
Ivi kuimbia Puwani kukoje ilihali MTU anaimba vizuri kabisa au hawa majaji wa kibongo wanachujaje watu yaan tuko nyuma sana kwenye kusaka vipaji itakua vema wakajaribu kuangalia majaji wenzao wa nje wanachujaje vipaji stahiki
Kweli mi nikiingia hapo naimba mwanzo mwisho majaji apo kila mtu nasifa zake nikianza nakumkanyaga masta j....😂 jide madam rita ndio usiseme wengine wanapeleka maua mi nitaingia n maparachichi apo😂😂😂😂😂😂nimpe salama....😂 😍
Kwer Kabisa Eliza. Sijajua Kwann, Ila nadhan Kwa sabab Wanawai tu, Kwaiyo Majaj wanaona Mapema sana Kuanza Kupitisha. wakitegemea Wengine Wapo wenye Vipaj Zaid. ila kiukwer Wapo weng xna Namba 1 Wanajua, ila Kuwai kwao ndio Kunawafelisha.
Vp hawa Jamaa wa gita vp wamepita au mbona sijaelewa mm afu wote wanaimba vizuri jaji wanaudhi bana,af jaman hawa jaji siwaelewi hiv mtu akikosea neno moja hawez rudia? Mbona wasanii huwa wanakoseaga Mara kibao
Hivi duli hivyo unavyoimba hapa na gitaa lako angekua mshiriki ungempitisha ?kweli kua jaji sio kujua mziki lkn kwako ww mwanamziki umezidiwa na wanapita hapo hivyo upunguze ukali wa maneno
Kila kwenye kikosi lazima kuwe na mtu wa aina hio....mkiwa soft nyote hamuezi fanya kazi......km vile shule mwalimu mkali zaidi huchukukiwa na hadi baadhi ya walimu lkn yeye mwisho wa siku yeye ndo hunyoosha mambo
U know, am from South Sudan but I am a comedian,i am really not happy the way you people judge them, u should be giving them hope and talk well to young talented people not to lose hope... That will be batter...
Dodoma hakuna vipaji vya mziki labda wasomi tu wa chuo Apo wanajua Pythagoras Theorem, Find value of X, Algebra, Statistics, Matrix, Binary No, Integrat, Sequence & Series apo sasa walepekeeni maswali ndo wata wakatia hesabu vizur adi muta enjoy